< 1 Wafalme 12 >

1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Israeli yote walikuwa wameenda Shekemu kumfanya awe mfalme.
И иде царь Ровоам в Сикиму, яко в Сикиму прииде весь Израиль воцарити его.
2 Ikatokea kuwa Yeroboamu mwana wa Nebati akayasikia haya (Kwa kuwa alikuwa bado yuko Misri, ambako alikuwa amekimbilia kumkwepa mfalme Sulemani), Kwani Yeroboamu alikuwa anaishi Misri.
И бысть егда услыша Иеровоам сын Наватов, сущу ему еще во Египте, яко убегл бе от лица Соломона, и возвратися Иеровоам из Египта:
3 Kwa hiyo wakatuma watu kumwita, na Yeroboamu pamoja na mkutano wote wa Israeli wakaja wakamwambia Rehoboamu,
и послаша, и призваша его. И прииде Иеровоам и весь сонм Израилев, и рекоша людие к царю Ровоаму глаголюще:
4 Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito. Sasa ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa nyepesi kuliko nira ngumu ambayo baba yako alituwekea, nasi tutakutumikia.”
отец твой отягчи ярем наш, ты же ныне облегчи от работы отца твоего жестокия и от ярма его тяжкаго, егоже возложи на ны, и поработаем ти.
5 Naye Rehobiamu akawaambia, “Ondokeni kwa siku tatu, kisha nirudieni.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
И рече к ним: отидите (и пребудите) до третияго дне, и возвратитеся ко мне. И идоша.
6 Mfalme Rehoboamu akatafuta ushauri kwa wazee waliokuwa wamesimama mbele ya Sulemani baba yake wakati wa uhai wake, naye akasema, “mnanishauri niwajibuje hawa watu?”
И возвести Ровоам царь старейшинам, иже быша предстояще пред Соломоном отцем его, еще живу ему сущу, глаголя: како вы мыслите, да отвещаю людем сим слово?
7 Nao wakamwambia, “Kama wewe utakuwa mtumishi wa hawa watu na akawatumikia, na akawapa majibu ya maneno mema, ndipo watakapokuwa watumishi wako daima.”
И реша ему, глаголюще: аще в днешний день будеши раб людем сим и поработаеши им, и речеши им словеса блага, и будут ти раби во вся дни.
8 Lakini Rehoboamu akapuuzia ushauri aliopewa na wazee na akaenda kuomba ushauri kwa vijana ambao alikua pamoja nao wakasimama mbele yake.
И пренебреже совет старейшин, яже совещаша ему, и советова со отроки воспитанными с ним предстоявшими пред лицем его,
9 Akawaambia, “Mnanipa ushauri gani ili niweze kuwajibu hawa watu waliosema nami kwamba, 'ifanye nyepesi nira ambayo baba yako alituwekea'”
и рече им: что вы совещаваете? И что отвещаю людем сим, иже реша ко мне, глаголюще: облегчи наш ярем, егоже возложи отец твой на ны?
10 Wale vijana waliokua pamoja na Rehoboamu wakamjibu, wakisema, “Waambie hawa watu kuwa baba yako Sulemani aliifanya nira yenu kuwa nzito lakini ninyi wenyewe mnaweza kuifanya rahisi. Uwaambie hivi, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
И глаголаша к нему отроцы воспитаннии с ним и реша ему: сице да глаголеши людем сим, иже реша к тебе, глаголюще: отец твой отягчи ярем наш: ты же ныне облегчи от нас: сия речеши к ним: юность моя толстее чресл отца моего:
11 Kwa hiyo sasa, ingawa baba yangu aliwatwika kongwa zito, Mimi nitaiongeza kongwa lenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, Lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.'”
и ныне отец мой наложи на вы ярем тяжек, аз же приложу к ярму вашему: отец мой наказа вы ранами, аз же накажу вы скорпионами.
12 Kwa hiyo siku ya tatu Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amewaelekeza aliposema, “mrudi kwangu siku ya tatu.”
