< 1 Wafalme 7 >

1 Ilimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kujenga ikulu yake.
and [obj] house: home his to build Solomon three ten year and to end: finish [obj] all house: home his
2 Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
and to build [obj] House (of the Forests of Lebanon) (House of) the Forest [the] (House of the Forest of) Lebanon hundred cubit length his and fifty cubit width his and thirty cubit height his upon four row pillar cedar and beam cedar upon [the] pillar
3 Paa la ikulu lilikuwa la mwerezi ambalo lilikaa juu ya mihimili. Mihili hiyo ilikuwa imeshikiliwa na nguzo. Kulikuwa na mihimili arobaini na tano, ambayo ilikuwa katika safu kumi na tano.
and to cover in/on/with cedar from above upon [the] side which upon [the] pillar forty and five five ten [the] row
4 Nayo mihimili ilikuwa safu tatu, na kila dirisha lilikabili dirisha lingine katika madaraja matatu.
and frame three row and window to(wards) window three beat
5 Milango yote na miimo ilitengenezwa kwa mraba, na madirisha yalikuwa yakikabiliana katika madaraja matatu
and all [the] entrance and [the] doorpost to square frame and opposite window to(wards) window three beat
6 Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa.
and [obj] Hall (of pillars) [the] (Hall of) Pillars to make fifty cubit length his and thirty cubit width his and Hall (of pillars) upon face: before their and pillar and threshold upon face: before their
7 Sulemani akajenga baraza yenye kiti cha enzi ambacho alitolea hukumu ya haki. Nayo ilikuwa imeezekwa kwa mwerezi kutoka sakafu moja hadi nyingine.
and Hall (of the Throne) [the] (Hall of) the Throne which to judge there Hall (of Justice) [the] (Hall of) Judgment to make and to cover in/on/with cedar from [the] floor till [the] floor
8 Nyumba ya Sulemani ambayo alikusudia kuishi, katika behewa nyingine ndani ya sehemu ya chini ya ikulu, ilitengenezwa kwa kazi hiyo hiyo. Pia alimjengea binti wa Farao nyumba kama hii, ambaye alikuwa mke wake
and house: home his which to dwell there court [the] another from house: home to/for Hall (of pillars) like/as deed: work [the] this to be and house: home to make to/for daughter Pharaoh which to take: marry Solomon like/as Hall (of pillars) [the] this
9 Majengo haya yalipmbwa kwa vitu vya thamaini, mawe ya thamani, yaliyochongwa na kukatwa kwa msimeno kufuata vipimo sahihi na kulainishwa pande zote. Mawe ya namna hii ndiyo yale yaliyotumika kuanzia kwenye msingi hadi juu, pia na nje hadi kwenye baraza.
all these stone precious like/as measure cutting to drag/chew/saw in/on/with saw from house: inside and from outside and from foundation till [the] handbreadth and from outside till [the] court [the] great: large
10 Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8.
and to found stone precious stone great: large stone ten cubit and stone eight cubit
11 Kwa juu ilipambwa kwa, mawe ya thamani yaliyochongwa sawa sawa kwa msimeno na kwa mihimili ya mierezi.
and from to/for above [to] stone precious like/as measure cutting and cedar
12 Na behewa kubwa iliyokuwa ikizunguka ikulu ilikuwa na safu tatu za mawe yaliyokatwa na safu moja ya mihimili ya mierezi kama ilivyo kwenye baraza la ndani la hekalu la BWANA na ule ukumbi wa hekalu.
and court [the] great: large around three row cutting and row beam cedar and to/for court house: temple LORD [the] inner and to/for Hall (of pillars) [the] house: home
13 Mfalme Sulemani alituma watu kumleta Huramu kutoka Tiro.
and to send: depart [the] king Solomon and to take: bring [obj] Hiram from Tyre
14 Huramu alikuwa mwana wa mjane wa kabila ya Naftali; baba yake alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba. Huramu alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi za kufanya kazi kubwa za shaba. Aliletwa kwa mfalme ili kufanya kazi zilizohusiana na shaba kwa mfalme.
