< 1 Wafalme 21 >

1 Basi ikawa baada ya hayo, Nabothi Myezreeli alikuwa na shamba la mizabibu kule Yezreeli, karibu na ikulu ya Ahabu, mfalme wa Samaria.
И бысть по глаголех сих, и виноград един бе у Навуфеа Иезраилитянина при гумне Ахаава царя Самарийска.
2 Ahabu akamwambia Nabothi, akisema, “Nipe shamba lako, ili nilifanye kuwa bustani ya mboga, kwa sababu iko karibu na nyumba yangu. Badala yake nitakupa shamba zuri la mizabibu, au, kama ukipenda nitakulipa thamani yake kwa fedha.”
И рече Ахаав к Навуфею, глаголя: даждь ми виноград твой, и будет ми во вертоград зелий, яко близ есть сей дому моего, и дам ти вместо сего виноград ин добр паче сего: аще же угодно пред тобою, дам ти сребро измену винограда сего, и будет ми во вертоград зелий.
3 Nabothi akamjibu Ahabu, “BWANA na alizuie hilo nisije nikatoa urithi wa mababu zangu kwako.”
И рече Навуфей ко Ахааву: да не будет мне от Господа Бога моего дати наследие отец моих тебе.
4 Ahabu akaingia kwenye ikulu yake akiwa mchovu na mwenye hasira kwa sababu ya jibu ambalo Nabothi Myezreeli alimpa aliposema, “Sitakupa urithi wa mababu zangu.” Akalala kitandani kwake, akiwa amegeuza uso wake upande ule, na akagoma kula chakula chochote.
И прииде Ахаав в дом свой смущен и оскорблен о словеси, еже глагола к нему Навуфей Иезраилитянин, и рече: не дам тебе наследия отец моих. И бысть дух Ахаавль смущен, и успе на одре своем и покры лице свое и не яде хлеба.
5 Yezebeli mke wake akaiingia kwake, akamwambia “Kwa nini moyo wako una huzuni, kiasi kwamba hutaki kula?”
И вниде Иезавель жена его к нему и рече к нему: что дух твой есть смущен, и не яси ты хлеба?
6 Naye akamjibu,” Niliongea na Nabothi Myezreeli nikamwambia, 'Nipe shamba lako nami nitakupa pesa, au kama inakupendeza, nitakupa shamba jingine ili liwe lako.' Naye akanijibu, 'Sitakupa shamba langu.'”
И рече к ней (Ахаав): яко глаголах Навуфею Иезраилитянину глаголя: даждь ми виноград твой за сребро: и аще хощеши, дам ти виноград ин вместо его: и рече: не дам ти наследия отец моих.
7 Naye Yezebeli mkewe akamjibu, “Je, wewe si mtawala wa ufalme wa Israeli? Inuka ule; na moyo wako uwe na amani. Nitalichukua hilo shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli kwa ajili yako.
И рече к нему Иезавель жена его: ты ли ныне твориши тако, царю Израилев? Востани и яждь хлеб и молча буди, аз же дам ти виноград Навуфеа Иезраилитянина.
8 Kwa hiyo Yezebeli akaandika barua kwa jina la Ahabu, akaitia muhuri wake, akazituma kwa wazee na kwa watu tajiri alioketi nao kwenye vikao, na ambao pia waliishi karibu na Nabothi.
И написа книгу на имя Ахаавле, и запечата ю печатию его, и посла книгу к старейшинам и свободным живущым с Навуфеем.
9 Katika ile barua aliyoandika, ilisema hivi, “Pigeni mbiu ya kufunga mkamkalishe Nabothi juu mbele ya watu.
И писано бяше в книзе тако: поститеся постом и посадите Навуфеа и в начале людий:
10 Pia mwaweke watu wawili wasiokuwa waaminifu pamoja naye na wale watu watoe ushahidi kinyume naye, waseme, 'Ulimlaani Mungu na mfalme.”Halafu mchukueni nje mkampige kwa mawe mpaka afe.
и посадите два мужа сыны законопреступных противу ему, и да засвидетелствуют о нем, глаголюще, яко (не) благослови Бога и царя: и да изведут его и побиют камением, и да умрет.
11 Kwa hiyo watu wa mji wake, wazee na watu tajiri waishio kwenye huo mji, wakafanya kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile baraua ambazo alikuwa amewatumia.
И сотвориша тако мужие града его старейшии и свободнии живущии во граде его, якоже посла к ним Иезавель, и якоже писано бяше в книгах, яже посла к ним:
12 Wakapiga mbiu ya kufunga wakamkalisha Nabothi juu mbele ya watu.
и нарекоша пост, и посадиша Навуфеа в начале людий,
13 Na wale watu wawili wasiokuwa waaminifu wakaja wakakaa mbele ya Nabothi; nao wakatoa ushuhuda wao dhidi ya Nabothi kuwa amemlaani Mungu na mfalme.” Kisha wakamchukua nje ya mji wakampiga kwa mawe mpaka akafa.
и приидоста два мужа сынове законопреступных и седоста противу его, и засвидетелствоваша на него мужие отступницы Навуфеовы пред людьми, глаголюще: сей (не) благослови Бога и царя. И изведоша его вон из града и побиша его камением, и умре.
14 Kisha wazee wakatuma neno kwa Yezebeli, wakisema, “Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa.”
И послаша ко Иезавели, глаголюще: камением побиен бысть Навуфей и умре.
