< 1 Wafalme 18 >

1 Kwa hiyo baada ya siku nyingi neno la BWANA likamjia Eliya, katika mwaka wa tatu wa ukame, likisema, “Nenda ukajionyeshe mwenyewe kwa Ahabu nami nitainyeshea ardhi mvua.”
Po upływie wielu dni, w trzecim roku, doszło do Eliasza słowo PANA: Idź, pokaż się Achabowi, a ja ześlę deszcz na ziemię.
2 Eliya akaenda kujionyesha mwenyewe kwa Ahabu; sasa njaa ilikuwa kali sana kule Samaria.
Eliasz poszedł więc, aby pokazać się Achabowi. A w Samarii panował wielki głód.
3 Ahabu akamwita Obadia, aliyekuwa mkuu wa ikulu. Obadia alimheshimu sana BWANA,
Achab zawołał wówczas Abdiasza, który był zarządcą jego domu. (A Abdiasz bardzo bał się PANA.
4 kwa kuwa wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa BWANA, Obadia alichukua manabii mia akawaficha katika makundi ya hamsini hamsini katika pango na akawalisha kwa mikate na maji.
Gdy bowiem Jezabel mordowała proroków PANA, Abdiasz wziął stu proroków, ukrył ich po pięćdziesięciu w jaskiniach i żywił ich chlebem i wodą).
5 Ahabu akamwambia Obadia, “Pita katika nchi yote na katika chemichemi zote za maji na vijito. Yamkini tunaweza kupata maji na nyasi ili tuwaokoa hawa farasi na nyumbu, ili tusiwakose wanyama wote.”
I Achab powiedział do Abdiasza: Przejdź przez ziemię do wszystkich źródeł wód i do wszystkich potoków. Może znajdziemy trawę, abyśmy zachowali przy życiu konie i muły i nie utracili całego bydła.
6 Kwa hiyo wakaigawa nchi kati yao ili wapite kati yake wakitafuta maji. Ahabu akaenda njia yake mwenyewe na Obadia naye akaenda njia yake.
I podzielili między siebie ziemię, którą mieli obejść. Achab poszedł jedną drogą, a Abdiasz poszedł drugą.
7 Wakati Obadia akiwa njiani, akakutana na Eliya pasipo kutegemea. Obadia akamtambua na akalala kifudifudi chini. Akamwambia, “Ndiye wewe, bwana wangu Eliya?”
A gdy Abdiasz [był] w drodze, Eliasz wyszedł mu naprzeciw. A on go poznał, upadł na twarz i powiedział: Czy to ty, mój panie, Eliaszu?
8 Naye Eliya akamjibu, Ni mimi. Nenda umwambie bwana wako, 'Tazama, Eliya yuko hapa.'”
Odpowiedział mu: To ja jestem. Idź i powiedz swemu panu: Oto [jest tu] Eliasz.
9 Obadia akamjibu. “Nimekoseaje, kwamba umtoe mtumishi wako katika mkono wa Ahabu ili aniue?
On zaś powiedział: Czym zgrzeszyłem, że wydajesz swego sługę w ręce Achaba, aby mnie zabił?
10 Kama BWANA Mungu wako aishivyo, hakuna taifa wala ufalme ambapo bwana wangu hajatuma watu kukutafuta. Kila taifa au ufalme unaposema, “Eliya hayuko hapa,' Ahabu hufanya waape ni kweli hawajakuona.
Jak żyje PAN, twój Bóg, nie ma narodu ani królestwa, gdzie mój pan nie posłał [ludzi], aby cię szukać. A [gdy] powiedziano, że cię nie ma, wtedy kazał przysięgać królestwom i narodom, że cię nie znaleziono.
11 Na sasa wewe unasema, 'Nenda, ukamwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa.'
A ty teraz mówisz: Idź, powiedz swemu panu: Oto Eliasz.
12 Mara tu baada ya kukuacha Roho wa BWANA atakuchukua na kukupeleka mahali ambapo sitapajua. Kisha nikienda na kumwambia Ahabu, na asipokuona, ataniua. Bado, mimi, mtumishi wako, nimekuwa nikimwabudu BWANA kutoka ujana wangu.
I stanie się tak, że gdy odejdę od ciebie, Duch PANA zaniesie cię, nie wiem dokąd. Gdy przyjdę powiedzieć Achabowi, a on cię nie znajdzie, wtedy mnie zabije. A twój sługa boi się PANA od swej młodości.
