< 1 Wafalme 1 >
1 Mfalme Daudi alipokuwa mzee sana, walimfunika kwa nguo, lakini hakupata joto.
and [the] king David be old to come (in): advanced in/on/with day: year and to cover him in/on/with garment and not to warm to/for him
2 Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, “Na tutafute msichana bikra kwa ajili ya mfalme bwana wetu. Ili amtumikie na kumtunza. Naye atalala kwenye mikono yake ili bwana mfalme wetu apate joto.
and to say to/for him servant/slave his to seek to/for lord my [the] king maiden virgin and to stand: stand to/for face: before [the] king and to be to/for him be useful and to lie down: lay down in/on/with bosom: embrace your and to warm to/for lord my [the] king
3 Kwa hiyo wakatafuta msichana mrembo katika mipaka yote ya Israeli. Wakampata Abishagi Mshunami wakamlte kwa mfalme.
and to seek maiden beautiful in/on/with all border: area Israel and to find [obj] Abishag [the] Shunammites and to come (in): bring [obj] her to/for king
4 Yule msichana alikuwa mrembo sana. Naye akamtumikia mfalme na kumtunza, Lakini mfalme hakumjua.
and [the] maiden beautiful till much and to be to/for king be useful and to minister him and [the] king not to know her
5 Wakati huo, Adoniya mwana wa Hagithi alijiinua akisema, “Nitakuwa mfalme.” Kwa hiyo akajiandalia magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake.
and Adonijah son: child Haggith to lift: exalt to/for to say I to reign and to make to/for him chariot and horseman and fifty man to run: run to/for face: before his
6 Baba yake alikuwa hajawahi kumsumbua, kwa kusema, “kwa nini umefanya hili na lile?” Adoniya allikuwa mwanamume mzuri sana aliyezaliwa baada ya Absalomu.
and not to hurt him father his from day his to/for to say why? thus to make: do and also he/she/it pleasant appearance much and [obj] him to beget after Absalom
7 Akashauriana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari kuhani. Wakamfuata Adoniya wakamsaidia.
and to be word: thing his with Joab son: child Zeruiah and with Abiathar [the] priest and to help after Adonijah
8 Lakini Sadoki kuhani, Benaya mwana wa Yehoyada, nabii Nathani, Shimei, Rei, na watu mashujaa wa Daudi hawakumfuata Adoniya.
and Zadok [the] priest and Benaiah son: child Jehoiada and Nathan [the] prophet and Shimei and Rei and [the] mighty man which to/for David not to be with Adonijah
9 Adoniya akataoa dhabihu za Kondoo, na ndama walionona kwenye jiwe la Sohelethi, ambalo liko karibu na Eni Rogeli. Akawakaribisha ndugu zake wote, watoto wa mfalme, wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme.
and to sacrifice Adonijah flock and cattle and fatling with (Zoheleth) Stone [the] Serpent's which beside En-rogel En-rogel and to call: call to [obj] all brother: male-sibling his son: child [the] king and to/for all human Judah servant/slave [the] king
10 Lakini hakumkaribisha nabii Nathan, Benaya, wanaume mashujaa, au ndugu yake Sulemani.
and [obj] Nathan [the] prophet and Benaiah and [obj] [the] mighty man and [obj] Solomon brother: male-sibling his not to call: call to
11 Kisha Nathani akamwambia Bethisheba mama wa Sulemani, akaisema, “Je, haujasikia kuwa Adoniya mwana wa Hagathi amekuwa mfalme, na Daudi bwana wetu halijui hilo?
and to say Nathan to(wards) Bathsheba Bathsheba mother Solomon to/for to say not to hear: hear for to reign Adonijah son: child Haggith and lord our David not to know
12 Kwa hiyo sasa nakupa ushauri, ili kwamba uweze kuokoa maisha yako na maisha ya mwanao Suleimani.
and now to go: come! to advise you please counsel and to escape [obj] soul: life your and [obj] soul: life son: child your Solomon
13 Nenda kwa mfalme Daudi; ukamwambie, 'Bwana wangu mfalme, Je, haukumwapia mtumishi wako, ukisema, “Hakika Sulemani mwanao atatawala baada yangu, na ataketi kwenye kiti changu cha enzi?” Kwa nini basi Adoniya anatawala?'
to go: went and to come (in): come to(wards) [the] king David and to say to(wards) him not you(m. s.) lord my [the] king to swear to/for maidservant your to/for to say for Solomon son: child your to reign after me and he/she/it to dwell upon throne my and why? to reign Adonijah
14 Wakati ukiwa pale ukiongea na mfalme, Nitaingia baada yako na kuthibitisha hayo.
behold still you to speak: speak there with [the] king and I to come (in): come after you and to fill [obj] word your
15 Kwa hiyo Bathisheba akaingia chumbani kwa mfalme. Wakati huo mfalme alikuwa mzee sana, na Abishagi Mshunami alikuwa akimtunza mfalme.
