< 1 Wafalme 9 >
1 Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
and to be like/as to end: finish Solomon to/for to build [obj] house: temple LORD and [obj] house: home [the] king and [obj] all desire Solomon which to delight in to/for to make
2 BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
and to see: see LORD to(wards) Solomon second like/as as which to see: see to(wards) him in/on/with Gibeon
3 Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
and to say LORD to(wards) him to hear: hear [obj] prayer your and [obj] supplication your which be gracious to/for face: before my to consecrate: consecate [obj] [the] house: home [the] this which to build to/for to set: put name my there till forever: enduring and to be eye my and heart my there all [the] day
4 Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
and you(m. s.) if to go: walk to/for face: before my like/as as which to go: walk David father your in/on/with integrity heart and in/on/with uprightness to/for to make: do like/as all which to command you statute: decree my and justice: judgement my to keep: obey
5 ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
and to arise: establish [obj] throne kingdom your upon Israel to/for forever: enduring like/as as which to speak: promise upon David father your to/for to say not to cut: lack to/for you man from upon throne Israel
6 Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
if to return: turn back to return: turn back [emph?] you(m. p.) and son: descendant/people your from after me and not to keep: obey commandment my statute my which to give: put to/for face: before your and to go: went and to serve: minister God another and to bow to/for them
7 basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
and to cut: eliminate [obj] Israel from upon face [the] land: soil which to give: give to/for them and [obj] [the] house: home which to consecrate: consecate to/for name my to send: depart from upon face my and to be Israel to/for proverb and to/for taunt in/on/with all [the] people
8 Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
and [the] house: home [the] this to be high all to pass upon him be desolate: appalled and to whistle and to say upon what? to make: do LORD thus to/for land: country/planet [the] this and to/for house: home [the] this
9 Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
and to say upon which to leave: forsake [obj] LORD God their which to come out: send [obj] father their from land: country/planet Egypt and to strengthen: hold in/on/with God another (and to bow *Q(K)*) to/for them and to serve: minister them upon so to come (in): bring LORD upon them [obj] all [the] distress: harm [the] this
10 Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
and to be from end twenty year which to build Solomon [obj] two [the] house: home [obj] house: temple LORD and [obj] house: home [the] king
11 Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
Hiram king Tyre to lift: bear [obj] Solomon in/on/with tree: wood cedar and in/on/with tree: wood cypress and in/on/with gold to/for all pleasure his then to give: give [the] king Solomon to/for Hiram twenty city in/on/with land: country/planet [the] Galilee
12 Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
and to come out: come Hiram from Tyre to/for to see: see [obj] [the] city which to give: give to/for him Solomon and not to smooth in/on/with eye: appearance his
13 Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
and to say what? [the] city [the] these which to give: give to/for me brother: compatriot my and to call: call by to/for them land: country/planet Cabul till [the] day: today [the] this
14 Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
and to send: depart Hiram to/for king hundred and twenty talent gold
15 Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
and this word: because [the] taskworker which to ascend: establish [the] king Solomon to/for to build [obj] house: temple LORD and [obj] house: home his and [obj] [the] Millo and [obj] wall Jerusalem and [obj] Hazor and [obj] Megiddo and [obj] Gezer
16 Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
Pharaoh king Egypt to ascend: rise and to capture [obj] Gezer and to burn her in/on/with fire and [obj] [the] Canaanite [the] to dwell in/on/with city to kill and to give: give her parting gift to/for daughter his woman: wife Solomon
17 Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
and to build Solomon [obj] Gezer and [obj] (Lower) Beth-horon (Lower) Beth-horon Lower (Beth Horon)
18 Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
and [obj] Baalath and [obj] (Tadmor *Q(K)*) in/on/with wilderness in/on/with land: country/planet
19 na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
and [obj] all city [the] storage which to be to/for Solomon and [obj] city [the] chariot and [obj] city [the] horseman and [obj] desire Solomon which to desire to/for to build in/on/with Jerusalem and in/on/with Lebanon and in/on/with all land: country/planet dominion his
20 Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
all [the] people [the] to remain from [the] Amorite [the] Hittite [the] Perizzite [the] Hivite and [the] Jebusite which not from son: descendant/people Israel they(masc.)
21 na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
son: descendant/people their which to remain after them in/on/with land: country/planet which not be able son: descendant/people Israel to/for to devote/destroy them and to ascend: establish them Solomon to/for taskworker to serve: labour till [the] day: today [the] this
22 Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
and from son: descendant/people Israel not to give: make Solomon servant/slave for they(masc.) human [the] battle and servant/slave his and ruler his and officer his and ruler chariot his and horseman his
23 Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
these ruler [the] to stand which upon [the] work to/for Solomon fifty and five hundred [the] to rule in/on/with people [the] to make: do in/on/with work
24 Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
surely daughter Pharaoh to ascend: rise from city David to(wards) house: home her which to build to/for her then to build [obj] [the] Millo
25 Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
and to ascend: offer up Solomon three beat in/on/with year burnt offering and peace offering upon [the] altar which to build to/for LORD and to offer: offer with him which to/for face: before LORD and to complete [obj] [the] house: home
26 Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
and fleet to make [the] king Solomon in/on/with Ezion-geber Ezion-geber which with Eloth upon lip: shore sea Red (Sea) in/on/with land: country/planet Edom
27 Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
and to send: depart Hiram in/on/with fleet [obj] servant/slave his human fleet to know [the] sea with servant/slave Solomon
28 Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.
and to come (in): come Ophir [to] and to take: bring from there gold four hundred and twenty talent and to come (in): bring to(wards) [the] king Solomon