< 1 Wafalme 2 >
1 Daudi alipokaribia kufa, alimwamuru Sulemani mwanae, akisema,
Forsothe the daies of Dauid neiyiden, that he schulde die; and he comaundide to Salomon, his sone, and seide, Lo!
2 “Mimi sasa ninaiendea njia ya dunia yote. Kwa hiyo, uwe imara, na ujionyeshe mwenyewe kama mwanamume. Uzilinde amri za BWANA, Mungu wako ukitembea katika njia zake, utii maaagizo yake, amari zake,
Y entre in to the weie of al erthe; be thou coumfortid, and be thou a strong man.
3 maamuzi yake, na maagizo ya maagano yake, uwe mwamngalifu kufanya yale yaliyoandikwa katika sheria za Musa, ili ufanikiwe katika yote utakayoyafanya, popote kule utakakokuwa,
And kepe thou the kepyngis and heestis of thi Lord God, that thou go in hise weies, and kepe hise cerymonyes, and hise heestis, and hise domes, and witnessyngis, as it is writun in the lawe of Moises; that thou vndurstonde alle thingis whiche thou doist, and whidur euer thou schalt turne thee.
4 na BWANA atayatimiza maneno yake aliyosema kuhusu mimi, aliposema, 'kama wanao watajilinda katika tabia zao, wakatembea mbele yangu kwa uaminifu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, hawatakoma kuwa na mtu aliyeketi katika kiti cha enzi cha Israeli.
That the Lord conferme hise wordis, whiche the Lord spak of me, and seide, If thi sones kepen my weies, and goen bifor me in treuthe, in al her herte, and in al her soule, a man schal not be takun awei of thee fro the trone of Israel.
5 Wewe pia wajua kile Yoabu mwana wa Seruya alichonifanyia, na kile alichowafnyia majemedari wa majeshi y a Israeli, kwa Abina mwana wa Neri, na kwa Amasa mwana wa Yetheri, ambaye alimwua. Alimwaga damu vitani wakati wa amani na kuiweka ile damu kwenye mshipi uliokuwa kiunoni mwake na kwenye vile viatu miguuni mwake.
Also thou knowist what thingis Joab, the sone of Saruye, dide to me; what thingis he dide to twey princis of the oost of Israel, to Abner, sone of Ner, and to Amasa, sone of Jether, whiche he killide, and schedde the blood of batel in pees; and puttide the blood of batel in his girdil, that was aboute hise leendis, and in his scho, that was in hise feet.
6 Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol )
Therfor thou schalt do by thi wisdom, and thou schalt not lede forth his hoornesse pesibli to hellis. (Sheol )
7 Hata hivyo, uonyeshe utu kwa wana wa Barizilai Mgileadi, na uwaache wawe miongoni mwa wale wanaokula mezani kwako, kwa kuwa walikuja kwangu wakati nilipomkimbia ndugu yangu Absalomu.
But also thou schalt yelde grace to the sones of Bersellai of Galaad, and thei schulen be eetynge in thi boord; for thei metten me, whanne Y fledde fro the face of Absolon, thi brother.
8 Tazama, Shimei mwana wa Gera yuko pamoja na wewe, Wabenjamini wa Bahurimu, walionilaani kwa laana ya fujo siku niliyoenda kwa Mahanaimu. Shimei alishuka kuja kuniona pale Yorodani, na nikamwapia kwa BWANA, nikisema, 'Sitawaua kwa upanga,'
Also thou hast anentis thee Semey, sone of Gera, sone of Gemyny, of Bahurym, which Semei curside me bi the worste cursyng, whanne Y yede to `the castels; but for he cam doun to me in to metyng, whanne Y passide Jordan, and Y swoor to him bi the Lord, and seide, Y schal not slee thee bi swerd,
9 Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol )
nyle thou suffre hym to be vnpunyschid; forsothe thou art a wise man, and thou schalt wite what thou schalt do to hym, and thou schalt lede forth hise hoor heeris with blood to hellis. (Sheol )
10 Ndipo Daudi alipolala na mababu zake na alizikwa kwenye mji wa Daudi.
Sotheli Dauid slepte with hise fadris, and was biriede in the citee of Dauid.
11 Siku ambazo Daudi alitwala Israeli zilikuwani miaka arobaini. Alikuwa ametawala kwa miaka saba kule Hebroni na kwa miaka thelethini na tatu kule Yerusalemu.
Forsothe the daies, in whiche Dauid regnede on Israel, ben fourti yeer; in Ebron he regned seuene yeer, in Jerusalem thre and thretti yeer.
