< 1 Wafalme 21 >

1 Basi ikawa baada ya hayo, Nabothi Myezreeli alikuwa na shamba la mizabibu kule Yezreeli, karibu na ikulu ya Ahabu, mfalme wa Samaria.
Et Achab passa en revue les jeunes fils des chefs des provinces; ils étaient deux cent trente; après cela, il passa en revue l'armée, toute formée d'hommes vaillants; il y en avait sept mille.
2 Ahabu akamwambia Nabothi, akisema, “Nipe shamba lako, ili nilifanye kuwa bustani ya mboga, kwa sababu iko karibu na nyumba yangu. Badala yake nitakupa shamba zuri la mizabibu, au, kama ukipenda nitakulipa thamani yake kwa fedha.”
Puis, il sortit au milieu du jour, comme Ben-Ader était à boire et à s'enivrer en Socchoth, lui et les trente-deux rois ses alliés.
3 Nabothi akamjibu Ahabu, “BWANA na alizuie hilo nisije nikatoa urithi wa mababu zangu kwako.”
Et les jeunes fils des chefs des provinces sortirent d'abord; on l'alla rapporter au roi de Syrie, disant: Des hommes sont arrivés de Samarie.
4 Ahabu akaingia kwenye ikulu yake akiwa mchovu na mwenye hasira kwa sababu ya jibu ambalo Nabothi Myezreeli alimpa aliposema, “Sitakupa urithi wa mababu zangu.” Akalala kitandani kwake, akiwa amegeuza uso wake upande ule, na akagoma kula chakula chochote.
Et il répondit: S'ils viennent en paix, prenez-les vivants; s'ils viennent en guerre, prenez-les vivants.
5 Yezebeli mke wake akaiingia kwake, akamwambia “Kwa nini moyo wako una huzuni, kiasi kwamba hutaki kula?”
Et les jeunes fils des chefs des provinces sortirent de la ville; cependant l'armée les suivait.
6 Naye akamjibu,” Niliongea na Nabothi Myezreeli nikamwambia, 'Nipe shamba lako nami nitakupa pesa, au kama inakupendeza, nitakupa shamba jingine ili liwe lako.' Naye akanijibu, 'Sitakupa shamba langu.'”
Et chacun frappa l'homme le plus près de lui; puis, une seconde fois, chacun frappa l'homme le plus près de lui; aussitôt, la Syrie prit la fuite, Israël la poursuivit, et Ben-Ader s'échappa sur le cheval d'un simple cavalier.
7 Naye Yezebeli mkewe akamjibu, “Je, wewe si mtawala wa ufalme wa Israeli? Inuka ule; na moyo wako uwe na amani. Nitalichukua hilo shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli kwa ajili yako.
Et le roi d'Israël sortit; il prit tous les chevaux avec les chars, et il fit des Syriens un grand carnage.
8 Kwa hiyo Yezebeli akaandika barua kwa jina la Ahabu, akaitia muhuri wake, akazituma kwa wazee na kwa watu tajiri alioketi nao kwenye vikao, na ambao pia waliishi karibu na Nabothi.
Ensuite, le prophète alla trouver le roi d'Israël, à qui il dit: Fortifie-toi, observe, et vois ce que tu as à faire; car, l'année révolue, Ben-Ader, roi de Syrie, reviendra contre toi.
9 Katika ile barua aliyoandika, ilisema hivi, “Pigeni mbiu ya kufunga mkamkalishe Nabothi juu mbele ya watu.
Et les serviteurs du roi de Syrie lui dirent: Le Dieu d'Israël est le Dieu des montagnes, et non le Dieu des vallées; voilà pourquoi ils nous ont vaincus; si nous leur faisons la guerre dans la plaine, nous l'emporterons sur eux.
10 Pia mwaweke watu wawili wasiokuwa waaminifu pamoja naye na wale watu watoe ushahidi kinyume naye, waseme, 'Ulimlaani Mungu na mfalme.”Halafu mchukueni nje mkampige kwa mawe mpaka afe.
Fais ceci: renvoie les rois chacun en leur demeure, remplace-les par les princes des Philistins.
11 Kwa hiyo watu wa mji wake, wazee na watu tajiri waishio kwenye huo mji, wakafanya kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile baraua ambazo alikuwa amewatumia.
Et nous te donnerons une autre armée aussi nombreuse que celle qui a été détruite; un cheval remplacera un cheval, des chars remplaceront les chars; nous les combattrons dans la plaine, et nous l'emporterons sur eux. Et le roi les écouta, et il fit ainsi.
12 Wakapiga mbiu ya kufunga wakamkalisha Nabothi juu mbele ya watu.
L'année révolue, Ben-Ader passa en revue les forces de la Syrie, et il se porta en Aphèca pour combattre Israël.
13 Na wale watu wawili wasiokuwa waaminifu wakaja wakakaa mbele ya Nabothi; nao wakatoa ushuhuda wao dhidi ya Nabothi kuwa amemlaani Mungu na mfalme.” Kisha wakamchukua nje ya mji wakampiga kwa mawe mpaka akafa.
Les fils d'Israël aussi passèrent en revue leur armée, et ils marchèrent contre eux. Et Israël campa vis-à-vis leur camp; ils étaient comme deux troupeaux de chèvres, et les Syriens remplissaient la terre.
14 Kisha wazee wakatuma neno kwa Yezebeli, wakisema, “Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa.”
Alors, l'homme de Dieu revint, et il dit au roi d'Israël: Voici ce que dit le Seigneur: En punition de ce que la Syrie a dit: Le Dieu d'Israël est le Dieu des montagnes et non le Dieu des vallées, je te livrerai cette armée innombrable, et tu reconnaîtras que je suis le Seigneur.
