< 1 Wafalme 3 >

1 Sulemani akawa na ushirikiano wa kindoa na Farao mfalme wa Misri. Alimwoa binti wa Farao na kumleta katika mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake, nyumba ya BWANA, na ukuta wa Yerusalemu.
Sulayman Misirning padishahi Pirewn bilen ittipaq tüzüp Pirewnning qizini xotunluqqa aldi. Öz ordisi, Perwerdigarning öyi we Yérusalémning chörisidiki sépilni yasap pütküzgüchilik u uni «Dawutning shehiri»ge apirip turghuzdi.
2 Watu walikuw wakitoa sadaka kwenye maeneo ya juu, kwa sababu hapakuwa bado na nyumba iliyokuwa imejengwa kwa jina la BWANA.
Shu waqitlarda Perwerdigarning nami üchün bir ibadetxana yasalmighini üchün xelq «yuqiri jaylar»da qurbanliqlirini qilatti.
3 Sulemani alionyesha upendo wake kwa BWANA kwa kutembea katika maagizo ya Daudi baba yake, isipokuwa tu alitoa dhabihu na kuchoma uvumba mahali pa juu.
Sulayman Perwerdigarni söyüp, atisi Dawutning belgiligenliride mangatti. Peqet «yuqiri jaylar»da qurbanliq qilip xushbuy yaqatti.
4 Mfalme akaenda Gibioni kutoa sadaka kule, kwa kuwa hilo ndilo lilikuwa eneo kuu la juu. Sulemani katoa sadaka maelfu katika madhabu hiyo.
Padishah qurbanliq qilghili Gibéon’gha bardi; chünki u yer «ulugh yuqiri jay» idi. Sulayman u yerdiki qurban’gahda bir ming köydürme qurbanliq sundi.
5 BWANA akaonekana kwa Sulemani huko Gibioni katika ndoto ya usiku; akasema, “Omba! uanataka nikupe nini?”
Perwerdigar Gibéonda Sulayman’gha kéchisi chüshide köründi. Xuda uninggha: — Méning sanga néme bérishimni layiq tapsang, shuni tiligin, dédi.
6 Kwa hiyo Sulemani akasema, “umeonyesha uaminifu wa agano mkuu kwa mtumishi wako, Daudi baba yangu, kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo na katika unyofu wa moyo. Umetunza kwa ajili yake hili agano kuu kwa uaminifu na umempa mwana wake kuketi kwenye kiti chake cha enzi leo.
Sulayman jawaben mundaq dédi: — Qulung atam Dawut Séning aldingda heqiqet, heqqaniyliq we könglining semimiyliki bilen mangghanliqi bilen Sen uninggha zor méhribanliqni körsetkeniding; we Sen shu zor méhribanliqni dawam qilip, bügünki kündikidek öz textide olturghili uninggha bir oghul berding.
7 Na sasa, BWANA, Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme katika nafasi ya Daudi baba yangu, japo mimi ni mtoto mdogo. Sijui namna ya kuiingia na kutoka.
Emdi i Perwerdigar Xudayim, qulungni atam Dawutning ornida padishah qilding. Emma men peqet bir gödek bala xalas, chiqish-kirishnimu bilmeymen.
8 Mtumishi wako yuko katikati ya watu wako uliowachagua, kundi kubwa, watu wangi wasiohesabika.
Öz qulung Sen tallighan xelqing, köplükidin sanap bolmaydighan hésabsiz ulugh bir xelq arisida turidu.
9 Kwa hiyo umpe mtumishi wako moyo wa uelewa wa kuwahukumu watu wako. Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?”
Shunga Öz qulunggha xelqingning üstide höküm qilishqa yaxshi-yamanni perq étidighan oyghaq bir qelbni bergeysen; bolmisa, kim bu ulugh xelqing üstige höküm qilalisun? — dédi.
10 Ombi hili la Sulemani likampendeza Bwana.
Sulaymanning shuni tilikini Rebni xush qildi.