12 Kisha Sulemani akaketi kwenye kiti cha enzi cha baba yake Daudi, na utawala wake ulikuwa imara.
Forsothe Salomon sat on the trone of Dauid, his fadir, and his rewme was maad stidfast greetli.
13 Kisha Adoniya mwana wa Hagathi alikuja kwa Bathisheba mama wa Sulemani., Naye akamwuliza, “Je, unakuja kwa amani?” Naye akajiibu. “kwa amani.”
And Adonye, sone of Agith, entride to Bersabee, modir of Salomon; and sche seide to hym, Whether thin entryng is pesible? And he answeride, It is pesible.
14 Kisha akasema, “Nina jambo la kukuambia.” Naye akajibu, “Sema.”
And he addide, A word of me is to thee. `To whom sche seide, Speke thou.
15 Adoniya amesema, “Unajua kuwa ufalme ulikuwa wangu, na kwamba Israeli yote ilikuwa inanitegemea mimi kuwa mfalme. Hata hivyo, ufalme umegeuzwa na umekuwa wa ndugu yangu, kwani ulikuwa wake toka kwa BWANA.
And he seide, Thou knowist that the rewme was myn, and al Israel purposide to make me in to king to hem; but the rewme is translatid, and is maad my brotheris; for of the Lord it is ordeyned to hym.
16 Sasa nina ombi moja kwako. Usinikatalie.”Bathisheba akamwambia, “Sema.”
Now therfor Y preye of the oon axyng; schende thou not my face. And sche seide to hym, Speke thou. And he seide, Y preie,
17 Naye akamwambia, “Tafadhali mwambie mfalme Sulemani, kwa kuwa hatakukatalia, ili kwamba anipatie Abishagi Mshunami awe mke wangu.”
that thou seie to Salomon the king; for he may not denye ony thing to thee; that he yyue to me Abisag of Sunam wijf.
18 Bathisheba akamwambia, “Vyema sana, nitamwambia mfalme”
And Bersabee seide, Wel, Y schal speke for thee to the kyng.
19 Kwa hiyo Bathisheba akaenda kumwambia, mfalme Sulemani kwa niaba ya Adoniya. Mfalme akainuka kumlaki na akapiga magoti mbele yake. Kisha akaa kwenye kiti chake cha enzi na kulikuwa na kiti kingine cha enzi kilicholetwa kwa ajili ya mama wa mfalme. Naye akaa mkono wa kuume wa mfalme.
Therfor Bersabee cam to kyng Salomon, to speke to hym for Adonye; and the kyng roos ayens the comyng of hir, and worschipide hir, and `sat on his trone; and a trone was set to the modir of the kyng, and sche sat at his riyt side.
20 Ndipo alipomwambia, “Napenda kukuomba ombi moja dogo. Usinikalie.” Mfalme, akamjibu, “Mama omba kwa kuwa sitakukatalia.”
And sche seide to hym, Y preie of thee o litil axyng; schende thou not my face. And the kyng seide to hir, My modir, axe thou; for it is not leueful that Y turne awei thi face.
21 Naya akamwambia, “Naomba Abishagi Mshunami apewe Adoniya ndugu yako awe mke wake.”
And sche seide, Abisag of Sunam be youun wijf to Adonye, thi brother.
22 Mfalme Sulemani akamjibu mama yake, “Kwa nini unamwombea Adoniya huyo Abishagi Mshunami? Kwa nini usimwombee ufalme pia, kwa kuwa ni ndugu yangu mkubwa? - au kwa Abiathari kuhani, au Yoabu mwana wa Seruya?”
And kyng Salomon answeride, and seide to his modir, Whi axist thou Abisag of Sunam to Adonye? Axe thou to hym also the rewme; for he is `my gretter brothir, and he hath Abiathar, preest, and Joab, sone of Saruye.
23 Kisha mfalme Sulemani akaapa kwa BWANA, akisema, “Mungu wangu na anifanyie hivyo, na zaidi pia, kama Adoniya hajayasema haya kinyume na maisha yake.
Therfor kyng Salomon swoor bi the Lord, and seide, God do to me these thingis, and adde these thinges, for Adonie spak this word ayens his lijf.
24 Sasa basi kama BWANA aishivyo, ambaye ndiye alinifanya mimi kuwepo na kunipa kiti cha enzi cha Daudi baba yangu, na ambaye amenifanyia nyumba kwa ahadi yake, hakika Adoniya lazima auawe leo.”