13 Je, haujaambiwa, bwana wangu, nilichokifanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA, jinsi nilivyowaficha wale manabii mia moja wa BWANA katika makundi ya hamsini kwenye pango na kuwalisha kwa mikate na maji?
Czyż nie powiedziano memu panu, co uczyniłem, gdy Jezabel mordowała proroków PANA – jak ukryłem stu mężczyzn spośród proroków PANA, po pięćdziesięciu mężczyzn w jaskiniach, i żywiłem ich chlebem i wodą?
14 Na sasa unasema, 'Nenda umwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa,' kwa hiyo ataniua.”
A teraz mówisz: Idź, powiedz swemu panu: Oto Eliasz. On mnie zabije.
15 Ndipo Eliya alipomjibu, “Kama vile BWANA wa majeshi aishivyo, ambaye mimi ninasimama, Kwa hakika nitajionyeshakwa Ahabu leo.”
Eliasz odpowiedział: Jak żyje PAN zastępów, przed którego obliczem stoję, dziś mu się pokażę.
16 Kwa hiyo Obadia akaenda kukutana na Ahabu, nakumwambia kile Eliya alichokuwa amemwambia. Ndipo mfalme alipoenda kukutana na Eliya.
Abdiasz poszedł więc, aby spotkać się z Achabem, i oznajmił mu to. I Achab wyruszył na spotkanie z Eliaszem.
17 Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe? Wewe mtabishaji wa Israeli!”
Kiedy Achab zobaczył Eliasza, zapytał go: Czy ty jesteś tym, który dręczy Izrael?
18 Eliya akamwambia, “Mimi sijaitabisha Israeli, Lakiini wewe na familia ya baba yako ndio watabishaji kwa kuziacha amri za BWANA na kufuata sanamu za Baali.
Odpowiedział: Nie ja dręczę Izrael, ale ty i dom twego ojca – gdyż porzuciliście przykazania PANA, a ty poszedłeś za Baalami.
19 Kwa hiyo sasa, Tuma neno na unikusanyie Israeli yote katika mlima Kameli, pamoja na manabii 450 wa Baali na wale manabii 400 wa Ashera wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.”
Teraz więc poślij [i] zgromadź przy mnie cały Izrael na górze Karmel oraz czterystu pięćdziesięciu proroków Baala, a także czterystu proroków z gajów, którzy jadają u stołu Jezabel.
20 Kwa hiyo Ahabu akatuma neno kwa watu wote wa Israeli na akawakusanya manabii wote kwenye mlima Kameli.
Achab posłał więc po wszystkich synów Izraela i zgromadził proroków na górze Karmel.
21 Eliya akaja karibu na watu wote akasema, “Mtaendelea kubadilisha mawazo yenu mpaka lini? Kama BWANA ni Mungu, mfuateni yeye, Lakini kama Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye,” Lakini watu hawakumjibu neno.
Wtedy Eliasz zbliżył się do całego ludu i powiedział: Jak długo będziecie się wahać między dwoma zdaniami? Jeśli PAN jest Bogiem, idźcie za nim, a jeśli Baal, idźcie za nim. A lud nie odpowiedział mu ani słowa.
22 Kisha Eliya akawaambia wale watu, “Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki kuwa nabii wa BWANA, lakini manabii wa Baali wako 450.
Wtedy Eliasz powiedział do ludu: Tylko ja sam pozostałem jako prorok PANA; a proroków Baala jest czterystu pięćdziesięciu.
23 Hebu tutoleeni ng'ombe wawili. Nao wajichagulie ng'ombe mmoja na wamchinje na kumkatakata katika vipnde, na wamweke kwenye kuni, na wasitie moto chini yake. Nami nitamwandaa yule wa pili na kumweke juu ya kuni nami sitatia moto chini yake.
Niech nam dadzą dwa cielce. Niech wybiorą sobie jednego cielca, porąbią go na części i położą na drwach, ale ognia niech nie podkładają. Ja również przygotuję drugiego cielca i położę na drwach, ale ognia nie podłożę.
24 Kisha mtaliita jina la mungu wenu, nami nitaliita jina la BWANA, na Mungu atakayejibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.” Watu wote wakajibu na kusema, “Hilo ni jambo jema.”
Potem wzywajcie imienia swoich bogów, a ja wezwę imienia PANA. A ten Bóg, który odpowie ogniem, niech będzie Bogiem. Cały lud odpowiedział: Dobre jest to, co powiedziałeś.
