< 1 Wafalme 18 >
1 Kwa hiyo baada ya siku nyingi neno la BWANA likamjia Eliya, katika mwaka wa tatu wa ukame, likisema, “Nenda ukajionyeshe mwenyewe kwa Ahabu nami nitainyeshea ardhi mvua.”
Après bien des jours, la parole du Seigneur vint à Elie pendant la troisième année, disant: Pars, présente-toi devant Achab, et je donnerai de la pluie à la terre.
2 Eliya akaenda kujionyesha mwenyewe kwa Ahabu; sasa njaa ilikuwa kali sana kule Samaria.
Et Elie partit pour se présenter devant Achab. En ce temps-là, il y avait à Samarie une famine très grande.
3 Ahabu akamwita Obadia, aliyekuwa mkuu wa ikulu. Obadia alimheshimu sana BWANA,
Et Achab appela son économe Abdias; or, Abdias craignait beaucoup le Seigneur.
4 kwa kuwa wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa BWANA, Obadia alichukua manabii mia akawaficha katika makundi ya hamsini hamsini katika pango na akawalisha kwa mikate na maji.
Quand Jézabel frappait les prophètes du Seigneur, Abdias avait pris cent hommes qui prophétisaient; il les avait cachés cinquante par cinquante dans des cavernes où il les avait nourris de pain et d'eau.
5 Ahabu akamwambia Obadia, “Pita katika nchi yote na katika chemichemi zote za maji na vijito. Yamkini tunaweza kupata maji na nyasi ili tuwaokoa hawa farasi na nyumbu, ili tusiwakose wanyama wote.”
Et Achab dit à Abdias: Viens, parcourons la contrée, visitons les torrents et les fontaines; peut-être trouverons-nous de l'herbe; nous y ferons paître les chevaux et les mules, et ils ne périront pas dans les étables.
6 Kwa hiyo wakaigawa nchi kati yao ili wapite kati yake wakitafuta maji. Ahabu akaenda njia yake mwenyewe na Obadia naye akaenda njia yake.
Et ils se partagèrent les territoires à visiter; Achab prit une route; Abdias, de son côté, en prit une autre.
7 Wakati Obadia akiwa njiani, akakutana na Eliya pasipo kutegemea. Obadia akamtambua na akalala kifudifudi chini. Akamwambia, “Ndiye wewe, bwana wangu Eliya?”
Comme Abdias s'en allait seul sur un chemin, Elie arriva seul à sa rencontre. Abdias, pressant le pas, tomba la face contre terre, et il dit: Est-ce bien toi, Elie, mon maître?
8 Naye Eliya akamjibu, Ni mimi. Nenda umwambie bwana wako, 'Tazama, Eliya yuko hapa.'”
Elie répondit: C'est moi; pars, et dis à ton maître: Voici Elie.
9 Obadia akamjibu. “Nimekoseaje, kwamba umtoe mtumishi wako katika mkono wa Ahabu ili aniue?
Abdias reprit: Quel péché ai-je fait pour que tu livres ton serviteur aux mains d'Achab, afin qu'il me fasse mourir.
10 Kama BWANA Mungu wako aishivyo, hakuna taifa wala ufalme ambapo bwana wangu hajatuma watu kukutafuta. Kila taifa au ufalme unaposema, “Eliya hayuko hapa,' Ahabu hufanya waape ni kweli hawajakuona.
Vive le Seigneur ton Dieu! il n'est ni peuple ni royaume où mon maître n'ait envoyé pour te prendre, et quand on disait: Elie n'est pas ici, il portait la flamme en ce royaume et en ses campagnes, parce qu'il ne t'avait point trouvé.
11 Na sasa wewe unasema, 'Nenda, ukamwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa.'
Et maintenant, tu veux que je parte et que je dise à ton maître: Voici Elie!
12 Mara tu baada ya kukuacha Roho wa BWANA atakuchukua na kukupeleka mahali ambapo sitapajua. Kisha nikienda na kumwambia Ahabu, na asipokuona, ataniua. Bado, mimi, mtumishi wako, nimekuwa nikimwabudu BWANA kutoka ujana wangu.
Voici ce qui adviendra: Lorsque je me serai éloigné de toi, l'Esprit du Seigneur te ravira en une terre je ne sais laquelle; et je me présenterai devant Achab et je t'annoncerai; mais lui, ne te trouvant pas, me fera mourir; or, ton serviteur, depuis son enfance, a la crainte de Dieu.
13 Je, haujaambiwa, bwana wangu, nilichokifanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA, jinsi nilivyowaficha wale manabii mia moja wa BWANA katika makundi ya hamsini kwenye pango na kuwalisha kwa mikate na maji?
