< 1 Wafalme 4 >

1 Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
Kong Salomo var no konge yver heile Israel.
2 Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
Og dei fremste menner han hadde var dette: Azarja Sadoksson var prest;
3 Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
Elihoref og Ahia, søner åt Sisa, var riksskrivarar; Josafat Ahiludsson var kanslar;
4 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
Benaja Jojadason var set yver heren, og Sadok og Abjatar var prestar.
5 Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
Azarja Natansson var set yver futarne, Zabud Natansson var prest og ven med kongen;
6 Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
Ahisar var drottsete, og Adoniram Abdason hadde tilsyn med pliktarbeidarane.
7 Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
Og Salomo hadde tolv bygdefutar yver heile Israel. Dei hadde på seg å forsyna kongen og kongsgarden hans; dei forsynte honom kvar sin månad um året.
8 Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
Dette er namni deira: Son åt Hur i fjellbygdi i Efraim;
9 Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
son åt Deker i Mahas og i Sa’albim, Bet-Semes, Elon-Bet-Hanan;
10 Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
son åt Hesed i Arubbot, som hadde Soko og heile Heferlandet;
11 Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
son åt Ahinadab, som hadde heile høglandet Dor, og som fekk Tafat, dotter åt Salomo, til kona;
12 Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
Ba’ana Ahiludsson i Ta’anak og Megiddo og i heile den luten av Bet-Sean som ligg attmed Sartan nedanfor Jizre’el, frå Bet-Sean til Ahel-Mehola og burtum Jokmeam;
13 Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
son åt Geber i Ramot i Gilead; han hadde Gileads-byarne åt Ja’ir Manasseson; han hadde Argoblandet, som ligg i Basan, seksti store byar med murar og koparslåer;
14 Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
Ahinadab Iddoson hadde Mahanajim;
15 Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
Ahima’as i Naftali; han og hadde teke ei dotter åt Salomo, Basmat, til kona;
16 Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
Ba’ana Husaison i Asser og Alot;
17 Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
Josafat Paruahsson i Issakar;
18 Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
Sime’i Elason i Benjamin;
19 na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
Geber Urison i Gileadlandet, det landet som amoritarkongen Sihon og kong Og i Basan hadde havt; og han var den einaste futen i den landsluten.
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
Juda og Israel var då so mangmente som sanden ved havet; og dei åt og drakk og var glade.
21 Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
Og Salomo rådde yver alle kongeriki frå Storelvi til Filistarlandet og heilt ned til landskilet imot Egyptarland. Dei sende gåvor til Salomo, og lydde honom so lenge han livde.
22 Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
Og dei matvaror Salomo trong for kvar dag, var nitti tunnor fint mjøl og eit hundrad og åtteti tunnor vanlegt mjøl,
23 makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
ti gjødde uksar, tjuge utgangsuksar, hundrad sauer, umfram hjortar, gasellor, antilopar og gjødde fuglar.
24 Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
For han rådde yver heile landet på andre sida av Storelvi, frå Tifsah og heilt til Gaza, han stod yver alle kongarne på andre sida Storelvi, og han hadde fred rundt ikring,
25 Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
so Juda og Israel sat trygt, kvar mann under sit vintre og under sitt fiketre, ifrå Dan radt til Be’erseba, so lenge Salomo livde.
26 Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
Og Salomo hadde fyrti tusund par vognhestar og tolv tusund ridehestar.
27 Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
Og bygdefutarne forsynte kong Salomo og alle deim som gjekk til bords hjå kong Salomo kvar sin månad; dei let det ikkje skorta på nokon ting.
28 Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
Bygg og halm til hestarne og tråvarane sende dei, kvar etter sin tur, til den staden der han heldt til.
29 Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
Og Gud gav Salomo visdom og ovstor kunnskap og eit vit som femnde vidt - liksom sanden ved havet,
30 Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
so at visdomen åt Salomo var større enn visdomen hjå austmennerne og egyptarane.
31 Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
Han var visare enn alle andre menneskje, visare enn ezrehiten Etan, Heman og Kalkol og Darda, sønerne åt Mahol; og det gjekk gjetord av honom hjå alle folki vida ikring.
32 Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
Han dikta tri tusund ordtøke, og songarne hans var eit tusund og fem i talet.
33 Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
Han tala um trei, like frå cederen på Libanon til isopen som veks uppetter murveggen; han tala um firfot-dyri og fuglarne, um krypdyri og fiskarne.
34 Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.
Frå alle land kom dei og vilde høyra på visdomen åt Salomo, frå alle kongarne på jordi som høyrde gjete kor vis han var.

< 1 Wafalme 4 >