son: child woman: wife widow he/she/it from tribe Naphtali and father his man Tyrian to plow/plot bronze and to fill [obj] [the] wisdom and [obj] [the] understanding and [obj] [the] knowledge to/for to make all work in/on/with bronze and to come (in): come to(wards) [the] king Solomon and to make: do [obj] all work his
15 Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5.
and to form [obj] two [the] pillar bronze eight ten cubit height [the] pillar [the] one and thread two ten cubit to turn: surround [obj] [the] pillar [the] second
16 Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3.
and two capital to make to/for to give: put upon head: top [the] pillar casting bronze five cubit height [the] capital [the] one and five cubit height [the] capital [the] second
17 Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kazi ya kusuka, na masongo ya mikufu, kwa ajili ya kuvipamba vile vichwa vya nguzo, nayo yailikuwa saba kwa kila kichwa.
latticework deed: work latticework tassel deed: work chain to/for capital which upon head: top [the] pillar seven to/for capital [the] one and seven to/for capital [the] second
18 Kwa hiyo Huramu akafanya safu mbili za komamanga kuzunguka vile vichwa vya nguzo ili kuvipamba vile vichwa.
and to make [obj] [the] pillar and two row around upon [the] latticework [the] one to/for to cover [obj] [the] capital which upon head: top [the] pomegranate and so to make: do to/for capital [the] second
19 Zile taji kwenye vile vichwa vya nguzo za ukumbi zilikuwa zimepambwa kwa maua, yenye vimo vya mita 1. 8.
and capital which upon head: top [the] pillar deed: work lily in/on/with Portico four cubit
20 Hizo taji kwenye hizo nguzo mbili kwenye vichwa vyake, karibu yake kulikuwa na makomamanga mia mbili yote yakiwa kwenye safu.
and capital upon two [the] pillar also from above from to/for close [the] belly: hump which to/for side: beside ([the] latticework *Q(K)*) and [the] pomegranate hundred row around upon [the] capital [the] second
21 Alisimamisha nguzo kwenye ukumbi wa hekalu. Ile nguzo ya kuume akaipa jina la Yakini, na ile ya kushoto akaipa jina la Boazi.
and to arise: establish [obj] [the] pillar to/for Portico [the] temple and to arise: establish [obj] [the] pillar [the] right: south and to call: call by [obj] name his Jachin and to arise: establish [obj] [the] pillar [the] left: north and to call: call by [obj] name his Boaz
22 Na juu ya zile nguzo kulikuwa na mapambo kama maua. Hivyo ndivyo zile nguzo zilivyotengenezwa.
and upon head: top [the] pillar deed: work lily and to finish work [the] pillar
23 Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
and to make [obj] [the] sea casting ten in/on/with cubit from lip: edge his till lip: edge his round around and five in/on/with cubit height his (and line *Q(K)*) thirty in/on/with cubit to turn: surround [obj] him around
24 Na chini ya ile bahari kulikuwa na vibuyu vilivyoizunguka, vilikuwa vibuyu kumi na nane katika kila mita, vilivyowekwa katika kila hicho kipande wakati bahari inapokuwa kalibu.
and gourd from underneath: under to/for lip: edge his around to turn: surround [obj] him ten in/on/with cubit to surround [obj] [the] sea around two row [the] gourd to pour: cast metal in/on/with casting his
25 Bahari ikakaa juu ya makisai kumi na mbili, tatu, zilitazama kaskazini, tatu zikitazama magharibi, tatu zikitazama kusini na tatu zikitazama kaskazini. Ile bahari iliwekwa juu yao, na pande zao zote za nyuma zilikuwa ndani.
to stand: stand upon two ten cattle three to turn north [to] and three to turn sea: west [to] and three to turn south [to] and three to turn east [to] and [the] sea upon them from to/for above [to] and all back their house: inside [to]
26 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwakama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi huingia bathi elfu mbili za maji.
and thickness his handbreadth and lip: edge his like/as deed: work lip: edge cup flower lily thousand bath to sustain
27 Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3.