And now the Lord lyueth, that confermede me, and hath set me on the trone of my fadir, and that hath maad to me an hows, as he spak, for Adonye schal be slayn to dai.
25 Kwa hiyo mfalme Sulemani akamtuma Benaya mwana wa Yehoyada naye akamkuta Adoniya na kumwua.
And kyng Salomon sente bi the hond of Banaie, sone of Joiada; which Banaie killide Adonye, and he was deed.
26 Kisha akamwambia Abiathari kuhani, “Nenda kwa Anathothi, kwenye mashamba yako. unastahili kufa, lakini sitakua sasa hivi, kwa sababu ulilbeba sanduku la BWANA mbele ya Daudi baba yangu na kujitabisha kwa namna mbalimbali kama baba yangu alivyopata tabu.”
Also the kyng seide to Abiathar, preest, Go thou in to Anatot, to thi feeld; and sotheli thou art a man of deeth, `that is, worthi the deeth, for conspiryng ayens me, and the ordynaunce of God, and of my fadir; but to dai Y schal not sle thee, for thou barist the arke of the Lord God bifor Dauid, my fadir, and thou suffridist trauele in alle thingis, in whiche my fadir trauelide.
27 Kwa hiyo Sulemani akamfukuza Abiathari asiwe kuhani wa BWANA, ili kwamba atimilize maneno ya BWANA, aliyokuwa amesema juu ya nyumba ya Eli.
Therfor Salomon puttide out Abiathar, that he schulde not be preest of the Lord, that the word of the Lord were fillid, which he spak on the hows of Heli, in Silo.
28 Habari hizo zikamfikia Yoabu, Kwani Yoabu alimuunga mkono Adoniya, ingawa hakumuunga mkono Absalomu. Kwa hiyo Yoabu akakimbilia kwenye hema ya BWANA karibu na madhabahu na akabeba pembe za madhabahu.
Forsothe a messager cam to Salomon, that Joab hadde bowid aftir Adonye, and that he hadde not bowid after Salomon. Therfor Joab fledde in to the tabernacle of the Lord, and took the horn of the auter.
29 Sulemani alipoambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema ya BWANA na sasa alikuwa karibu na madhabahu. Ndipo Sulemani alipomtuma Benaya mwana wa Yehoyada, akisema, “Nenda, ukamwue.”
And it was teld to kyng Salomon, that Joab hadde fledde in to the tabernacle of the Lord, and was bisidis the auter; and Salomon sente Banaie, sone of Joiada, and seide, Go thou, and sle hym.
30 Kwa hiyo Benaya akaenda kwenye hema ya BWANA na kumwambia, “Mfalme anasema utoke hemani.” Yoabu akamjibu, “Hapana, Nitafia hapa,” Kwa hiyo Benaya akarudi kwa mfalme, akasema, “Yoabu amesema atafia kwenye madhabahu,”
And Banaie cam to the tabernacle of the Lord, and seide to Joab, The kyng seith these thingis, Go thou out. And he seide, Y schal not go out, but Y schal die here. Banaie telde the word to the kyng, and seide, Joab spak thes thingis, and answeride these thingis to me.
31 Naye mfalme akamwambia, “Kafanye kama alivyosema. Muue na ukamzike, ili kwamba uitoe kwangu na kwenye nyumba ya baba yangu damu ambayo Yoabu alimwaga bila sababu.
And the kyng seide to Banaie, Do thou as he spak, and sle thou hym, and birie him; and thou schalt remoue the innocent blood, that was sched out of Joab, fro me, and fro the hows of my fadir.
32 BWANA na amrudishie damu yake kichwani kwake, kwa sababu aliwaua wanaume wawili wasio na hatia na wema kuliko yeye na akawaua kwa upanga, Abineri mwana wa Neri, Jemedari wa Jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Jetheri, jemedari wa jeshi la Yuda, bila baba yangu Daudi kujua.
And the Lord yelde on his heed his blood, for he killide twei iust men, and betere than hym silf, and he killide hem bi swerd, while Dauid, my fadir, `wiste not, Abner, the sone of Ner, the prince of the chyualrie of Israel, and Amasa, sone of Jether, the prince of the oost of Juda.
33 Kwa hiyo damu yao na imrudie Yoabu kichwani pake na kwenye vichwa vya uzao wake milele na milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, na nyumba yake, na kwenye kiti chake cha enzi, kuwe na amani ya kudumu kutoka kwa BWANA.”
