< 1 Wafalme 10 >
1 Malkia wa Sheba aliposikia uvumi wa Sulemani kuhusu jina la BWANA, alikuja kumjaribu kwa maswali magumu.
Glas koji je u Jahvinu Imenu stekao Salomon dopro je do kraljice od Sabe; zato ona dođe da Salomona iskuša zagonetkama.
2 Alikuja Yerusalemu na msafara mrefu, pamoja na ngamia waliokuwa wamebeba mizigo ya manukato, dhahabu nyingi, na mawe mengi ya thamani, akamwambia Sulemani yote yaliyokuwa moyoni mwake.
Došla je u Jeruzalem s golemom pratnjom, s devama koje su nosile mirise, nebrojeno zlato i drago kamenje. Došavši k Salomonu, porazgovori se s njim o svemu što joj bijaše na srcu.
3 Sulemani akajibu maswali yake yote. Hapakuwepo na swali ambalo aliuliza na mfalme akashindwa kujibu.
Salomon joj odgovori na sva pitanja; nije mu bilo skriveno ništa da joj ne bi umio objasniti.
4 Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na ikulu aliyokuwa amejenga,
Kad kraljica od Sabe vidje mudrost Salomonovu, dvor koji bijaše sagradio,
5 chakula cha mezani kwake, kuketi kwa watumishi wake, kazi ya watumishi wake na kuvaa kwao, pia wanyweshaji wake, na jinsi alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya BWANA, roho yake ilizimia.
jela na njegovu stolu, odaje njegove i dvorane, otmjenost njegove posluge i njihova odijela, njegove peharnike i paljenice koje je prinio u Domu Jahvinu, zastade joj dah.
6 Akamwambia mfalme, “Ni kweli, ile taarifa ambayo nimeisikia nchini kwangu juu ya maneno yako na hekima yako.
Tada reče kralju: “Istina je bila što sam u svojoj zemlji čula o tebi i o tvojoj mudrosti.
7 Sikuamini kile nilichosikia hadi nilipofika hapa, na sasa macho yangu yamejionea. Hata nusu ya hekima na utajiri wako! Umezidi uvumi ambao nilikuwa nimesikia.
Ali nisam htjela vjerovati što se pripovijeda dokle god nisam došla i vidjela na svoje oči; i doista, ni pola mi nije bilo rečeno: ti nadvisuješ u mudrosti i blagostanju slavu o kojoj sam čula.
8 Tazama jinsi walivyobarikiwa wake zako, na jinsi walivyobarikwa watumishi wako ambao daima husimama mbele yako, kwa sababu wanasikia hekima zako.
Blago tvojim ženama, blago ovim tvojim slugama koji su neprestano pred tobom i slušaju tvoju mudrost!
9 BWANA, Mungu wako asifiwe, ambaye amependezwa na wewe, ambaye alikuweka kwenye kiti cha enzi cha Israeli. Kwa sababu BWANA aliipenda Israeli milele, na sasa amekufanya wewe kuwa mfalme, ili kwamba utoe hukumu ya kweli na ya haki.
Neka je blagoslovljen Jahve, Bog tvoj, komu si tako omilio da te postavio na prijestolje Izraelaca; zato što Jahve uvijek ljubi Izraela, postavio te kraljem da činiš pravo i pravicu.”
10 Basi Malikia alimpatia mfalme zaidi ya kilo 4500 za dhahabu na kiasi kikubwa cha mawe ya thamani. Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo kama hiki ambacho Malkia wa Sheba alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena.
Dade tada kralju stotinu i dvadeset zlatnih talenata, mnogo miomirisa i dragulja. Nikad više nije bilo takvih miomirisa kakve je kraljica od Sabe dala kralju Salomonu.
11 Ile merikebu ya Hiramu, ambayo ilileta dhahabu kutoka Ofri, pia ilileta Kutoka Ofri kiasi kikubwa cha miti ya msandali na vito vya thamani.
Pa i Hiramovo brodovlje, koje je donosilo zlato iz Ofira, dovezlo je odande mnogo sandalovine i dragulja.
12 Mfalme alitengeneza nguzo za hekalu kwa ajili ya hekalu la BWANA na kwa nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda kwa hao waimbaji. haijatokea kiasi cha miti ya misandali kama hicho ambacho kimewahi kutokea hadi leo.
Kralj je od sandalovine napravio ograde za Dom Jahvin i za kraljevski dvor, i citre i harfe za pjevače; nikada se više nije dovezlo toliko sandalova drveta niti se vidjelo do danas.
13 Mfame Sulemani alimpatia Malkia wa Sheba kila kitu ambacho alihitaji, na kila kitu alichoomba, na zaidi ya yote Sulemani alimpatia kwa ukarimu wake vitu vya kifalme. Kisha akarudi kwake na watumishi wake.
Kralj Salomon dade kraljici od Sabe što je god zaželjela i zatražila, a povrh toga kraljevski je obdari. Potom ona krenu i sa slugama vrati se u svoju zemlju.