11 Kwa hiyo Mungu akamwambia. “Kwa sababu umeomba jambo hili na haujajiombea maisha marefu au utajiri au uhai wa maadui wako, lakini umeomba ufahamu wa kutambua hukumu ya haki,
Xuda uninggha: — Sen shuni tiligining üchün — Ya özüng üchün uzun ömür tilimey, ya özüng üchün dölet-bayliq tilimey, ya düshmenliringning janlirini tilimey, belki toghra höküm qilghili oyghaq bolushqa özüng üchün eqil-parasetni tiligining üchün,
12 Tazama sasa nitafanya yote uliyoniomba wakati uliponipa ombi lako. Ninakupa moyo wa hekima na ufahamu, kwa kuwa hapajawahi kuwa na mtu wa kuwa kama wewe kabla yako, na hakuna wa kuwa kama wewe atakayeinuka baada yako.
mana, sözüng boyiche shundaq qildim. Mana sanga shundaq dana we yorutulghan qelbni berdimki, sendin ilgiri sanga oxshaydighini bolmighan, sendin kéyinmu sanga oxshaydighini bolmaydu.
13 Pia ninakupa hata ambayo hujaomba, vyote heshima na utajiri, ili kwamba pasije pakawa na mfalme wa kuwa kama wewe katika siku zako zote.
Men sen tilimigen nersinimu, yeni dölet-bayliq we shan-shöhretni sanga berdim. Shuning bilen barliq künliringde padishahlarning arisida sanga oxshash bolidighini chiqmaydu.
14 Kama utatembea katika njia zangu na kuyatunza maagizo yangu na maagizo yangu, kama alivyofanya baba yako Daudi, ndipo nitakapoziongeza siku zako.”
Eger atang Dawut mangghandek Méning yollirimda méngip, belgilimilirim we emrlirimni tutsang künliringni uzartimen, dédi.
15 Kisha Sulemani alipoamka, na tazama, ilikuwa ndoto. Akaja Yerusalemu na akasimama mbele ya sanduku na agano la Bwana. Akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, na akawafanyia sherehe watumishi wake wote.
Sulayman oyghan’ghanda, mana bu bir chüsh idi. U Yérusalémgha kélip Perwerdigarning ehde sanduqining aldigha kélip, öre turup köydürme qurbanliqlarni qilip, teshekkür qurbanliqlirini ötküzüp, hemme xizmetkarlirigha ziyapet qilip berdi.
16 Kisha wanawake wawili waliokuwa makahaba wakaja mbele ya mfalme wakasimama mbele yake.
Shuningdin kéyin ikki pahishe ayal padishahning qéshigha kélip uning aldida turdi.
17 Mwanamke mmoja akasema, “Aa, bwana wangu, mwanamke huyu na mimi tunaishi katika nyumba moja, Nilizaa mtoto tukiwa pamoj na yeye katika nyumba yetu.
Birinchi ayal: — I ghojam! Men we bu xotun bir öyde olturimiz; u men bilen öyde turghinida bir balini tughdum.
18 Ikatokea siku ya tatu baada ya kujifungua na yeye akajifungua. Tulikuwa sisi tu. Hapakuwepo na mtu mwingine yeyote katika nyumba yetu, ila sisi tu wawili katika hiyo nyumba.
Men balini tughup üch kündin kéyin u xotunmu bir bala tughdi. Biz ikkiylen u yerde olturduq; öyde bizdin bashqa héch yat adem yoq idi, yalghuz biz ikkiylen öyde iduq.
19 Kisha mtoto wa mwanamke huyu akafa wakati wa usiku, kwa sababu alimlalia.
Shu kéchide bu xotunning balisi öldi; chünki u balisini bésip öltürüp qoyghanidi.
20 kwa hiyo akamka wakati huo wa usiku wa manane akamchukua mwanangu toka pembeni yangu, wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa usingizini, na akamlaza kwenye kifua chake, na akamlaza mtoto wake aliyekufa juu ya kifua changu.
