< 1 Wafalme 1 >
1 Mfalme Daudi alipokuwa mzee sana, walimfunika kwa nguo, lakini hakupata joto.
Hina bagade Da: ibidi da da: i hamone fisi. Ea hawa: hamosu dunu da e abulaga sosonesi. Be amomane e da hame dogoloi.
2 Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, “Na tutafute msichana bikra kwa ajili ya mfalme bwana wetu. Ili amtumikie na kumtunza. Naye atalala kwenye mikono yake ili bwana mfalme wetu apate joto.
Amaiba: le, ea hawa: hamosu ouligisu dunu, da ema amane sia: i, “Hina! Ninia uda a: fini afae di ouligisa esaloma: ne hogomu. E da di anegagi gumima: ne, di gadenene golasu hamoma: mu.”
3 Kwa hiyo wakatafuta msichana mrembo katika mipaka yote ya Israeli. Wakampata Abishagi Mshunami wakamlte kwa mfalme.
Ilia da Isala: ili soge fi huluane amo ganodini uda a: fini afae noga: idafa hohogola lafia: i. Amalalu, ilia da Siuneme soge ganodini, uda a: fini noga: idafa ea dio A: bisia: ge ba: le, amola hina bagadema oule misi.
4 Yule msichana alikuwa mrembo sana. Naye akamtumikia mfalme na kumtunza, Lakini mfalme hakumjua.
E da uda a: fini isisima: goi ba: i. E da hina bagade noga: le ouligi. Be amomane ela da: iga hame gilisi.
5 Wakati huo, Adoniya mwana wa Hagithi alijiinua akisema, “Nitakuwa mfalme.” Kwa hiyo akajiandalia magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake.
A: basalome da bogoloba, A:dounaidia (Da: ibidi amola Ha: gide elea mano) da Da: ibidi ea magobo mano fawane esalu. E da dunu isisima: goidafa esalu. Eso huluane, A:dounaidia da giadofaloba, Da: ibidi da mae hahamone udigili yolesisu. E da hina bagade hou lamusa: hanai galu. E da hisu sa: liode amola hosi amola sigi aligisu dunu 50 agoane, e fidima: ne lai.
6 Baba yake alikuwa hajawahi kumsumbua, kwa kusema, “kwa nini umefanya hili na lile?” Adoniya allikuwa mwanamume mzuri sana aliyezaliwa baada ya Absalomu.
7 Akashauriana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari kuhani. Wakamfuata Adoniya wakamsaidia.
E da Youa: be (ea ame da Seluaia) amola gobele salasu dunu Abaia: da, ela e fidima: ne gilisili sia: dasu. Amola ela da e fuligala: musa: sia: i.
8 Lakini Sadoki kuhani, Benaya mwana wa Yehoyada, nabii Nathani, Shimei, Rei, na watu mashujaa wa Daudi hawakumfuata Adoniya.
Be gobele salasu dunu Sa: idoge, Bina: ia (Yihoiada ea mano), ba: la: lusu dunu Na: ida: ne, Simiai, Liai amola Da: ibidi ea da: i ouligisu dunu, ilia da A: dounaidia emagai hame galu.
9 Adoniya akataoa dhabihu za Kondoo, na ndama walionona kwenye jiwe la Sohelethi, ambalo liko karibu na Eni Rogeli. Akawakaribisha ndugu zake wote, watoto wa mfalme, wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme.
Eso afaega, A:dounaidia da sibi, bulamagau amola sefena gala bulamagau mano amo Sania Magufu (Enelougele hano bubuga: su bega: gadenene) Godema gobele sali. E da hina bagade Da: ibidi egefelali oda amola Da: ibidi ea hawa: hamosu dunu Yuda soge amo ganodini esala, amo gobele salasu lolo nabe amoga misa: ne hiougi.
10 Lakini hakumkaribisha nabii Nathan, Benaya, wanaume mashujaa, au ndugu yake Sulemani.
Be ea hobe Soloumane, ba: la: lusu dunu Na: ida: ne, Bina: ia amola Da: ibidi ea da: i ouligisu dunu, amo e da hame hiougi.
11 Kisha Nathani akamwambia Bethisheba mama wa Sulemani, akaisema, “Je, haujasikia kuwa Adoniya mwana wa Hagathi amekuwa mfalme, na Daudi bwana wetu halijui hilo?
Amalalu, Na: ida: ne da Ba: desiba (Soloumane ea ame) ema asili, amane adole ba: i, “Ha: gide ea mano A: dounaidia da higobele hina bagade hamoi, amo di da hame nabibala: ? Amola hina bagade Da: ibidi da amo hamedafa nabi galu.
