< 1 Wafalme 3 >
1 Sulemani akawa na ushirikiano wa kindoa na Farao mfalme wa Misri. Alimwoa binti wa Farao na kumleta katika mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake, nyumba ya BWANA, na ukuta wa Yerusalemu.
Solomon ni Izip siangpahrang Faro hoi huikonae a sak. Faro canu yu lah a paluen teh, amae im, BAWIPA e im hoi Jerusalem rapan a cum hoehroukrak teh Devit khopui vah ao sak.
2 Watu walikuw wakitoa sadaka kwenye maeneo ya juu, kwa sababu hapakuwa bado na nyumba iliyokuwa imejengwa kwa jina la BWANA.
Hatnae tueng dawk taminaw pueng ni hmuen rasang koe thuengnae ouk a sak awh. Bangkongtetpawiteh, hatnae tueng dawk BAWIPA hane im sak hoeh rah.
3 Sulemani alionyesha upendo wake kwa BWANA kwa kutembea katika maagizo ya Daudi baba yake, isipokuwa tu alitoa dhabihu na kuchoma uvumba mahali pa juu.
Rasangnae hmuen koe thuengnae hoi hmuitui hmaisawinae ouk a sak. Solomon ni BAWIPA hah a lungpataw teh, na pa Devit e phunglamnaw hai a tarawi.
4 Mfalme akaenda Gibioni kutoa sadaka kule, kwa kuwa hilo ndilo lilikuwa eneo kuu la juu. Sulemani katoa sadaka maelfu katika madhabu hiyo.
Siangpahrang teh Gibeon lah thuengnae sak hanelah a cei. Bangkongtetpawiteh, hothateh, alawkpui poung e hmuen lah a o. Solomon ni khoungroe dawkvah, hmaisawi thuengnae 1000 touh a poe.
5 BWANA akaonekana kwa Sulemani huko Gibioni katika ndoto ya usiku; akasema, “Omba! uanataka nikupe nini?”
Hahoi Gibeon vah BAWIPA teh Solomon koevah, tangmin a mang lah a kamnue pouh. Cathut ni bangmaw na poe han het loe atipouh.
6 Kwa hiyo Sulemani akasema, “umeonyesha uaminifu wa agano mkuu kwa mtumishi wako, Daudi baba yangu, kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo na katika unyofu wa moyo. Umetunza kwa ajili yake hili agano kuu kwa uaminifu na umempa mwana wake kuketi kwenye kiti chake cha enzi leo.
Solomon ni na sanpa apa Devit ni na mithmu vah lawkkatang hoi lannae hoi kathounge lungthin a tawn e patetlah nang ni ahni koevah, pahrennae kalen poung hah na kamnue sak, nang ni hete pahrennae kalenpounge dawk nang ni a bawitungkhung dawk ka tahung e a capa hah na poe toe.
7 Na sasa, BWANA, Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme katika nafasi ya Daudi baba yangu, japo mimi ni mtoto mdogo. Sijui namna ya kuiingia na kutoka.
Oe, BAWIPA ka Cathut, nama ni na sanpa heh apa Devit e a yueng lah siangpahrang lah na o sak toe. Hatei, camo lah doeh ka o rah. Bangtelamaw ka kâen vaiteh, bangtelamaw ka tâco han tie boehai ka panuek hoeh.
8 Mtumishi wako yuko katikati ya watu wako uliowachagua, kundi kubwa, watu wangi wasiohesabika.
Na sanpa heh na tami hoi na rawi e taminaw apap awh teh, apap awh lawi touklek hoeh e hoi nâyittouh maw tie panue thai hoeh e rahak vah ka o.
9 Kwa hiyo umpe mtumishi wako moyo wa uelewa wa kuwahukumu watu wako. Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?”
Hatdawkvah, na taminaw hane lawkceng pouh hanelah na sanpa heh a thoe hoi hawi kapek thai nahanelah lungangnae lungthin na poe haw. Bangkongtetpawiteh, hettelah kapap e na taminaw heh, apinimaw lawk a ceng han vaw atipouh.