25 Kwa Eliya akawaambia manabii wa Baali, “Chagueni ng'ombe mmoja kwa ajili yenu na mwe wa kwanza kumwamdaa, kwa kuwa ninyi ni wengi, Kisha liiteni jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.”
Eliasz powiedział więc do proroków Baala: Wybierzcie sobie jednego cielca i przygotujcie go pierwsi, bo was jest więcej. Wzywajcie imienia swoich bogów, ale ognia nie podkładajcie.
26 Nao wakamchukua yule ng'ombe waliokuwa wamepewa na wakamwandaa, na ndipo walipoliita jina la Baali kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, wakisema, “Baali, tusikie.” Lakini hapakuwepo na Sauti, na wala hakuna aliyejibu. Wakachezacheza kuizunguka madhabahu waliyotengeneza.
Wzięli więc cielca, którego im dał, a gdy go przygotowali, wzywali imienia Baala, od poranka aż do południa, mówiąc: O Baalu, wysłuchaj nas! Ale nie było głosu ani odpowiedzi. I podskakiwali wokół ołtarza, który zrobili.
27 Ilipofika adhuhuri Eliya akawakejeli akisema, “Mwiteni kwa nguvu! Huyo ni mungu! labda anawaza kitu, au amepumzika, au yuko safarini, au pengine amelala sharti aamshwe.”
A gdy nastało południe, Eliasz naśmiewał się z nich, mówiąc: Wołajcie głośniej, przecież to jest bóg, ale może tylko zamyślił się albo jest zajęty, albo też może jest w drodze, albo może śpi i musi się obudzić.
28 Kwa hiyo wakamwita kwa nguvu, wakajikatakata kama kawaida yao ilivyokuwa, kwa upanga na nyembe, mpaka damu ikawachuruzika.
Wołali więc głośno i nacinali się według swego zwyczaju nożami i włóczniami, aż krew z nich tryskała.
29 Ikawa wakati wa adhuhuri ulipopita, na bado walikuwa wakiendelea kutabiri mpaka wakati wa jioni wa kutoa dhabihu, lakini hapakuwepo na sauti wala mtu wa kuwajibu; wala hapakuwepo na yeyote wa kujibu wala wa kuangalia.
I kiedy minęło południe, oni dalej prorokowali aż do [czasu] składania ofiary z pokarmów, ale nie było głosu ani odpowiedzi, ani znaku uwagi.
30 Kisha Eliya akawaambia watu wote, “Nisogeleeni,” na watu wote wakamsogelea. Naye akatengeneza ile madhabahu ya BWANA ambayo ilikuwa imeharibika.
Wtedy Eliasz powiedział do całego ludu: Zbliżcie się do mnie. Cały lud zbliżył się więc do niego. On wtedy naprawił zburzony ołtarz PANA.
31 Eliya akachukua mawe kumi na mawili, kila jiwe moja liliwakilisha kabila moja la wana wa Yakobo - ni kupitia Yakobo kwamba neno la BWANA lilikuja, likisema, “Jina lako litakuwa Israel.”
Potem Eliasz wziął dwanaście kamieni, według liczby pokoleń synów Jakuba, do którego doszło słowo PANA: Izrael będzie twoje imię.
32 Kwa kutumia hayo mawe aliijenga ile madhabahu kwa jina la BWANA na akachimba mfereji kuizunguka ile madhabahu kubwa kiasi cha kubeba lita kumi na tano za maji.
I z tych kamieni zbudował ołtarz w imię PANA, i wykopał wokół ołtarza rów zdolny pomieścić dwie miary zboża.
33 Kisha akaweka kuni kwa ajili ya moto na akamkatakata yule ng'ombe katika vipande vipande na akaweka vile vipande juu ya kuni. Na akasema, “Vijazeni maji hivyo vyombo na yamwageni kwenye hiyo sadaka ya kueketezwa na juu ya hizo kuni.”
Potem ułożył drwa, porąbał cielca na części i położył [go] na drwach. Następnie powiedział: Napełnijcie wodą cztery wiadra i wylejcie [ją] na ofiarę całopalną i na drwa.
34 Akasema tena fanyeni hivyo mara ya pili,” nao wakafanya kwa mara ya pili. kisha akasema, “Fanyeni mara ya tatu,” nao wakafanya kwa mara ya tatu.
I powiedział: Powtórzcie to. I powtórzyli. Potem powiedział: Zróbcie to trzeci raz. I zrobili to po raz trzeci.
35 Maji yakaizunguka ile madhabahu na kuujaza ule mfereji.
I woda spłynęła dokoła ołtarza. I napełniono wodą także rów.
