< 1 Wafalme 11 >

1 Basi mfalme Sulemani aliwapenda wanawake wengi wa kigeni: binti wa Farao na wanawake wa Wamoabu, Waamori, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti - Haya na
Solomon siangpahrang ni Faro canu dueng laipalah Isarel miphun hoeh e Moab, Amon, Edom, Sidon hoi Hit miphun napuinaw hai a ngai.
2 mataifa ambayo BWANA alikuwa amewaambia Waisraeli kwamba, “Msiwaoe, wala binti zenu kuolewa nao, kwani kwa hakika wataigeuza mioyo yenu ili mfuate miungu yao.” Lakini Sulemani aliwapenda wanawake hao.
BAWIPA ni nangmanaw Jentel miphun hoi kâpaluennae na sak mahoeh. Atangcalah ahnimouh teh, amamae cathutnaw e hnuk vah na lungthin a kamlang sak hane telah Isarelnaw koe a dei pouh nakunghai, Solomon ni Jentel miphun napuinaw radueknae lung a tawn.
3 Sulemani alikuwa na wanawake halali mia saba na masuria mia tatu. Wake zake waliugeuza moyo wake.
A yu 700 hoi ado 300 touh a tawn teh, a yunaw ni a lungthin a kamlang sak.
4 Kwa kuwa Sulemani alipozeeka, wake zake waliugeuza moyo wake kwa miungu mingine; hakuutoa moyo wake wote kwa BWANA, Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
Solomon teh a kumcue navah, a yunaw ni a lungthin hah cathut louk koe a kamlang sak. Hottelah a na pa Devit patetlah Cathut Jehovah koelah yuemkamcu hoeh toe.
5 Kwani Sulemani alimfuata Ashtoreth, mungu mke wa Wasidoni, na alimfuata Milkom, ambayo ni sanamu chukizo ya Waamori.
Sidon cathut Ashtoreth hoi panuettho e Ammonnaw e cathut milkom e hnuk a kâbang.
6 Sulemani akafanya maovu mbele ya BWANA; hakumfuata BWANA kwa moyo wake wote, kama alivyofanya Daudi baba yake.
Solomon ni BAWIPA e hmaitung vah yonnae hah a sak teh, a na pa Devit patetlah BAWIPA hah khoeroe tarawi hoeh.
7 Kisha Sulemani akajenga mahali pa juu pa Kemoshi, ambayo ni sanamu chukizo ya Wamoabu, mashariki mwa Yerusalemu juu ya kilima, na vivyo hivyo na Moleki, Sanamu chukizo ya Waamoni.
Solomon ni Jerusalem Kanîtholae mon dawk panuetthopounge Moabnaw e cathut Khemosh hoi panuetthopounge Ammonnaw e cathut Molek hanelah hmuen rasang a kangdue sak.
8 Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa sadaka kwa miungu yao.
Jentel napuinaw ni a cathut koe thuengnae hmuitui hmaisawi patetlah ahni ni a sak van.
9 BWANA alichukizwa na Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umemwacha Mungu wa Israeli, ingawa alikuwa amejionyesha kwake mara mbili
Alouke cathut koe a cei hoeh nahanelah, Isarel Cathut Jehovah ni vai hni totouh a kamnue pouh.
10 na kumwamuru juu ya mambo haya, kwamba asiwaendee miungu wengine. Bali Sulemani hakutii kile ambacho BWANA alikuwa amemwamuru.
Kâ kapoekung hah a lungthin hoi a kamlang takhai dawkvah, Solomon e lathueng BAWIPA a lungkhuek. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni lawk a poe e tarawi hoeh.
11 Kwa hiyo BWANA akamwambia Sulemani, “Kwa kuwa umeyafanya haya haukulishika agano langu na maagizo ambayo nilikuamuru, basi nitaugawa ufalme kutoka kwako na kuwapatia watumishi wako.
Hatdawkvah, BAWIPA ni Solomon koe hettelah na sak teh, ka lawkkam hoi phunglawk na tarawi hoeh dawkvah, na uknaeram heh nang koehoi ka la vaiteh, na san koevah ka poe han.