12 Kwa hiyo sasa nakupa ushauri, ili kwamba uweze kuokoa maisha yako na maisha ya mwanao Suleimani.
Di da dia esalusu amola dia mano Soloumane ea esalusu gaga: musa: hanai galea, na da dima sisamu.
13 Nenda kwa mfalme Daudi; ukamwambie, 'Bwana wangu mfalme, Je, haukumwapia mtumishi wako, ukisema, “Hakika Sulemani mwanao atatawala baada yangu, na ataketi kwenye kiti changu cha enzi?” Kwa nini basi Adoniya anatawala?'
Hedolo hina Da: ibidima asili amane adole ba: ma! ‘Hina bagade! Di da nama dafawane ilegele sia: i, amo na mano Soloumane da dia hina bagade sogebi lamusa: sia: i. Amaiba: le, abuliba: le A: dounaidia da hina bagade hamobela: ?’”
14 Wakati ukiwa pale ukiongea na mfalme, Nitaingia baada yako na kuthibitisha hayo.
Na: ida: ne da eno amane sisia: asi, “Amasea, di da hina Da: ibidi ali gilisili sia: dalea, na da ganodini misini, dia sia: da dafawane sia: mu.”
15 Kwa hiyo Bathisheba akaingia chumbani kwa mfalme. Wakati huo mfalme alikuwa mzee sana, na Abishagi Mshunami alikuwa akimtunza mfalme.
Amaiba: le, Ba: desiba da hina bagade ea golala ahoasu ganodini e ba: la asi. E da da: idafa hamoiba: le, Siuneme a: fini A: bisia: ge e ouligilalebe ba: i.
16 Bathisheba akaiinama kifudifudi mbele ya mfalme. Na kisha mfalme akasema, “Una haja gani?”
Ba: desiba da hina bagade ea midadi gududafa begudui. Da: ibidi da ema amane adole ba: i, “Di da adi lamusa: misibala: ?”
17 Naye akamwambia, “Bwana wangu, ulimwapia mtumishi wako kwa jina la BWANA, Mungu wako, ukisema, 'Hakika Sulemani mwanao atatawala, baada yangu, naye ataketi kwenye kiti changu cha enzi.'
E bu adole i, “Hina bagade! Di da Hina Gode Ea Dioba: le nama amane ilegele sia: i. Na mano Soloumane da di bagia hina bagade hamomu.
18 Sasa, tazama, Adoniya ni mfalme, na bwana wangu mfalme hajui jambo hili.
Be A: dounaidia e da hina bagade hamoi dagoi. Amola di da amo hou hamedafa nabi.
19 Ametoa dhabihu ya makisai, ndama walionona, na kondoo wengi, na amewakaribisha wana wote wa mfalme, Abiathari kuhani, na Yoabu jemedari wa jeshi, lakini hajamkaribisha Sulemani mtumishi wako.
E da bulamagau gawali, sibi amola bulamagau mano sefena amo bagohame Godema gobele sali. Amola e da dia mano oda, gobele salasu dunu Abaia: da amola dia dadi gagui wa: i ouligisu dunu Youa: be, ili amo gobele salasu lolo amoga misa: ne hiougi. Be e da dia mano Soloumane misa: ne hame hiougi.
20 Mfalme bwana wangu, macho yote ya Israeli yako kwako, yakisubiri usemi wako juu ya nani atakayeti kwenye kiti cha enzi baada yako, bwana wangu.
Hina bagade! Isala: ili fi dunu huluane ilia hanai da di da dia bagia manebe hina amo di ilima adoma: ne dawa: lala.
21 Vinginevyo itatokea, wakati bwana wangu atakapolala na baba zake, kwamba Mimi na mwanangu Sulemani kuhesabiwa wahaini.”
Be di da mae adole bogosea, ilia da na mano Soloumane anima wadela: i hamosu dunu ilia se nabasu defele anima se nabasu imunu.”
22 Wakati alipokuwa akiendelea na mfalme, nabii Nathani aliingia.
E da gebe adodalobawane, Na: ida: ne da hina bagade diasuga doaga: i.
23 Watumshi wakamwambia mfalme, “Nabii Nathani yuko hapa,” Naye alipoingia mbele ya mfalme, akalala kifudifudi mbele ya mfalme na uso wake ukielekea chini.