15 Naye Yezebeli aliposikia kuwa Nabothi ameshapigwa mawe na alikuwa amekufa, akamwabia Ahabu, “Inuka na ukamiliki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia, kwa sababu Nabothi hayuko hai, bali amekufa.”
И бысть егда услыша Иезавель глаголющих, яко побиен Навуфей и умре, и рече Иезавель ко Ахааву: востани, наследуй виноград Навуфеа Иезраилитянина, иже не взя у тебе сребра, и уже несть Навуфей жив, но умре.
16 Ahabu aliposikia kuwa Nabothi amekufa, akainuka ili aende kwenye lile shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli na kulimiliki.
И бысть егда услыша Ахаав, яко убиен бысть Навуфей Иезраилитянин, и раздра ризы своя и облечеся во вретище. И бысть по сих, и воста и сниде Ахаав в виноград Навуфеа Иезраилитянина наследити его.
17 Ndipo neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi, likisema,
И рече Господь ко Илии Фесвитянину, глаголя:
18 “Inuka uende ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye anaishi Samaria. Yumo kwenye shamba la Nabothi, ambako ameenda kuchukua umiliki wa shamba hilo.
востани и сниди на сретение Ахааву царю Израилеву, иже в Самарии, се бо, сей в винограде Навуфееве, яко сниде тамо наследити его:
19 Ukaongee naye umwambie kwamba BWANA anasema, 'Je, umeua na kujimilikisha?' na utamwambia kwamba BWANA anasema, 'Mahali pale ambapo mbwa wameramba damu ya Nabothi, ndipo mbwa watakaporamba damu yako, ndiyo, damu yako.'”
и речеши ему, глаголя: сице глаголет Господь: понеже ты убил еси (Навуфеа) и приял еси в наследие (виноград его), сего ради тако глаголет Господь: на месте, идеже полизаша свинии и пси кровь его, тамо полижут и кровь твою, и блудницы измыются в крови твоей.
20 Ahabu akamwambia Eliya, “Je, umenipatia, adui yangu?” Eliya akamjibu, “Nimekupata wewe kwa sababu, umejiuza mwenyewe kufanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA.
И рече Ахаав ко Илии: обрел ли еси мя, враже мой? И рече Илиа: обретох: понеже ты всуе продан еси сотворити лукавое пред Господем, во еже разгневати Его:
21 BWANA anakwambia hivi: 'Tazama, Nitaleta janga kwako na litakuangamiza kabisa na kufutilia mbali kila mtoto mume na mtumwa na mtu huru katika Israeli.
сице глаголет Господь: се, Аз наведу на тя злая и попалю задняя твоя, и искореню Ахаавля мочащагося к стене, и содержимыя и оставшихся во Израили:
22 Nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama familia ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhabisha na umewasababisha Israeli kufanya dhambi.
и предам дом твой якоже дом Иеровоама сына Наватова, и якоже дом Ваасы сына Ахиина, о прогневаниих, имиже прогневал Мя еси, и грешити сотворил еси Израиля.
23 Pia BWANA ameongea kuhusu Yezebeli, amesema, “mbwa watamla Yezebeli pembeni mwa ukuta wa Yezreeli.'
И ко Иезавели рече Господь, глаголя: пси снедят ю в предградии Иезраеля:
24 Yeyote ambaye ni mtu wa familia ya Ahabu ambaye atafia mjini - mbwa watamla. Na yeyote ambaye atafia shambani - ataliwa na ndege wa angani.”
умершаго Ахаавля во граде снедят пси, и умершаго его на поли снедят птицы небесныя:
25 Hapakuwepo na mtu kama Ahabu, ambaye alijiuza mwenyewe kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, ambaye mke wake Yezebeli alimchochea kufanya dhambi.
и в суете ты еси, Ахааве, иже продан бысть сотворити лукавое пред Господем, яко преврати его Иезавель жена его.
26 Ahabu alifanya matendo yachukizayo kwa ajili ya sanamu alizofanya, kama vile yale yote ambayo Waamori walifanya, BWANA akawafukuza mbele ya watu wa Israeli.
И омерзися зело, еже ходити вслед мерзостей, яже сотвори Аморрей, егоже истреби Господь от лица сынов Израилевых.
27 Ahabu aliposikis maneno haya, Akachana mavazi yake na akavaa magunia kwenye mwili wake na akfaunga, na akalala kwenye magunia na akahuzunika sana.
И бысть егда услыша Ахаав словеса сия, умилися от лица Господня, и идяше плачася, и раздра ризы своя, и препоясася вретищем по телу своему и постися: и бе облечен во вретище от дне, в оньже уби Навуфеа Иезраилитянина, и хождаше скорбен.
28 Kisha neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi likisema,
И бысть глагол Господень рукою раба его Илии о Ахааве,
29 “Je, unamwona jinsi Ahabu anavyojinyenyekeza mbele yangu? Kwa sababu anajinyeyenyekeza mwenyewe mbele yangu, Sitaleta lile janga katika siku zake; Ni katika siku za mwanae, nitakpolileta hilo janga katika familia yake.”
и рече Господь: видел ли еси, яко умилися Ахаав от лица Моего? Сего ради не наведу зла во днех его: но во днех сына его наведу зло на дом его.

< 1 Wafalme 21 >