and to come (in): come Bathsheba Bathsheba to(wards) [the] king [the] chamber [to] and [the] king be old much and Abishag [the] Shunammites to minister [obj] [the] king
16 Bathisheba akaiinama kifudifudi mbele ya mfalme. Na kisha mfalme akasema, “Una haja gani?”
and to bow Bathsheba Bathsheba and to bow to/for king and to say [the] king what? to/for you
17 Naye akamwambia, “Bwana wangu, ulimwapia mtumishi wako kwa jina la BWANA, Mungu wako, ukisema, 'Hakika Sulemani mwanao atatawala, baada yangu, naye ataketi kwenye kiti changu cha enzi.'
and to say to/for him lord my you(m. s.) to swear in/on/with LORD God your to/for maidservant your for Solomon son: child your to reign after me and he/she/it to dwell upon throne my
18 Sasa, tazama, Adoniya ni mfalme, na bwana wangu mfalme hajui jambo hili.
and now behold Adonijah to reign and now lord my [the] king not to know
19 Ametoa dhabihu ya makisai, ndama walionona, na kondoo wengi, na amewakaribisha wana wote wa mfalme, Abiathari kuhani, na Yoabu jemedari wa jeshi, lakini hajamkaribisha Sulemani mtumishi wako.
and to sacrifice cattle and fatling and flock to/for abundance and to call: call to to/for all son: child [the] king and to/for Abiathar [the] priest and to/for Joab ruler [the] army and to/for Solomon servant/slave your not to call: call to
20 Mfalme bwana wangu, macho yote ya Israeli yako kwako, yakisubiri usemi wako juu ya nani atakayeti kwenye kiti cha enzi baada yako, bwana wangu.
and you(m. s.) lord my [the] king eye all Israel upon you to/for to tell to/for them who? to dwell upon throne lord my [the] king after him
21 Vinginevyo itatokea, wakati bwana wangu atakapolala na baba zake, kwamba Mimi na mwanangu Sulemani kuhesabiwa wahaini.”
and to be like/as to lie down: sleep lord my [the] king with father his and to be I and son: child my Solomon sinner
22 Wakati alipokuwa akiendelea na mfalme, nabii Nathani aliingia.
and behold still she to speak: speak with [the] king and Nathan [the] prophet to come (in): come
23 Watumshi wakamwambia mfalme, “Nabii Nathani yuko hapa,” Naye alipoingia mbele ya mfalme, akalala kifudifudi mbele ya mfalme na uso wake ukielekea chini.
and to tell to/for king to/for to say behold Nathan [the] prophet and to come (in): come to/for face: before [the] king and to bow to/for king upon face his land: soil [to]
24 Nathani akamwambia, “Mfalme bwana wangu, Je, umesema, Adoniya atatawala baada yangu, na ataketi kwenye kiti changu cha enzi?
and to say Nathan lord my [the] king you(m. s.) to say Adonijah to reign after me and he/she/it to dwell upon throne my
25 kwani leo ameshuka na ametoa dhabihu ya makisai, ndama walionona, na kondoo wengi, na amewakaribisha wana wote wa mfalme, jemedari wa jeshi, na Abiatahari kuhani. Nao wanakuka na kunywa mbele zake, na kusema, 'Mfalme Adoniya na aishi milele!'
for to go down [the] day: today and to sacrifice cattle and fatling and flock to/for abundance and to call: call to to/for all son: child [the] king and to/for ruler [the] army and to/for Abiathar [the] priest and behold they to eat and to drink to/for face: before his and to say to live [the] king Adonijah
26 Lakini mimi, mtumishi wako, Sadoki kuhani, Benaya mwana wa Yehoyada, na mtumishi wako Suleimani, hajatukaribisha.
and to/for me I servant/slave your and to/for Zadok [the] priest and to/for Benaiah son: child Jehoiada and to/for Solomon servant/slave your not to call: call to
27 Je, bwana wangu mfalme amefanya haya pasipo kutuambia sisi, watumishi wako, ni nani atakayeketi kwenye kiti cha enzi baada yake?”