Ilia da hina bagadema gobele salasu dunu da amogai esala sia: beba: le, Na: ida: ne da golili sa: ili, hina bagade ea midadi gududafa begudui.
24 Nathani akamwambia, “Mfalme bwana wangu, Je, umesema, Adoniya atatawala baada yangu, na ataketi kwenye kiti changu cha enzi?
Amalu e da amane sia: i, “Hina bagade! Di da A: dounaidia e dia bagia hina hamoma: ne sisia: i labala?
25 kwani leo ameshuka na ametoa dhabihu ya makisai, ndama walionona, na kondoo wengi, na amewakaribisha wana wote wa mfalme, jemedari wa jeshi, na Abiatahari kuhani. Nao wanakuka na kunywa mbele zake, na kusema, 'Mfalme Adoniya na aishi milele!'
Wali esoga e da asili, bulamagau gawali, sibi, amola bulamagau mano sefena gala amo bagohame gobele sala asi. E da diagofelali huluane amola dia dadi gagui wa: i ouligisu dunu Youa: be amola gobele salasu dunu Abaia: da amo huluane lolo nabega misa: ne sia: i. Amola wahadafa ilia da lolo naha bagadewane amane welala, ‘Hina bagade A: dounaidia da sedadewane esalumu da defea!’
26 Lakini mimi, mtumishi wako, Sadoki kuhani, Benaya mwana wa Yehoyada, na mtumishi wako Suleimani, hajatukaribisha.
Be hina! E da na, gobele salasu Sa: idoge, Bina: ia amola Soloumane, nini hame hiougiya: ba:
27 Je, bwana wangu mfalme amefanya haya pasipo kutuambia sisi, watumishi wako, ni nani atakayeketi kwenye kiti cha enzi baada yake?”
Hina bagade! Di da amo dafawane adobela: ? Amola amo hamobeba: le, dia bagia manebe dunu ea dio amo dia eagene ouligisu dunuma hame adobela: ?”
28 Ndipo mfalme Daudi lipojibu na kusema, “Mwiteni Bathisheba arudi.” Naye akaja akasimama mbele ya mfalme.
Hina bagade Da: ibidi da amane sia: i, “Ba: desiba da bu misa: ne sia: ma!” Amalalu, e da misini, ea midadi aligi.
29 Mfalme akafanya kiapo akasema, “Kama BWANA aishivyo, ambaye ameniokoa toka tabu zote,
Amalalu, Da: ibidi da ema amane sia: i, “Hina Gode, na bidi hamosu Gaga: su dunu, amo Ea Dioba: le, na da dima dafawane ilegele sia: sa.
30 kama nilivyokuapia kwa BWANA, Mungu wa Israeli, nikisema, 'Sulemani mwanao atatawala baada yangu, naye ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha enzi, mahali pangu,' Nitafanya hivi leo.”
Wali eso, na musa: Isala: ili fi ilia Hina Gode Ea Dioba: le dima ilegele sia: i, amo na da dafawane hamomu. Diagofe Soloumane da dafawane na bagia hina bagade hamomu.”
31 Kisha Bathisheba akalala kifudifudi na sura yake ikielekea chini mbele ya mfalme akasema, “Bwana wangu mfalme Daudi n a aishi milele!”
Ba: desiba da gududafa beguduli, amane sia: i, “Na hina bagade! Di da eso huluane esalumu da defea!”
32 Mflme Daudi akasema, “Niitieni Sadoki kuhani, nabii Nathani na Benaya mwana wa Yehoyada.” Nao wakaja mbele ya mfalme.
Amalalu, hina Da: ibidi da Sa: idoge, Na: ida: ne amola Bina: ia ili ema misa: ne sia: si. Ilia da ema doaga: le,
33 Mfalme akawaambia, “Uwachukue watumishi wangu, bwana wako, na umfanye Sulemani mwanangu apande juu ya nyumba yangu mimi na mkamtelemshe mpaka chini Gihoni.
e da ilima amane sia: i, “Dilia asili, na diasu ouligisu dunu ili amola oule masa. Na mano Soloumane da nina: ‘miule’ (dougi agoai) amo da: iya fila heda: le, Gaihone hano bubuga: su amogudu oule masa.
34 Na Sadoki kuhani na nabii Nathani wamtawaze awe mfalme wa Israeli na tarumbeta zipigwe, 'Mfalme Suleimani na uishi milele!'
Amogawi, Sa: idoge amola Na: ida: ne alia Soloumane da Isala: ili ilia hina bagade hamoma: ne, susuligi amoga soga: gala: lesima. Amasea, dalabede fulabole, amane wele sia: ma, ‘Hina bagade Soloumane da sedadewane esaloma: ma!’
