< 1 Wafalme 9 >
1 Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
Lorsque Salomon eut achevé de bâtir la maison du Seigneur, ainsi que la demeure royale et tout ce qu’il avait désiré et projeté de faire,
2 BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
le Seigneur apparut une seconde fois à Salomon, comme il lui était apparu à Gabaon,
3 Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
et lui dit: "J’Accueille ta prière et la supplication que tu m’as adressée: cette maison que tu as bâtie, je la sanctifie en y faisant régner mon nom à jamais, en y dirigeant constamment mes yeux et ma pensée.
4 Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
Pour toi, si tu marches devant moi comme a marché David, ton père, avec un cœur droit et sincère, en te conformant à tout ce que je t’ai prescrit, en gardant mes lois et mes statuts,
5 ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
je maintiendrai à jamais ta royauté sur Israël, ainsi que je l’ai promis à David, ton père, en disant: Aucun des tiens ne sera jamais exclu du trône d’Israël.
6 Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
Mais si vous vous détournez de moi, vous et vos descendants, si vous négligez d’observer mes préceptes, les lois que je vous ai données, et que vous alliez servir des dieux étrangers et vous prosterner devant eux,
7 basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
je ferai disparaître Israël de la face du pays que je lui ai donné; cette maison, que j’ai consacrée à mon nom, je la répudierai, et Israël deviendra la fable et la dérision de tous les peuples;
8 Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
et cette maison placée à un si haut rang ne produira plus, chez tout venant, que stupeur et raillerie; et quand on dira: "Pourquoi le Seigneur a-t-il traité ainsi ce pays et ce temple?"
9 Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
On répondra: "Parce qu’ils ont abandonné le Seigneur, leur Dieu, qui avait délivré leurs pères de l’Egypte, ont adopté des divinités étrangères, les ont servies et adorées, c’est pour cela que le Seigneur leur a suscité tous ces malheurs."
10 Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
Or, au bout des vingt ans employés par Salomon à construire les deux maisons, la maison du Seigneur et celle du roi,
11 Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
Hiram, roi de Tyr, ayant fourni à Salomon le bois de cèdre, le bois de cyprès, l’or et tout ce qu’il désirait, le roi Salomon donna à Hiram vingt villes de la province de Galilée.
12 Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
Hiram sortit de Tyr pour examiner les villes que Salomon lui avait données; elles ne lui plurent point:
13 Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
"Qu’est-ce que ces villes, dit-il, que tu m’as données, mon frère?" Et il les appela le pays de Kaboul, nom qu’elles portent encore aujourd’hui.
14 Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
Hiram envoya au roi cent vingt kikkar d’or.
15 Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
Le but de l’impôt qu’avait levé le roi Salomon était de construire la maison de l’Eternel et sa propre maison, plus le Millo, la muraille de Jérusalem, Haçor, Meghiddo et Ghézer.
16 Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
Car Pharaon, roi d’Egypte, avait fait une incursion, s’était emparé de Ghézer, l’avait incendiée, avait fait périr les Cananéens habitant cette ville, et l’avait donnée en dot à sa fille, épouse de Salomon.
17 Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
Et Salomon rebâtit Ghézer, ainsi que le Beth-Horôn inférieur,
18 Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
Baalat, le Tadmor du désert dans le même pays;
19 na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
plus toutes les villes d’approvisionnement de Salomon, les villes des chariots, celles des cavaliers, bref, ce qu’il plaisait à Salomon de construire à Jérusalem, au Liban et dans tout le pays soumis à sa domination.
20 Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
Toute la population survivante des Amorréens, des Héthéens, des Phérézéens, des Hévéens et des Jébuséens, lesquels ne font point partie des enfants d’Israël,
21 na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
tous leurs descendants qui étaient restés après eux dans le pays, les enfants d’Israël n’ayant pu les exterminer, Salomon les obligea à payer tribut; ce qu’ils font encore aujourd’hui.
22 Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
Pour les enfants d’Israël, Salomon n’en employa aucun comme esclave, ils étaient seulement ses hommes de guerre, ses fonctionnaires, ses officiers, capitaines, commandants de ses chars et de sa cavalerie.
23 Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
Les surveillants en chef des travaux de Salomon étaient au nombre de cinq cent cinquante, chargés de stimuler les travailleurs.
24 Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
Quant à la fille de Pharaon, elle se transporta de la Cité de David dans la demeure que Salomon lui avait construite; c’est ensuite qu’il édifia le Millo.
25 Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
Trois fois l’année, Salomon offrait des holocaustes et autres sacrifices sur l’autel qu’il avait élevé au Seigneur; il offrait, en outre, l’encens devant le Seigneur, et il compléta le service du temple.
26 Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
Le roi Salomon fit aussi construire une flotte à Ecion-Ghéber, qui est près d’Elot, au bord de la mer de Souf, dans le pays d’Edom.
27 Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
Hiram envoya sur ces vaisseaux ses serviteurs, matelots experts dans la marine, pour aider les serviteurs de Salomon.
28 Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.
Ils arrivèrent à Ofir et en rapportèrent quatre cent vingt kikkar d’or, qu’ils remirent au roi Salomon.