< 1 Wafalme 12 >

1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Israeli yote walikuwa wameenda Shekemu kumfanya awe mfalme.
Roboam udał się do Sychem, gdyż do Sychem przybył cały Izrael, aby ustanowić go królem.
2 Ikatokea kuwa Yeroboamu mwana wa Nebati akayasikia haya (Kwa kuwa alikuwa bado yuko Misri, ambako alikuwa amekimbilia kumkwepa mfalme Sulemani), Kwani Yeroboamu alikuwa anaishi Misri.
I gdy usłyszał [o tym] Jeroboam, syn Nebata, który był jeszcze w Egipcie (bo uciekł przed królem Salomonem i zamieszkał w Egipcie);
3 Kwa hiyo wakatuma watu kumwita, na Yeroboamu pamoja na mkutano wote wa Israeli wakaja wakamwambia Rehoboamu,
Posłano [po niego] i wezwano go. Jeroboam oraz całe zgromadzenie Izraela przybyli więc i przemówili do Roboama:
4 Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito. Sasa ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa nyepesi kuliko nira ngumu ambayo baba yako alituwekea, nasi tutakutumikia.”
Twój ojciec włożył na nas ciężkie jarzmo. Teraz więc ty ulżyj [nam] w srogiej służbie swego ojca i w jego ciężkim jarzmie, które włożył na nas, a będziemy ci służyć.
5 Naye Rehobiamu akawaambia, “Ondokeni kwa siku tatu, kisha nirudieni.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
Odpowiedział im: Odejdźcie i wróćcie do mnie po trzech dniach. I lud odszedł.
6 Mfalme Rehoboamu akatafuta ushauri kwa wazee waliokuwa wamesimama mbele ya Sulemani baba yake wakati wa uhai wake, naye akasema, “mnanishauri niwajibuje hawa watu?”
Wtedy król Roboam radził się starszych, którzy stawali przed Salomonem, jego ojcem, gdy jeszcze żył, i zapytał: Jak doradzacie odpowiedzieć temu ludowi?
7 Nao wakamwambia, “Kama wewe utakuwa mtumishi wa hawa watu na akawatumikia, na akawapa majibu ya maneno mema, ndipo watakapokuwa watumishi wako daima.”
Odpowiedzieli mu: Jeśli dziś staniesz się sługą tego ludu i będziesz mu służył, a dając odpowiedź, będziesz mówił do nich łagodne słowa, to będą twoimi sługami przez wszystkie dni.
8 Lakini Rehoboamu akapuuzia ushauri aliopewa na wazee na akaenda kuomba ushauri kwa vijana ambao alikua pamoja nao wakasimama mbele yake.
Ale on odrzucił radę starszych, którą mu dali, i radził się młodzieńców, którzy razem z nim wzrośli i którzy stawali przed nim;
9 Akawaambia, “Mnanipa ushauri gani ili niweze kuwajibu hawa watu waliosema nami kwamba, 'ifanye nyepesi nira ambayo baba yako alituwekea'”
I zapytał ich: A co wy radzicie odpowiedzieć temu ludowi, który poprosił mnie: Ulżyj [nam] w jarzmie, które włożył na nas twój ojciec.
10 Wale vijana waliokua pamoja na Rehoboamu wakamjibu, wakisema, “Waambie hawa watu kuwa baba yako Sulemani aliifanya nira yenu kuwa nzito lakini ninyi wenyewe mnaweza kuifanya rahisi. Uwaambie hivi, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
Wtedy młodzieńcy, którzy razem z nim wzrośli, odpowiedzieli mu: Tak odpowiesz temu ludowi, który mówił do ciebie: Twój ojciec włożył na nas ciężkie jarzmo, ale ty ulżyj nam; tak im powiesz: Mój mały [palec] jest grubszy niż biodra mojego ojca.
11 Kwa hiyo sasa, ingawa baba yangu aliwatwika kongwa zito, Mimi nitaiongeza kongwa lenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, Lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.'”
Teraz więc, chociaż mój ojciec nałożył na was ciężkie jarzmo, ja dołożę do waszego jarzma. Mój ojciec karcił was biczami, ale ja będę was karcił skorpionami.
12 Kwa hiyo siku ya tatu Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amewaelekeza aliposema, “mrudi kwangu siku ya tatu.”
