< 1 Wafalme 6 >
1 Kwa hiyo Sulemani akaanza kulijenga hekalu. Hii ilikuwa mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Sulemani huko Israeli, katika mwezi wa Ziv, ambao ndio mwezi wa pili.
Isala: ili fi da Idibidi soge yolesili, ode 480 agoane gidigili amola ode biyadu Soloumane ea ouligibi galu, oubi ageyadu (Sife oubi) amoga, Soloumane da Debolo hawa: hamosu mui.
2 Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5.
Debolo ea gelaba ganodini defei sedade da 27 mida, ba: de defei da 9 mida amola gagagula heda: i defei da 13.5 mida.
3 Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu.
Debolo ea golili dasu sesei sedade defei da 4.5 mida amola amo ea ba: de defei da 9 mida.
4 Lile hekalu alilitengenezea madirisha ambayo fremu zake kwa nje yalifanya yaonekane membamba kuliko ile sehemu ya ndani.
Debolo ea dobea ganodini, fo misa: ne agenesi ba: i. Amo ilia gadili defei da ganodini defei baligi ba: i.
5 Na ukuta wa nyumba aliuzungushia vyumba kuzunguka pande zake, kushikamana na vyumba vya nje na vya ndani ya hekalu. Akajenga vyumba katika pande zote.
Debolo gadili dobea (la: ididili amola baligidu galu) amoga segagi dialebe ba: i. Ilia da udiana agoane gagagula heda: i ba: i. Amo afae afae ea gagagula heda: i defei da 2.2 mida.
6 Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba.
Amo diasu ganodini, sesei huluane hagudu gagui ganodini ea ba: de defei da 2.2 mida, dogoa gagui ea ba: de defei da 2.7 mida amola gadodafa gagui ea ba: de defei da 3.1 mida. Debolo diasudafa ea dobea fefela heda: i hagudu defei da gadugagi amola gado heda: su fa: gu agoane fofonobona gado heda: i. Amo gagui ea bai da segagi gagui ilia da fofa: gusa heda: i amo da: iya fima: ne hahamoi. Amalalu, segagi sesei ilia dawalo da debolo dobea hame badofale afufui.
7 Hekalu lilijengwa kwa mawe yaliyokuwa yamechongwa chimboni. Hakuna nyundo, wala shoka au chombo chochote cha chuma kilisikika wakati hekalu lilipokuwa likjengwa.
Debolo gagumusa: , ilia da gele amo gele hahamosu sogebi amoga fawane hahamoi. Amaiba: le, ilia da Debolo diasu gaguloba, ha: ma amola goahei amola eno gula hawa: hamosu liligi ilia gadenagadenabe da hame nabasu.
8 Upande wa kusini wa hekalu kulikuwa na lango la chini, ambalo mtu hupanda kwa madaraja mpaka juu kwenye chumba cha kati, na kutoka chumba cha kati hadi chumba cha tatu.
Hagududafa segagi ea golili dasu da Debolo ga (south) la: ididili dialebe ba: i. Amoga, fa: gu da dogoa segagi amola gadodafa segagi amoga heda: musa: dialebe ba: i.
9 Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza, akalifunika hekalu kwa boriti na mbao za mwerezi.
Amaiba: le, hina bagade Soloumane da Debolo diasu gagui dagoi ba: i. E da Debolo diasu dia: ne gala: i amo dawalo amola gaga: i amo dolo ifaga hamoi.
10 Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi.
Segagi udiana agoane afae afae ilia gagagula heda: i ea defei da 2.2 mida. Ilia da Debolo dobea gadili gagui amola dolo ifa dawalo amoga Debolo dobea damana disi.
11 Neno la BWANA likamjia Sulemani, likisema,
Hina Gode da Soloumanema amane sia: i,
12 “Kuhusu hili hekalu ambalo unajenga, kama utatatembea katika maagizo yangu na kuhukumu kwa haki, na kutunza amri zangu na kuishi kwa hizo, ndipo ntakapozithibitisha ahadi zangu na wewe ambazo niliziahidi kwa baba yako Daudi.
“Di da Na sema amola Na hamoma: ne sia: i amo defele hamosea, Na da dia ada Da: ibidima hamomusa: ilegei huluane dima hamomu.