36 Ikawa wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii Eliya akasogea na akasema, “BWANA, Mungu wa Abrahamu, na wa Isaka, na wa Israeli, na ijulikane leo kwamba wewe ndiye Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako, na kwamba nimeyafanya mambo haya yote kwa jina lako.
A gdy nadszedł czas składania ofiary z pokarmów, prorok Eliasz zbliżył się i powiedział: PANIE, Boże Abrahama, Izaaka i Izraela, niech dziś poznają, że ty jesteś Bogiem w Izraelu, a ja twoim sługą, i że na twoje słowo uczyniłem to wszystko.
37 Nisikie, BWANA, nisike, ili hawa watu wajue kuwa wewe, BWANA, ndiye Mungu, na kwamba umeirudisha mioyo yao kwako tena.”
Wysłuchaj mnie, PANIE, wysłuchaj mnie, aby ten lud poznał, że ty, PANIE, [jesteś] Bogiem i że ty z powrotem nawróciłeś jego serca.
38 Ndipo moto wa BWANA ukashuka ukairamba ile sadaka, pamoja na zile kuni, mawe na mavumbi, na kuyaramba yale maji yaliyokuwa kwenye ule mfereji.
Wtedy spadł ogień PANA i pochłonął ofiarę całopalną i drwa, i kamienie, i proch. A wodę, która była w rowie, wysuszył.
39 watu wote walipoona haya, wakalala kifudifudi chini wakasema, “BWANA, ndiye Mungu! BWANA ndiye Mungu!
Kiedy cały lud to zobaczył, [wszyscy] upadli na twarz i mówili: PAN jest Bogiem! PAN jest Bogiem!
40 Kwa hiyo Eliya akawaambia, “Wakamateni manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja wao atoroke.” Kwa hiyo wakawakamata, na Eliya akawaleta manabii wa Baali chini kwenye kijito cha Kishoni na akawaua huko.
Wtedy Eliasz powiedział do nich: Chwytajcie proroków Baala, niech żaden z nich nie ujdzie. I schwytano ich. A Eliasz sprowadził ich do potoku Kiszon i tam ich zabił.
41 Eliya akamwambia Ahabu, “Inuka, ule na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua kubwa.”
Potem Eliasz powiedział do Achaba: Idź, jedz i pij. Słychać bowiem szum ulewnego deszczu.
42 Kwa hiyo Ahabu akaenda akala na knywa. Kisha Eliya akaenda juu ya mlima Kameli, akasudu chini na akaweka uso wake katikati ya magoti.
Achab poszedł więc jeść i pić. A Eliasz wstąpił na szczyt Karmelu. Następnie padł na ziemię i włożył twarz między kolana;
43 Akamwambia mtumishi wake, “Nenda sasa, utazame upande wa bahari.” mtumishi wake akaenda na akasema, “Hakuna kitu,” Eliya akamwambia, “Nenda tena, mpaka mara saba.”
I powiedział do swego sługi: Idź teraz i popatrz w stronę morza. Ten poszedł, popatrzył i powiedział: Nie ma nic. Wtedy powiedział: [Idź i] wracaj siedem razy.
44 Ile mara ya saba mtumishi wake akasema, “Tazama, kuna wingu linapanda kutoka baharini, ni dogo kama mkono wa mtu.” Eliya akamjibu, Nenda ukamwambie Ahabu, 'Andaa gari lako na ushuke kabla mvua haijakuzuia.'”
A za siódmym [razem] powiedział: Oto mała chmurka, jak dłoń człowieka, podnosi się z morza. Wtedy polecił mu: Idź, powiedz Achabowi: Zaprzęgaj [rydwan] i zjeżdżaj, aby cię deszcz nie zatrzymał.
45 Ikatokea baada ya muda mfupi mbingu zikawa nyeusi kwa mawingu na upepo, na kulikuwa na mvua kubwa. Ahabu akapanda gari akaenda zake Yezreeli,
Tymczasem niebo zaćmiło się od chmur i wiatru i spadł ulewny deszcz. Achab zaś wsiadł [do rydwanu] i pojechał do Jizreel.
46 lakini mkono wa BWANA ulikuwa juu ya Eliya. Akalikaza vazi lake kwa mshipi wake na akakimbia mbele ya Ahabu kwenye lango la Yezreeli.
A ręka PANA była nad Eliaszem. Przepasał swoje biodra i pobiegł przed Achabem, aż przybył do Jizreel.

< 1 Wafalme 18 >