12 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, sitalifanya hilo wakati wa uhai wako, bali nitaugawa wakati ukiwa chini ya mwanao.
Hateiteh, na pa Devit kecu dawk na hring nathung teh hote hah ka sak mahoeh. Na capa kut dawk ram kâbawng sak han.
13 Bado sitaugawanya ufalme wote; Nitampa mwanao kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu, ambayo nimeichagua.”
Hatei, ram abuemlah hoi ka lat mahoeh. Ka san Devit hoi ka rawi e Jerusalem kecu dawk miphun buet touh teh na capa koe a ka poe han telah ati.
14 Kisha BWANA akamwinulia uadui Sulemani, Hadadi Mwedomu. Alikuwa anatoka kwenye familiia ya mfalme wa Edomu.
BAWIPA ni Edom tami hah Hadad hah Solomon e taran lah a kangdue sak, ahni teh Edom ram e siangpahrang catoun lah ao.
15 Daudi alipokuwa Edomu, Yoabu mkuu wa jeshi alikuwa ameenda kuzika mfu, kila mtu aliyekuwa ameuawa kule Edomu.
Edom ram dawk Devit a la o teh, a thei e naw pakawp hanelah ransabawi Joab a cei teh, Edom miphun tongpa pueng a thei hnukkhu,
16 Yoabu na Israeli yote walibaki huko kwa miezi sita mpaka alipokuwa amewaua wanaume wote wa Edomu.
Joab hoi Isarel pueng teh, thapa yung taruk touh thung Edom ram e tongpa pueng he a thei hoehroukrak ao awh.
17 Lakini Hadadi alichulukuliwa na Waedomu wengine na watumishi wa baba yake hadi Misri, kuanzia Hadadi alipokuwa mtoto mdogo.
Hadad teh a na pa e san Edom miphun a tangawn naw hoi Izip ram koe pha hanelah a yawng awh. Hadad teh camo ca rah.
18 Waliondoka Midiani wakaja Parani, ambapo walichukuliwa na wanaume mpaka Misri, kwa Farao wa Misri, ambaye alimpa nyumba na ardhi yenye chakula.
Midian ram hoi a tâco awh teh Paran ram koe a pha awh. Paran e tami tangawn a kaw awh teh, Izip ram, Izip ram siangpahrang koe a pha awh toteh, siangpahrang ni im hoi talai hmuen a poe teh a kawk.
19 Hadadi alipata neema kubwa machoni pa Farao, kwa hiyoFarao akampatia mke, umbu wa mke wake mwenyewe, umbu la Tapenesi aliyekuwa Malkia.
Hadad teh Faro e mit khet a kantak. A yu e nawngha, siangpahrang Tahpenes e nawngha hah a yu hanelah a poe.
20 Naye huyo umbu la Tapenesi alimzalia Hadadi mwana. Wakamwita jina lake Genubathi. Tapenesi akamlea katika ikulu ya Farao. Kwa hiyo Genubathi alikulia kwenye ikulu ya Farao pamoja na watoto wa Farao.
Tahpenes e a nawngha ni, a capa Genubath a khe pouh. Ahni teh Faro im vah Tahpenes ni sanu a pâphei, Genubath teh Faro im vah Faro e a canaw koe kho a sak.
21 Naye alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kuwa Daudi alishalala na mababu zake na kwamba Yoabu mkuu wa majeshi alishakufa, Hadadi akamwambia Farao, “Acha niondoke nirudi nchini kwangu.”
Devit teh a na mintoenaw koe a i tie hoi Joab hai a due toe tie Hadad ni Izip ram hoi a thai toteh, kai hai kamae ram koelah cei hanelah kâ na poe leih telah, Faro siangpahrang koe a kâhei.
22 Lakini Farao alimwambia, “Umepungukiwa nini kwangu, kwamba sasa unatafuta kurudi nchini kwako?” Naye Hadadi akamjibu, “Hapana kitu lakini tafadhali niache niende.”
Faro siangpahrang ni, nang teh nama e ram koe lah ban na ngainae na tawn hanelah kai koe bangmaw na ngai rah. Banghai ka ngai hoe. Hatei, cei hane kâ na poe telah bout atipouh.
