< 1 Wafalme 7 >

1 Ilimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kujenga ikulu yake.
سپس، سلیمان برای خود یک کاخ سلطنتی ساخت و برای ساختن آن سیزده سال وقت صرف کرد.
2 Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
اسم یکی از تالارهای آن کاخ را «تالار جنگل لبنان» گذاشت. درازای این تالار پنجاه متر، پهنای آن بیست و پنج متر و بلندی آن پانزده متر بود. سقف آن از تیرهای سرو پوشیده شده بود و روی چهار ردیف از ستونهای سرو قرار داشت.
3 Paa la ikulu lilikuwa la mwerezi ambalo lilikaa juu ya mihimili. Mihili hiyo ilikuwa imeshikiliwa na nguzo. Kulikuwa na mihimili arobaini na tano, ambayo ilikuwa katika safu kumi na tano.
سقف چهل و پنج تیر داشت که در سه ردیف پانزده تایی قرار گرفته بودند.
4 Nayo mihimili ilikuwa safu tatu, na kila dirisha lilikabili dirisha lingine katika madaraja matatu.
در هر یک از دو دیوار جانبی، سه ردیف پنجره کار گذاشته شده بود.
5 Milango yote na miimo ilitengenezwa kwa mraba, na madirisha yalikuwa yakikabiliana katika madaraja matatu
چارچوب تمام درها و پنجره‌ها به شکل چهارگوش بود و پنجره‌های دیوارهای جانبی، روبروی هم قرار داشتند.
6 Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa.
تالار دیگر «تالار ستونها» نامیده شد که درازای آن بیست و پنج متر و پهنای آن پانزده متر بود. جلوی این تالار، یک ایوان بود که سقف آن روی ستونها قرار داشت.
7 Sulemani akajenga baraza yenye kiti cha enzi ambacho alitolea hukumu ya haki. Nayo ilikuwa imeezekwa kwa mwerezi kutoka sakafu moja hadi nyingine.
در کاخ سلطنتی، یک تالار دیگر هم بود به اسم «تالار داوری» که سلیمان در آنجا می‌نشست و به شکایات مردم رسیدگی می‌کرد. این تالار از کف تا سقف با چوب سرو پوشیده شده بود.
8 Nyumba ya Sulemani ambayo alikusudia kuishi, katika behewa nyingine ndani ya sehemu ya chini ya ikulu, ilitengenezwa kwa kazi hiyo hiyo. Pia alimjengea binti wa Farao nyumba kama hii, ambaye alikuwa mke wake
پشت این تالار، خانهٔ شخصی خودِ پادشاه ساخته شد که شبیه «تالار داوری» بود. سلیمان خانهٔ دیگری شبیه خانهٔ خود، برای زنش که دختر فرعون بود ساخت.
9 Majengo haya yalipmbwa kwa vitu vya thamaini, mawe ya thamani, yaliyochongwa na kukatwa kwa msimeno kufuata vipimo sahihi na kulainishwa pande zote. Mawe ya namna hii ndiyo yale yaliyotumika kuanzia kwenye msingi hadi juu, pia na nje hadi kwenye baraza.
تمام این بناها از سنگهای مرغوب و تراشیده شده در اندازه‌های معین ساخته شده بودند.
10 Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8.
پایهٔ بناها از سنگهای بزرگ پنج متری و چهار متری تشکیل شده بود.
11 Kwa juu ilipambwa kwa, mawe ya thamani yaliyochongwa sawa sawa kwa msimeno na kwa mihimili ya mierezi.
بر سر دیوارهای این بناها تیرهایی از چوب سروکار گذاشته بودند.
12 Na behewa kubwa iliyokuwa ikizunguka ikulu ilikuwa na safu tatu za mawe yaliyokatwa na safu moja ya mihimili ya mierezi kama ilivyo kwenye baraza la ndani la hekalu la BWANA na ule ukumbi wa hekalu.
دیوار حیاط بزرگ کاخ، مانند حیاط داخلی خانهٔ خداوند با سه ردیف سنگ تراشیده و یک ردیف چوب سرو ساخته شده بود.