if: surely no from with lord my [the] king to be [the] word: thing [the] this and not to know [obj] (servant/slave your *Q(K)*) who? to dwell upon throne lord my [the] king after him
28 Ndipo mfalme Daudi lipojibu na kusema, “Mwiteni Bathisheba arudi.” Naye akaja akasimama mbele ya mfalme.
and to answer [the] king David and to say to call: call to to/for me to/for Bathsheba Bathsheba and to come (in): come to/for face: before [the] king and to stand: stand to/for face: before [the] king
29 Mfalme akafanya kiapo akasema, “Kama BWANA aishivyo, ambaye ameniokoa toka tabu zote,
and to swear [the] king and to say alive LORD which to ransom [obj] soul my from all distress
30 kama nilivyokuapia kwa BWANA, Mungu wa Israeli, nikisema, 'Sulemani mwanao atatawala baada yangu, naye ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha enzi, mahali pangu,' Nitafanya hivi leo.”
for like/as as which to swear to/for you in/on/with LORD God Israel to/for to say for Solomon son: child your to reign after me and he/she/it to dwell upon throne my underneath: instead me for so to make: do [the] day: today [the] this
31 Kisha Bathisheba akalala kifudifudi na sura yake ikielekea chini mbele ya mfalme akasema, “Bwana wangu mfalme Daudi n a aishi milele!”
and to bow Bathsheba Bathsheba face land: soil and to bow to/for king and to say to live lord my [the] king David to/for forever: enduring
32 Mflme Daudi akasema, “Niitieni Sadoki kuhani, nabii Nathani na Benaya mwana wa Yehoyada.” Nao wakaja mbele ya mfalme.
and to say [the] king David to call: call to to/for me to/for Zadok [the] priest and to/for Nathan [the] prophet and to/for Benaiah son: child Jehoiada and to come (in): come to/for face: before [the] king
33 Mfalme akawaambia, “Uwachukue watumishi wangu, bwana wako, na umfanye Sulemani mwanangu apande juu ya nyumba yangu mimi na mkamtelemshe mpaka chini Gihoni.
and to say [the] king to/for them to take: take with you [obj] servant/slave lord your and to ride [obj] Solomon son: child my upon [the] female mule which to/for me and to go down [obj] him to(wards) Gihon
34 Na Sadoki kuhani na nabii Nathani wamtawaze awe mfalme wa Israeli na tarumbeta zipigwe, 'Mfalme Suleimani na uishi milele!'
and to anoint [obj] him there Zadok [the] priest and Nathan [the] prophet to/for king upon Israel and to blow in/on/with trumpet and to say to live [the] king Solomon
35 Kisha njoni mkiwa nyuma yake, naye atakuja na kukaa kwenye kiti changu cha enzi; kwani yeye ndiye atakayekuwa mfalme mahali pangu. Nimemchagua yeye kuwa mtawala wa Israeli na Yuda.”
and to ascend: rise after him and to come (in): come and to dwell upon throne my and he/she/it to reign underneath: instead me and with him to command to/for to be leader upon Israel and upon Judah
36 Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme, akasema, “Na iwe hivyo! Na BWANA, Mungu wa mfalme bwana wangu, alithibitishe hilo.
and to answer Benaiah son: child Jehoiada [obj] [the] king and to say amen so to say LORD God lord my [the] king
37 Kama vile BWANA alivyokuwa na mfalme bwana wangu na awe na Sulemani hivyo hivyo, na kuifanya enzi yake kuwa kubwa kuliko zaidi ya enzi ya bwana wangu Daudi.”
like/as as which to be LORD with lord my [the] king so (to be *Q(K)*) with Solomon and to magnify [obj] throne his from throne lord my [the] king David
38 Kwa hiyo Sadoki kuhani, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, na Wakerethi na Wapelethi wakamfanya Sulemani akapanda juu ya nyumba ya mfalme Daudi; wakamleta Gihoni.
and to go down Zadok [the] priest and Nathan [the] prophet and Benaiah son: child Jehoiada and [the] Cherethite and [the] Pelethite and to ride [obj] Solomon upon female mule [the] king David and to go: take [obj] him upon Gihon
39 Naye Sadoki kuhani akachukua pembe lenye mafuta hemani akamtia mafuta Sulemani kisha wakapiga tarumbeta, na watu wote wakasema, 'Mfalme Sulemani na aishi milele!'
and to take: take Zadok [the] priest [obj] horn [the] oil from [the] tent and to anoint [obj] Solomon and to blow in/on/with trumpet and to say all [the] people to live [the] king Solomon
40 Kisha watu wote wakamfuata, na watu wakapiga zomari wakafurahi furaha kubwa mno, kiasi kwamba dunia ikatetemeka kwa sauti zao.
and to ascend: rise all [the] people after him and [the] people to play flute in/on/with flute and glad joy great: large and to break up/open [the] land: country/planet in/on/with voice: sound their
41 Kisha Adoniya na wageni wake waliokuwa pamoja naye wakasikia hayo walipomaliza kula. Yoabu alipozisikia sauti za panda, akasema, “Kwa nini jiji lilko katika hali ya taharuki?”
