< 1 Wafalme 10 >
1 Malkia wa Sheba aliposikia uvumi wa Sulemani kuhusu jina la BWANA, alikuja kumjaribu kwa maswali magumu.
А царица савска чу глас о Соломуну и о имену Господњем, и дође да га искуша загонеткама.
2 Alikuja Yerusalemu na msafara mrefu, pamoja na ngamia waliokuwa wamebeba mizigo ya manukato, dhahabu nyingi, na mawe mengi ya thamani, akamwambia Sulemani yote yaliyokuwa moyoni mwake.
И дође у Јерусалим са силном пратњом, с камилама које ношаху мириса и злата врло много и драгог камења; и дошавши к Соломуну говори с њим о свему што јој беше у срцу.
3 Sulemani akajibu maswali yake yote. Hapakuwepo na swali ambalo aliuliza na mfalme akashindwa kujibu.
И Соломун јој одговори на све речи њене; не беше од цара сакривено ништа да јој не би одговорио.
4 Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na ikulu aliyokuwa amejenga,
А кад царица савска виде сву мудрост Соломунову и дом који беше сазидао,
5 chakula cha mezani kwake, kuketi kwa watumishi wake, kazi ya watumishi wake na kuvaa kwao, pia wanyweshaji wake, na jinsi alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya BWANA, roho yake ilizimia.
И јела на столу његовом и станове слуга његових и дворбу дворана његових и одело њихово, и пехарнике његове и жртве његове паљенице које приношаше у дому Господњем, она дође изван себе;
6 Akamwambia mfalme, “Ni kweli, ile taarifa ambayo nimeisikia nchini kwangu juu ya maneno yako na hekima yako.
Па рече цару: Истина је шта сам чула у својој земљи о стварима твојим и о мудрости твојој.
7 Sikuamini kile nilichosikia hadi nilipofika hapa, na sasa macho yangu yamejionea. Hata nusu ya hekima na utajiri wako! Umezidi uvumi ambao nilikuwa nimesikia.
Али не хтех веровати шта се говораше докле не дође и видим својим очима; а гле, ни пола ми није казано; твоја мудрост и доброта надвишује глас који сам слушала.
8 Tazama jinsi walivyobarikiwa wake zako, na jinsi walivyobarikwa watumishi wako ambao daima husimama mbele yako, kwa sababu wanasikia hekima zako.
Благо људима твојим, благо слугама твојим, који једнако стоје пред тобом и слушају мудрост твоју.
9 BWANA, Mungu wako asifiwe, ambaye amependezwa na wewe, ambaye alikuweka kwenye kiti cha enzi cha Israeli. Kwa sababu BWANA aliipenda Israeli milele, na sasa amekufanya wewe kuwa mfalme, ili kwamba utoe hukumu ya kweli na ya haki.
Да је благословен Господ Бог твој коме си омилео, те те посади на престо Израиљев; јер Господ љуби Израиља увек, и постави те царем да судиш и делиш правицу.
10 Basi Malikia alimpatia mfalme zaidi ya kilo 4500 za dhahabu na kiasi kikubwa cha mawe ya thamani. Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo kama hiki ambacho Malkia wa Sheba alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena.
Потом даде цару сто и двадесет таланата злата и врло много мириса и драгог камења: никада више не дође толико таквих мириса колико даде царица савска цару Соломуну.
11 Ile merikebu ya Hiramu, ambayo ilileta dhahabu kutoka Ofri, pia ilileta Kutoka Ofri kiasi kikubwa cha miti ya msandali na vito vya thamani.
И лађе Хирамове, које доношаху злато из Офира, донесоше из Офира врло много дрвета алмугима и драгог камења.
12 Mfalme alitengeneza nguzo za hekalu kwa ajili ya hekalu la BWANA na kwa nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda kwa hao waimbaji. haijatokea kiasi cha miti ya misandali kama hicho ambacho kimewahi kutokea hadi leo.
И начини цар од тог дрвета алмугима заграду у дому Господњем и у дому царском и харфе и псалтире за певаче; никада се више није довезло таквог дрвета алмугима нити се видело до данашњег дана.
13 Mfame Sulemani alimpatia Malkia wa Sheba kila kitu ambacho alihitaji, na kila kitu alichoomba, na zaidi ya yote Sulemani alimpatia kwa ukarimu wake vitu vya kifalme. Kisha akarudi kwake na watumishi wake.
А цар Соломун даде царици савској шта год зажеле и заиска осим оног шта јој даде сам по могућству цара Соломуна. По том она отиде и врати се у земљу своју са слугама својим.
14 Kiasi cha dhahabu ambazo zililetwa kwa Sulemani kwa mwaka mmoja kilikuwa takribani kilo elfu ishirini na tatu za dhahabu,
А злата што дохођаше Соломуну сваке године, беше шест стотина и шездесет и шест таланата,
15 zaidi ya dhahabu ambazo wafanya biashara na wachuuzi walileta. Wafame wote wa Uarabuni na maliwali wa nchi pia walileta dhahabu na fedha kwa Sulemani.