13 Mfalme Sulemani alituma watu kumleta Huramu kutoka Tiro.
سلیمان پادشاه به دنبال یک ریخته‌گر ماهر به اسم حورام فرستاد و او را دعوت کرد تا از صور به اورشلیم بیاید و برای او کار کند. حورام دعوت سلیمان را پذیرفت. مادر حورام یک بیوه‌زن یهودی از قبیلهٔ نفتالی و پدرش یک ریخته‌گر از اهالی صور بود.
14 Huramu alikuwa mwana wa mjane wa kabila ya Naftali; baba yake alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba. Huramu alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi za kufanya kazi kubwa za shaba. Aliletwa kwa mfalme ili kufanya kazi zilizohusiana na shaba kwa mfalme.
15 Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5.
حورام دو ستون از مفرغ درست کرد که بلندی هر یک نه متر و دور هر یک شش متر بود.
16 Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3.
برای ستونها دو سر ستون مفرغین ساخت. هر یک از این سر ستونها به شکل گل سوسن بود. بلندی هر سر ستون دو و نیم متر و پهنای هر یک دو متر بود. هر کدام از این سر ستونها با هفت رشته زنجیر مفرغین بافته شده و با دو ردیف انار مفرغین تزیین شده بود. تعداد انارهای مفرغین در هر سر ستون دویست عدد بود. حورام این ستونها را در دو طرف مدخل خانهٔ خدا بر پا نمود. ستون جنوبی را ستون یاکین نامید و ستون شمالی را ستون بوعز نام گذاشت.
17 Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kazi ya kusuka, na masongo ya mikufu, kwa ajili ya kuvipamba vile vichwa vya nguzo, nayo yailikuwa saba kwa kila kichwa.
18 Kwa hiyo Huramu akafanya safu mbili za komamanga kuzunguka vile vichwa vya nguzo ili kuvipamba vile vichwa.
19 Zile taji kwenye vile vichwa vya nguzo za ukumbi zilikuwa zimepambwa kwa maua, yenye vimo vya mita 1. 8.
20 Hizo taji kwenye hizo nguzo mbili kwenye vichwa vyake, karibu yake kulikuwa na makomamanga mia mbili yote yakiwa kwenye safu.
21 Alisimamisha nguzo kwenye ukumbi wa hekalu. Ile nguzo ya kuume akaipa jina la Yakini, na ile ya kushoto akaipa jina la Boazi.
22 Na juu ya zile nguzo kulikuwa na mapambo kama maua. Hivyo ndivyo zile nguzo zilivyotengenezwa.
23 Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
حورام یک حوض گرد از مفرغ درست کرد که عمق آن دو و نیم متر، قطرش پنج متر و محیطش پانزده متر بود.
24 Na chini ya ile bahari kulikuwa na vibuyu vilivyoizunguka, vilikuwa vibuyu kumi na nane katika kila mita, vilivyowekwa katika kila hicho kipande wakati bahari inapokuwa kalibu.
بر کناره‌های لبهٔ حوض در دو ردیف نقشهای کدویی شکل (در هر متر بیست نقش) قرار داشتند. این نقشها با خود حوض قالبگیری شده بود.
25 Bahari ikakaa juu ya makisai kumi na mbili, tatu, zilitazama kaskazini, tatu zikitazama magharibi, tatu zikitazama kusini na tatu zikitazama kaskazini. Ile bahari iliwekwa juu yao, na pande zao zote za nyuma zilikuwa ndani.
این حوض بر پشت دوازده مجسمهٔ گاو قرار داشت. سر گاوها به طرف بیرون بود، سه گاو رو به شمال، سه گاو رو به جنوب، سه گاو رو به مغرب و سه گاو رو به مشرق.
26 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwakama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi huingia bathi elfu mbili za maji.
ضخامت دیوارهٔ حوض به پهنای کف دست بود. لبهٔ آن به شکل جام بود و مانند گلبرگ سوسن به طرف بیرون باز می‌شد. گنجایش آن بیش از چهل هزار لیتر بود.
27 Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3.
