< 1 Wafalme 14 >

1 Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
در آن روزها اَبیّام پسر یربعام پادشاه بیمار شد.
2 Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
یربعام به همسرش گفت: «قیافه‌ات را تغییر بده تا کسی تو را نشناسد و پیش اخیای نبی که در شیلوه است برو. او همان کسی است که به من گفت که بر این قوم پادشاه می‌شوم.
3 Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
ده نان، یک کوزه عسل و مقداری هم کلوچه برایش ببر و از او بپرس که آیا فرزند ما خوب می‌شود یا نه؟»
4 Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
پس همسر یربعام به راه افتاد و به خانهٔ اخیای نبی که در شیلوه بود رسید. اخیای نبی پیر شده بود و چشمانش نمی‌دید.
5 BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
اما خداوند به او گفته بود که به‌زودی ملکه در قیافهٔ مبدل به دیدار او می‌آید تا دربارهٔ وضع پسر بیمارش از وی سؤال کند، خداوند همچنین به اخیای نبی گفته بود که به ملکه چه بگوید.
6 Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
پس وقتی اخیا صدای پای او را دم در شنید گفت: «ای همسر یربعام داخل شو! چرا قیافه‌ات را تغییر داده‌ای؟ من خبر ناخوشایندی برایت دارم!»
7 Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
سپس اخیا این پیغام را از جانب خداوند، خدای قوم اسرائیل به او داد تا به شوهرش یربعام برساند: «من تو را از میان مردم انتخاب کردم تا به پادشاهی برسی.
8 Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
سلطنت را از خاندان داوود گرفتم و به تو دادم؛ اما تو مثل بندهٔ من داوود از دستورهایم اطاعت نکردی. او از صمیم قلب مرا پیروی می‌کرد و آنچه را که من می‌پسندیدم انجام می‌داد.
9 Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
تو از تمام پادشاهانِ پیش از خودت بیشتر بدی کردی؛ بتها ساختی و بت‌پرست شدی و با ساختن این گوساله‌ها از من رو گردانیدی و مرا خشمگین نمودی.
10 Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
پس من هم بر خاندان تو بلا می‌فرستم و تمام پسران و مردان خاندانت را، چه اسیر و چه آزاد، نابود می‌کنم. همان‌طور که کثافت حیوانات را می‌سوزانند، من هم خاندان تو را خواهم سوزاند تا اثری از آن بر جا نماند.
11 Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
به طوری که از خاندان تو هر که در شهر بمیرد، سگها او را می‌خورند و هر که در صحرا بمیرد، لاشخورها جسدش را می‌خورند. من که خداوند هستم این را می‌گویم.»
12 Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
سپس اخیا به همسر یربعام گفت: «اکنون برخیز و به خانه‌ات برو. وقتی پایت به شهر برسد پسرت خواهد مرد.
13 Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
تمام اسرائیل برای او عزاداری کرده، او را دفن خواهند کرد. ولی از تمام اعضای خانوادهٔ یربعام این تنها کسی است که در قبر دفن می‌شود؛ زیرا تنها فرد خوبی که خداوند، خدای اسرائیل در تمام خانوادهٔ یربعام می‌بیند همین بچه است.
14 Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
خداوند پادشاه دیگری برای اسرائیل انتخاب می‌کند که خاندان یربعام را به کلی از بین می‌برد. این از همین امروز شروع می‌شود!
15 Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
خداوند اسرائیل را چنان تکان خواهد داد که مثل علفی که در مسیر آب رودخانه است بلرزد. خداوند اسرائیل را از این سرزمین خوب که به اجدادشان بخشیده، ریشه‌کن می‌کند و آنها را در آن طرف رود فرات آواره می‌سازد، زیرا آنها با بت‌پرستی‌شان خداوند را به خشم آوردند.
16 Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
خداوند همچنین به سبب گناه یربعام که اسرائیل را به گناه کشاند ایشان را ترک خواهد گفت.»
17 Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
پس زن یربعام به ترصه بازگشت. به محض اینکه پای او به آستانهٔ کاخ سلطنتی رسید، پسرش مرد.
18 Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
همان‌طور که خداوند به‌وسیلۀ اخیای نبی فرموده بود، پسر را دفن کردند و در سراسر اسرائیل برایش ماتم گرفتند.
19 Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
شرح وقایع جنگها و سایر رویدادهای دوران فرمانروایی یربعام در کتاب «تاریخ پادشاهان اسرائیل» نوشته شده است.
20 Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
یربعام بیست و دو سال سلطنت کرد و بعد از مرگ او، پسرش ناداب زمام امور را در دست گرفت.
21 Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
رحبعام، پسر سلیمان، چهل و یک ساله بود که پادشاه یهودا شد. مادرش اهل عمون و نامش نعمه بود. او در اورشلیم، شهری که خداوند از میان سایر شهرهای اسرائیل برگزیده بود تا اسمش را بر آن بگذارد به مدت هفده سال سلطنت کرد.
22 Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
در دورهٔ سلطنت او، مردم یهودا نسبت به خداوند گناه ورزیدند و با گناهان خود حتی بیش از اجدادشان خداوند را خشمگین کردند.
23 Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
زیرا آنها نیز روی هر تپه و زیر هر درخت سبز، بتخانه‌ها و ستونها و اشیره‌ها بر پا کردند.
24 Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
در این سرزمین حتی فاحشه‌های مرد و زن بودند که در بتکده‌ها به فاحشگی می‌پرداختند. مردم یهودا درست مثل همان قومهای خدانشناس که خداوند آنها را از سرزمین کنعان بیرون رانده بود، اعمال کراهت‌آور انجام می‌دادند.
25 Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
در سال پنجم سلطنت رحبعام، شیشق (پادشاه مصر) به اورشلیم حمله برد و آن را تصرف نمود.
26 Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
او خزانه‌های خانهٔ خداوند و کاخ سلطنتی را غارت کرد و تمام سپرهای طلا را که سلیمان ساخته بود، با خود به یغما برد.
27 Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
پس از آن رحُبعام پادشاه به جای سپرهای طلا، سپرهای مفرغین ساخت و آنها را به دست نگهبانانی که جلوی مدخل کاخ شاهی کشیک می‌دادند، سپرد.
28 Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
هر وقت پادشاه به خانهٔ خداوند می‌رفت، نگهبانان او سپرها را به دست می‌گرفتند و پس از پایان مراسم، آنها را دوباره به اتاق نگهبانی برمی‌گرداندند.
29 Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
رویدادهای دیگر دوران سلطنت رحبعام در کتاب تاریخ پادشاهان یهودا نوشته شده است.
30 Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
در تمام دوران سلطنت رحبعام بین او و یربعام جنگ بود.
31 Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake
وقتی رحبعام مرد، او را در آرامگاه سلطنتی، در شهر داوود دفن کردند. (مادر رحبعام نعمهٔ عمونی بود.) پس از رحبعام پسرش اَبیّام به جای او بر تخت پادشاهی نشست.

< 1 Wafalme 14 >