< 1 Wafalme 4 >
1 Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
Niin oli Salomo koko Israelin kuningas.
2 Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
Ja nämät olivat hänen päämiehensä: AsarJa, papin Zadokin poika.
3 Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
Elihoreph ja Ahia, Sisan pojat, olivat kirjoittajat; Josaphat Ahiludin poika kansleri.
4 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
BenaJa, Jojadan poika, sodanpäämies; Zadok ja AbJatar olivat papit.
5 Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
AsarJa Natanin poika päämiesten haltia. Sabud pappi Natanin poika kuninkaan neuvonantaja.
6 Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
Ja Ahisar huoneenhaltia; Adoniram Abdanin poika oli veron päällä.
7 Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
Ja Salomolla oli kaksitoistakymmentä valtamiestä koko Israelissa, jotka murheen pitivät kuninkaasta ja hänen huoneestansa; ja kukin heistä toimitti ruan kuukautenansa, vuosivuodelta.
8 Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
Ja nämä olivat heidän nimensä: Hurrin poika Ephraimin vuorella;
9 Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
Dekerin poika Makassa, ja Saalbimissa ja BetSemeksessä, ja Elonissa ja BetHananissa;
10 Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
Hesedin poika Arubotissa; hänellä oli Soko ja kaikki Hepherin maakunta;
11 Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
Abinadabin pojalla kaikki Dorin paikkakunta; jolla oli Taphat Salomon tytär emäntänä;
12 Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
Baena Ahiludin poika Taanakissa ja Megiddossa, ja koko BetSeanissa, joka on liki Zartanaa Jisreelin alla, BetSeanista Mahalonin ketoon asti, niin tällä puolella Jokmeamia;
13 Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
Geberin poika Ramotista Gileadissa, jolla olivat Jairin kylät, Manassen pojan Gileadista, jolla oli Argobin niitty, joka on Basaniin päin, kuusikymmentä suurta muurattua kaupunkia vaskitelkinensä;
14 Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
Ahinadab Iddon poika oli Mahanaimissa;
15 Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
Ahimaats Naphtalissa; ja hänkin otti Basmatin Salomon tyttären emännäksensä;
16 Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
Baena Husain poika Asserissa ja Alotissa;
17 Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
Josaphat Paruan poika Isaskarissa;
18 Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
Simei Elan poika BenJaminissa;
19 na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
Geber Urin poika Gileadin maalla, Sihonin Amorilaisten kuninkaan maalla, ja Ogin Basanin kuninkaan, joka myös oli yksi niiden maakuntain valtamies.
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
Mutta Juudaa ja Israelia oli paljo, niinkuin santaa meren tykönä paljouden tähden; he söivät ja joivat ja iloitsivat.
21 Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
Ja Salomo hallitsi kaikissa valtakunnissa, hamasta Philistealaisten maakunnan virrasta Egyptin rajaan asti, jotka toivat hänelle lahjoja ja palvelivat Salomoa kaiken hänen elinaikansa.
22 Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
Ja Salomolla oli jokapäiväiseksi ruaksi kolmekymmentä koria sämpyläjauhoja, kuusikymmentä koria muita jauhoja,
23 makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
Kymmenen lihavaa härkää, ja kaksikymmentä härkää laitumelta, ja sata lammasta, ilman peuroja, ja metsävuohia, ja valittua lihavaa karjaa ja lintuja.
24 Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
Sillä hän hallitsi koko maakunnassa, sillä puolella virtaa, hamasta Dipsasta Gasaan asti, kaikkein kuningasten ylitse tällä puolella virtaa; ja hänellä oli rauha kaikella ympäristöllänsä,
25 Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
Niin että Juuda ja Israel asuivat levollisesti, itsekukin viinapuunsa ja fikunapuunsa alla, Danista BerSebaan asti, niinkauvan kuin Salomo eli.
26 Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
Ja Salomolla oli neljäkymmentä tuhatta hinkaloa hevosille vaunuinsa eteen, ja kaksitoistakymmentä tuhatta hevosmiestä.
27 Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
Ja nämä valtamiehet toimittivat kuningas Salomolle ruokaa ja kaikille jotka kuningas Salomon pöytää lähestyivät; kukin kuukaudellansa, niin ettei siitä mitään puuttunut.
28 Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
He toivat myös ohria ja olkia hevosille ja nopsille orhille, sinne kussa hän oli, kukin niinkuin hänelle käsketty oli.
29 Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
Ja Jumala antoi Salomolle viisauden ja sangen suuren ymmärryksen, niin myös rohkian sydämen, niinkuin sannan meren rannalla,
30 Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
Niin että Salomon taito oli suurempi kuin kaikkein itäisen maan lasten ja Egyptiläisten taito.
31 Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
Ja hän oli taitavampi kaikkia ihmisiä, ja taitavampi kuin Etan Estrahilainen, ja Heman, ja Kalkol, ja Darda, Makolin pojat, ja hänen nimensä oli kuuluisa ympäri kaikkein pakanain,
32 Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
Ja puhui kolmetuhatta sananlaskua; ja hänen virsiänsä oli tuhannen ja viisi,
33 Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
Ja puhui myös puista, sedristä, joka on Libanonissa, hamaan isoppiin asti, joka seinästä kasvaa. Niin puhui hän myös eläimistä, linnuista, matelevaisista ja kaloista.
34 Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.
Ja kaikista kansoista tultiin kuulemaan Salomon taitoa, ja kaikilta maan kuninkailta, jotka olivat kuulleet hänen taidostansa.