< 1 Wafalme 5 >
1 Hiramu mfalme wa Tiro aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani kwa kuwa alisikia kuwa walikuwa wamemtawaza kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwani Hiramu alimpenda Daudi.
Poslal pak Chíram král Tyrský služebníky své k Šalomounovi, uslyšav, že ho pomazali za krále na místo otce jeho; nebo miloval Chíram Davida po všecky dny.
2 Sulemani akatuma ujumbe kwa Hiramu, akisema,
Zase poslal Šalomoun k Chíramovi, řka:
3 “Unajua kuwa Daudi baba yangu hakujenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wake kwa sababu ya vile vita vilivyomzunguka, kwa kuwa wakati wa uhai wake BWANA alikuwa akiweka maadui wake chini ya nyayo za miguu yake.
Ty víš, že David otec můj nemohl vystavěti domu jménu Hospodina Boha svého pro války, kteréž jej obkličovaly, dokudž Hospodin nepodložil nepřátel pod nohy jeho.
4 Lakini sasa BWANA amenipa mimi pumziko toka pande zote. Hakuna maadui wala majanga.
Ale nyní Hospodin Bůh můj dal mi odpočinutí všudy vůkol, není žádného protivníka, ani outoku nebezpečného.
5 Kwa hiyo ninakusudia kujenga hekalu kwa jina la BWANA, Mungu wangu, kama BWANA alivyosema kwa Daudi baba yangu, akisema, 'Mwanao ambaye nitamweka kwenye kiti chako cha enzi mahali pako, ndiye atakayenijengea hekalu kwa jina langu.'
Z té příčiny, aj, úmysl mám stavěti dům jménu Hospodina Boha svého, jakož mluvil Hospodin Davidovi otci mému, řka: Syn tvůj, kteréhož posadím místo tebe na stolici tvé, onť vystaví dům ten jménu mému.
6 Kwa hiyo sasa amuru wakate mierezi kutoka Lebanoni kwa ajili yangu. Watumishi wangu wataungana na watumishi wako, nami nitakulipa kwa ajili ya watumishi wako ili kwamba upate malipo mazuri kwa kila kitu utakchokubali kukifanya. Kwa kuwa unajua kuwa hakuna mtu mioingoni mwetu anayejua kukata miti kama Wasidoni.”
A protož nyní rozkaž, ať mi nasekají cedrů na Libánu. Budou pak služebníci moji s služebníky tvými, a mzdu služebníků tvých dám tobě, tak jakž díš. Nebo sám víš, že mezi námi není žádného, kdož by uměl sekati dříví, jako jsou Sidonští.
7 Hiramu aliposikia maneno ya Sulemani, akafurahi sana akasema, “BWANA na abarikiwe leo, ambaye amempa Daudi mwana wa hekiima juu ya kundi hili kubwa.”
Stalo se tedy, když uslyšel Chíram ta slova Šalomounova, že se zradoval náramně, a řekl: Požehnaný Hospodin budiž nyní, kterýž dal Davidovi syna moudrého nad tím lidem tak mnohým.
8 Hiramu akatuma neno kwa Sulemani, akisema, “Nimeupata ujumbe ule ulionitumia. Nitatoa miti yote ya mierezi na miti ya miberoshi ambayo unahitaji.
I poslal Chíram k Šalomounovi, řka: Vyrozuměl jsem, oč jsi poslal ke mně; jáť učiním všecku vůli tvou z strany dříví cedrového i jedlového.
9 Watumishi wangu wataileta miti kutoka Lebanoni hadi baharini, nami nitaiendesha baharini mpaka mahali utakaponielekeza. Nitaigawa pale, nawe utaichukua. Utafanya kile ninachohitaji kwa kuwapa chakula watumishi wangu.”
Služebníci moji svezou je s Libánu až k moři, a dám je v vořích splaviti po moři až k místu tomu, kteréž mi ukážeš, a tu je složím; ty pak pobéřeš je a naplníš také vůli mou, dodávaje potravy čeledi mé.
10 Kwa hiyo Hiramu akampa Sulemani miti yote ya mierezi na miti ya miberoshi ambayo alihitaji.
A tak dával Chíram Šalomounovi dříví cedrového a dříví jedlového, jakkoli mnoho chtěl.
11 Sulemani akampa Hiramu kori ishirini elfu za ngano kwa ajili ya chakula cha watumishi wake na kori ishirii za mafuta safi. Sulemani akavitoa hivi kwa Hiramu mwaka baad ya mwaka.
Šalomoun také dával Chíramovi dvadceti tisíc měr pšenice ku pokrmu čeledi jeho, a dvadceti tisíc měr oleje vytlačeného. To dával Šalomoun Chíramovi každého roku.
12 BWANA akampa Sulemani hekima, kama alivyokuwa amemwahidi. Kulikuwa na amani kati ya Hiramu na Sulemani na wote wawili wakafanya agano.
Když tedy dal Hospodin moudrost Šalomounovi, jakož mu byl zaslíbil, a byl pokoj mezi Chíramem a mezi Šalomounem, tak že mezi sebou učinili smlouvu:
13 Mfalme Sulemani akaandaa wafanya kazi kutoka Israeli yote. Idadi ya watenda kazi walioandaliwa ilikuwa wanaume elfu thelathini.
Rozkázal král Šalomoun vybírati osoby ze všeho Izraele, a bylo vybraných třidceti tisíc mužů.
14 Aliwatuma kwenda Lebanoni, aliwatuma kwa zamu ya watu elfu kumi kila mwezi. Kwa mwezi mmoja walienda Lebanoni na miezi miwili walikaa nyumbani. Adoniramu ndiye aliyekuwa msimamizi wa watenda kazi.
Z nichž posílal na Libán deset tisíců na každý měsíc, jedny po druhých. Jeden měsíc bývali na Libánu, a dva měsíce doma, Adoniram pak byl ustaven nad těmi vybranými.
15 Sulemani alikuwa na watu elfu sabini waliokuwa wabeba mizigo na watu elfu themanini wa kukata mawe milimani,
Měl také Šalomoun sedmdesáte tisíc nosičů, a osmdesáte tisíc těch, kteříž tesali na hoře,
16 zaidi ya hao, walikuwepo maakida 3, 300 ambao pia waliokuwa wakiisimamia hiyo kazi.
Kromě předních vládařů Šalomounových, kterýchž bylo nad dílem tři tisíce a tři sta. Ti představeni byli lidem, kteříž dělali.
17 Kwa amri ya mfalme walileta mawe makubwa ya thamani kwa ajili ya kulaza kwenye msingi wa hekalu.
I přikázal král, aby navozili kamení velikého, kamení nákladného k založení toho domu, a kamení tesaného,
18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebaliti walifanya kazi ya kukata na kuandaa mbao kwa ajili ya ujenzi wa hekalu.
Kteréž tesali kameníci Šalomounovi a kameníci Chíramovi a Gibličtí. A tak připravovali dříví i kamení k stavení domu toho.