И прииде весь Израиль к царю Ровоаму в день третий, якоже рече им царь, глаголя: возвратитеся ко мне в день третий.
13 Naye mfalme akawaambia wale watu kwa ukali na akapuuzia ushauri wa wale wazee ule waliokuwa wamempatia.
И отвеща царь к людем жестоко: и остави царь Ровоам совет старейшин, яже совещаша ему,
14 Akawaambia akifuata ushauri wa wale vijana; akasema, “Baba yangu aliwatwika kongwa zito, lakini mimi nitaongeze kongwa lenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, mimi nitawaadhibu kwa nge.”
и рече к ним по совету отроков, глаголя: отец мой отягчи ярем ваш, аз же приложу к ярму вашему: отец мой наказа вы ранами, аз же накажу вы скорпионами.
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza wale watu, kwa kuwa ilikuwa zamu ya tukio lililoletwa na BWANA, ili kwamba aweze kulitimiza neno lake ambalo alikuwa amelisema kupitia Ahiya.
И не послуша царь людий, яко бе превращение от Господа, яко да утвердит глаголгол Свой, егоже глагола рукою Ахии Силонитянина о Иеровоаме сыне Наватове.
16 Israeli yote ilipoona kuwa mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu wakimwambia, “Je, tuna sehemu gani kwa Daudi? Hatuna urithi kwa mwana wa Yese! Nenda kwenye hema zako, ewe Israeli. Sasa tazama kwenye nyumba yako, Daudi.” Kwa hiyo Israeli akarudi kwenye hema zake.
И виде весь Израиль, яко не послуша царь гласа их, и отвещаша людие царю, глаголюще: кая нам часть в Давиде? И несть нам наследия в сыне Иессеове: бежи, Израилю, в кровы своя: ныне паси дом твой, Давиде. И отиде Израиль в кровы своя.
17 Lakini kwa watu wa Israeli waliokuwa wakiishi kwenye miji ya Yuda, Rehoboamu akawa mfalme juu yao.
Над сынми же Израилевыми, иже живяху во градех Иудиных, воцарися Ровоам над ними.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, aliyekuwa juu ya shokoa, lakini Waisraeli wote wakampiga kwa mawe wakamwua kwa mawe. Mflme Rehoboamu akakimbia haraka kwa gari lake kwenda Yerusalemu.
И посла царь Ровоам Адонирама, иже над данию, и поби его камением весь Израиль, и умре. Царь же Ровоам потщася взыти на колесницу убежати во Иерусалим.
19 Kwa hiyo Israeli wakawa wapinzani dhidi ya nyumba ya Daudi mpaka leo.
И отложися Израиль от дому Давидова даже до днесь.
20 Ndipo Israeli yote waliposikia kuwa Yeroboamu alikuwa amerudi, walimwita kwenye kusanyiko lao wakamweka kuwa mfalme wa Israeli. Hapakuwepo na mtu aliyeifuata familia ya Daudi, isipokuwa tu kabila la Yuda.
И бысть егда услыша весь Израиль, яко возвратися Иеровоам от Египта, и послаша, и призваша его на собор, и воцариша его над Израилем: и не бе вслед дому Давидова, токмо хоругвь Иудина и Вениаминова.
21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akawakusanya wote wa nyumba ya Yuda na kabila la Benjamini; walichaguliwa wanaume wanajeshi 180, 000 ili wapigane na nyumba ya Israeli, kwa lengo la kurudisha ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Sulemani.
И Ровоам вниде во Иерусалим и собра весь сонм Иудин и хоругвь Вениаминю, сто и двадесять тысящ юношей, творящих брань, ратовати на дом Израилев, еже возвратити царство Ровоаму сыну Соломоню.