سپس حورام ده میز مفرغین با پایه‌های چرخدار درست کرد. درازای هر میز دو متر، پهنای آن دو متر و بلندایش یک و نیم متر بود. چهار طرف میز به‌وسیلهٔ ورقه‌های چهارگوش پوشانده شده بود. هر ورقه داخل قابی قرار داشت و ورقه‌ها و قابها با نقشهایی از کروبیان، شیر و گاو تزیین شده بودند. در قسمت بالا و پایین گاوها و شیرها نقشهایی از دسته‌های گل قرار داشتند. هر یک از این میزها دارای چهار چرخ مفرغین بود. این چرخها دور محورهای مفرغین حرکت می‌کردند. در چهار گوشهٔ هر میز، چهار پایهٔ کوچک نصب شده بودند تا حوضچه‌ای را که می‌ساختند روی آنها بگذارند. این پایه‌های کوچک با نقشهای مارپیچی تزیین شده بودند.
28 Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa. Yalikuwa na papi ambazo zilikaa kati kati ya vipandio,
29 na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi. Chini na juu simba kulikuwa na masongo ya kazi ya kufuliwa.
30 Kila kalio lilikuwa na magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne na miguu yake minne ilikuwa na mataruma chini ya birika. Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo katika kila upande.
31 Na kinywa chake kilikuwa cha kuviringana, chenye upana wa sentimita araobaini na sita, na ile taji ilikuwa na sentimita ishirini na tatu. Na kinywa chake kilikuwa na nakshi, na papi zake zilikuwa za mraba, na wala siyo za mvringo.
در قسمت بالای هر میز، سوراخ گردی قرار داشت. دور این سوراخ را قابی به بلندی هفتاد و پنج سانتی متر فرا گرفته بود که پنجاه سانتی متر آن بالای میز و بیست و پنج سانتی متر دیگر داخل میز قرار می‌گرفت. دور قاب با نقشهایی تزیین شده بود.
32 Yale magurudumu mawili yalikuwa chini ya papi, na mikono ya magurudumu yalikuwa ndani ya makalio. Kimo cha yale magurudumu kilikuwa sentimeta sitini na tisa.
محور چرخها به پایه‌های میزها وصل بود و بلندی هر چرخ هفتاد و پنج سانتی متر بود،
33 Yale magurudumu yalikuwa kama ya gari. Mikono yake, na maduara, matindi yake, na vipande vya ndani vyote vilikuwa vya kusubu.
و چرخها به چرخهای ارابه شباهت داشتند. محور، چرخ، پره‌ها و توپی چرخ، همه از جنس مفرغ بودند.
34 Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makalio, yaliyokuwa yameshikamanishwa na kalio lenyewe.
در هر گوشهٔ میز، روی هر پایه، یک دستگیره از جنس خود میز وجود داشت.
35 Juu ya makalio kulikuwa na duara yenye kina cha sentimita ishirini na tatu, na juu ya makalio mashikio yake na papi zake zikiwa zimeshikamanishwa.
دور تا دور هر میز تسمه‌ای به بلندی بیست و پنج سانتی متر کشیده شده بود و پایه‌ها و ورقه‌های آن به سر میز متصل بودند.
36 Juu ya mabamba na papi zake Huramu akachora makerubi, simba, na mitende ambayo ilifunika nafasi ya juu, nayo ilikuwa imezungukwa na masongo.
قسمتهای خالی پایه‌ها و ورقه‌ها با نقشهایی از کروبیان، شیر و درخت خرما تزیین شده و با دسته‌های گل پوشیده شده بودند.
37 Alitengeneza makalio kumi kwa jinsi hii. Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana, na yalikuwa ya vipimo sawa, na sura inayofanana.
تمام این میزها به یک شکل و اندازه و از یک جنس ساخته شده بودند.
38 Huramu akatengeneza birika kumi za shaba. Birika moja liliweza kubeba bathi arobaini za maji. Kila birika lilikuwa mita 1. 8 toka birika moja hadi jingine na kulikuwa na birika moja katika kila kalio kati ya yale kumi.
حورام همچنین ده حوضچه مفرغین ساخت و آنها را بر سر ده میز چرخدار گذاشت. قطر هر حوضچه دو متر بود و گنجایشش هشتصد لیتر.
39 Alitengeneza makalio tano upande wa kusini unaoelekea upande wa hekalu. Akatengeneza bahari katika upande wa mashariki, ukielekea upande wa kusini wa hekalu.