And the blood of hem schal turne ayen in to the heed of Joab, and in to the heed of his seed with outen ende; forsothe pees be of the Lord til in to with outen ende to Dauid, and to his seed, and to the hous and trone of hym.
34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akaenda akamvamia Yoabu na kumwua. Alizikwa kwenye nyumba yake kule jangwani.
Therfor Banaie, sone of Joiada, stiede, and asailide, and killide Joab; and Joab was biried in his hows in deseert.
35 Mfalme akamwinua Benaya mwana wa Yehoyada kuwa juu ya jeshi badala yake, na akamweka Sadoki kuhani kwenye nafasi ya Abiatahari.
And the kyng ordeynede Banaie, sone of Joiada, on the oost for hym; and the kyng puttide Sadoch preest for Abiathar.
36 Kisha Mfalme akatuma watu kumwita Shimei, na akamwambia, “Kajijengee nyumba kwa ajili yako kule Yerusalemu na ushi huko, na usitoke nje ya Huo mji na kwenda mahali pengine.
Also the kyng sente, and clepide Semey, and seide to hym, Bilde to thee an hows in Jerusalem, and dwelle thou there, and thou schalt not go out fro thennus hidur and thidur;
37 Kwa kuwa siku utakayoenda mahali pengine, na kupita bonde la Kidroni, ujue kwa hakika kuwa utakufa. Damu yako itakuwa juu ya kichwa chako.”
sotheli in what euer dai thou goist out, and passist the stronde of Cedron, wite thou thee worthi to be slayn; thi blood schal be on thin heed.
38 Kwa hiyo Shimei akamwambia mfalme, “Unachosema ni chema. Kama vike mfalme bwana wangu alivyosema, ndivyo ambavyo mtumishi wako atakavyofanya.” Kwa hiyo Shimei akaishi Yerusalemu kwa miaka mingi.
And Semei seide to the kyng, The word of the kyng is good; as my lord the kyng spak, so thi seruaunt schal do. Therfor Semey dwellide in Jerusalem in many daies.
39 Lakiini mwishoni mwa mwaka wa tatu, watumishi wawili wa Shimei wakakimbilia kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi. Kwa hiyo wakamwambia Shimei, wakisema, “Tazama, watumishi wako wameenda Gathi,”
Forsothe it was doon after thre yeer, that the seruauntis of Semei fledden to Achis, sone of Maacha, the kyng of Geth; and it was teld to Semey, that hise seruauntis hadden go in to Geth.
40 Kisha Shimei akainuka, akapanda punda wake akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumishi wake. Akaenda na akawaleta watumishi wake toka Gathi.
And Semey roos, and sadlide his asse, and yede to Achis, in to Geth, to seke hise seruauntis; and brouyte hem ayen fro Geth.
41 Sulemani alipoambiwa kuwa Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu kwenda Gathi na amerudi,
Forsothe it was teld to kyng Salomon, that Semey hadde go to Geth fro Jerusalem, and hadde come ayen.
42 mfalme akatuma wito kwa Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapisha kwa BWANA na kushuhudia kwako, nikisema, 'Tambua kuwa siku utakayotoka kwenda nje na kwenda mahali popote, hakika utakufa'? Na ukaniambia kuwa unachosema ni chema.'
And Salomon sente, and clepide hym, and seide to hym, Whether Y witnessede not to thee bi the Lord, and bifor seide to thee, In what euer dai thou schalt go out hidur and thidur, wite thou that thou schalt die; and thou answeridist to me, The word is good, which Y herde?
43 Kwa nini basi umeshindwa kulinda kiapo chako kwa BWANA na amri niliyokupa?”
Whi therfor keptist thou not the ooth of the Lord, and the comaundement which Y comaundide to thee?
44 Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako maovu yote uliyofanya kwa baba yangu Daudi. Kwa hiyo BWANA atakurudishia maovu yako kichwani pako.
And the kyng seide to Semei, Thou knowist al the yuel, of which thin herte is gilti to thee, which yuel thou didist to my fadir; the Lord hath yolde thi malice in to thin heed.
45 Lakini Sulemani atabarikiwa na enzi ya Daudi itaimarika mbele ya BWANA milele.”
And kyng Salomon schal be blessid; and the trone of Dauid schal be stable bifor the Lord til in to with outen ende.
46 Kwa hiyo mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada kwenda kumwua Shimei. Kwa hiyo ule utawala ulikuwa mwema kwa mkono wa Sulemain.
Therfor the kyng comaundide to Banaie, sone of Joiada; and he assailide, and smoot Semey, and he was deed.