and to make [obj] [the] base ten bronze four in/on/with cubit length [the] base [the] one and four in/on/with cubit width her and three in/on/with cubit height her
28 Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa. Yalikuwa na papi ambazo zilikaa kati kati ya vipandio,
and this deed: work [the] base perimeter to/for them and perimeter between [the] frame
29 na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi. Chini na juu simba kulikuwa na masongo ya kazi ya kufuliwa.
and upon [the] perimeter which between [the] frame lion cattle and cherub and upon [the] frame stand from above and from underneath: under to/for lion and to/for cattle wreath deed: work descent
30 Kila kalio lilikuwa na magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne na miguu yake minne ilikuwa na mataruma chini ya birika. Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo katika kila upande.
and four wheel bronze to/for base [the] one and axle bronze and four beat his shoulder to/for them from underneath: under to/for basin [the] shoulder casting from side: beside man: anyone wreath
31 Na kinywa chake kilikuwa cha kuviringana, chenye upana wa sentimita araobaini na sita, na ile taji ilikuwa na sentimita ishirini na tatu. Na kinywa chake kilikuwa na nakshi, na papi zake zilikuwa za mraba, na wala siyo za mvringo.
and lip: opening his from house: inside to/for capital and above [to] in/on/with cubit and lip: opening her round deed: work stand cubit and half [the] cubit and also upon lip: opening her engraving and perimeter their to square not round
32 Yale magurudumu mawili yalikuwa chini ya papi, na mikono ya magurudumu yalikuwa ndani ya makalio. Kimo cha yale magurudumu kilikuwa sentimeta sitini na tisa.
and four [the] wheel to/for from underneath: under to/for perimeter and hand [the] wheel in/on/with base and height [the] wheel [the] one cubit and half [the] cubit
33 Yale magurudumu yalikuwa kama ya gari. Mikono yake, na maduara, matindi yake, na vipande vya ndani vyote vilikuwa vya kusubu.
and deed: work [the] wheel like/as deed: work wheel [the] chariot hand their and back/rim/brow their and spoke their and hub their [the] all to pour: cast metal
34 Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makalio, yaliyokuwa yameshikamanishwa na kalio lenyewe.
and four shoulder to(wards) four corner [the] base [the] one from [the] base shoulder her
35 Juu ya makalio kulikuwa na duara yenye kina cha sentimita ishirini na tatu, na juu ya makalio mashikio yake na papi zake zikiwa zimeshikamanishwa.
and in/on/with head: top [the] base half [the] cubit height round around and upon head: top [the] base hand her and perimeter her from her
36 Juu ya mabamba na papi zake Huramu akachora makerubi, simba, na mitende ambayo ilifunika nafasi ya juu, nayo ilikuwa imezungukwa na masongo.
and to engrave upon [the] tablet hand her and upon (perimeter her *Q(K)*) cherub lion and palm like/as gap man: anyone and wreath around
37 Alitengeneza makalio kumi kwa jinsi hii. Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana, na yalikuwa ya vipimo sawa, na sura inayofanana.
like/as this to make [obj] ten [the] base casting one measure one shape one to/for all their
38 Huramu akatengeneza birika kumi za shaba. Birika moja liliweza kubeba bathi arobaini za maji. Kila birika lilikuwa mita 1. 8 toka birika moja hadi jingine na kulikuwa na birika moja katika kila kalio kati ya yale kumi.
and to make ten basin bronze forty bath to sustain [the] basin [the] one four in/on/with cubit [the] basin [the] one basin one upon [the] base [the] one to/for ten [the] base
39 Alitengeneza makalio tano upande wa kusini unaoelekea upande wa hekalu. Akatengeneza bahari katika upande wa mashariki, ukielekea upande wa kusini wa hekalu.
