< 1 Yohana 5 >

1 Yeyote anayeamini kuwa Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu. Na yeyote ampendaye yeye ambaye ametoka kwa Baba pia huwapenda watoto wake.
J'hoj'hioha j'he ikiera kuj'ha Yesu ndo Kristu ahogoliki ni K'yara. Na j'hoj'hioha j'haan'ganili muene ambaj'he ahomili kwa tata pia akabhagana bhana munu.
2 Kwa hili twajua kwamba twawapenda watoto wa Mungu — tunapompenda Mungu na kutekeleza amri zake.
Kwa e'le tumanyili kuj'ha tubhaganili bhana bha K'yara— patukan'gana K'yara ni kutekelasya amri syake.
3 Hivi ndivyo tunavyompenda Mungu kwamba twazishika amri zake. Na amri zake ni nyepesi.
Naha ndo kyatukan'gana K'yara kwa kusikamula Amri syake mbepe.
4 Kwa kuwa kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Na huu ndio ushindi wa kuushinda ulimwengu, imani yetu.
kwa kuj'ha kila j'ha ahogoliki nu K'yara akabhushinda bhulimwengu. Na obho ndo bhushindi bhwa kubhushinda bhulimwengu, imani j'hitu.
5 Ni nani aliyeushinda ulimwengu? Ni yule aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
Niani j'ha abhushindi bhulimwengu? Ndo j'hola j'ha ij'hamini kuj'ha Yesu ndo muana ghwa K'yara.
6 Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu- