< 1 Wafalme 4 >
1 Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
Цар Соломон, прочее, царуваше над целия Израил;
2 Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
и ето началниците, които той имаше: Азария, Садоковия син, свещеник;
3 Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
Елиореф и Ахия, синовете на Сиса, секретари; Иосафат, Ахилудовия син, летописец;
4 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
Ванаия, Иодаевия син, над войската; Садок и Авиатар, свещеници;
5 Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
Азария, Натановия син, над надзирателите на храната; Завуд, Натановия син, главен чиновник и приятел на царя.
6 Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
Ахисар, домоуправител; а Адонирам, Авдовия син, над набора.
7 Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
А Соломон имаше из целия Израил дванадесет надзиратели; които доставяха храните на царя и за дома му; всеки доставяше за един месец в годината.
8 Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
И ето имената им: Оровия син, надзирател в Ефремовата гора;
9 Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
Декеровият син, в Макас-Саавим, Ветсемес и Елон-Ветанан.
10 Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
Еседовият син, в Арувот; под него бе Сохо и цялата страна Ефер;
11 Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
Авинадавовият син, в целия Нафат-дор; той имаше за жена Соломоновата дъщеря Тафата;
12 Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
Ваана Ахилудовият син, в Таанах и Магедон, и в целия Ветсан, който е при Церетан под Езраил, от Ветсан до Авел-меола до отвъд Иокмеам;
13 Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
Геверовият син, в Рамот-галаад; той имаше градовете на Яира Манасиевият син, които са в Галаад; той имаше и областта Аргов, която е във Васан, - шестдесет големи градове със стени и медни лостове;
14 Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
Ахинадав Иодовият син, в Маханаим;
15 Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
Ахимаас, в Нефталим; и той взе за жена Соломоновата дъщеря Васемата;
16 Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
Ваана, Хусевият син, в Асир и в Алот;
17 Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
Иосафат, Фаруевият син, в Исахар;
18 Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
Семей, Илаевият син, във Вениамин;
19 na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
и Гевер, Уриевият син, в галаадската земя, в земята на аморейския цар Сион и на васанския цар Ог; и в тая земя той бе единственият надзирател.
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
Юда и Израил бяха многобройни, по множество както крайморския пясък; ядяха, пиеха и веселяха се.
21 Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
И Соломон владееше над всичките царства от реката Евфрат до филистимската земя и до египетската граница; и те донасяха подаръци, и бяха подчинени на Соломона през всичките дни на неговия живот.
22 Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
А продоволствието за Соломона за един ден бе тридесет кора чисто брашно и шестдесет кора друго брашно,
23 makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
десет угоени говеда и двадесет охранени говеда, и сто овци, освен елени, сърни, биволи и тлъсти птици.
24 Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
Защото той владееше над цялата земя отсам реката, от Тапса дори до Газа, - над всички царе отсам реката; и той имаше мир навсякъде около себе си.
25 Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
Юда и Израил живееха безопасно, всеки под лозята си и под смоковницата си, от Дан до Вирсавее, през всичките дни на Соломона.
26 Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
И Соломон имаше обори за четиридесет хиляди коне за колесници.
27 Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
И ония надзиратели продоволствуваха, всеки в месеца си, за цар Соломона и за всички, които дохождаха на Соломоновата трапеза; те не допускаха никаква оскъдност.
28 Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
Още ечемик и слама за конете и бързоногите коне донасяха на мястото, гдето бяха, всеки според както му беше определено.
29 Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
И Бог даде на Соломона твърде много мъдрост и разум, и душевен простор, като крайморския пясък.
30 Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
Така Соломоновата мъдрост надмина мъдростта на всичките източни жители и цялата египетска мъдрост;
31 Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
защото беше по-мъдър от всичките човеци, - от езраеца Етан, и от Емана, Халкола и Дарда, синовете на Маола; и името му се прочу между всичките околни народи.
32 Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
Той изрече три хиляди поговорки; а песните му бяха хиляда и пет на брой.
33 Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
Той говори за дърветата, от ливанския кедър дори до исопа, който никне из стената; говори още за животните, за птиците, за пълзящите и за рибите.
34 Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.
И от всичките народи, и от всичките царе на света, които бяха чули за мъдростта на Соломона, дохождаха да слушат неговата мъдрост.