Przyszedł więc Jeroboam i cały lud do Roboama trzeciego dnia, tak jak król nakazał, mówiąc: Wróćcie do mnie na trzeci dzień.
13 Naye mfalme akawaambia wale watu kwa ukali na akapuuzia ushauri wa wale wazee ule waliokuwa wamempatia.
I król dał ludowi surową odpowiedź, gdyż odrzucił radę starszych, którą mu dali;
14 Akawaambia akifuata ushauri wa wale vijana; akasema, “Baba yangu aliwatwika kongwa zito, lakini mimi nitaongeze kongwa lenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, mimi nitawaadhibu kwa nge.”
I przemówił do niego według rady młodzieńców, mówiąc: Mój ojciec obciążył was ciężkim jarzmem, ale ja dołożę do waszego jarzma. Mój ojciec karcił was biczami, ale ja będę was karcił skorpionami.
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza wale watu, kwa kuwa ilikuwa zamu ya tukio lililoletwa na BWANA, ili kwamba aweze kulitimiza neno lake ambalo alikuwa amelisema kupitia Ahiya.
Król nie usłuchał więc ludu. Sprawa bowiem wyszła od PANA, aby spełnił swoje słowo, które PAN wypowiedział przez Achiasza Szilonitę do Jeroboama, syna Nebata.
16 Israeli yote ilipoona kuwa mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu wakimwambia, “Je, tuna sehemu gani kwa Daudi? Hatuna urithi kwa mwana wa Yese! Nenda kwenye hema zako, ewe Israeli. Sasa tazama kwenye nyumba yako, Daudi.” Kwa hiyo Israeli akarudi kwenye hema zake.
A gdy cały Izrael zobaczył, że król go nie usłuchał, lud odpowiedział królowi: Jakiż dział mamy w Dawidzie? Nie mamy dziedzictwa w synu Jessego. Do swoich namiotów, o Izraelu! A ty, Dawidzie, troszcz się teraz o swój dom. I rozszedł się Izrael do swoich namiotów.
17 Lakini kwa watu wa Israeli waliokuwa wakiishi kwenye miji ya Yuda, Rehoboamu akawa mfalme juu yao.
Roboam zaś królował [tylko] nad synami Izraela, którzy mieszkali w miastach Judy.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, aliyekuwa juu ya shokoa, lakini Waisraeli wote wakampiga kwa mawe wakamwua kwa mawe. Mflme Rehoboamu akakimbia haraka kwa gari lake kwenda Yerusalemu.
Wtedy król Roboam posłał Adorama, który był poborcą, ale cały Izrael ukamienował go tak, że umarł. Król Roboam wsiadł więc w pośpiechu na rydwan i uciekł do Jerozolimy.
19 Kwa hiyo Israeli wakawa wapinzani dhidi ya nyumba ya Daudi mpaka leo.
W ten sposób Izrael zbuntował się przeciwko domowi Dawida i trwa to aż do dziś.
20 Ndipo Israeli yote waliposikia kuwa Yeroboamu alikuwa amerudi, walimwita kwenye kusanyiko lao wakamweka kuwa mfalme wa Israeli. Hapakuwepo na mtu aliyeifuata familia ya Daudi, isipokuwa tu kabila la Yuda.
Gdy cały Izrael usłyszał o tym, że Jeroboam wrócił, posłali [po niego], wezwali go do zgromadzenia i ustanowili go królem nad całym Izraelem. Przy domu Dawida nie pozostał nikt oprócz pokolenia Judy.
21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akawakusanya wote wa nyumba ya Yuda na kabila la Benjamini; walichaguliwa wanaume wanajeshi 180, 000 ili wapigane na nyumba ya Israeli, kwa lengo la kurudisha ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Sulemani.
A gdy Roboam przybył do Jerozolimy, zebrał cały dom Judy i pokolenie Beniamina, [razem] sto osiemdziesiąt tysięcy doborowych wojowników, aby walczyć z domem Izraela i przywrócić królestwo Roboamowi, synowi Salomona.
