< 1 Wafalme 5 >
1 Hiramu mfalme wa Tiro aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani kwa kuwa alisikia kuwa walikuwa wamemtawaza kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwani Hiramu alimpenda Daudi.
И посла Хирам царь Тирский отроки своя к Соломону: услыша бо, яко помазаша его на царство вместо Давида отца его, яко любяше Хирам Давида во вся дни.
2 Sulemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, akisema,
И посла Соломон к Хираму, глаголя:
3 “Unajua kuwa Daudi baba yangu hakujenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wake kwa sababu ya vile vita vilivyomzunguka, kwa kuwa wakati wa uhai wake BWANA alikuwa akiweka maadui wake chini ya nyayo za miguu yake.
ты веси отца моего Давида, яко не возможе создати дому имени Господа Бога моего, от лица противных, окруживших его, дондеже даде я Господь под стопы ног его:
4 Lakini sasa BWANA amenipa mimi pumziko toka pande zote. Hakuna maadui wala majanga.
и ныне упокои Господь Бог мой мне окрест, несть наветника, ниже сопротивника лукаваго:
5 Kwa hiyo ninakusudia kujenga hekalu kwa jina la BWANA, Mungu wangu, kama BWANA alivyosema kwa Daudi baba yangu, akisema, 'Mwanao ambaye nitamweka kwenye kiti chako cha enzi mahali pako, ndiye atakayenijengea hekalu kwa jina langu.'
и се, аз глаголю создати дом имени Господа Бога моего, якоже глагола Господь Бог к Давиду отцу моему, глаголя: сын твой, егоже дам вместо тебе на престол твой, той созиждет дом имени Моему:
6 Kwa hiyo sasa amuru wakate mierezi kutoka Lebanoni kwa ajili yangu. Watumishi wangu wataungana na watumishi wako, nami nitakulipa kwa ajili ya watumishi wako ili kwamba upate malipo mazuri kwa kila kitu utakchokubali kukifanya. Kwa kuwa unajua kuwa hakuna mtu mioingoni mwetu anayejua kukata miti kama Wasidoni.”
и ныне заповеждь, да насекут ми древ от Ливана, и се, раби мои с рабы твоими, и мзду трудов твоих дам ти по всему елика речеши, понеже ты веси, яко несть нам ведущаго древа сещи, якоже Сидоняне.
7 Hiramu aliposikia maneno ya Sulemani, akafurahi sana akasema, “BWANA na abarikiwe leo, ambaye amempa Daudi mwana wa hekiima juu ya kundi hili kubwa.”
И бысть егда услыша Хирам словеса Соломоня, возрадовася зело и рече: благословен Бог днесь, Иже даде Давиду сына разумна над людьми сими многими.
8 Hiramu akatuma neno kwa Sulemani, akisema, “Nimeupata ujumbe ule ulionitumia. Nitatoa miti yote ya mierezi na miti ya miberoshi ambayo unahitaji.
И посла Хирам к Соломону, глаголя: слышах о всех, ихже ради послал еси ко мне: аз сотворю все хотение твое о древах кедровых и певговых:
9 Watumishi wangu wataileta miti kutoka Lebanoni hadi baharini, nami nitaiendesha baharini mpaka mahali utakaponielekeza. Nitaigawa pale, nawe utaichukua. Utafanya kile ninachohitaji kwa kuwapa chakula watumishi wangu.”
слуги мои изнесут я от Ливана к морю, и аз положу я в складения на место, идеже возвестиши мне, и довезу я тамо: и ты возмеши, и сотвориши хотение мое, еже дати хлебы дому моему.
10 Kwa hiyo Hiramu akampa Sulemani miti yote ya mierezi na miti ya miberoshi ambayo alihitaji.
И бе Хирам дая Соломону кедры и певги и всю волю его.
11 Sulemani akampa Hiramu kori ishirini elfu za ngano kwa ajili ya chakula cha watumishi wake na kori ishirii za mafuta safi. Sulemani akavitoa hivi kwa Hiramu mwaka baad ya mwaka.
И даде Соломон Хираму двадесять тысящ мер пшеницы, и пищу дому его, и двадесять тысящ мер елеа чистаго: по сему даваше Соломон Хираму на всяко лето.
12 BWANA akampa Sulemani hekima, kama alivyokuwa amemwahidi. Kulikuwa na amani kati ya Hiramu na Sulemani na wote wawili wakafanya agano.
И Господь даде Соломону премудрость, якоже глагола ему. И бе мир между Хирамом и между Соломоном, и положиша завет между собою.
13 Mfalme Sulemani akaandaa wafanya kazi kutoka Israeli yote. Idadi ya watenda kazi walioandaliwa ilikuwa wanaume elfu thelathini.
И взя царь дань от всего Израиля, и бе дань тридесять тысящ мужей.
14 Aliwatuma kwenda Lebanoni, aliwatuma kwa zamu ya watu elfu kumi kila mwezi. Kwa mwezi mmoja walienda Lebanoni na miezi miwili walikaa nyumbani. Adoniramu ndiye aliyekuwa msimamizi wa watenda kazi.
И посла я в Ливан, десять тысящ на месяц в премену: месяц быша в Ливане и два месяца в дому своем: и бяше Адонирам над данию.
15 Sulemani alikuwa na watu elfu sabini waliokuwa wabeba mizigo na watu elfu themanini wa kukata mawe milimani,
И бяше Соломону седмьдесят тысящ носящих бремена и осмьдесят тысящ секущих камение в горе,
16 zaidi ya hao, walikuwepo maakida 3, 300 ambao pia waliokuwa wakiisimamia hiyo kazi.
кроме старейшин приставленых над делами Соломоними, три тысящы и шесть сот приставник делающих дела.
17 Kwa amri ya mfalme walileta mawe makubwa ya thamani kwa ajili ya kulaza kwenye msingi wa hekalu.
И заповеда царь, и взяша камение великое, камение честное на основание храма, и камение нетесаное.
18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebaliti walifanya kazi ya kukata na kuandaa mbao kwa ajili ya ujenzi wa hekalu.
И истесаша сынове Соломони и сынове Хирамли и каменосечцы Гевалстии: и изготовиша камения и древа в три лета.