23 Pia Mungu akamwinulia Sulemani adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri mfalme wa Soba.
Cathut ni Solomon e taran hanelah Eliada capa Rezon khobawi Hadadezer, Zobah siangpahrang koehoi ka yawng e hah bout a kangdue sak.
24 Rezoni alijikusanyia wanaume naye akawa mkuu wa jeshi dogo, Daudi ali owapiga wanaume wa Soba. Wale wanume Rezoni walienda Dameski kuishi huko, na Rezoni aliitawala Dameski.
Devit ni Zobahnaw a thei navah, ama ni taminaw a pâkhueng teh, ransanaw kaukkung lah yo ao toe. Damaskas kho koe lah a cei teh, kho hah a uk.
25 Yeye akawa adui wa Israeli katika siku zote za mfalme Sulemani, zaidi ya madhara ambayo Hadadi alisababisha. Rezoni akawachukia Israeli na akawa juu ya Shamu
Hadad ni runae a poe e bout a thap sin lahoi Solomon a hringyung thung Isarelnaw e taran lah ao. Siria ram hah a uk teh, Isarelnaw hah puenghoi a hmuhma.
26 Kisha Yeroboamu mwana wa Nebati, mwefraimu wa Sereda, akida wa Sulemani, ambaye jina la mama yake lilikuwa Serua, mjane, pia akainua mkono wake dhidi ya mfalme.
Nebat capa Jeroboam Zeradah kho e Ephraim tami Solomon e a san ni hai Solomon teh a taran, a manu e min teh Zeruah, lahmai lah a o
27 Kisa cha kuinua mkono wake kinyume cha mfalme ilikuwa ni mfalme Sulemani kujenga Milo na kufunga mahali palipobomoka katika mji wa Daudi baba yake.
Siangpahrang a tarannae a kong lam teh hettelah doeh. Solomon ni Millo kho hah a kangdue sak, a na pa Devit e kho rapan ka rawk e a pathoup.
28 Yeroboamu alikuwa mtu hodari na shujaa. Sulemani akaona kuwa huyo kijana alikuwa na bidii, kwa hiyo akampa kuwa na mamlaka juu ya wafanyakazi katika nyumba ya Yusufu.
Jeroboam teh athakaawme tami lah ao. Solomon ni hote thoundoun teh tami a thakaawm tie hah a panue dawkvah, Joseph imthung thaw ka tawk e lathueng vah kacue e lah a hruek.
29 Wakati huo, Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya Mshilo akamkuta barabarani. Sasa Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya na kwamba hawa wawili walikuwa pekee yao kondeni.
Hatnae tueng dawk hettelah doeh. Jeroboam hah Jerusalem a tâco navah, Shiloh tami profet Ahijah ni lam vah a kâhmo. Ahijah teh hni katha a kâkhu, amamouh roi dueng law vah ao roi.
30 Kisha Ahiya akalishika lile vazi jipya ambalo alikuwa nalo na akalichana katika vipande kumi na viwili.
Ahijah ni a kâkhu e hni katha hah a la teh, hlaikahni touh lah a ravei.
31 Akamwambia Yeroboamu. “Chukua vipande kumi, kwani BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Tazama, Nitaugawa ufalme toka katika mkono wa Sulemani nami nitakupa makabila kumi.
Jeroboam koevah hete hra touh hah lat nateh, BAWIPA Isarel Cathut ni hettelah a dei. Uknaeram heh kut dawk hoi ka la vaiteh, miphun 10 touh e hah nang koe na poe han.
32 (lakini Sulemani atabaki na kabila moja, kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na kwa ajili ya mji wangu Yerusalemu - mji ambao nimeuchagua toka kwenye kabila zote za Israeli),
Ka san Devit hanelah Isarel ram thung dawk kai ni ka rawi e Jerusalem kho kecu dawk Solomon ni ram buet touh a la han.