10 Ombi hili la Sulemani likampendeza Bwana.
Solomon ni a hei e hoi a dei e lawk ni BAWIPA lungyouk sak.
11 Kwa hiyo Mungu akamwambia. “Kwa sababu umeomba jambo hili na haujajiombea maisha marefu au utajiri au uhai wa maadui wako, lakini umeomba ufahamu wa kutambua hukumu ya haki,
Cathut ni ahni koevah, hring saw hane na het laipalah, hete hno na hei e heh, tawnta hane hoi na tarannaw due hane hai na het laipalah, lawkceng thoumnae na hei dawkvah,
12 Tazama sasa nitafanya yote uliyoniomba wakati uliponipa ombi lako. Ninakupa moyo wa hekima na ufahamu, kwa kuwa hapajawahi kuwa na mtu wa kuwa kama wewe kabla yako, na hakuna wa kuwa kama wewe atakayeinuka baada yako.
khenhaw! na lawk patetlah ka sak toe. Khenhaw! lungangnae hoi panuethainae lungthin na poe han. Nang hoehnahlan nang patet e tami ao boihoeh rae patetlah atu hoi hai nang patetlae tami bout awm mahoeh toe.
13 Pia ninakupa hata ambayo hujaomba, vyote heshima na utajiri, ili kwamba pasije pakawa na mfalme wa kuwa kama wewe katika siku zako zote.
Na hei hoeh e tawntanae hoi barinae hai na poe han. Na hringyung thung siangpahrangnaw thung dawk, nang hoi kâvan e awm mahoeh.
14 Kama utatembea katika njia zangu na kuyatunza maagizo yangu na maagizo yangu, kama alivyofanya baba yako Daudi, ndipo nitakapoziongeza siku zako.”
Na pa Devit ni a tarawi e patetlah ka phunglam hoi ka kâpoelawknaw na tarawi pawiteh, na hringnae hai a saw han.
15 Kisha Sulemani alipoamka, na tazama, ilikuwa ndoto. Akaja Yerusalemu na akasimama mbele ya sanduku na agano la Bwana. Akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, na akawafanyia sherehe watumishi wake wote.
Solomon a kâhlaw teh mang lah ao. Jerusalem lah a cei teh, BAWIPA e lawkkamnae thingkong hmalah a kangdue. Hmaisawi thuengnae hoi roum thuengnae a sak teh a sannaw pueng hanelah rawca vennae a sak pouh.
16 Kisha wanawake wawili waliokuwa makahaba wakaja mbele ya mfalme wakasimama mbele yake.
Hatnavah, ka kâyawt e napui kahni touh, siangpahrang koevah a cei roi teh, a hmalah a kangdue roi.
17 Mwanamke mmoja akasema, “Aa, bwana wangu, mwanamke huyu na mimi tunaishi katika nyumba moja, Nilizaa mtoto tukiwa pamoj na yeye katika nyumba yetu.
Buet touh e napui ni, oe ka bawipa hete napui hoi im buet touh dawk reirei ka o roi. Hote im dawk ka o navah, ca ka khe.
18 Ikatokea siku ya tatu baada ya kujifungua na yeye akajifungua. Tulikuwa sisi tu. Hapakuwepo na mtu mwingine yeyote katika nyumba yetu, ila sisi tu wawili katika hiyo nyumba.
Hahoi, ca ka khenae hnin thum touh hnukkhu, hete napui hai ca a khe van. Cungtalah reirei kaawm roi e lah ao teh, kaimouh laipalah alouke imyin hai awmhoeh.
19 Kisha mtoto wa mwanamke huyu akafa wakati wa usiku, kwa sababu alimlalia.
Hahoi, hete napui ni karum vah a ca heh rep a yan sin teh a ca teh a due.
20 kwa hiyo akamka wakati huo wa usiku wa manane akamchukua mwanangu toka pembeni yangu, wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa usingizini, na akamlaza kwenye kifua chake, na akamlaza mtoto wake aliyekufa juu ya kifua changu.
