< 1 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa kumi na tano wa mfame Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya alianza kutawala juu yaYuda.
И во осмоенадесять лето царства Иеровоама сына Наватова, воцарися Авиа сын Ровоамль над Иудою,
2 Alitawala kwa miaka mitata kule Yerusalemu. Jina la mama yake allikuwa Maaka. Alikuwa binti wa Absalomu.
и три лета царствова во Иерусалиме. Имя же матере его Мааха, дщи Авессаломля.
3 Naye alitembea katika dhambi zote ambazo baba yake alizifanya kabla yake; moyo wake haukuwa mkalifu kwa BWANA, Mungu wake kama moyo wa Daudi, babu yake ulivyokuwa.
И хождаше во всех гресех отца своего, яже сотвори пред ним, и не бе сердце его совершено с Господем Богом его, якоже сердце Давида отца его:
4 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, BWANA, Mungu wake alimpa taa Yerusalemu kwa kumwinua mwanae baada yake ili kuiimarisha Yerusalemu.
яко Давида ради остави ему Господь Бог его останок во Иерусалиме, да возставит по нем чада его и утвердит Иерусалим,
5 Mungu alifanya haya kwa sababu Daudi alifanya yaliyo mema machoni pake; wakati wote wa uhai wake, hakugeuka wala hakukosa katika yote aliyomwamuru, isipokuwa tu swala la Uria Mhiti.
понеже сотвори Давид правое пред Господем и не уклонися от всех, яже заповеда ему вся дни живота его, кроме слова Урии Хеттеанина.
6 Sasa kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Jeroboamu katika siku zote za maisha ya Abiya.
И брань бе между Ровоамом и между Иеровоамом во вся дни живота их.
7 Kwa mambo mengine ya Abiya, yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? Sasa kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
И прочая словес Авииных, и вся яже сотвори, не се ли, сия написана в книзе слов дний царей Иудиных? И брань бе между Авиею и между Иеровоамом.
8 Abiya akalala na mababu zake, nao wakamzika katika mji wa Daudi. Asa mwanae akawa mfalme mahali pake.
И успе Авиа со отцы своими в двадесятое лето Иеровоама, и погребоша его со отцы его во граде Давидове. И воцарися Аса сын его вместо его.
9 Katika mwaka wa ishirini wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akaanza kutawala Yuda.
И в лето двадесятое Иеровоама царя Израилева, царствоваше Аса над Иудою,
10 Alitawala kwa miaka arobaini na moja kule Yerusalemu. Bibi yake alikuwa Maaka, binti wa Absalomu.
и четыредесять и едино лето царствова во Иерусалиме. Имя же матере его Ана, дщи Авессаломля.
11 Asa akafanya yaliyo mema machono mwa BWANA, kama alivyofanya Daudi, babu yake.
И сотвори Аса правое пред Господем, якоже Давид отец его,
12 Yeye aliwafukuza kutoka katika nchi wale makahaba wa kipagani na akaziondoa sanamu zote ambazo babu zake walikuwa wametengeneza.
и отя скверная от земли, и искорени вся изваянная, яже сотвориша отцы его,
13 Pia alimwondoa bibi yake asiwe Malkia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza kwa Ashera. Asa aliikata sanamu ya kuchukiza na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.
и Ану матерь свою отстави еже не владети ей, понеже сотвори сонмище в Дубраве своей: и изсече Аса Гай ея и сожже огнем в потоце Кедрстем:
14 Lakini pale mahali pa juu hapakuchukuliwa. Hata hivyo. Moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu mbele ya BWANA katika siku zake zote.
высоких же не искорени, обаче сердце Асы бе совершенно пред Господем во вся дни его:
15 Alivirerjesha katika nyumba ya BWANA vitu vile vilivyokuwa vimetengwa kwa ajili ya BWANA, na vile vitu vyake vilivyokuwa vimetengezwa kwa fedha, na dhahabu na vyombo.
и внесе столпы отца своего, и столпы своя внесе во храм Господень сребряны и златы, и сосуды.
16 Basi kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli, kwa miaka yao yote.
И брань бе между Асою и между Ваасом царем Израилевым во вся дни их.
17 Baasha mfalme wa Israeli, akaivamia na kuijenga Rama, kiasi kwamba hakumruhusu yeyote kuondoka au kuingia katika nchi ya Asa mfalme wa Yuda.
И взыде Вааса царь Израилев на Иуду и созда Раму, яко не быти на исхождение и вхождение Асе царю Иудину.
18 Kisha Asa akazichukua zile fedha na dhahabu zilizokuwa zimebaki kwenye hazina kwenye nyumba ya BWANA, na katika hazina ya ikulu ya mfalme. Akaziweka katika mikono ya watumishi wake na kuzituma kwa Beni Hadadi mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Shamu ambaye alikuwa akishi Dameski. Akamwambia,
И взя Аса все сребро и злато обретшееся в сокровищах дому Господня и в сокровищах дому царева и даде я в руце отрок своих: и посла их царь Аса ко сыну Адерову сыну Таверема во Рамман, ко сыну Азаила, царя Сирскаго, живущаго в Дамасце, глаголя:
19 “Naomba tufanye patano kati yangu na wewe, kama ilivyokuwa kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, Nimekutumia zawadi ya fedha na dhahabu. Ili uvunje agano lako na Baasha mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
положи завет между мною и тобою, и между отцем моим и отцем твоим: се, послах ти дары, сребро и злато: прииди, разруши завет твой, иже со Ваасою царем Израилевым, да отидет от мене.