Ne sais-tu pas, ô mon maître, que quand Jézabel tuait les prophètes du Seigneur, j'ai caché cent prophètes du Seigneur, cinquante par cinquante, en des cavernes, et que je les ai nourris de pain et d'eau?
14 Na sasa unasema, 'Nenda umwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa,' kwa hiyo ataniua.”
Et maintenant, tu veux que je parte et que je dise à mon maître: Voici Elie! Mais il me tuera.
15 Ndipo Eliya alipomjibu, “Kama vile BWANA wa majeshi aishivyo, ambaye mimi ninasimama, Kwa hakika nitajionyeshakwa Ahabu leo.”
Elie reprit: Vive le Seigneur Dieu des armées, devant qui je suis! aujourd'hui même Achab me verra.
16 Kwa hiyo Obadia akaenda kukutana na Ahabu, nakumwambia kile Eliya alichokuwa amemwambia. Ndipo mfalme alipoenda kukutana na Eliya.
Abdias alla donc à la rencontre d'Achab; il lui annonça le prophète, et Achab accourut au-devant d'Elie.
17 Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe? Wewe mtabishaji wa Israeli!”
Aussitôt qu'il aperçut Elie, il s'écria: Es-tu donc celui qui pervertit Israël?
18 Eliya akamwambia, “Mimi sijaitabisha Israeli, Lakiini wewe na familia ya baba yako ndio watabishaji kwa kuziacha amri za BWANA na kufuata sanamu za Baali.
Et le prophète répondit: Ce n'est point moi qui pervertis Israël, mais toi-même et la maison de ton père; car, vous abandonnez le Seigneur votre Dieu pour suivre Baal.
19 Kwa hiyo sasa, Tuma neno na unikusanyie Israeli yote katika mlima Kameli, pamoja na manabii 450 wa Baali na wale manabii 400 wa Ashera wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.”
Donne à ce moment tes ordres: rassemble devant moi, sur le mont Carmel, tout le peuple des dix tribus avec les quatre cent cinquante prophètes de l'opprobre, et les quatre cents prophètes des bois sacrés, qui mangent à la table de Jézabel.
20 Kwa hiyo Ahabu akatuma neno kwa watu wote wa Israeli na akawakusanya manabii wote kwenye mlima Kameli.
Et Achab envoya par tout Israël; et il rassembla sur le mont Carmel tous les prophètes.
21 Eliya akaja karibu na watu wote akasema, “Mtaendelea kubadilisha mawazo yenu mpaka lini? Kama BWANA ni Mungu, mfuateni yeye, Lakini kama Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye,” Lakini watu hawakumjibu neno.
Devant eux tous, il mena Elie, et celui-ci leur dit: Jusqu'à quand boiterez-vous des deux jambes? Si le Seigneur est Dieu, suivez le Seigneur; si Baal est Dieu, suivez Baal. Et le peuple ne souffla mot.
22 Kisha Eliya akawaambia wale watu, “Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki kuwa nabii wa BWANA, lakini manabii wa Baali wako 450.
Elie dit ensuite au peuple: Il n'y a plus que moi de prophète du Seigneur; les prophètes de Baal sont quatre cent cinquante, et les prophètes des bois sacrés quatre cents.
23 Hebu tutoleeni ng'ombe wawili. Nao wajichagulie ng'ombe mmoja na wamchinje na kumkatakata katika vipnde, na wamweke kwenye kuni, na wasitie moto chini yake. Nami nitamwandaa yule wa pili na kumweke juu ya kuni nami sitatia moto chini yake.
Que l'on nous donne deux bœufs; qu'ils en choisissent un pour eux, qu'ils le séparent par membres, qu'ils le posent sur le bûcher sans qu'on y mette le feu; moi cependant j'apprêterai de même l'autre bœuf, et je n'allumerai point le bûcher.
24 Kisha mtaliita jina la mungu wenu, nami nitaliita jina la BWANA, na Mungu atakayejibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.” Watu wote wakajibu na kusema, “Hilo ni jambo jema.”
Criez alors au nom de vos dieux, et moi j'invoquerai le nom du Seigneur mon Dieu; le Dieu qui nous exaucera en envoyant de la flamme, celui-là est Dieu. A ces mots tout le peuple répondit, et il dit: Tu as bien parlé.
25 Kwa Eliya akawaambia manabii wa Baali, “Chagueni ng'ombe mmoja kwa ajili yenu na mwe wa kwanza kumwamdaa, kwa kuwa ninyi ni wengi, Kisha liiteni jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.”