پنج میز با حوضچه‌هایش در سمت جنوب و پنج میز دیگر با حوضچه‌هایش در سمت شمال خانهٔ خدا گذاشته شدند. حوض اصلی در گوشهٔ جنوب شرقی خانۀ خدا قرار گرفت.
40 Huramu akatengeneza birika na koleo na besini la kunyunyizia. Kisha akamaliza kazi yote aliyofanya kwa mfalme Sulemani katika hekalu la BWANA:
حورام همچنین سطلها، خاک‌اندازها و کاسه‌ها ساخت. او تمام کارهای خانهٔ خداوند را که سلیمان پادشاه به او واگذار کرده بود به انجام رسانید.
41 Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
این است فهرست اشیایی که حورام ساخت: دو ستون، دو سر ستون کاسه مانند برای ستونها، دو رشته زنجیر روی سر ستونها، چهارصد انار مفرغین برای دو رشته زنجیر سر ستون (یعنی برای هر رشته زنجیر سر ستون دویست انار که در دو ردیف قرار داشتند)، ده میز با ده حوضچه روی آنها، یک حوض بزرگ با دوازده گاو مفرغین زیر آن، سطلها، خاک‌اندازها، کاسه‌ها. حورام تمام این اشیاء خانۀ خداوند را از مفرغ صیقلی برای سلیمان پادشاه ساخت.
42 Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
43 yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
44 Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;
45 na masufuria, koleo, birika na vyombo vingine vyote. Huramu akivitengeneza kwa shaba iliyosuguliwa, kwa ajili ya mfalme Sulemani, na kawa ajili ya hekalu la BWANA.
46 Mfalme alivisubu katika uwanda wa Yorodani, katika udongo mfinyanzi kati ya Sukoti na Zarethani.
به دستور سلیمان، این اشیاء در دشت اردن که بین سوکوت و صرتان قرار داشت قالبریزی شده بود.
47 Sulemani hakuvipima vyombo vyote kwa sababu vilikuwa vingi mno kuvipima, na kwa sababu uzito wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa.
وزن آنها نامعلوم بود، چون به قدری سنگین بودند که نمی‌شد آنها را وزن کرد!
48 Sulemani akatengeneza mapambo yote yaliyokuwa kwenye hekalu la BWANA kwa kutumia dhahabu: Ile madhabahu ya dhahabu na ile meza ambayo iliwekwa mikate ya wonyesho.
در ضمن، به دستور سلیمان وسایلی از طلای خالص برای خانهٔ خداوند ساخته شد. این وسایل عبارت بودند از: مذبح، میز نان حضور،
49 Vile vinara vya dhahabu, ambavyo vitano vilikuwa upande wa kulia na vitano mkono wa kushoto, mbele ya chumba cha ndani, vilikuwa vya dhahabu safi, na maua, na taa na koleo zilikuwa za dhahabu.
ده چراغدان با نقشهای گل (این چراغدانها روبروی قدس‌الاقداس قرار داشتند، پنج عدد در سمت راست و پنج عدد در سمت چپ)، چراغها، انبرکها،
50 Vile vikombe, na makasi, mabakuri, na vijiko, na vyetezo vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi. na bawaba za dhahabu za milango ya ndani, ambazoo ndio mahali patakatifu sana, na milango ya ukumbi mkubwa, vyote vilitengenezwa kwa dhahabu.
پیاله‌ها، انبرها، کاسه‌ها، قاشقها، آتشدانها، لولاهای درهای قدس‌الاقداس و درهای اصلی راه ورودی خانهٔ خدا. تمام اینها از طلای خالص ساخته شده بودند.
51 Kwa njia hii, kazi yote ambayo mfalme Sulemani alifanya kwa ajili ya hekalu ilimalizika. Kwa Sulemani akaviingiza ndani yake vitu vile vilivyokuwa vimewekwa wakfu na Daudi, baba yake, na fedha na dhahabu, na mapambo, na vile vya ndani ya hazina ya BWANA.
وقتی کارهای خانۀ خداوند تمام شد، سلیمان طلا و نقره و تمام ظروفی را که پدرش داوود وقف خانهٔ خداوند کرده بود، به خزانهٔ خانهٔ خداوند آورد.

< 1 Wafalme 7 >