13 Nitaishi kati ya watu wa Israeli nami sitawatupa.”
Na da Na Isala: ili fi dunu ili bisili Debolo diasu dia gagulalebe, amo ganodini esalumu. Amola Na da ili hamedafa yolesimu.”
14 Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza.
Amaiba: le, Soloumane da Debolo diasu gagulalu, amo dagoi.
15 Kisha akajenga kuta za ndani za hekalu kwa mbao za mwerezi. Kuanzia sakafu ya hekalu hadi boriti za juu, kwa ndani akazifunika kwa miti, na akaifunika sakafu kwa mbao za miberoshi.
Debolo diasu dobea ganodini da dolo ifa gaga: iga fele sali. Hada: i da ‘baine’ ifa amoga fa: i.
16 Alijenga mita 9 ndani ya hekalu kwa mbao za miberoshi kutoka sakafuni hadi juu. Hiki ni chumba cha ndani, cha patakatifu sana.
Ganodini sesei ea dio da Hadigidafa Momei Sesei da Debolo diasu bagia guma: didili gagui dialebe ba: i. Amo sesei sedade defei da9 mida. Amola dolo ifa gaga: i da hada: i da: iya gudunini heda: le, dia: ne gala: i amoga disisi.
17 Ule ukumbu mkuu, ulikuwa mahali pakatifu amabao ulikuwa mbele ya patakatifu sana, ulikuwa wa mita 18. hapo kulikwa na mbao za mwerezi ndani ya hekalu, zilizokuwa zimechongwa kwa sura ya vibuyu na maua yaliyochanua.
Sesei eno (Hadigi Malei Sesei) amo da Hadigidafa Momei Sesei ea midadi galu. Ea sedade defei da18 mida agoane galu.
18 Zote zilikuwa za mierezi kwa ndani. Hapakuonekana chochote ndani kilichokuwa kimetengenezwa kwa mawe.
Dolo ifa gaga: i amo damana da ganagu amola sogea fafalegaila dedenesisi. Debolo diasu ganodini, dobea huluanedafa da dolo ifa ga: i ba: dedafa amoga dedeboiba: le, gelega dobea sali da ba: mu gogolei.
19 Sulemani alitengeneza kile chumba cha ndani kwa lengo la kuweka sanduku la agano la BWANA.
Debolo diasu bagia guma: dini amo ganodini sesei gagui dialebe ba: i. Amo ganodini ilia da Hina Gode Ea Sema Gousa: su Gagili ligisimusa: gagui.
20 Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi.
Amo sesei sedade defei da 9 mida agoane amola ba: de defei da 9 mida amola gagagula heda: i defei da 9 mida. Amo huluane da gouliga dedeboi. Oloda da dolo ifa gaga: iga dedeboi ba: i.
21 Sulemani alifunika ndani ya hekalu kwa dhahabu safi na akaweka mikufu ya dhahabu iliyopita mbele ya chumba cha ndani, na kulifunika eneo la mbele kwa dhabahu.
Debolo diasu amo ganodini huluane da gouliga dedeboi ba: i. Hadigidafa Momei Sesei amola da gouliga dedeboi. Amola ea golili dasu logo da gouliga hahamoi sia: inega ga: i.
22 Akalisakafia kwa dhahabu eneo lote la ndani mpaka akamaliza hekalu lote. Pia akalisakafia kwa dhahabu madhahabu yote ya chumba cha ndani.
Debolo diasu ganodini huluanedafa da gouliga dedeboi. Amola oloda amo da Hadigidafa Momei Sesei ganodini galu da gouliga dedeboi ba: i.
23 Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani.
Sio ougia gala liligi (sielabimi) olife ifa amoga hamoi da Hadigidafa Momei Sesei amo ganodini ligisi dialebe ba: i. Ela afae afae sedade defei da 4.4 mida.
24 Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule
Ela defei amola damui defei da afaididi ba: i. Ela afae afae da sio ougia aduna galu. Amo ougia ilia sedade defei da 2.2 mida. Amaiba: le, ela la: idi ougia feganini asili la: idi fega doaga: i da 4.4 mida agoane.
25 kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo.
26 Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo.