Aussitôt, Elie dit aux prophètes de l'opprobre: Choisissez pour vous l'un des bœufs, et apprêtez-le les premiers, car vous êtes nombreux; invoquez le nom de vos dieux, et n'allumez pas le bûcher.
26 Nao wakamchukua yule ng'ombe waliokuwa wamepewa na wakamwandaa, na ndipo walipoliita jina la Baali kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, wakisema, “Baali, tusikie.” Lakini hapakuwepo na Sauti, na wala hakuna aliyejibu. Wakachezacheza kuizunguka madhabahu waliyotengeneza.
Ils prirent le bœuf, ils l'apprêtèrent, ils invoquèrent le nom de Baal depuis l'aurore jusqu'au milieu du jour, et ils dirent: Exaucez-nous, ô Baal, exaucez-nous. Mais il n'y avait point de voix pour leur répondre, point d'oreilles pour les ouïr, et ils passaient et repassaient devant l'autel qu'ils avaient élevé.
27 Ilipofika adhuhuri Eliya akawakejeli akisema, “Mwiteni kwa nguvu! Huyo ni mungu! labda anawaza kitu, au amepumzika, au yuko safarini, au pengine amelala sharti aamshwe.”
Le milieu du jour vint, et le Thesbite Elie les railla, et il dit; Invoquez-le à grands cris, puisque vous le dites dieu; il est peut-être à méditer, il est peut-être en affaire, ou peut-être il dort, et il se réveillera.
28 Kwa hiyo wakamwita kwa nguvu, wakajikatakata kama kawaida yao ilivyokuwa, kwa upanga na nyembe, mpaka damu ikawachuruzika.
Ils firent donc leurs invocations à grands cris; puis, selon leurs rites, ils se firent des entailles avec des poignards et des lancettes, de telle sorte que le sang ruissela sur eux.
29 Ikawa wakati wa adhuhuri ulipopita, na bado walikuwa wakiendelea kutabiri mpaka wakati wa jioni wa kutoa dhabihu, lakini hapakuwepo na sauti wala mtu wa kuwajibu; wala hapakuwepo na yeyote wa kujibu wala wa kuangalia.
Et ils prophétisèrent jusqu'à ce que le soleil commençât à décliner. Le moment étant venu où l'on place sur l'autel les victimes, Elie le Thesbite dit aux prophètes des abominations: Retirez-vous maintenant, et je ferai mon holocauste. Et ils se retirèrent, et ils partirent.
30 Kisha Eliya akawaambia watu wote, “Nisogeleeni,” na watu wote wakamsogelea. Naye akatengeneza ile madhabahu ya BWANA ambayo ilikuwa imeharibika.
Alors, Elie dit au peuple: Approchez-vote de moi, et tout le peuple s'approcha de lui.
31 Eliya akachukua mawe kumi na mawili, kila jiwe moja liliwakilisha kabila moja la wana wa Yakobo - ni kupitia Yakobo kwamba neno la BWANA lilikuja, likisema, “Jina lako litakuwa Israel.”
Et Elie prit douze pierres selon le nombre des tribus issues d'Israël à qui le Seigneur avait dit: Israël sera ton nom.
32 Kwa kutumia hayo mawe aliijenga ile madhabahu kwa jina la BWANA na akachimba mfereji kuizunguka ile madhabahu kubwa kiasi cha kubeba lita kumi na tano za maji.
Et il mit en œuvre ces pierres au nom du Seigneur, et il répara l'autel qui avait été renversé; autour de l'autel il creusa une rigole, qui eût contenu deux mesures de semence.
33 Kisha akaweka kuni kwa ajili ya moto na akamkatakata yule ng'ombe katika vipande vipande na akaweka vile vipande juu ya kuni. Na akasema, “Vijazeni maji hivyo vyombo na yamwageni kwenye hiyo sadaka ya kueketezwa na juu ya hizo kuni.”
Et il empila du bois fendu sur l'autel qu'il avait construit, sépara par membres l'holocauste, le posa sur les éclats de bois, et l'empila sur l'autel.
34 Akasema tena fanyeni hivyo mara ya pili,” nao wakafanya kwa mara ya pili. kisha akasema, “Fanyeni mara ya tatu,” nao wakafanya kwa mara ya tatu.
Puis, il dit: Prenez-moi quatre cruches d'eau que vous répandrez sur l'holocauste et sur le bois. Ainsi firent-ils, et il dit: Redoublez; ils redoublèrent, et il dit: Recommencez une troisième fois, et ils recommencèrent.