33 kwa kuwa ameniacha na kumwabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi Mungu wa Wamoabu, na Milikomu mungu wa watu wa Amoni. Wameziacha njia zangu, hawakufanya kilicho chema katika macho yangu, wala hawa kuzishika amri na maagizo yangu, kama alivyofanya Daudi baba yake.
Ram hra touh la pouh ngainae teh, Sidonnaw e cathut napui Ashtoreth hoi Moabnaw e cathut Mikomnaw hah a bawk awh. A na pa Devit patetlah ka hmaitung kalan e sak hanelah kaie lamthung dawn hoeh.
34 Hata hivyo. Stauchukua ufalme wote toka kwenye mkono wa Sulemani. Badala yake, nimemfanya kuwa mtawala katika siku zake zote za uhai wake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu ambaye nilimchagua, mtu ambaye alizishika amri na maagizo yangu.
Hatei, a uknaeram abuemlahoi koung ka lawm mahoeh. Bangkongtetpawiteh, kaie kâpoelawknaw hoi phunglawknaw ka poe e a tarawi dawkvah, ka rawi e ka san Devit kecu dawk a hringyung ukkung lah ka o sak han.
35 Bali nitauchukua ufalme ukiwa chini ya mkono wa mwanae na nitakupa wewe, makabila kumi.
Solomon e capa kut dawk hoi a uknaeram ka la pouh vaiteh, ram hra touh e nang koe na poe han.
36 Nitampa kabila moja mwana wa Sulemani ili kwamba Daudi mtumishi wagu atabaki kuwa nuru mbele yangu huko Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua ili niweke jina langu.
Ka min ao nahane ka rawi e Jerusalem kho dawk, ka hmalah ka san Devit e hmaiim teh pou ka ang e lah ao nahan Solomon capa koe ram buet touh kai ni ka poe han.
37 Nami nitakuchukua, nawe utatawala ili kutimiza haja yako, nawe utakuwa mfalme juu ya Israeli.
Nang hah kai ni na la vaiteh, na lungngaie patetlah na uk teh Isarelnaw e lathueng siangpahrang lah na o awh han.
38 Kama utasikiliza yote ninayokuagaza, na kama utatembea katika njia zangu na kufanya kinachopendeza mbele ya macho yangu, ukayashika maagizo na amri zangu, kama Daudi mtumishi wangu alivyofanya, ndipo nitakapokuwa na wewe na nitakujengea nyumba ya uhakika, kama niliyomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
Nang teh, kai ni kâ na poe e naw na tarawi teh, ka san Devit ni a dawn e patetlah kaie phunglawknaw hoi kâpoelawknaw hah na dawn teh, ka hmaitung kalan e na sak pawiteh, nang hoi rei ka o vaiteh, Devit hanelah ka cak poung e im sak e patetlah nang hanelah ka sak vaiteh, Isarel hah nang koe na poe han.
39 Nitawaadhibu uzao wa Daudi, lakini si milele.”
Hete a kong dawk Devit catoun a runae ka poe han. Hatei a yungyoe runae ka poe mahoeh telah ati.
40 Kwa hiyo Sulemani akajaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akaamka na kukimbilia Misri, Kwa Shishaki mfalme wa Misri, naye akabaki Misri mpaka Sulemani alipokufa.
Solomon ni Jeroboam hah thei hanelah a kâcai. Hatei, Jeroboam a thaw teh, Izip ram, Izip siangpahrang Shishak koe a yawng. Solomon a due totouh Izip ram vah ao.
41 Na kwa mambo mengine yanayomhusu Sulemani, Yote ambayo alifanya na hekima zake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya
Solomon ni a sak e hno kaawm rae naw hoi ahnie lungangnae naw teh, Solomon ni a thutnae cauk dawk thut e lah ao nahoehmaw.
42 Sulemani? Sulemani alitawala Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
Solomon ni Jerusalem kho dawk ao teh, Isarel ram pueng kum 40 touh thung a uk.
43 Naye akalala na mababu zake na alizikwa katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu mwanae akawa mfalme mahali pake.
A na mintoenaw hoi reirei a i awh, a na pa Devit kho dawk a pakawp awh. A capa Rehoboam ni a na pa e yueng lah a uk.

< 1 Wafalme 11 >