< 1 Wafalme 6 >

1 Kwa hiyo Sulemani akaanza kulijenga hekalu. Hii ilikuwa mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Sulemani huko Israeli, katika mwezi wa Ziv, ambao ndio mwezi wa pili.
Yac angfoko oalngoul tukun mwet Israel elos illa liki acn Egypt, in yac akakosr ma Solomon el tokosra fin acn Israel, ke malem akluo su malem Ziv, Solomon el mutawauk in musai Tempul.
2 Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5.
Luin lohm sac, oasr fit eungoul lusa ac fit tolngoul sralap, ac fit angngaul limekosr fulata.
3 Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu.
Infukil in utyak oasr fit singoul limekosr lusa, ac fit tolngoul sralap oana sralapan inkain lohm ah.
4 Lile hekalu alilitengenezea madirisha ambayo fremu zake kwa nje yalifanya yaonekane membamba kuliko ile sehemu ya ndani.
Oasr winto ke sinka in Tempul, oasriksrik luku ah liki acn loac.
5 Na ukuta wa nyumba aliuzungushia vyumba kuzunguka pande zake, kushikamana na vyumba vya nje na vya ndani ya hekalu. Akajenga vyumba katika pande zote.
Oasr pac lale se orekla ke siska luo ke Tempul ac tukun Tempul. Lale inge oasr twek tolu kac, ac fulatan kais sie twek inge fit itkosr tafu.
6 Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba.
Kais sie fukil ke twek se oeten ah fit itkosr tafu sralap, ac ke twek se infulwa ah fit eu sralap, ac twek se oelucng ah fit singoul tafu sralap. Sinka ke kais sie twek inge minini liki twek se ten liki, ouinge infukil inge ku in oan fin pesinka ah finne wangin sak in loang.
7 Hekalu lilijengwa kwa mawe yaliyokuwa yamechongwa chimboni. Hakuna nyundo, wala shoka au chombo chochote cha chuma kilisikika wakati hekalu lilipokuwa likjengwa.
Eot ma musaela Tempul uh tufahlla ke nien tufahl eot, pwanang wangin pusren hammer, ku tuhla, ku kutena kain kufwen sroasr osra lohngyuk ke pacl musaiyuk Tempul.
8 Upande wa kusini wa hekalu kulikuwa na lango la chini, ambalo mtu hupanda kwa madaraja mpaka juu kwenye chumba cha kati, na kutoka chumba cha kati hadi chumba cha tatu.
Nien utyak ke twek se oeten ke lale se inge, oan layen eir ke Tempul, ac oasr nien fanyak nu ke twek luo lucng ah.
9 Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza, akalifunika hekalu kwa boriti na mbao za mwerezi.
Ouinge Tokosra Solomon el aksafyela musaiyen Tempul. Tempu ac loeyuk nu ke siling uh orekla ke sak cedar.
10 Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi.
Lale se laesyen Tempul ma twek tolu, su fit itkosr tafu fulatan kais sie twek, oakwukyang nu pesinka lik ke Tempul, ac sak cedar pa sruokani nu ke Tempul.
11 Neno la BWANA likamjia Sulemani, likisema,
LEUM GOD El fahk nu sel Solomon,
12 “Kuhusu hili hekalu ambalo unajenga, kama utatatembea katika maagizo yangu na kuhukumu kwa haki, na kutunza amri zangu na kuishi kwa hizo, ndipo ntakapozithibitisha ahadi zangu na wewe ambazo niliziahidi kwa baba yako Daudi.
“Kom fin akos ma sap ac ma oakwuk luk nukewa, na nga ac oru nu sum oana nga tuh wuleang nu sel David, papa tomom.
13 Nitaishi kati ya watu wa Israeli nami sitawatupa.”
Nga ac fah muta yurin mwet Israel in Tempul se ma kom musai inge, ac nga ac fah tiana fahsr lukelos.”
14 Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza.
Ouinge Solomon el aksafyela musaiyen Tempul sac.
15 Kisha akajenga kuta za ndani za hekalu kwa mbao za mwerezi. Kuanzia sakafu ya hekalu hadi boriti za juu, kwa ndani akazifunika kwa miti, na akaifunika sakafu kwa mbao za miberoshi.
Sinka luin lohm uh afyufi ke ipinsak cedar ke falfuluyak nwe ke siling, ac falful uh orekla ke sak pine.
16 Alijenga mita 9 ndani ya hekalu kwa mbao za miberoshi kutoka sakafuni hadi juu. Hiki ni chumba cha ndani, cha patakatifu sana.
Sie infukil in lohm sac, su pangpang Acn Mutal Na Mutal, musala oan etok in Tempul. Oasr fit tolngoul lusa, ac otolyuk kac orekla ke ipinsak cedar, fin falfulayak nwe ke siling.
17 Ule ukumbu mkuu, ulikuwa mahali pakatifu amabao ulikuwa mbele ya patakatifu sana, ulikuwa wa mita 18. hapo kulikwa na mbao za mwerezi ndani ya hekalu, zilizokuwa zimechongwa kwa sura ya vibuyu na maua yaliyochanua.
Infukil ma oan meet liki Acn Mutal Na Mutal, oasr fit onngoul lusa.
18 Zote zilikuwa za mierezi kwa ndani. Hapakuonekana chochote ndani kilichokuwa kimetengenezwa kwa mawe.
Ac ipinsak cedar inge kihlyak nu ke luman ros ac fokin mahsrik. In lohm uh nufon afyufla ke sak cedar, oru tia ku in liyeyuk eot ke sinka ah.