Осим оног што дохођаше од трговаца и оних који продаваху мирисе и од свих царева арапских и управитеља земаљских.
16 Mfalme Sulemani alitengeneza ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa, shekeli mia sita za dhahabu zilichukuliwa pamoja na ngao.
И цар Соломун начини двеста штитова од кованог злата, шест стотина сикала злата дајући на један штит:
17 Pia alitengeneza ngao mia tatu za dhahabu iliyofuliwa. Mane tatu za dhahabu ziliambatana pamoja na ngao moja moja; mfalme aliviweka katika ikulu ya mwitu ya Lebanoni.
И три стотине малих штитова од кованог злата, по три мине злата дајући на сваки штитић; и остави их цар у дому од шуме ливанске.
18 Kisha mfalme akafanya kiti kikubwa cha enzi kwa pembe na akakisakafia kwa dhahabu laini.
И начини цар велик престо од слонове кости, и обложи га чистим златом.
19 Hicho kiti kilikuwa na ngazi sita, na kitako chake kilikuwa cha mviringo. Na kilikuwa kimezungushiwa kwa mikono pande zake zote. Na simba wawili walisimama pembeni mwa ile mikono.
Шест басамака беше у престола, и врх округао беше озад на престолу и ручице беху с обе стране седишта, и два лава стајаху покрај тих ручица.
20 Kulikuwa na simba kumi na wawili waliokuwa wamesimama kwenye ile ngazi. Moja katika kila upande wa ngazi hizo. Hapakuwepo na kiti kama hicho katika ufalme mwingine.
И дванаест лавова стајаху на шест басамака отуд и одовуд. Не би такав начињен ни у коме царству.
21 Vikombe vyote vya kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu. Na vikombe vyote vya kunywea vya ikulu ya mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hapakuwepo na kikombe cha fedha, kwa sababu fedha haikuwa na thamani katika siku za Sulemani.
И сви судови из којих пијаше цар Соломун беху златни, и сви судови у дому од шуме ливанске беху од чистог злата; од сребра не беше ништа; сребро беше ништа за времена Соломуновог.
22 Mfalme alikuwa na merikebu za kusafiri pamoja na merikebu za Hiramu. Mara moja kila mwaka merikebu zilileta dhahabu, fedha, na pembe za ndovu, pamoja na nyani na tumbili.
Јер цар имаше лађе тарсиске на мору с лађама Хирамовим: један пут у три године враћаху се лађе тарсиске доносећи злато и сребро, слонове кости, мајмуне и пауне.
23 Kwa hiyo mfalme Sulemani aliwazidi wafalme wote ulimwenguni katika utajiri n a hekiima.
Тако цар Соломун беше већи од свих царева земаљских богатством и мудрошћу.
24 Dunia yote ilitafuta uwepo wa Sulemani ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameweka katika moyo wake.
И из целе земље тражаху да виде Соломуна, да чују мудрост његову, коју му даде Господ у срце.
25 Na wote waliomtembelea walilipa Kodi, vyombo vya fedha na vya dhahabu, na nguo na manukato na silaha na farasi na nyumbu, mwaka baada ya mwaka.
И доношаху му сви даре, судове сребрне и судове златне, и хаљине и оружје и мирисе и коње и мазге, сваке године.
26 Sulemani alikusanya pamoja magari n a wapanda farasi. Alikuwa na magari 1, 400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili ambao alikuwa amewaweka kwenye miji ya magari pamoja naye Yerusalemu.
Тако накупи Соломун кола и коњика, и имаше хиљаду и четири стотине кола и дванаест хиљада коњика, које разреди по градовима, где му беху кола, и код себе у Јерусалиму.
27 Mfalme alikuwa na fedha kule Yerusalemu, pamoja na mawe ardhini. Alitengeneza miti ya mierezi kuwa mingi kama mikuyu iliyo katika nyanda za chini.
И учини цар, те у Јерусалиму беше сребра као камења, и кедрових дрва као дивљих смокава које расту по пољу, тако много.
28 Sulemani alimiliiki farasi waliokuwa wamenunuliwa kutoka Misri na Kilikia. Wachuuzi wa mfalme waliwanunua kwa makundi, kila kundi kwa bei yake.
И довођаху Соломуну коње из Мисира и свакојаки трг, јер трговци цареви узимаху трг различан за цену.
29 Magari yalinunuliwa kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha kila moja, na farasi kwa shekeli 150 kila moja. Vitu vingi katika hivi baadaye viliuzwa kwa wafalme wote wa Wahiti na Aramu.
И долажаху кола из Мисира по шест стотина сикала сребра, а коњ по сто и педесет. И тако сви цареви хетејски и цареви сирски добијаху коње преко њих.