15 Naye Yezebeli aliposikia kuwa Nabothi ameshapigwa mawe na alikuwa amekufa, akamwabia Ahabu, “Inuka na ukamiliki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia, kwa sababu Nabothi hayuko hai, bali amekufa.”
Et les deux camps restèrent sept jours l'un vis-à-vis de l'autre; le septième jour la bataille s'engagea, et Israël tua aux Syriens cent mille piétons en une seule journée.
16 Ahabu aliposikia kuwa Nabothi amekufa, akainuka ili aende kwenye lile shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli na kulimiliki.
Et les survivants se réfugièrent dans Aphèca, dont les murs s'écroulèrent sur vingt-sept mille de ceux qui s'étaient échappés; Ben-Ader se cacha dans l'alcôve d'une chambre à coucher;
17 Ndipo neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi, likisema,
Et il dit à ses serviteurs: Je sais que les rois d'Israël sont des rois miséricordieux; couvrons nos reins de cilices: , passons-nous des cordes autour du cou, et sortons au-devant du roi d'Israël; peut-être il nous renverra la vie sauve.
18 “Inuka uende ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye anaishi Samaria. Yumo kwenye shamba la Nabothi, ambako ameenda kuchukua umiliki wa shamba hilo.
Et ils se couvrirent les reins de cilices; ils se passèrent des cordes autour du cou, et ils dirent au roi d'Israël: Ton serviteur Ben-Ader dit: Que j'aie la vie sauve. Achab répondit: Vit-il encore? Il est mon frère.
19 Ukaongee naye umwambie kwamba BWANA anasema, 'Je, umeua na kujimilikisha?' na utamwambia kwamba BWANA anasema, 'Mahali pale ambapo mbwa wameramba damu ya Nabothi, ndipo mbwa watakaporamba damu yako, ndiyo, damu yako.'”
Les serviteurs en tirèrent bon présage; ils firent des libations, et ils s'emparèrent de la parole qui était sortie de la bouche d'Achab, et ils dirent: Ben-Ader est ton frère. Il reprit: Allez le chercher et amenez-le. Ben-Ader sortit de sa retraite pour aller près d'Achab, et ses serviteurs le firent monter auprès de lui sur un char.
20 Ahabu akamwambia Eliya, “Je, umenipatia, adui yangu?” Eliya akamjibu, “Nimekupata wewe kwa sababu, umejiuza mwenyewe kufanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA.
Et Achab dit: Je te rendrai les villes que mon père a prises au tien; tu pourras te faire des issues à Damas, comme mon père en a fait à Samarie, et je te renverrai après avoir conclu alliance avec toi. Et ils firent alliance, et il le renvoya.
21 BWANA anakwambia hivi: 'Tazama, Nitaleta janga kwako na litakuangamiza kabisa na kufutilia mbali kila mtoto mume na mtumwa na mtu huru katika Israeli.
Mais un homme, l'un des fils des prophètes, dit, d'après la parole du Seigneur, à son voisin: Frappe-moi. Mais l'autre ne voulut pas le frapper.
22 Nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama familia ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhabisha na umewasababisha Israeli kufanya dhambi.
Et le prophète lui dit: En punition de ce que tu n'as point obéi à la voix du Seigneur, quand tu seras loin de moi un lion te tuera. En effet, l'homme s'éloigna, un lion le rencontra et le tua.
23 Pia BWANA ameongea kuhusu Yezebeli, amesema, “mbwa watamla Yezebeli pembeni mwa ukuta wa Yezreeli.'
Et le prophète alla trouver un autre homme, et il lui dit: Frappe-moi. L'homme le frappa, le frappa encore, et l'accabla de coups.
24 Yeyote ambaye ni mtu wa familia ya Ahabu ambaye atafia mjini - mbwa watamla. Na yeyote ambaye atafia shambani - ataliwa na ndege wa angani.”
Ensuite, le prophète partit, et il se tint sur le chemin qu'avait pris le roi; or, il s'était bandé les yeux.
25 Hapakuwepo na mtu kama Ahabu, ambaye alijiuza mwenyewe kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, ambaye mke wake Yezebeli alimchochea kufanya dhambi.
Quand le roi vint à passer, il cria après lui, disant: Ton serviteur est allé à la guerre, et voilà qu'un homme m'a amené un homme, et m'a dit: Garde cet homme; s'il s'échappe, tu me donneras ta vie pour sa vie, ou tu paieras un talent d'argent.
26 Ahabu alifanya matendo yachukizayo kwa ajili ya sanamu alizofanya, kama vile yale yote ambayo Waamori walifanya, BWANA akawafukuza mbele ya watu wa Israeli.
Mais ton serviteur a eu beau regarder tout alentour çà et là, l'homme s'est évadé. A ces mots, le roi d'Israël s'écria: Tu me tends un piège; tu l'as tué.
27 Ahabu aliposikis maneno haya, Akachana mavazi yake na akavaa magunia kwenye mwili wake na akfaunga, na akalala kwenye magunia na akahuzunika sana.
Et le prophète se hâta d'ôter le bandeau qui couvrait ses yeux. Alors, le roi reconnut que c'était l'un des prophètes.
28 Kisha neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi likisema,
Et le prophète lui dit: Voici ce que dit le Seigneur: Parce que tu as laissé échapper un méchant homme, ta vie pour sa vie, ton peuple pour son peuple.
29 “Je, unamwona jinsi Ahabu anavyojinyenyekeza mbele yangu? Kwa sababu anajinyeyenyekeza mwenyewe mbele yangu, Sitaleta lile janga katika siku zake; Ni katika siku za mwanae, nitakpolileta hilo janga katika familia yake.”
Le roi d'Israël s'en alla donc confondu et attristé; puis, il rentra dans Samarie.

< 1 Wafalme 21 >