< 1 Wafalme 9 >
1 Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
Lorsque Salomon eut achevé de bâtir la maison de Yahvé, la maison du roi, et tout ce qu'il lui plut de faire,
2 BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
Yahvé apparut à Salomon pour la seconde fois, comme il lui était apparu à Gabaon.
3 Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
Yahvé lui dit: « J'ai entendu ta prière et ta supplication que tu as présentées devant moi. J'ai sanctifié cette maison que tu as bâtie, pour y mettre mon nom à jamais, et mes yeux et mon cœur y seront toujours.
4 Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
Si tu marches devant moi comme a marché David, ton père, dans l'intégrité de ton cœur et dans la droiture, pour faire tout ce que je t'ai commandé, et si tu observes mes lois et mes ordonnances,
5 ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
j'affermirai pour toujours le trône de ton royaume sur Israël, comme je l'ai promis à David, ton père, en disant: « Il ne manquera pas de toi un homme sur le trône d'Israël ».
6 Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
Mais si vous vous détournez de moi, vous ou vos enfants, et si vous n'observez pas mes commandements et mes lois que j'ai mis devant vous, mais si vous allez servir d'autres dieux et vous prosterner devant eux,
7 basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
alors je retrancherai Israël du pays que je lui ai donné, et je rejetterai loin de moi cette maison que j'ai sanctifiée pour mon nom, et Israël sera un sujet de sarcasme et de moquerie parmi tous les peuples.
8 Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
Malgré la hauteur de cette maison, tous ceux qui passeront près d'elle seront étonnés et siffleront, et ils diront: « Pourquoi Yahvé a-t-il fait cela à ce pays et à cette maison? »
9 Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
Et ils répondront: « Parce qu'ils ont abandonné Yahvé, leur Dieu, qui a fait sortir leurs pères du pays d'Égypte, et qu'ils ont embrassé d'autres dieux, se sont prosternés devant eux et les ont servis. C'est pourquoi Yahvé a fait venir sur eux tout ce malheur. »
10 Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
Au bout de vingt ans, pendant lesquels Salomon avait construit les deux maisons, la maison de Yahvé et la maison du roi
11 Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
(Hiram, roi de Tyr, avait fourni à Salomon des cèdres et des cyprès, et de l'or, selon tout son désir), le roi Salomon donna à Hiram vingt villes au pays de Galilée.
12 Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
Hiram sortit de Tyr pour voir les villes que Salomon lui avait données, et elles ne lui plurent pas.
13 Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
Il dit: « Quelles sont ces villes que tu m'as données, mon frère? » Il les appela jusqu'à ce jour le pays de Cabul.
14 Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
Hiram envoya au roi cent vingt talents d'or.
15 Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
C'est la raison des travaux forcés auxquels le roi Salomon s'est astreint: construire la maison de Yahvé, sa propre maison, Millo, la muraille de Jérusalem, Hazor, Megiddo et Guézer.
16 Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
Pharaon, roi d'Égypte, était monté, s'était emparé de Guézer, l'avait incendiée, avait tué les Cananéens qui habitaient la ville et l'avait donnée en cadeau de mariage à sa fille, la femme de Salomon.
17 Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
Salomon bâtit dans le pays Guézer, Beth Horon la basse,
18 Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
Baalath, Tamar dans le désert,
19 na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
toutes les villes de stockage que possédait Salomon, les villes pour ses chars, les villes pour ses cavaliers, et ce que Salomon voulait bâtir pour son plaisir à Jérusalem, au Liban et dans tout le pays de sa domination.
20 Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
Quant à tout le peuple qui restait des Amoréens, des Héthiens, des Phéréziens, des Héviens et des Jébusiens, et qui n'appartenait pas aux enfants d'Israël,
21 na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
leurs enfants restés après eux dans le pays, et que les enfants d'Israël n'ont pas pu détruire par interdit, Salomon a levé un tribut de serviteurs jusqu'à ce jour.
22 Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
Mais Salomon n'établit pas de serviteurs parmi les enfants d'Israël; ce furent les hommes de guerre, ses serviteurs, ses chefs, ses capitaines, les chefs de ses chars et de ses cavaliers.
23 Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
Tels étaient les cinq cent cinquante chefs qui dirigeaient l'œuvre de Salomon, et qui avaient autorité sur le peuple qui travaillait à l'œuvre.
24 Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
Mais la fille de Pharaon monta de la cité de David dans sa maison que Salomon avait construite pour elle. Puis il construisit Millo.
25 Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
Salomon offrait des holocaustes et des sacrifices de prospérité sur l'autel qu'il construisait pour Yahvé, trois fois par an, et il brûlait des parfums sur l'autel qui était devant Yahvé. Il acheva donc la maison.
26 Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
Le roi Salomon fit construire une flotte de navires à Ezion Geber, qui est près d'Eloth, sur les bords de la mer Rouge, dans le pays d'Édom.
27 Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
Hiram envoya dans la flotte ses serviteurs, des marins qui connaissaient la mer, avec les serviteurs de Salomon.
28 Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.
Ils arrivèrent à Ophir, y prirent de l'or, quatre cent vingt talents, et l'apportèrent au roi Salomon.