22 Lakini neno la Mungu likamjia Shemaya, mtu wa Mungu; likisema,
Lecz słowo Boże doszło do Szemajasza, męża Bożego:
23 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Sulemani, mfalme wa Yuda, na kwa nuymba yote ya Yuda na Benjamini, na kwa watu wote; uwaambie,
Powiedz Roboamowi, synowi Salomona, królowi Judy, całemu domowi Judy i Beniamina i reszcie ludu:
24 “BWANA asema hivi, Usipigane wala kuwavamia ndugu zako watu wa Israeli. Kila mtu lazima arudi nyumbani kwake, kwa kuwa jambo hili nimelisababisha mimi.” Kwa hiyo wakalisikiliza neno la BWANA na wakrudi nyumbani kwa njia zao na wakalitii neno lake.
Tak mówi PAN: Nie wyruszajcie ani nie walczcie ze swoimi braćmi, synami Izraela. Niech każdy wróci do swego domu, bo ta rzecz wyszła ode mnie. I posłuchali rozkazu PANA, i wrócili zgodnie ze słowem PANA.
25 Kisha Yeroboamu akaijenga Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na akaishi huko. Akatoka huko na kuijenga Penueli.
Potem Jeroboam zbudował Sychem na górze Efraim i zamieszkał w nim. Następnie wyszedł stamtąd i zbudował Penuel.
26 Yeroboamu akafikiri moyoni mwake, “Sasa ufalme utarudi kwenye nyumba ya Daudi.
Wtedy Jeroboam powiedział sobie w sercu: Wkrótce królestwo powróci do domu Dawida;
27 Kama hawa watu wataenda kutoa sadaka kwenye hekalu la BWANA kule Yerusalemu, basi mioyo ya hawa watu itarudi tena kwa bwana wao, kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda. Wataniua na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.”
Bo jeśli lud będzie chodził na składanie ofiary do domu PANA w Jerozolimie, to serce tego ludu zwróci się do swego pana, [do] Roboama, króla Judy. Zabiją mnie i powrócą do Roboama, króla Judy.
28 Kwa hiyo mfalme Yeroboamu akatafuta ushauri na akafanya ndama wawili wa dhahabu; akawaambia watu, “Ni vigumu sana kwenu kwenda Yerusalemu. Tazameni, hawa ndiyo miungu yenu, Ee Israeli, iliyowatoa toka nchi ya Misri.”
Król zasięgnął więc rady, po czym sporządził dwa złote cielce i powiedział ludowi: Dość już waszego chodzenia do Jerozolimy. Oto twoi bogowie, Izraelu, którzy cię wyprowadzili z ziemi Egiptu.
29 Akamweka mmoja Betheli na mwingine Dani.
I postawił jednego w Betel, a drugiego umieścił w Dan.
30 Kwa hiyo jambo hili likawa dhambi. Watu wakaenda kwa huyo na wengine kwa hawa, mpaka huko Dani.
I stało się to [przyczyną] grzechu, bo lud chodził do jednego z nich, aż do Dan.
31 Yeroboamu akajenga nyumba mahali pa juu na kufanya makuhani kutoka kwa watu wote, ambao hawakuwa wana wa Lawi.
Pobudował też dom na wyżynach i ustanowił kapłanów spośród pospólstwa, którzy nie pochodzili od synów Lewiego.
32 Yeroboamu akafanya sikukuu katika mwezi wa nane, katika siku ya kumi na tano ya mwezi, kama sikukuu ambayo iko Yuda, na akaenda juu kwenye madhabahu. Akafanya hivyo kule Betheli, akawatolea sadaka wale ndama aliokuwa amewatengeneza, na akaweka kuhani huko Betheli mahali pa juu alipokuwa amepatengeneza.
Następnie Jeroboam ustanowił święto w ósmym miesiącu, piętnastego dnia [tego] miesiąca, na wzór święta, które [obchodzono] w Judzie, i składał ofiary na ołtarzu. Tak uczynił w Betel, składając ofiary cielcom, które sporządził. Ustanowił też w Betel kapłanów wyżyn, które pobudował.
33 Yeroboamu akapanda kwenda kwenye madhabahu ambayo aliitengeneza kule Betheli katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, ndio mwezi aliokuwa amefikiri katika akili yake; akafanya sikukuu kwa watu wa Israeli n a akaenda madhabahuni kufukiza uvumba.
Tak więc składał ofiary na ołtarzu, który sporządził w Betel, piętnastego dnia ósmego miesiąca, w tym miesiącu, który sobie wymyślił, i ustanowił święto dla synów Izraela. I przystąpił do ołtarza, aby spalić kadzidło.

< 1 Wafalme 12 >