20 Beni Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma wakuu wa majeshi yake, nao wakaishambulia miji ya Israeli. Wakaishambulia Ijoni, Dani, Abeliya Bethi Maaka, na Kinerothi yote, pamoja na nchi yote ya Naftali.
И послуша сын Адеров царя Асы, и посла воеводы сил своих на грады Израилевы, и поразиша Аина и Дана, и Авеля, Дому Маахиина, и весь Хеннереф, даже до всея земли Неффалимли.
21 Ikawa Baasha aliposikia haya, akaacha kuijenga Rama akarudi Tirza.
И бысть яко услыша Вааса, и остави созидати Раму, и возвратися во Ферсу.
22 Kisha mfalme Asa akaitangazia Yuda yote. Hakuna aliyeachwa. Wakayabeba mawe na miti ya Rama ambayo Baasha alikuwa akijengea mji. Kisha mfalme Asa akavitumia hivyo vitu kuijenga Geba ya Benjamini na Mispa.
Царь же Аса заповеда всему Иуде во енакиме, и взяша камение из Рамы и древа ея, имиже основа Вааса, и созда в них царь Аса всяк Холм Вениаминь и Стражбища.
23 Mambo mengine yanyohusu utawala wa Asa, uwezo wake wote, yote aliyofanya, na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? Lakini wakati wa uzee wake alipata ugonjwa wa miguu.
Прочая же словес Асиных, и вся сила его, и вся яже сотвори, и грады яже созда, не се ли, сия писана суть в книзе словес дний царей Иудиных? Обаче во время старости своея начат болети ногама своима:
24 Kisha Asa akalala na mababu zake na akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Yehoshafati mwanae akawa mfalme mahali pake.
и успе Аса со отцы своими, и погребен бысть во граде Давида отца своего. И воцарися Иосафат сын его вместо его.
25 Nadabu mwana wa Yerobiamu alianza kutawala huko Israeli wakati wa mwaka wa pili wa Asa mfalme wa Yuda; Aliitawala Israeli kwa miaka miwili.
Нават же сын Иеровоамль нача царствовати над Израилем во второе лето Асы царя Иудина, и царствова над Израилем два лета,
26 Akafanya yaliyo maovu mbele y a macho ya BWANA naye akatembea katika njia ya baba yake, na katika dhambi yake, aliisababisha Israeli kufanya dhambi.
и сотвори лукавое пред Господем, и хождаше путем отца своего и во гресех его, имиже согрешити сотвори Израилю.
27 Baasha mwana wa Ahiya, wa familia ya Isakari, akafanya hila dhidi ya Nadabu; Baasha akamwua huko Gibethoni, ambao ulikuwa mji wa Wafilisti, kwa kuwa Nadabu na Israeli walikuwa wakiuhusuru Gibethoni.
И обседе его Вааса сын Ахиин в дому Велаана сына Ахиина, и уби его во Гавафоне иноплеменничи: Нават же и весь Израиль обседоша Гавафон.
28 Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha alimwua Nadabu naye akawa mfalme mahali pake.
И умертви его Вааса в лето третие Асы царя Иудина, и воцарися вместо его.
29 Mara tu baad ya kuwa mfalme, Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai; Kwa njia hii akawa ameuharibu ukoo wote wa kifalme, kama vile BWANA alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,
И бысть егда воцарися, изби весь дом Иеровоамль и не остави ничтоже от всего дыхания Иеровоамля, дондеже искорени их по глаголу Господню, егоже глагола рукою раба Своего Ахии Силонитскаго,
30 kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu ambazo alifanya na akaisababishia Israeli kufanya dhambi, kwa kuwa alimkasirisha BWANA, Mungu wa Israeli.
грех ради Иеровоамлих, иже согреши, иже введе во грех Израиля, и в прогневании его, имже прогнева Господа Бога Израилева.
31 Mambo mengine yanayomhusu Nadabu, na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
И прочая словеса Навата, и вся яже сотвори, не се ли, сия писана суть в книзе словес дний царей Израилевых?
32 Kisha kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli katika siku zao zote.
И бяше брань между Асою (царем Иудиным) и Ваасою царем Израилевым во вся дни их.
33 Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya alianza kuitawala Israeli yote huko Tirza naye alitawala kwa miaka ishirini na nne.
И в третие лето Асы царя Иудина царствова Вааса сын Ахиин над всем Израилем во Ферсе двадесять и четыре лета,
34 Naye akafanya yaliyo mabaya katika macho ya BWANA na akatembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi yake ambayo kwa hiyo aliifanya Israeli kufanya dhambi.
и сотвори лукавое пред Господем, и иде путем Иеровоама сына Наватова, и во гресех его, имиже в согрешение приведе Израиля.

< 1 Wafalme 15 >