Hahoi teh, bawipa, karumsaning vah a thaw teh, na sannu muet a i nah ka capa ka teng e hah a la teh, oun a tapam. Kadout e a capa hah kai na tapam sak.
21 Asubuhi nilipoamka ili kumhudumia mwanangu, nikaona kuwa alikuwa amekufa. Lakini nilipomwangalia kwa makini wakati huo wa asubuhi, nikagundua kuwa hakuwa yule mwanangu niliyezaa,”
Amom vah ka ca ka sanu ka pânei han ka ti torei teh, khenhaw! oun a la due toe. Hatei, kahawicalah khei ka khet torei teh, ka khe e ka capa nahoeh, atipouh.
22 Yule mwanamke mwingine akasema, “Hapana, Huyu aliye hai ndiye wangu. Na yule aliyekufa ndiye wako.” Yule mwanamke wa kwanza akasema, “Hapana, Yule mtoto aliyekufa ndiye mwanao, na huyu aliye hai ndiye wangu.” Hivi ndivyo walivyoongea mbele ya mfalme.
Hahoi buet touh e napui nihai, kahring e heh kaie capa, kadout e doeh nange na capa telah atipouh van. Buet touh ni hai nahoeh, kadout e heh nange capa, kahring e heh kaie ka capa telah atipouh van. Hottelah siangpahrang e hmalah a dei roi.
23 Kisha mfalme akasema, “Mmoja wenu anasema, 'huyu aliye hai ni wangu, na kumbe mwanao ndiye aliye kufa,'na mwingine naye anasema, 'Hapana, mwanao ni yule aliyekufa, na mwanangu ni huyu aliye hai.'”
Siangpahrang ni het ni kahring e heh kaie capa, kadout e heh nange capa ati. Hot ni kahring e heh kaie capa, kadout e heh nange capa bout ati.
24 Mfalme akasema, ''Nileteeni upanga.” Kwa hiyo wakaleta upanga kwa mfalme.
Hahoi, siangpahrang ni tahloi na poe awh, telah ati. Hat toteh, siangpahrang koe tahloi a thokhai awh.
25 Kisha mfalme akasema, “Mgawe mtoto aliye hai katika vipande viwili, na huyu mwanamke apewe nusu na yule mwingine naye apewe nusu.”
Siangpahrang ni, kahring e camo hah kahni touh lah sei awh nateh, avanglae hah hete napui poe awh nateh, avanglae hah hote napui poe awh, atipouh.
26 Yule mwanamke mwenye mtoto aliyekuwa hai akamwambia mfalme, kwa kuwa moyo wake ulikuwa na huruma sana kwa mwanae, akasema, “Aa, bwana wangu, mpatie huyu mtoto aliye hai, na usimwue kamwe.” Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Hatakuwa wangu wala wako. Mgawe.”
Hat toteh, camo kahring e a manu ni siangpahrang koevah, aw, ka bawipa kahring e camo heh ahni ma poe yawkaw lawih, thet nateh thet hanh atipouh. Bangkongtetpawiteh, a capa lathueng pahrennae a tawn. Hatei, buet touh e napui niteh, kaie lahai awm hoeh, ahnie lahai awm hoeh, thet awh telah ati.
27 Ndipo mfalme aliposema, “Mpe yule mwanamke wa kwanza mtoto aliye hai, na kamwe usimwue. Yeye ndiye mama wa mtoto huyu.”
Hahoi, siangpahrang ni hmaloe e napui koe kahring e camo hah poe awh. Thet awh roeroe hanh. Ahni e capa doeh telah atipouh.
28 Israeli wote waliposikia hukumu ambayo mafalme ametoa, walimwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa hekima ya Mungu ilikuwa ndani yake kwa ajili ya kutoa kuhukumu.
Isarel taminaw pueng ni hote kong dawk siangpahrang ni lawkceng e a thai awh navah, siangpahrang hah a taki awh. Bangkongtetpawiteh, kângingcalah lawkceng thainae Cathut lungangnae teh ahni koe ao tie a panue awh.