and to give: put [obj] [the] base five upon shoulder [the] house: home from right: south and five upon shoulder [the] house: home from left his and [obj] [the] sea to give: put from shoulder [the] house: home [the] right: south east [to] from opposite south
40 Huramu akatengeneza birika na koleo na besini la kunyunyizia. Kisha akamaliza kazi yote aliyofanya kwa mfalme Sulemani katika hekalu la BWANA:
and to make Hiram [obj] [the] basin and [obj] [the] shovel and [obj] [the] bowl and to end: finish Hiram to/for to make: do [obj] all [the] work which to make: do to/for king Solomon house: temple LORD
41 Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
pillar two and bowl [the] capital which upon head: top [the] pillar two and [the] latticework two to/for to cover [obj] two bowl [the] capital which upon head: top [the] pillar
42 Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
and [obj] [the] pomegranate four hundred to/for two [the] latticework two row pomegranate to/for latticework [the] one to/for to cover [obj] two bowl [the] capital which upon face: before [the] pillar
43 yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
and [obj] [the] base ten and [obj] [the] basin ten upon [the] base
44 Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;
and [obj] [the] sea [the] one and [obj] [the] cattle two ten underneath: under [the] sea
45 na masufuria, koleo, birika na vyombo vingine vyote. Huramu akivitengeneza kwa shaba iliyosuguliwa, kwa ajili ya mfalme Sulemani, na kawa ajili ya hekalu la BWANA.
and [obj] [the] pot and [obj] [the] shovel and [obj] [the] bowl and [obj] all [the] article/utensil ([the] these *Q(K)*) which to make Hiram to/for king Solomon house: temple LORD bronze to smooth
46 Mfalme alivisubu katika uwanda wa Yorodani, katika udongo mfinyanzi kati ya Sukoti na Zarethani.
in/on/with talent [the] Jordan to pour: cast metal them [the] king in/on/with thickness [the] land: soil between Succoth and between Zarethan
47 Sulemani hakuvipima vyombo vyote kwa sababu vilikuwa vingi mno kuvipima, na kwa sababu uzito wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa.
and to rest Solomon [obj] all [the] article/utensil from abundance much much not to search weight [the] bronze
48 Sulemani akatengeneza mapambo yote yaliyokuwa kwenye hekalu la BWANA kwa kutumia dhahabu: Ile madhabahu ya dhahabu na ile meza ambayo iliwekwa mikate ya wonyesho.
and to make Solomon [obj] all [the] article/utensil which house: temple LORD [obj] altar [the] gold and [obj] [the] table which upon him food: bread [the] face: before gold
49 Vile vinara vya dhahabu, ambavyo vitano vilikuwa upande wa kulia na vitano mkono wa kushoto, mbele ya chumba cha ndani, vilikuwa vya dhahabu safi, na maua, na taa na koleo zilikuwa za dhahabu.
and [obj] [the] lampstand five from right: south and five from left to/for face: before [the] sanctuary gold to shut and [the] flower and [the] lamp and [the] tong gold
50 Vile vikombe, na makasi, mabakuri, na vijiko, na vyetezo vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi. na bawaba za dhahabu za milango ya ndani, ambazoo ndio mahali patakatifu sana, na milango ya ukumbi mkubwa, vyote vilitengenezwa kwa dhahabu.
and [the] basin and [the] snuffer and [the] bowl and [the] palm: dish and [the] censer gold to shut and [the] hinge to/for door [the] house: home [the] inner to/for Most Holy Place [the] Most Holy Place to/for door [the] house: home to/for temple gold
51 Kwa njia hii, kazi yote ambayo mfalme Sulemani alifanya kwa ajili ya hekalu ilimalizika. Kwa Sulemani akaviingiza ndani yake vitu vile vilivyokuwa vimewekwa wakfu na Daudi, baba yake, na fedha na dhahabu, na mapambo, na vile vya ndani ya hazina ya BWANA.
and to complete all [the] work which to make: do [the] king Solomon house: temple LORD and to come (in): bring Solomon [obj] holiness David father his [obj] [the] silver: money and [obj] [the] gold and [obj] [the] article/utensil to give: put in/on/with treasure house: temple LORD

< 1 Wafalme 7 >