35 Kisha njoni mkiwa nyuma yake, naye atakuja na kukaa kwenye kiti changu cha enzi; kwani yeye ndiye atakayekuwa mfalme mahali pangu. Nimemchagua yeye kuwa mtawala wa Israeli na Yuda.”
E da na fisuga fimusa: buhagili goeguda: masea, dilia e bobogema. E da na bagia hina bagade hamomu. Bai na da e fawane, Isala: ili fi amola Yuda fi ouligima: ne ilegei dagoi.”
36 Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme, akasema, “Na iwe hivyo! Na BWANA, Mungu wa mfalme bwana wangu, alithibitishe hilo.
Bina: ia da bu adole i, “Amanewane hamomu! Amola dia Hina Gode da amo dafawane hamoma: mu.
37 Kama vile BWANA alivyokuwa na mfalme bwana wangu na awe na Sulemani hivyo hivyo, na kuifanya enzi yake kuwa kubwa kuliko zaidi ya enzi ya bwana wangu Daudi.”
Hina Gode da di, hina bagade, amo noga: le fidisu. E da amo defele, Soloumane noga: le fidimu da defea. Amola E fidibiba: le, Soloumane ea ouligisu da bagadewane gaguiba: le, dia ouligisu hou baligimu da defea.”
38 Kwa hiyo Sadoki kuhani, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, na Wakerethi na Wapelethi wakamfanya Sulemani akapanda juu ya nyumba ya mfalme Daudi; wakamleta Gihoni.
Amaiba: le, Sa: idoge, Na: ida: ne, Bina: ia amola hina bagade ea da: i ouligisu dunu da Soloumane amo hina bagade Da: ibidi ea miule da: iya fisili, oule, Gaihone hano bubuga: su amoga oule asi.
39 Naye Sadoki kuhani akachukua pembe lenye mafuta hemani akamtia mafuta Sulemani kisha wakapiga tarumbeta, na watu wote wakasema, 'Mfalme Sulemani na aishi milele!'
Sa: idoge da olife susuligi buniga di (amo e da musa: Hina Gode Ea abula diasuga lai) amo lale, Soloumane amoga soga: gala: le, e mogili gagale ilegei. Ilia da dalabede fulabole amola dunu huluane da amane wele sia: i, “Hina bagade Soloumane da sedadewane esaloma: mu.”
40 Kisha watu wote wakamfuata, na watu wakapiga zomari wakafurahi furaha kubwa mno, kiasi kwamba dunia ikatetemeka kwa sauti zao.
Amalalu, ilia huluane da e bobogele, hahawane wele sia: i, amola fulabosu baidama fulaboi. Ilia bagadewane gugulubiba: le, osobo da fofogoi.
41 Kisha Adoniya na wageni wake waliokuwa pamoja naye wakasikia hayo walipomaliza kula. Yoabu alipozisikia sauti za panda, akasema, “Kwa nini jiji lilko katika hali ya taharuki?”
A: dounaidia amola ea hiougi dunu da lolo mai gilalaloba, ilia da gugulubi amo nabi. Amola Youa: be da dalabede fulabobe nababeba: le, e da amane adole ba: i, “Amo moilai ganodini gugulubi ea bai da adila: ?”
42 Wakati alipokuwa akiongea, Yonatahani mwana wa Abiathari kuhani alifika. Adoniya akamwambia, “Karibu, 'kwa kuwa wewe wastahili kutuletea habari.”
E da sia: dagomusa: gala, Yonada: ne (gobele salasu A: baia: da ea mano) da doaga: i. A: dounaidia da ema amane sia: i, “Misa! Di da dunu noga: idafa. Di da sia: noga: idafa gaguli maha ganumu.”
43 Naye Yonathani akamjibu Adoniya, “Mfalme bwana wetu Daudi amemfanya Sulemani kuwa mfalme.
Yonada: ne da amane sia: i, “Sia: noga: idafa hame. Hina bagade Da: ibidi da Soloumane hina bagade hamonesi dagoi.
44 Na mfalme amemtuma pamoja naye Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, na Wakerethi pamoja na Wapelethi. Wamempandisha Sulemani juu ya nyumba ya mfalme.
E da Sa: idoge, Na: ida: ne, Bina: ia amola ea da: i ouligisu dunu amo Soloumane oule masa: ne asunasi. Ilia da Soloumane hina bagade ea miule fila heda: ma: ne fisi.