19 Sulemani alitengeneza kile chumba cha ndani kwa lengo la kuweka sanduku la agano la BWANA.
Infukil se ma musaiyukla oan etok luin Tempul uh, pa yen ma Tuptup in Wuleang lun LEUM GOD in oan we.
20 Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi.
Infukil se in lohm uh inge fit tolngoul lusa, tolngoul sralap, ac tolngoul fulata, ac afyufla ke gold na pwaye. Loang sac afyufla ke sak cedar.
21 Sulemani alifunika ndani ya hekalu kwa dhahabu safi na akaweka mikufu ya dhahabu iliyopita mbele ya chumba cha ndani, na kulifunika eneo la mbele kwa dhabahu.
Luin Tempul uh akmusrala ke gold, ac sein gold sripsripyak ke nien utyak nu infukil se loac ah, su oayapa akmusrala ke gold.
22 Akalisakafia kwa dhahabu eneo lote la ndani mpaka akamaliza hekalu lote. Pia akalisakafia kwa dhahabu madhahabu yote ya chumba cha ndani.
In lohm ah nufon akmusrala, weang pac loang su oan in Acn Mutal Na Mutal.
23 Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani.
Cherub luo orekla ke sak olive ac likiyuki in Acn Mutal Na Mutal, kais sie fit singoul limekosr fulata.
24 Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule
Lusen kais sie posohksok lun cherub se fit itkosr tafu, pwanang posohksok luo tukeni orala fit singoul limekosr.
25 kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo.
Cherub se ngia oapana, oasr fit singoul limekosr lusen posohksok luo kacl. Cherub luo inge oana sie ke lupa ac lumah.
26 Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo.
Fulatan sie cherub inge fit singoul limekosr, ac ma se ngia oapana.
27 Sulemani aliwaweka hao kerubi kwenye chumba cha patakatifu sana. Bawa moja la kerubi lilikuwa limeenea kiasi kwamba bawa moja liligusa ukuta huu na bawa la yule wa pili nalo liligusa ukuta wa upande mwingine. Hayo mabawa yalikuwa yanakutana katikati ya chumba cha patakatifu sana.
Cherub luo inge tu asroelik paoltal in Acn Mutal Na Mutal. La paoltal apusrali infulwen infukil sac, ac layen ngia pusralla sinka ah.
28 Sulemani aliwafunika hao kerubi kwa dhahabu.
Cherub luo inge akmusrala pac ke gold.
29 Akazinakshi kuta zote kwa sura za makerubi, miti ya mitende, na maua yaliyochanua, kwa vyumba vya nje na vya ndani.
Sinka ke infukil lulap, oayapa infukil luin lohm ah, naweyukla ke sroal kihlyak nu ke luman cherub, sak palm, ac ros.
30 Sulemani akalisakafia hekalu kwa dhahabu, kwa vyumba vyote vya ndani na vya nje.
Finne ke falful in lohm uh, akmusrala pac ke gold.
31 Sulemani akatengeneza milango ya mbao za mizeituni kwenye lango la kuingia ndani. Aliweka vizingiti na miimo kwenye pande tano.
Srungul ip luo se orekla ke sak olive, oakwuki nu ke nien utyak nu ke Acn Mutal Na Mutal. Sifen mutunoa ah orekla raraun.
32 Kwa hiyo akatengeneza na milango miwili ya mizeituni, na akainakshi kwa makerubi, na mitende, na maua yaliyochanua. Akasakafia kwa dhahabu na akatandaza dhahabu kwenye makerubi na kwenye mitende.
Srungul uh naweyukla ke ma kihlyak oana cherub, sak palm, ac ros. Srungul uh, sak palm, ac cherub akmusrala ke gold.
33 Kwa njia hii, akalitengenezea hekalu miimo miwili ya mbao za mizeituni yenye pande nne
Sukan frem in srungul nu ke infukil lulap ah orekla ke sak olive.
34 na milango miwili ya mbao za mierezi. Zile mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa zikijikunja na mbao mbili za mlango wa pili nazo zilikuwa zikijikunja pia.
Oasr srungul limlim luo orekla ke sak pine,
35 Akazinakshi kwa makerubi, mitende, na maua yaliyochanua, na pia akazisakafia kwa dhahabu juu ya zile nakshi.
ac naweyukla ke ma kihlyak nu ke luman cherub, sak palm, ac ros. Ma inge kewa akmusrala ke gold.
36 Akalijengs Korido la ndani kwa safu tatu za mawe ya kuchongwa na safu moja ya mhimili wa mierezi.
Solomon el musaela sie kalkal oan likin mutun Tempul uh. El kuhlasak ouinge: kais sie tak in sak cedar inmasrlon fwilin eot tolu nukewa, rauneak.
37 Msingi wa hekalu ulijengwa katika mwaka wa nne, wa mwezi wa Ziv.
Pwelung in Tempul uh oakwuki ke malem akluo, su malem Ziv, in yac akakosr ma Solomon el tokosra.
38 Mwaka wa kumi na moja mwezi wa Buli, ambao ndio mwezi wa nane, sehemu zote za hekalu zilimalizika na sharti zake zote. Sulemani alilijenga hekalu kwa miaka saba.
In malem se akoalkosr, su malem Bul, in yac aksingoul sie ma Solomon el tokosra, safla nufon orekma ke Tempul, oana ma lumweyukla. Solomon el musaela Tempul ke yac itkosr.

< 1 Wafalme 6 >