< 1 Wafalme 3 >

1 Sulemani akawa na ushirikiano wa kindoa na Farao mfalme wa Misri. Alimwoa binti wa Farao na kumleta katika mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake, nyumba ya BWANA, na ukuta wa Yerusalemu.
Solomon el kupasryang nu sin tokosra Egypt ke el payukyak nu sin acn se natul. El use mutan sac nu in Siti sel David elan muta we nwe ke el aksafyela musa lal ke lohm sin tokosra, ac Tempul, ac pot rauneak acn Jerusalem.
2 Watu walikuw wakitoa sadaka kwenye maeneo ya juu, kwa sababu hapakuwa bado na nyumba iliyokuwa imejengwa kwa jina la BWANA.
Soenna oasr tempul musala nu sin LEUM GOD, ke ma inge mwet uh srakna orek kisa fin loang pus.
3 Sulemani alionyesha upendo wake kwa BWANA kwa kutembea katika maagizo ya Daudi baba yake, isipokuwa tu alitoa dhabihu na kuchoma uvumba mahali pa juu.
Solomon el lungse LEUM GOD, ac el fahsrna ke mwe luti lal David, papa tumal. Ma sefanna, el oayapa uniya kosro ac orek kisa ke loang pus.
4 Mfalme akaenda Gibioni kutoa sadaka kule, kwa kuwa hilo ndilo lilikuwa eneo kuu la juu. Sulemani katoa sadaka maelfu katika madhabu hiyo.
Sie pacl ah, el som nu Gibeon in orek kisa we, ke sripen loang se we ah arulana pwengpeng. Arulana pus mwe kisa firir el oru in acn sac meet.
5 BWANA akaonekana kwa Sulemani huko Gibioni katika ndoto ya usiku; akasema, “Omba! uanataka nikupe nini?”
In fong sac LEUM GOD El sikyak nu sel in sie mweme ac siyuk sel, “Mea kom lungse ngan sot nu sum?”
6 Kwa hiyo Sulemani akasema, “umeonyesha uaminifu wa agano mkuu kwa mtumishi wako, Daudi baba yangu, kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo na katika unyofu wa moyo. Umetunza kwa ajili yake hili agano kuu kwa uaminifu na umempa mwana wake kuketi kwenye kiti chake cha enzi leo.
Solomon el topuk, “Pacl nukewa kom akkalemye lungse lom nu sin mwet kulansap lom, David, papa tumuk, ac el tuh wo ac inse pwaye ac suwohs nu sum. Ac kom srakna akkalemye lungse lulap ac kawil lom nu sel ke kom sang sie wen su aolul in leum misenge.
7 Na sasa, BWANA, Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme katika nafasi ya Daudi baba yangu, japo mimi ni mtoto mdogo. Sijui namna ya kuiingia na kutoka.
O LEUM GOD luk, kom lela ngan aolla papa tumuk in tokosra, nga finne srakna fusr ac tia etu in kol.
8 Mtumishi wako yuko katikati ya watu wako uliowachagua, kundi kubwa, watu wangi wasiohesabika.
Nga inge, inmasrlon mwet su kom sulela tuh in mwet lom, sie mutunfacl lulap su tia ku in oaoala.
9 Kwa hiyo umpe mtumishi wako moyo wa uelewa wa kuwahukumu watu wako. Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?”
Ke ma inge, ase nu sik lalmwetmet, tuh nga fah ku in kol mwet lom ke suwohs, ac in etu inmasrlon ma wo ac ma koluk. Fin tia ouinge, nga ac leumi mwet puspis lom inge fuka?”
10 Ombi hili la Sulemani likampendeza Bwana.
LEUM GOD El insewowo lah Solomon el siyuk ke ma se inge,
11 Kwa hiyo Mungu akamwambia. “Kwa sababu umeomba jambo hili na haujajiombea maisha marefu au utajiri au uhai wa maadui wako, lakini umeomba ufahamu wa kutambua hukumu ya haki,
na El fahk nu sel, “Mweyen kom siyuk ke lalmwetmet in leumi mwet uh ke suwohs, ac tia siyuk ke moul loes nu sum sifacna, ku ke mwe kasrup, ku ke mwet lokoalok lom in misa,
12 Tazama sasa nitafanya yote uliyoniomba wakati uliponipa ombi lako. Ninakupa moyo wa hekima na ufahamu, kwa kuwa hapajawahi kuwa na mtu wa kuwa kama wewe kabla yako, na hakuna wa kuwa kama wewe atakayeinuka baada yako.
nga ac fah sot ma kom siyuk kac. Nga ac sot lalmwetmet ac etauk yohk liki mwet nukewa meet liki kom, oayapa elos su ac fah tuku tukum.
13 Pia ninakupa hata ambayo hujaomba, vyote heshima na utajiri, ili kwamba pasije pakawa na mfalme wa kuwa kama wewe katika siku zako zote.
Nga fac oayapa sot ma kom tia siyuk kac: in moul lom nufon kom ac kasrup ac fulat, yohk liki tokosra nukewa saya.
14 Kama utatembea katika njia zangu na kuyatunza maagizo yangu na maagizo yangu, kama alivyofanya baba yako Daudi, ndipo nitakapoziongeza siku zako.”
Ac kom fin akos ac liyaung ma sap ac oakwuk luk nukewa, in oana David papa tomom, nga ac fah akloesye moul lom.”
15 Kisha Sulemani alipoamka, na tazama, ilikuwa ndoto. Akaja Yerusalemu na akasimama mbele ya sanduku na agano la Bwana. Akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, na akawafanyia sherehe watumishi wake wote.
