< 1 Wafalme 14 >
1 Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
Siihen aikaan sairasti Abia Jerobemin poika.
2 Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
Ja Jerobeam sanoi emännällensä: nouse ja muuta itses, niin ettei yksikään tuntisi sinua Jerobeamin emännäksi; ja mene Siloon. Katso siellä on propheta Ahia, joka minulle sanoi: että minä olen tuleva tämän kansan kuninkaaksi.
3 Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
Ja ota kätees kymmenen leipää ja kyrsää, ja astia hunajaa, ja mene hänen tykönsä, että hän sanois sinulle, mitä nuorukaiselle tapahtuu.
4 Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
Ja Jerobeamin emäntä teki niin, nousi ja meni Siloon, ja tuli Ahian huoneesen; mutta ei Ahia taitanut nähdä, sillä hänen silmänsä olivat pimenneet vanhuudesta.
5 BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
Mutta Herra sanoi Ahialle: katso Jerobeamin emäntä tulee kysymään sinulta yhtä asiaa pojastansa, sillä hän on sairas; niin puhu sinä hänelle niin ja niin. Ja kuin hän tuli sisälle, piti hän itsensä outona.
6 Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
Kuin Ahia kuuli ovessa hänen jalkainsa töminän, sanoi hän: tule sisälle, sinä Jerobeamin emäntä: kuinkas itses niin outona pidät? Minä olen lähtetty sinun tykös kovan sanoman kanssa.
7 Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
Mene ja sano Jerobeamille: näin sanoo Herra Israelin Jumala: että minä olen korottanut sinun kansan seasta ja pannut sinun minun kansani Israelin ruhtinaaksi,
8 Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
Ja olen reväissyt valtakunnan Davidin huoneelta pois, ja antanut sen sinulle: mutta et sinä ole ollut niinkuin minun palveliani David, joka piti minun käskyni ja vaelsi minun jälkeeni kaikella sydämellä, ja teki ainoastaan mitä minulle kelvollinen oli;
9 Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
Mutta sinä olet tehnyt pahemmin kaikkia muita, jotka sinun edelläs olleet ovat, ja sinä olet mennyt ja tehnyt itselles vieraita jumalia ja valetuita kuvia kehoittaakses minua vihaan, ja olet heittänyt minun selkäs taa;
10 Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
Sentähden katso, minä annan tulla pahaa Jerobeamin huoneen päälle, ja hukutan Jerobeamista sen, joka vetensä seinään heittää, suljetun ja hyljätyn Israelissa, ja käväisen Jerobeamin huoneen sukukunnan, niinkuin tunkio käväistään, perikatoonsa asti.
11 Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
Joka Jerobeamista kuolee kaupungissa, se pitää koirilta syötämän, mutta joka kuolee kedolla, se pitää taivaan linnuilta syötämän; sillä Herra on sen puhunut.
12 Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
Niin nouse sinä ja mene kotias, ja kuin jalkas astuu kaupunkiin, niin pojan pitää kuoleman.
13 Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
Ja koko Israel itkee häntä ja hautaa hänen, sillä ainoastansa tämä tulee Jerobeamista hautaan, että jotakin hyvää on löydetty hänen tykönänsä, Herran Israelin Jumalan edessä, Jerobeamin huoneessa.
14 Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
Ja Herra herättää itsellensä yhden Israelin kuninkaan, se on hävittävä Jerobeamin huoneen sinä päivänä: ja mitä jo on tapahtunut?
15 Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
Ja Herra lyö Israelin niinkuin ruoko häälyy vedessä, ja repii Israelin tästä hyvästä maasta, jonka hän heidän isillensä antanut on, ja hajottaa heidät virran ylitse; että he ovat itsellensä tehneet metsistöitä, vihoittaksensa Herraa:
16 Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
Ja hylkää Israelin, Jerobeamin synnin tähden, joka syntiä teki ja saatti Israelin syntiä tekemään.
17 Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
Ja Jerobeamin emäntä nousi ja meni, ja tuli Tirtsaan; ja kuin hän astui huoneen kynnykseen, kuoli nuorukainen.
18 Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
Ja he hautasivat hänen, ja koko Israel itki häntä, Herran sanan jälkeen, jonka hän palveliansa propheta Ahian kautta sanonut oli.
19 Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Mitä enempi Jerobeamista on sanomista, kuinka hän soti ja kuinka hän hallitsi: katso se on kirjoitettu Israelin kuningasten aikakirjassa.
20 Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
Ja aika, jonka Jerobeam hallitsi, oli kaksikolmattakymmentä ajastaikaa; ja hän nukkui isäinsä kanssa; ja hänen poikansa Nadab tuli kuninkaaksi hänen siaansa.
21 Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
Niin oli Rehabeam, Salomon poika kuningas Juudassa, ja oli yhdenviidettäkymmentä ajastaikainen tultuansa kuninkaaksi, ja hallitsi seitsemäntoistakymmentä ajastaikaa Jerusalemissa, siinä kaupungissa, jonka Herra valinnut on kaikista Israelin sukukunnista, pannaksensa siihen nimensä; ja hänen äitinsä nimi oli Naema Ammonilainen.
22 Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
Ja Juuda teki pahaa Herran edessä; ja he saattivat hänen enempi kiivaaksi, kuin kaikki heidän esi-isänsä olivat tehneet synneillänsä, joita he tekivät.
23 Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
Sillä hekin rakensivat itsellensä korkeuksia, patsaita ja metsistöitä kaikille korkeille vuorille ja kaikkein viheriäisten puiden alle.
24 Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
Ja maakunnassa oli huorintekijöitä; ja he tekivät kaikki pakanain kauhistukset, jotka Herra Israelin lasten edestä oli ajanut pois.
25 Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
Ja tapahtui viidennellä kuningas Rehabeamin ajastajalla, että Sisak Egyptin kuningas meni Jerusalemia vastaan,
26 Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
Ja otti Herran huoneen tavarat, ja kuninkaan huoneen tavarat, ja kaiken mitä sieltä taidettiin ottaa, ja otti kaikki kultaiset kilvet, jota Salomo oli antanut tehdä,
27 Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
Joiden siaan kuningas Rehabeam antoi tehdä vaskisia kilpiä, ja antoi ne ylimmäisten vartioittensa haltuun, jotka kuninkaan huoneen ovea vartioitsivat.
28 Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
Ja niin usein kuin kuningas meni Herran huoneesen, kantoivat vartiat niitä, ja veivät ne vartiakamariin jälleen.
29 Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Mitä enempi Rehabeamin asioista on sanomista ja kaikista mitä hän tehnyt oli: eikö se ole kirjoitettu Juudan kuningasten aikakirjassa?
30 Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
Ja Rehabeamin ja Jerobeamin välillä oli sota kaikkina heidän päivinänsä.
31 Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake
Ja Rehabeam nukkui isäinsä kanssa ja haudattiin isäinsä tykö Davidin kaupunkiin. Ja hänen äitinsä nimi oli Naema Ammonilainen. Ja hänen poikansa Abiam tuli kuninkaaksi hänen siaansa.