< 1 Wafalme 14 >

1 Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
[雅洛貝罕的兒子患病]那時,雅洛貝罕的兒子阿彼雅患病,
2 Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
雅洛貝罕對自己的妻子說:「請你起來改裝,教人認不出你是雅洛貝罕的妻子,往史羅去,在那裏有先知阿希雅,他曾預言過我要作這人民的君王。
3 Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
你帶上十塊餅,一些餅乾和一瓶蜜去見他,他會告訴你孩子將來究竟如何。」
4 Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
雅洛貝罕的妻子就這樣做了:起身去了史羅,來到阿希雅的家。阿希雅因年老,眼睛昏花,不能看清;
5 BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
但上主卻預先對阿希雅說:「雅洛貝罕的妻子,要來問你有關她兒子的事,因為她兒子病了;你要如此這般地答覆她;她來時,是作另一婦人的打扮。」阿希雅預言孩子必死
6 Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
她一進門,阿希雅聽見她的腳步聲,就說:「雅洛貝罕的妻子,請進來! 你為什麼扮另一婦人﹖我正奉命要告訴你一個凶信。
7 Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
你去告訴雅洛貝罕,上主以色列的天主這樣說:我從人民中提拔了你,立你作我人民以色列的領袖;
8 Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
我從達味家奪過王國來交給你,而你卻不像我的僕人達味那樣遵守我的誡命,全心隨從我,只行我視為正義的事;
9 Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
你反而作惡甚於你以前的任何人,且去為你自己製造別的神,鑄造偶像,惹我發怒,完全背棄了我。
10 Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
因此,我要降災懲罰雅洛貝罕家,消滅以色列所有屬於雅洛貝罕的男人,無論是自由的或是不自由的,一概除掉;我要掃除雅洛貝罕的家,有如人清除糞土一樣。
11 Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
凡屬雅洛貝罕的人,死在城中的,必為狗吞食,死在田野間的,必為空中的飛鳥啄食:因為上主說了。
12 Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
現在,你快起身回家;當的腳踏進城門時,孩子就要死去。
13 Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
全以色列人要哀悼他,埋葬他;雅洛貝罕家中,只有他得進入墳墓,因為雅洛貝罕家中,只有他行了一些中悅上主,以色列的天主的善事。
14 Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
上主必為自己另選一位君王來統治以色列,那天他要消滅雅洛貝罕家。現在,我還能說什麼﹖
15 Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
上主必要打擊以色列,使他們搖動如同水中的蘆葦;並將以色列從上主賜給他們祖先的福地上拔除,使他們分散在大河之外,因為他們製造了阿舍辣惹上主發怒。
16 Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
由於雅洛貝罕自己所犯的罪,和使他以色列所犯的罪,上主必要拋棄以色列。」
17 Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
雅洛貝罕的妻子遂起身走了,到了提爾匝,一進家門,孩子就死了。
18 Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
全以色列埋葬了他,並為他舉哀,正如上主藉著他的僕人阿希雅先知所說的話。雅洛貝罕逝世
19 Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
雅洛貝罕其餘的事蹟,有關他怎樣戰爭,怎樣作王,都記載在以色列列王實錄上。
20 Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
雅洛貝罕在位凡二十二年,然後與列祖同眠。他的兒子納達布繼位為王。勒哈貝罕為猶大王
21 Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
撒羅滿的兒子勒哈貝罕在猶大為王,他登極時,年四十一歲。他在耶路撒冷,即在上主從以色列各支派中選出歸他名下的城中,作王十七年;他的母親名叫納阿瑪,是阿孟人。
22 Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
猶大人行了上主視為惡的事;他們所犯的罪比他們祖先所犯的,更激怒上主,
23 Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
因為他們也在各地的高崗上,在各綠樹下,修築了丘壇、柱像和阿舍辣;
24 Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
境內還有為神賣淫的男女,完全仿效了上主從以色列前所驅逐的異族,做了種種可憎惡的事。埃及王進攻猶大
25 Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
勒哈貝罕作王第五年,埃及王史沙克上來進攻耶路撒冷,
26 Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
劫去上主殿內和王宮的寶物,全部帶走,連撒羅滿所製的一切金盾牌也都帶去。
27 Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
勒哈貝罕只得製造銅盾牌來代替,交給防衛宮門的侍衛長保管;
28 Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
每逢君王進入上主的殿時,侍衛便手持這些盾牌;事後,仍將盾牌送回侍衛室中。勒哈貝罕逝世
29 Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
勒哈貝罕其餘的事蹟,他的一切作為,都記載在猶大列王十實錄上。
30 Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
勒哈貝罕與雅洛貝罕之間不斷發生戰事。
31 Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake
勒哈貝罕與列祖同眠,與列祖同葬在達味城。他的母親名叫納阿瑪,是阿孟人;他的兒子阿彼雅繼位為王。

< 1 Wafalme 14 >