22 Lakini neno la Mungu likamjia Shemaya, mtu wa Mungu; likisema,
И бысть слово Господне ко Самею человеку Божию, глаголя:
23 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Sulemani, mfalme wa Yuda, na kwa nuymba yote ya Yuda na Benjamini, na kwa watu wote; uwaambie,
рцы к Ровоаму сыну Соломоню царю Иудину и ко всему дому Иудину и Вениаминову и ко оставшымся людем, глаголя:
24 “BWANA asema hivi, Usipigane wala kuwavamia ndugu zako watu wa Israeli. Kila mtu lazima arudi nyumbani kwake, kwa kuwa jambo hili nimelisababisha mimi.” Kwa hiyo wakalisikiliza neno la BWANA na wakrudi nyumbani kwa njia zao na wakalitii neno lake.
тако глаголет Господь: не восходите, ниже ратуйте на братию вашу, на сыны Израилевы: но возвратитеся кийждо в домы своя, яко от Мене бысть глаголгол сей. И послушаша словесе Господня, и престаша ити по глаголголу Господню.
25 Kisha Yeroboamu akaijenga Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na akaishi huko. Akatoka huko na kuijenga Penueli.
И созда Иеровоам Сикиму в горе Ефремли, и вселися в ней, и изыде оттуду, и созда Фануила.
26 Yeroboamu akafikiri moyoni mwake, “Sasa ufalme utarudi kwenye nyumba ya Daudi.
И рече Иеровоам в сердцы своем: се, ныне возвратится царство в дом Давидов,
27 Kama hawa watu wataenda kutoa sadaka kwenye hekalu la BWANA kule Yerusalemu, basi mioyo ya hawa watu itarudi tena kwa bwana wao, kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda. Wataniua na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.”
аще взыдут людие сии вознести жертву в храме Господни во Иерусалим, и обратится сердце людий ко Господу и господину своему, к Ровоаму царю Иудину, и убиют мя, и возвратятся к Ровоаму царю Иудину.
28 Kwa hiyo mfalme Yeroboamu akatafuta ushauri na akafanya ndama wawili wa dhahabu; akawaambia watu, “Ni vigumu sana kwenu kwenda Yerusalemu. Tazameni, hawa ndiyo miungu yenu, Ee Israeli, iliyowatoa toka nchi ya Misri.”
И усоветова царь, и сотвори две юницы златы, и рече к людем: довлеет вам восходити во Иерусалим: се, бози твои, Израилю, изведшии тя из земли Египетския.
29 Akamweka mmoja Betheli na mwingine Dani.
И постави едину в Вефили, а другую в Дане.
30 Kwa hiyo jambo hili likawa dhambi. Watu wakaenda kwa huyo na wengine kwa hawa, mpaka huko Dani.
И бысть слово сие на согрешение, и идяху людие пред лицем юницы единыя даже до Дана, и оставиша храм Господень.
31 Yeroboamu akajenga nyumba mahali pa juu na kufanya makuhani kutoka kwa watu wote, ambao hawakuwa wana wa Lawi.
И сотвори капища на высоких, и сотвори жерцов часть от людий, иже не беша от сынов Левииных.
32 Yeroboamu akafanya sikukuu katika mwezi wa nane, katika siku ya kumi na tano ya mwezi, kama sikukuu ambayo iko Yuda, na akaenda juu kwenye madhabahu. Akafanya hivyo kule Betheli, akawatolea sadaka wale ndama aliokuwa amewatengeneza, na akaweka kuhani huko Betheli mahali pa juu alipokuwa amepatengeneza.
И сотвори Иеровоам праздник в осмый месяц в пятыйнадесять день месяца, по празднику, иже в земли бе Иудине, и взыде на олтарь, егоже сотвори в Вефили, жрети юницам, яже сотвори, и постави в Вефили жерцы на высоких, яже сотвори.
33 Yeroboamu akapanda kwenda kwenye madhabahu ambayo aliitengeneza kule Betheli katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, ndio mwezi aliokuwa amefikiri katika akili yake; akafanya sikukuu kwa watu wa Israeli n a akaenda madhabahuni kufukiza uvumba.
И взыде на олтарь, егоже сотвори в Вефили, в осмый месяц, в пятыйнадесять день в праздник, егоже состави по сердцу своему: и сотвори праздник сыном Израилевым, и взыде на олтарь еже пожрети.

< 1 Wafalme 12 >