27 Sulemani aliwaweka hao kerubi kwenye chumba cha patakatifu sana. Bawa moja la kerubi lilikuwa limeenea kiasi kwamba bawa moja liligusa ukuta huu na bawa la yule wa pili nalo liligusa ukuta wa upande mwingine. Hayo mabawa yalikuwa yanakutana katikati ya chumba cha patakatifu sana.
Ela da Hadigidafa Momei Sesei ganodini dafulili ligisi dialebe ba: i. Amola ela ougia da: legai aduna da sesei dogoa amoga di dialebe ba: i. Amola ela ougia eno aduna da sesei ea dobea amoga digi ba: i.
28 Sulemani aliwafunika hao kerubi kwa dhahabu.
Amo ougia hamoi liligi aduna da gouliga dedeboi.
29 Akazinakshi kuta zote kwa sura za makerubi, miti ya mitende, na maua yaliyochanua, kwa vyumba vya nje na vya ndani.
Hadigidafa Momei Sesei amola Hadigi Malei Sesei elea dobea huluane da ougia hamoi liligi amola gumudilabo amola sogea fafalegai amoga dedenesisi.
30 Sulemani akalisakafia hekalu kwa dhahabu, kwa vyumba vyote vya ndani na vya nje.
Hada: i fa: i amolawane da gouliga dedeboi.
31 Sulemani akatengeneza milango ya mbao za mizeituni kwenye lango la kuingia ndani. Aliweka vizingiti na miimo kwenye pande tano.
Hadigidafa Momei Sesei ea golili dasu logoga, seselefasu logo ga: su da olife ifaga hamoi dialebe ba: i. Logo holei dabua gadodili da agesone gadoi ba: i.
32 Kwa hiyo akatengeneza na milango miwili ya mizeituni, na akainakshi kwa makerubi, na mitende, na maua yaliyochanua. Akasakafia kwa dhahabu na akatandaza dhahabu kwenye makerubi na kwenye mitende.
Amo logo ga: su da ougia hamoi liligi amola gumudilabo amola sogea fafalegai amoga dedenesisi ba: i. Logo ga: su amola ougia hamoi liligi amola gumudilabo huluane amo da gouliga dedeboi ba: i.
33 Kwa njia hii, akalitengenezea hekalu miimo miwili ya mbao za mizeituni yenye pande nne
Debolo diasu ea golili dasudafa logo holei amo da olife ifaga hamoi.
34 na milango miwili ya mbao za mierezi. Zile mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa zikijikunja na mbao mbili za mlango wa pili nazo zilikuwa zikijikunja pia.
Amo logo holei da seselefasu logo ga: su aduna, amo ‘baine’ ifaga hamoi, amoga ga: i.
35 Akazinakshi kwa makerubi, mitende, na maua yaliyochanua, na pia akazisakafia kwa dhahabu juu ya zile nakshi.
Amo logo ga: su damana da ougia hamoi liligi, gumudilabo amola sogea fafalegai amoga dedenesisi. Amo huluane da gouliga dedeboi.
36 Akalijengs Korido la ndani kwa safu tatu za mawe ya kuchongwa na safu moja ya mhimili wa mierezi.
Debolo diasu midadi amoga ilia da gagole disi. Ilia da gele udiana fofa: la heda: le, amalu dolo ifa ga: i beano fa: lalu bu gele udiana fofa: le, dolo ifa eno ga: i beano fa: i, amo heda: i.
37 Msingi wa hekalu ulijengwa katika mwaka wa nne, wa mwezi wa Ziv.
Ilia da oubi ageyadu (Sife oubi) amola ode biyadu Soloumane ea ouligilaloba, Debolo diasu ea bai fa: i.
38 Mwaka wa kumi na moja mwezi wa Buli, ambao ndio mwezi wa nane, sehemu zote za hekalu zilimalizika na sharti zake zote. Sulemani alilijenga hekalu kwa miaka saba.
Oubi godo (Bulu oubi) amola ode gida Soloumane ea ouligilaloba, Debolo diasu da ili gagumusa: dawa: i, amo defele gaguli dagoi ba: i. Soloumane da ode fesuale agoanega Debolo diasu gaguli dagoi.