< 1 Wafalme 9 >

1 Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
Lorsque Salomon eut achevé de bâtir la maison de Yahweh et la maison du roi, et tout ce qui plaisait à Salomon, ce qu’il désirait faire,
2 BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
Yahweh lui apparut une seconde fois, comme il lui était apparu à Gabaon.
3 Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
Et Yahweh lui dit: « J’ai exaucé ta prière et ta supplication que tu as proférée devant moi; j’ai sanctifié cette maison que tu as bâtie, pour y mettre à jamais mon nom, et là seront à jamais mes yeux et mon cœur.
4 Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
Et toi, si tu marches devant moi comme a marché David, ton père, dans la sincérité de ton cœur et avec droiture, mettant en pratique ce que je t’ai prescrit, si tu observes mes lois et mes ordonnances,
5 ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
j’affermirai pour toujours le trône de ta royauté en Israël, comme je l’ai déclaré à David, ton père, en disant: Il ne te manquera jamais un descendant qui siège sur le trône d’Israël.
6 Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
Mais si vous vous détournez de moi, vous et vos fils; si vous n’observez pas mes commandements et mes lois, que j’ai mis devant vous, et si vous allez servir d’autres dieux et vous prosterner devant eux,
7 basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
j’exterminerai Israël du pays que je lui ai donné; la maison que j’ai consacrée à mon nom, je la rejetterai de devant moi, et Israël sera un sujet de sarcasme et de raillerie parmi tous les peuples;
8 Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
cette maison sera toujours haut placée, mais quiconque passera près d’elle sera dans la stupeur et sifflera. On dira: Pourquoi Yahweh a-t-il traité ainsi ce pays et cette maison?
9 Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
Et l’on répondra: Parce qu’ils ont abandonné Yahweh, leur Dieu, qui a fait sortir leurs pères du pays d’Égypte, et que s’attachant à d’autres dieux, ils se sont prosternés devant eux et les ont servis: voilà pourquoi Yahweh a fait venir sur eux tous ces maux. »
10 Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
Au bout de vingt ans, quand Salomon eût bâti les deux maisons, la maison de Yahweh et la maison du roi,
11 Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
— Hiram, roi de Tyr, avait fourni à Salomon des bois de cèdre et des bois de cyprès, et de l’or, autant qu’il en voulait, — le roi Salomon donna à Hiram vingt villes dans le pays de Galilée.
12 Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
Hiram sortit de Tyr pour voir les villes que lui donnait Salomon; elles ne lui plurent pas,
13 Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
et il dit: « Quelles sont ces villes que tu m’as données là, mon frère? » Et il les appela pays de Chaboul, leur nom jusqu’à ce jour.
14 Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
Hiram avait envoyé à Salomon cent vingt talents d’or.
15 Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
Voici ce qui concerne les hommes de corvée que leva le roi Salomon pour bâtir la maison de Yahweh et sa propre maison, Mello et le mur de Jérusalem, Héser, Mageddo et Gazer.
16 Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
Pharaon, roi d’Égypte, était monté et s’était emparé de Gazer. Après l’avoir incendiée et avoir tué les Chananéens qui habitaient dans la ville, il l’avait donnée en dot à sa fille, femme de Salomon.
17 Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
Salomon bâtit Gazer, Beth-Horon le bas,
18 Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
Baalath, et Thadmor dans le pays du désert;
19 na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
toutes les villes servant de magasins qui appartenaient à Salomon, les villes pour les chars, les villes pour la cavalerie, et tout ce qu’il plut à Salomon de bâtir à Jérusalem, au Liban et dans tout le pays soumis à sa domination.
20 Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
Tout le peuple qui était resté des Amorrhéens, des Héthéens, des Phérézéens, des Hévéens et des Jébuséens, ne faisant point partie des enfants d’Israël,
21 na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
savoir, leurs descendants qui étaient restés après eux dans le pays, et que les enfants d’Israël n’avaient pu vouer à l’anathème, Salomon les leva comme esclaves de corvée, ce qu’ils ont été jusqu’à ce jour.
22 Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
Mais Salomon ne fit esclave aucun des enfants d’Israël; car ils étaient des hommes de guerre, ses serviteurs, ses chefs, ses officiers, les commandants de ses chars et de sa cavalerie.
23 Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
Les chefs des inspecteurs des travaux de Salomon étaient au nombre de cinq cent cinquante, chargés de commander au peuple occupé aux travaux.
24 Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
La fille de Pharaon monta de la cité de David dans sa maison que Salomon lui avait bâtie; ce fut alors qu’il bâtit Mello.
25 Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
Salomon offrait trois fois chaque année des holocaustes et des sacrifices pacifiques sur l’autel qu’il avait bâti à Yahweh, et il brûlait des parfums sur celui qui était devant Yahweh. C’est ainsi qu’ il acheva de bâtir la maison.
26 Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
Le roi Salomon construisit une flotte à Asiongaber, qui est près d’Ailath, sur les bords de la mer Rouge, dans le pays d’Edom.
27 Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
Et Hiram envoya sur les vaisseaux, auprès des serviteurs de Salomon, ses propres serviteurs, des matelots connaissant la mer.
28 Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.
Ils allèrent à Ophir, et ils y prirent quatre cent vingt talents d’or, qu’ils apportèrent au roi Salomon.

< 1 Wafalme 9 >