and to hear: hear Adonijah and all [the] to call: call to which with him and they(masc.) to end: finish to/for to eat and to hear: hear Joab [obj] voice: sound [the] trumpet and to say why? voice: sound [the] town to roar
42 Wakati alipokuwa akiongea, Yonatahani mwana wa Abiathari kuhani alifika. Adoniya akamwambia, “Karibu, 'kwa kuwa wewe wastahili kutuletea habari.”
still he to speak: speak and behold Jonathan son: child Abiathar [the] priest to come (in): come and to say Adonijah to come (in): come for man strength: worthy you(m. s.) and good to bear tidings
43 Naye Yonathani akamjibu Adoniya, “Mfalme bwana wetu Daudi amemfanya Sulemani kuwa mfalme.
and to answer Jonathan and to say to/for Adonijah truly lord our [the] king David to reign [obj] Solomon
44 Na mfalme amemtuma pamoja naye Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, na Wakerethi pamoja na Wapelethi. Wamempandisha Sulemani juu ya nyumba ya mfalme.
and to send: depart with him [the] king [obj] Zadok [the] priest and [obj] Nathan [the] prophet and Benaiah son: child Jehoiada and [the] Cherethite and [the] Pelethite and to ride [obj] him upon female mule [the] king
45 Sadoki kuhani na nabii Nathani wamemtawaza kuwa mfalme kule Gihoni, na wametokea huko wakifurahi, ndiyo maana jiji liko katika taharuki. Na hizi ndizo sauti ulizosikia.
and to anoint [obj] him Zadok [the] priest and Nathan [the] prophet to/for king in/on/with Gihon and to ascend: rise from there glad and to make noise [the] town he/she/it [the] voice: sound which to hear: hear
46 Pia, Sulemani ameketi kwenye kiti cha enzi cha ufalme.
and also to dwell Solomon upon throne [the] kingship
47 Zaidi ya yote, watumishi wa mfalme walikuja kumbariki mfalme bwana wetu Daudi, wakisema, 'Mungu wako na alifanye jina la Sulemani kuwa zuri kuliko jina lako, na kuifanya enzi yako kuwa kubwa kuliko yako.' na mfalme akasujudu mwenyewe kitandani.
and also to come (in): come servant/slave [the] king to/for to bless [obj] lord our [the] king David to/for to say be good (God *Q(K)*) [obj] name Solomon from name your and to magnify [obj] throne his from throne your and to bow [the] king upon [the] bed
48 Mfalme pia alisema, 'Abarikiwe BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye amempa mtu kuketi kwenye enzi yangu siku hii ya leo, na kwamba macho yangu yamejionea hilo.'”
and also thus to say [the] king to bless LORD God Israel which to give: give [the] day: today to dwell upon throne my and eye my to see: see
49 Ndipo wageni wote wa Adoniya walipoogopa sana. Wakasimama na kila mtu akaenda njia yake.
and to tremble and to arise: rise all [the] to call: call to which to/for Adonijah and to go: went man: anyone to/for way: journey his
50 Pia Adoniya alimwaogopa Sulemani na akasimama, na akaondoka, akachukua pembe la madhabahuni.
and Adonijah to fear from face of Solomon and to arise: rise and to go: went and to strengthen: hold in/on/with horn [the] altar
51 Kisha Sulemani akaambiwa hilo, wakasema, “Tazama, Adoniya amemwogopa mfalme Sulemani, kwa kuwa ameshikilia pembe la madhabahuni, akisema, 'Mfalme Sulemani na aniapie kwanza kuwa hatamwua mtumishi wake kwa upanga.'”
and to tell to/for Solomon to/for to say behold Adonijah to fear [obj] [the] king Solomon and behold to grasp in/on/with horn [the] altar to/for to say to swear to/for me like/as day: today [the] king Solomon if: surely no to die [obj] servant/slave his in/on/with sword
52 Sulemani akasema, “Kama atajionyesha kuwa ni mtu wa kweli, hakuna hata unywele mmoja utakaoanguka duniani, bali kama uovu utaonekana kwake, atakufa.”
and to say Solomon if to be to/for son: descendant/people strength: worthy not to fall: fall from hair his land: soil [to] and if distress: evil to find in/on/with him and to die
53 Kwa hiyo mfalme Sulemani akatuma watu, waliomleta Adoniya kutoka madhabahuni. Naye akaja akapiga magoti kwa Sulemani, na Sulemani akamwambia, “Nenda nyumbani kwako.”
and to send: depart [the] king Solomon and to go down him from upon [the] altar and to come (in): come and to bow to/for king Solomon and to say to/for him Solomon to go: went to/for house: home your