U yérim kéchide qopup dédekliri uxlap qalghanda, yénimdin oghlumni élip öz quchiqigha sélip, özining ölgen oghlini méning quchiqimgha sélip qoyuptu.
21 Asubuhi nilipoamka ili kumhudumia mwanangu, nikaona kuwa alikuwa amekufa. Lakini nilipomwangalia kwa makini wakati huo wa asubuhi, nikagundua kuwa hakuwa yule mwanangu niliyezaa,”
Etisi qopup balamni émitey désem mana ölük turidu. Lékin etigende qarisam, u men tughqan bala emes idi, dédi.
22 Yule mwanamke mwingine akasema, “Hapana, Huyu aliye hai ndiye wangu. Na yule aliyekufa ndiye wako.” Yule mwanamke wa kwanza akasema, “Hapana, Yule mtoto aliyekufa ndiye mwanao, na huyu aliye hai ndiye wangu.” Hivi ndivyo walivyoongea mbele ya mfalme.
Ikkinchi ayal: — Yaq, undaq emes. Tirik qalghini méning oghlum, ölgini séning oghlung, dédi. Lékin birinchi ayal: — Yaq, ölgini séning oghlung, tirik qalghini méning oghlum, dédi. Ular shu halette padishahning aldida taliship turatti.
23 Kisha mfalme akasema, “Mmoja wenu anasema, 'huyu aliye hai ni wangu, na kumbe mwanao ndiye aliye kufa,'na mwingine naye anasema, 'Hapana, mwanao ni yule aliyekufa, na mwanangu ni huyu aliye hai.'”
Padishah: — Biri: «Tirik qalghini méning oghlum, ölgini séning oghlung» deydu. Emma yene biri: «Yaq, ölgini séning oghlung, tirik qalghini méning oghlum» deydu, dédi.
24 Mfalme akasema, ''Nileteeni upanga.” Kwa hiyo wakaleta upanga kwa mfalme.
Padishah: Manga bir qilich élip kélinglar, dédi. Ular qilichni padishahqa élip kelgende
25 Kisha mfalme akasema, “Mgawe mtoto aliye hai katika vipande viwili, na huyu mwanamke apewe nusu na yule mwingine naye apewe nusu.”
padishah: Tirik balini otturidin késip ikki parche qilip yérimini birige, yene bir yérimni ikkinchisige béringlar, dédi.
26 Yule mwanamke mwenye mtoto aliyekuwa hai akamwambia mfalme, kwa kuwa moyo wake ulikuwa na huruma sana kwa mwanae, akasema, “Aa, bwana wangu, mpatie huyu mtoto aliye hai, na usimwue kamwe.” Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Hatakuwa wangu wala wako. Mgawe.”
U waqitta tirik balining anisi öz balisigha ichini aghritip padishahqa: — Ah ghojam! Tirik balini uninggha bersile, hergiz uni öltürmigeyle! — dep yalwurdi. Lékin ikkinchisi: — Uni ne méningki ne séningki qilmay, otturidin késinglar, dédi.
27 Ndipo mfalme aliposema, “Mpe yule mwanamke wa kwanza mtoto aliye hai, na kamwe usimwue. Yeye ndiye mama wa mtoto huyu.”
Padishah jawaben: — Tirik balini uninggha béringlar, uni héch öltürmenglar; chünki bu balining anisi shudur, dédi.
28 Israeli wote waliposikia hukumu ambayo mafalme ametoa, walimwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa hekima ya Mungu ilikuwa ndani yake kwa ajili ya kutoa kuhukumu.
Pütkül Israil padishahning qilghan hökümi toghrisida anglidi we ular padishahtin qorqti, chünki ular Xudaning adil hökümlerni chiqirish danaliqining uningda barliqini kördi.

< 1 Wafalme 3 >