< 1 Wafalme 4 >
1 Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
Nifeleke Israele iaby t’i Selomò mpanjaka.
2 Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
Le zao o roandria’eo: i Azarià, ana’ i Tsadoke mpisoroñe,
3 Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
i Elikòrefe naho i Akià ana’ i Sisà, mpanokitse, Iehosafate ana’ i Akilode, mpamolily;
4 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
i Benaià ana’ Iehoiada, mpifehe i valobohòkey, le mpisoroñe t’i Tsadoke naho i Abiatare;
5 Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
i Azarià ana’ i Natane, ty mpifeleke o mpiaoloo; mpisoroñe naho mpiamy mpanjakay t’i Zabode ana’ i Natane;
6 Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
talè’ i anjombay t’i Akisare; vaho mpiaolo ty fañondrohan-kàba t’i Abdà.
7 Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
Nanam-pifeleke folo-ro’amby t’i Selomò nifehe Israele iaby, o namahañe i mpanjakay naho i anjomba’eio. Songa namahañe volañe raik’ ami’ty taoñe.
8 Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
Zao o tahina’ iareoo: I Ben-Kore am-bohibohi’ i Efraime;
9 Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
i Ben-Dekere e Makatse naho e Betesemese naho e Elone-Bete-Khanàne;
10 Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
i Ben-Kesede e Arobote; aze ka t’i Sokò naho ze hene tane e Kefere;
11 Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
i Ben’ abinadabe amy fari’ i Dore, aze t’i Tafate anak’ ampela’ i Selomò tañanjomba’e.
12 Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
I Baana, ana’ i Akilode, aze t’i Taanake, i Megidò naho i Beteseane iaby marine’ i Tsaretane ambane’ Iizreèle boake Beteseane pak’ Abel-mekolà mb’an-kalo’ Iokneame ao;
13 Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
i Ben-Gebere, e Ramote-gilade, aze o rova’ Iaere ana’ i Menasè e Giladeo; aze ka ty fari’ i Argobe e Basane ao, rova enempolo jabajaba reketse kijoly naho sikadañe torisike;
14 Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
i Akinadabe, ana’ Idò, e Maknaime;
15 Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
i Akimatse e Naftalý ao; nengae’e ka t’i Basmate, anak’ ampela’ i Selomò,
16 Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
i Ba’ anà, ana’ i Kosàý, e Asere naho e Bealote;
17 Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
Iehosafate, ana’ i Paroà e Isakare;
18 Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
i Simeý ana’ i Elà, e Beniamine;
19 na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
i Gebere ana’ i Orý, an-tane’ i Gilade, an-tane’ i Sikone mpanjaka’ o nte-Amoreo, naho a i Oge mpanjaka’ i Basane; vaho raike ty mpifehe i tane iabiy.
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
Nitozantozañe mira amo faseñe añ’ olon-driakeo t’Iehoda naho Israele ami’ty hamaro’e, nikama, ninoñe vaho nifale.
21 Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
Nifehe ze hene fifeheañe boak’ amy Sakay pak’an-tane’ o nte-Pelistio, sikala añ’efe-tane’ i Mitsraime; sindre ninday roroñe vaho nitoroñe i Selomò amo fonga andro niveloma’eo.
22 Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
Ty anjara’ i Selomò ami’ty andro raike le mona’e telo-polo kore, vaho mahakama enempolo kore;
23 makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
añombe vondrake folo naho añombe boak’ am-piandrazañe roa-polo naho añondry zato, rekets’ ayale naho tsebý naho yakmore vaho voroñe vondrake.
24 Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
Amy te nifeheze’e iaby i tane boak’ amy Sakay atoiy, boak’ e Tipsà pake Gazà; fonga nifehè’e o mpanjaka an-dafe’ i Sakay atoio; vaho nierañerañe iaby ty nañohok’ aze.
25 Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
Aa le niaiñ’ añoleñañe t’Iehoda naho Israele, songa ondaty ambane’ i vahe’ey naho i sakoa’ey, boake Dane pake Beersebà, amo hene’ andro’ i Selomòo.
26 Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
Nanañe kijan-tsoavala efats’ ale ho a o sarete’eo t’i Selomò naho mpiningi-tsoavala rai-ale-tsi-ro’arivo.
27 Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
Namahañe mahakama amy Selomò i mpifeleke rey, ho amy maro nimoak’ am-pandambaña’ i Selomò mpanjakay, songa ondaty ami’ty vola’e, le tsy ama’e ty nengañe mipoke.
28 Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
Vaho nandesa’ iareo vare hordea naho ahetse o soavalao vaho o soavala mpipitsikeo sindre mb’ an-toe’e ao, songa ondaty ty amy lili’ey.
29 Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
Tinolon’ Añahare hihitse naho hilala ambone, t’i Selomò, naho arofo mangadagadañe, manahake ze hene’ faseñe añ’ olon-driakey.
30 Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
Nandikoatse ty hihi’ o anan-tatiñanañe iabio naho ty hihi’ i Mitsraime iaby ty hihi’ i Selomò.
31 Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
Toe nahihitse te amy ze kila ondaty, naho te amy Etane nte-Zerake naho i Hemane naho i Kal’kole naho i Dardà vaho o ana’ i Makoleo; le nifohin-tahinañe amy ze hene fifeheañe mb’eo mb’eo.
32 Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
Telo-arivo ty razan-drehake nitaroñe’e, vaho arivo-lime amby o sabo’eo.
33 Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
Nitalilie’e ze hatae iaby, ty mendoraveñe e Lebanone añe naho i seva mitiry an-tsifin-kijoliy; tinaro’e ze biby naho voroñe naho ze raha milalilaly vaho fiañe.
34 Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.
Nimb’ eo boak’ amy ze kilakila’ ndaty ty hijanjiñe o hihi’ i Selomòo; niboak’ amy ze hene mpanjaka’ ty tane toy ty nahajanjiñe i hihi’ey.