45 Sadoki kuhani na nabii Nathani wamemtawaza kuwa mfalme kule Gihoni, na wametokea huko wakifurahi, ndiyo maana jiji liko katika taharuki. Na hizi ndizo sauti ulizosikia.
Amola Sa: idoge amola Na: ida: ne da Gaihone hano bubuga: su amoga Soloumanema susuligi soga: gala: le ilegei. Amalalu ilia da moilai ganodini golili sa: ili, hahawaneba: le bagade wele sia: i. Dunu huluane da wali bagadewane hahawane dogolegesa. Waha gugulubi dia nabi amo da goa.
46 Pia, Sulemani ameketi kwenye kiti cha enzi cha ufalme.
Soloumane da wali hina bagade esala.
47 Zaidi ya yote, watumishi wa mfalme walikuja kumbariki mfalme bwana wetu Daudi, wakisema, 'Mungu wako na alifanye jina la Sulemani kuwa zuri kuliko jina lako, na kuifanya enzi yako kuwa kubwa kuliko yako.' na mfalme akasujudu mwenyewe kitandani.
Sia: eno da hina bagade hawa: hamosu dunu da hina bagade Da: ibidima asigi sia: sia: musa: asili, ilia amane sia: i, ‘Dia Gode da dunu ilia dima nodone dawa: digi hou amo baligili Soloumanema imunu da defea. Amola dia ouligisu da bagade gaguiwane ba: i. Be Soloumane ea ouligisu da amo baligimu da defea.’ Amalalu, hina bagade Da: ibidi da ea dia heda: su da: iya Godema nodone sia: ne gadomusa: beguduli,
48 Mfalme pia alisema, 'Abarikiwe BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye amempa mtu kuketi kwenye enzi yangu siku hii ya leo, na kwamba macho yangu yamejionea hilo.'”
amane sia: ne gadoi, ‘Ninia Isala: ili Hina Godema nodone sia: na: di! Bai E da wali nagaga fifi misi afae amo na bagia hina bagade hamoma: ne hamoi. Amola na da mae bogole, amo hou ba: musa: , E da logo doasi dagoi.’”
49 Ndipo wageni wote wa Adoniya walipoogopa sana. Wakasimama na kila mtu akaenda njia yake.
Amalalu, A:dounaidia ea hiougi dunu da beda: igia: le, amola ilia huluane wa: legadole, afagogole, afia: i.
50 Pia Adoniya alimwaogopa Sulemani na akasimama, na akaondoka, akachukua pembe la madhabahuni.
A: dounaidia da Soloumaneba: le bagade beda: ne, Hina Gode Ea Abula Diasuga asili, oloda hegomai da: iya ‘hono’ biyaduyale, e da amo gaguli lelebe ba: i.
51 Kisha Sulemani akaambiwa hilo, wakasema, “Tazama, Adoniya amemwogopa mfalme Sulemani, kwa kuwa ameshikilia pembe la madhabahuni, akisema, 'Mfalme Sulemani na aniapie kwanza kuwa hatamwua mtumishi wake kwa upanga.'”
Ilia da hina bagade Soloumanema amane sia: i, “A: dounaidia da diba: le beda: ga oloda ea ‘hono’ gaguiwane esala,’ amane ema sia: i. Amola A: dounaidia ea sia: amo da agoane sia: i, “Na da amo gagui mae fisili, hina bagade Soloumane da na hame medole legema: ne ilegele sia: beba: le fawane fisimu,” amane ilia da Soloumanema sia: i.
52 Sulemani akasema, “Kama atajionyesha kuwa ni mtu wa kweli, hakuna hata unywele mmoja utakaoanguka duniani, bali kama uovu utaonekana kwake, atakufa.”
Soloumane da bu adole i, “E da nama noga: le fa: no bobogesea, na da ea dialuma hinabo afaewane hame wadela: lesimu. Be e da noga: le hame bobogesea, e da bogosu ba: mu.”
53 Kwa hiyo mfalme Sulemani akatuma watu, waliomleta Adoniya kutoka madhabahuni. Naye akaja akapiga magoti kwa Sulemani, na Sulemani akamwambia, “Nenda nyumbani kwako.”
Amalalu, hina bagade Soloumane da A: dounaidia ema misa: ne sia: si. Ea hawa: hamosu dunu da A: dounaidia oloda amoga lale, hina bagadema oule asi. A: dounaidia da hina bagadema asili, ema gududafa begudui. Hina bagade da ema amane sia: i, “Di diasua ahoabada!”