< 1 Wafalme 9 >
1 Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
Kad je Salomon dovršio gradnju Doma Jahvina, kraljevskog dvora i svega što je namislio graditi,
2 BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
javi se Jahve i drugi put Salomonu, kao što mu se bio javio u Gibeonu.
3 Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
Jahve mu reče: “Uslišio sam molitvu i prošnju koju si mi uputio. Posvetio sam ovaj Dom, koji si sagradio da u njemu prebiva Ime moje dovijeka; moje će oči i srce biti ovdje svagda.
4 Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
A ti, ako budeš hodio preda mnom kako je hodio tvoj otac David, u nevinosti srca i pravednosti, postupao u svemu kako sam ti zapovjedio i ako budeš držao moje zakone i moje naredbe,
5 ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
ja ću učvrstiti zauvijek tvoje kraljevsko prijestolje nad Izraelom, kako sam obećao tvome ocu Davidu kad sam rekao: 'Nikada ti neće nestati nasljednika na prijestolju Izraelovu.'
6 Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
Ali ako me ostavite, vi i vaši sinovi, ako ne budete držali mojih zapovijedi i zakona koje sam vam dao, ako se okrenete bogovima i budete im služili i klanjali im se,
7 basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
tada ću istrijebiti Izraela iz zemlje koju sam mu dao; ovaj ću Dom, koji sam posvetio svome Imenu, odbaciti od sebe, i Izrael će biti poruga i podsmijeh svim narodima.
8 Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
Ovaj je Dom uzvišen, ali svi koji budu uza nj prolazili bit će zaprepašteni; zviždat će i govoriti: 'Zašto je Jahve tako učinio s ovom zemljom i s ovim Domom?'
9 Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
A reći će im se: 'Jer su ostavili Jahvu, Boga svoga, koji je izveo oce njihove iz Egipta, a priklonili se drugim bogovima, častili ih i služili im, zato je Jahve pustio na njih sva ova zla.'”
10 Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
Poslije dvadeset godina, za kojih je Salomon sagradio obje zgrade, Dom Jahvin i kraljevski dvor,
11 Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
a Hiram, kralj Tira, dobavljao mu drvo cedrovo i čempresovo i zlata koliko je god želio, dade tada kralj Salomon Hiramu dvadeset gradova u zemlji galilejskoj.
12 Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
Hiram izađe iz Tira da vidi gradove koje mu je Salomon darovao, ali mu se nisu svidjeli.
13 Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
I reče: “Kakvi su to gradovi što si mi ih dao, brate?” I od tada ih zovu “zemlja Kabul” do današnjega dana.
14 Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
A Hiram bijaše poslao kralju stotinu i dvadeset zlatnih talenata.
15 Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
Ovako je bilo s rabotom koju je kralj Salomon digao da sagradi Dom Jahvin, svoj dvor, Milo i zidove Jeruzalema, Hasor, Megido i Gezer.
16 Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
Faraon, kralj Egipta, krenu u vojni pohod, osvoji Gezer, popali i poubija Kanaance koji su ondje živjeli, zatim dade grad u miraz svojoj kćeri, ženi Salomonovoj,
17 Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
a Salomon obnovi Gezer, Bet Horon Donji,
18 Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
Baalat, Tamar u pustinji u zemlji,
19 na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
sve gradove-skladišta koje je Salomon imao, gradove za bojna kola i gradove za konjicu, i sve što je Salomon želio sagraditi u Jeruzalemu, na Libanonu i u svim zemljama koje su mu bile podložne.
20 Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
Svim preostalim Amorejcima, Hetitima, Perižanima, Hivijcima i Jebusejcima, koji nisu bili Izraelci,
21 na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
sinovima njihovim koji ostadoše iza njih u zemlji i koje Izraelci nisu zatrli, Salomon nametnu tešku tlaku do današnjega dana.
22 Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
Sinove Izraelove nije Salomon pretvarao u robove, nego su mu oni bili vojnici, dvorani, vojskovođe, tridesetnici, zapovjednici njegovih bojnih kola i konjice.
23 Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
A evo nadzornika koji su upravljali Salomonovim radovima: njih pet stotina i pedeset koji su zapovijedali puku zaposlenu na radovima.
24 Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
Čim je faraonova kći ušla iz Davidova grada u kuću koju joj Salomon bijaše sagradio, tada on podiže Milo.
25 Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
Salomon je tri puta u godini prinosio paljenice i pričesnice na žrtveniku koji je podigao Jahvi i palio je kad pred Jahvom. Tako je dovršio Hram.
26 Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
Kralj Salomon je sagradio brodovlje u Esjon-Geberu, koji je kralj Elata, na obali Crvenoga mora, u zemlji edomskoj.
27 Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
Hiram je poslao na tim lađama svoje sluge, mornare koji su poznavali more, sa slugama Salomonovim.
28 Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.
Oni otploviše u Ofir, uzeše odande četiri stotine i dvadeset talenata zlata i donesoše ih kralju Salomonu.