Solomon el ngutalik ac akilen lah LEUM GOD El kaskas nu sel in mweme sac, na el som nu Jerusalem ac tu mutun Tuptup in Wuleang lun LEUM GOD ac orek kisa firir ac mwe kisa in akinsewowo nu sin LEUM GOD. Toko el orala kufwa se nu sin mwet kacto lal nukewa.
16 Kisha wanawake wawili waliokuwa makahaba wakaja mbele ya mfalme wakasimama mbele yake.
Sie len ah, mutan kosro luo tuku ac utyak nu ye mutal Tokosra Solomon.
17 Mwanamke mmoja akasema, “Aa, bwana wangu, mwanamke huyu na mimi tunaishi katika nyumba moja, Nilizaa mtoto tukiwa pamoj na yeye katika nyumba yetu.
Sie seltal fahk, “Leum fulat, nga ac mutan se inge muta in lohm sefanna, ac nga oswela tulik mukul se ke mutan se inge el muta yuruk.
18 Ikatokea siku ya tatu baada ya kujifungua na yeye akajifungua. Tulikuwa sisi tu. Hapakuwepo na mtu mwingine yeyote katika nyumba yetu, ila sisi tu wawili katika hiyo nyumba.
Len luo tukun nga oswela wen se nutik ah, el oswela pac tulik mukul se. Kut mwet luo na pa muta in lohm sac, ac wangin mwet saya.
19 Kisha mtoto wa mwanamke huyu akafa wakati wa usiku, kwa sababu alimlalia.
Na sie fong ah el motul folosuwosla toanya tulik natul ah, na tulik sac misa.
20 kwa hiyo akamka wakati huo wa usiku wa manane akamchukua mwanangu toka pembeni yangu, wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa usingizini, na akamlaza kwenye kifua chake, na akamlaza mtoto wake aliyekufa juu ya kifua changu.
El tukakek ke infulwen fong, ac use tulik misa natul ah nu yuruk, ac el usla tulik nutik ah nu yorol ke nga srakna motul.
21 Asubuhi nilipoamka ili kumhudumia mwanangu, nikaona kuwa alikuwa amekufa. Lakini nilipomwangalia kwa makini wakati huo wa asubuhi, nikagundua kuwa hakuwa yule mwanangu niliyezaa,”
In lotu tok ah nga ngutalik ac oru ngan katiti tulik se nutik ah, tuh na el misa. Ac ke nga lohang nu kacl, nga akilen tuh na tia ma nutik.”
22 Yule mwanamke mwingine akasema, “Hapana, Huyu aliye hai ndiye wangu. Na yule aliyekufa ndiye wako.” Yule mwanamke wa kwanza akasema, “Hapana, Yule mtoto aliyekufa ndiye mwanao, na huyu aliye hai ndiye wangu.” Hivi ndivyo walivyoongea mbele ya mfalme.
A mutan se ngia fahk, “Mo! Tulik se ma moul uh ma nutik, ac ma se ma misa ah ma nutum!” Mutan se meet ah topuk, “Mo! Tulik se ma misa ah ma nutum, ac ma se ma moul uh ma nutik!” Ouinge eltal akukuinla ye mutal tokosra.
23 Kisha mfalme akasema, “Mmoja wenu anasema, 'huyu aliye hai ni wangu, na kumbe mwanao ndiye aliye kufa,'na mwingine naye anasema, 'Hapana, mwanao ni yule aliyekufa, na mwanangu ni huyu aliye hai.'”
Na Tokosra Solomon el fahk, “Komtal kewa fahk mu ma natul pa tulik se ma moul uh, ac ma se ma misa ah ma nutin mutan se ngia.”
24 Mfalme akasema, ''Nileteeni upanga.” Kwa hiyo wakaleta upanga kwa mfalme.
Tokosra el sap in utuku sie cutlass, na ke utuku
25 Kisha mfalme akasema, “Mgawe mtoto aliye hai katika vipande viwili, na huyu mwanamke apewe nusu na yule mwingine naye apewe nusu.”
el fahk, “Fulungya tulik se ma moul an in ip luo, ac sang la nu sin sie, ac la nu sin sie.”
26 Yule mwanamke mwenye mtoto aliyekuwa hai akamwambia mfalme, kwa kuwa moyo wake ulikuwa na huruma sana kwa mwanae, akasema, “Aa, bwana wangu, mpatie huyu mtoto aliye hai, na usimwue kamwe.” Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Hatakuwa wangu wala wako. Mgawe.”
Mutan se ma natu tulik se ma moul ah, ke yohk pakomuta ac lungse lal nu sin tulik sac, el fahk nu sin tokosra, “Leum fulat, nunak munas nimet unilya! Eisalang nu sel!” A mutan se ngia fahk, “Nimet eisalu nu sesr kewa. Fulungilya in ip luo.”
27 Ndipo mfalme aliposema, “Mpe yule mwanamke wa kwanza mtoto aliye hai, na kamwe usimwue. Yeye ndiye mama wa mtoto huyu.”
Na Solomon el fahk, “Nimet uniya tulik sacn! Sang nu sin mutan se meet an. El pa nina na pwaye kial an.”
28 Israeli wote waliposikia hukumu ambayo mafalme ametoa, walimwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa hekima ya Mungu ilikuwa ndani yake kwa ajili ya kutoa kuhukumu.
Ke pacl se mwet Israel lohng ke nununku se lal Solomon inge, elos nukewa arulana akfulatyal, mweyen elos etu lah LEUM GOD El sang lalmwetmet nu sel elan oru nununku fal ac suwohs.

< 1 Wafalme 3 >