14 Kiasi cha dhahabu ambazo zililetwa kwa Sulemani kwa mwaka mmoja kilikuwa takribani kilo elfu ishirini na tatu za dhahabu,
Zlato što je dolazilo Salomonu svake godine bilo je teško šest stotina šezdeset i šest zlatnih talenata,
15 zaidi ya dhahabu ambazo wafanya biashara na wachuuzi walileta. Wafame wote wa Uarabuni na maliwali wa nchi pia walileta dhahabu na fedha kwa Sulemani.
osim onoga što je dolazilo od trgovaca i prodavača-potukača i od svih arapskih kraljeva i upravitelja zemaljskih.
16 Mfalme Sulemani alitengeneza ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa, shekeli mia sita za dhahabu zilichukuliwa pamoja na ngao.
Kralj Salomon načini tri stotine velikih štitova od kovanog zlata; za svaki je štit upotrijebio šest stotina zlatnih šekela;
17 Pia alitengeneza ngao mia tatu za dhahabu iliyofuliwa. Mane tatu za dhahabu ziliambatana pamoja na ngao moja moja; mfalme aliviweka katika ikulu ya mwitu ya Lebanoni.
i načini trista štitića od kovanog zlata; za svaki je štitić utrošio tri zlatne mine. Pohranio je sve u kuću zvanu Libanonska šuma.
18 Kisha mfalme akafanya kiti kikubwa cha enzi kwa pembe na akakisakafia kwa dhahabu laini.
Kralj je još napravio veliko prijestolje od bjelokosti i obložio ga čistim zlatom.
19 Hicho kiti kilikuwa na ngazi sita, na kitako chake kilikuwa cha mviringo. Na kilikuwa kimezungushiwa kwa mikono pande zake zote. Na simba wawili walisimama pembeni mwa ile mikono.
Prijestolje je imalo šest stepenica, straga je na njemu bila teleća glava, a s obje strane sjedala bile su ručice, a kraj ručica stajala dva lava.
20 Kulikuwa na simba kumi na wawili waliokuwa wamesimama kwenye ile ngazi. Moja katika kila upande wa ngazi hizo. Hapakuwepo na kiti kama hicho katika ufalme mwingine.
Dvanaest je lavova stajalo s obje strane onih šest stepenica. Takvo što nije bilo izrađeno ni u jednom kraljevstvu.
21 Vikombe vyote vya kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu. Na vikombe vyote vya kunywea vya ikulu ya mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hapakuwepo na kikombe cha fedha, kwa sababu fedha haikuwa na thamani katika siku za Sulemani.
Sve posude iz kojih je pio kralj Salomon bijahu zlatne, i sve posuđe u kući zvanoj Libanonska šuma bijaše od suhoga zlata; ništa nije bilo od srebra, jer se ono smatralo bezvrijednim u Salomonovo vrijeme.
22 Mfalme alikuwa na merikebu za kusafiri pamoja na merikebu za Hiramu. Mara moja kila mwaka merikebu zilileta dhahabu, fedha, na pembe za ndovu, pamoja na nyani na tumbili.
Kralj je imao taršiško brodovlje na moru zajedno s Hiramovim brodovljem, i svake treće godine dolazilo je taršiško brodovlje donoseći zlato, srebro i slonovu kost, majmune i paune.
23 Kwa hiyo mfalme Sulemani aliwazidi wafalme wote ulimwenguni katika utajiri n a hekiima.
Tako je kralj Salomon natkrilio sve zemaljske kraljeve bogatstvom i mudrošću.
24 Dunia yote ilitafuta uwepo wa Sulemani ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameweka katika moyo wake.
Sav je svijet želio vidjeti Salomona i čuti mudrost koju mu je Bog ulio u srce.
25 Na wote waliomtembelea walilipa Kodi, vyombo vya fedha na vya dhahabu, na nguo na manukato na silaha na farasi na nyumbu, mwaka baada ya mwaka.
Svatko mu je donosio dar: srebro i zlatno posuđe, haljine, oružje, miomirise, konje i mazge, iz godine u godinu.
26 Sulemani alikusanya pamoja magari n a wapanda farasi. Alikuwa na magari 1, 400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili ambao alikuwa amewaweka kwenye miji ya magari pamoja naye Yerusalemu.
Uz to je Salomon sakupio bojnih kola i konjanika; imao je tisuću i četiri stotine bojnih kola i dvanaest tisuća konja i rasporedio ih je po gradovima bojnih kola i kod kralja u Jeruzalemu.
27 Mfalme alikuwa na fedha kule Yerusalemu, pamoja na mawe ardhini. Alitengeneza miti ya mierezi kuwa mingi kama mikuyu iliyo katika nyanda za chini.
Salomon je učinio da u Jeruzalemu bude srebra kao kamenja, a cedrova kao divljih smokava što rastu u Šefeli.
28 Sulemani alimiliiki farasi waliokuwa wamenunuliwa kutoka Misri na Kilikia. Wachuuzi wa mfalme waliwanunua kwa makundi, kila kundi kwa bei yake.
Salomon je uvozio konje iz Musrija i Koe: kraljevi nabavljači uvozili su ih iz Koe za određenu svotu.
29 Magari yalinunuliwa kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha kila moja, na farasi kwa shekeli 150 kila moja. Vitu vingi katika hivi baadaye viliuzwa kwa wafalme wote wa Wahiti na Aramu.
Kola se dovozila iz Egipta po šest stotina srebrnih šekela; a konj se plaćao po stotinu i pedeset. Tako ih preko nabavljača dobivahu svi kraljevi hetitski i aramejski.