35 Maji yakaizunguka ile madhabahu na kuujaza ule mfereji.
Et l'eau coula autour de l'autel, et la rigole en fut remplie.
36 Ikawa wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii Eliya akasogea na akasema, “BWANA, Mungu wa Abrahamu, na wa Isaka, na wa Israeli, na ijulikane leo kwamba wewe ndiye Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako, na kwamba nimeyafanya mambo haya yote kwa jina lako.
Et Elie cria au ciel, disant: Seigneur Dieu d'Abraham, d'Isaac et d'Israël, exaucez-moi, Seigneur, exaucez-moi aujourd'hui en m'envoyant de la flamme; que tout le peuple reconnaisse que vous êtes le Seigneur Dieu d'Israël, que je suis votre serviteur, et que je n'ai rien fait, sinon par vous.
37 Nisikie, BWANA, nisike, ili hawa watu wajue kuwa wewe, BWANA, ndiye Mungu, na kwamba umeirudisha mioyo yao kwako tena.”
Exaucez-moi, Seigneur, exaucez-moi; que le peuple reconnaisse que vous êtes le Seigneur Dieu, et vous convertirez le cœur de ce peuple.
38 Ndipo moto wa BWANA ukashuka ukairamba ile sadaka, pamoja na zile kuni, mawe na mavumbi, na kuyaramba yale maji yaliyokuwa kwenye ule mfereji.
Et une flamme descendit tu ciel, envoyée par le Seigneur; elle dévora l'holocauste, le bûcher, l'eau de la rigole; elle effleura les pierres de l'autel et la terre.
39 watu wote walipoona haya, wakalala kifudifudi chini wakasema, “BWANA, ndiye Mungu! BWANA ndiye Mungu!
Et le peuple tomba la face contre terre, et il dit: En vérité, le Seigneur Dieu est le seul Dieu.
40 Kwa hiyo Eliya akawaambia, “Wakamateni manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja wao atoroke.” Kwa hiyo wakawakamata, na Eliya akawaleta manabii wa Baali chini kwenye kijito cha Kishoni na akawaua huko.
Elie dit ensuite au peuple: Saisissez les prophètes de Baal, que pas un seul ne soit épargné. Ils les saisirent, et Elie les traîna au torrent de Cisson, et là, il les égorgea.
41 Eliya akamwambia Ahabu, “Inuka, ule na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua kubwa.”
Elie dit ensuite à Achab: Pars, mange et bois; car il y a un bruit de pluie qui arrive.
42 Kwa hiyo Ahabu akaenda akala na knywa. Kisha Eliya akaenda juu ya mlima Kameli, akasudu chini na akaweka uso wake katikati ya magoti.
Et Achab partit pour manger et boire; et le prophète monta sur le Carmel; là, il se pencha vers la terre, la tête entre les genoux.
43 Akamwambia mtumishi wake, “Nenda sasa, utazame upande wa bahari.” mtumishi wake akaenda na akasema, “Hakuna kitu,” Eliya akamwambia, “Nenda tena, mpaka mara saba.”
Puis, il dit à son serviteur: Va, et regarde du côté de la mer. Le serviteur regarda, et il dit: il n'y a rien. Mais son maître lui dit: Retournes-y sept fois.
44 Ile mara ya saba mtumishi wake akasema, “Tazama, kuna wingu linapanda kutoka baharini, ni dogo kama mkono wa mtu.” Eliya akamjibu, Nenda ukamwambie Ahabu, 'Andaa gari lako na ushuke kabla mvua haijakuzuia.'”
Et le serviteur y retourna sept fois; à la septième fois il vit un petit nuage semblable au pied d'un homme, et ce nuage amenait de l'eau; le maître alors dit au serviteur: Va trouver Achab, et dis-lui: Attelle ton char et mets-toi en route, de peur que la pluie ne te surprenne.
45 Ikatokea baada ya muda mfupi mbingu zikawa nyeusi kwa mawingu na upepo, na kulikuwa na mvua kubwa. Ahabu akapanda gari akaenda zake Yezreeli,
Bientôt çà et là le ciel s'obscurcit de nuées, le vent souffla, et il tomba une grande pluie. Et Achab, en pleurant, s'en alla à Jezraël.
46 lakini mkono wa BWANA ulikuwa juu ya Eliya. Akalikaza vazi lake kwa mshipi wake na akakimbia mbele ya Ahabu kwenye lango la Yezreeli.
Et la main du Seigneur s'étendit sur Elie, et il serra sur ses reins sa ceinture, et il courut devant Achab jusqu'à Jezraël.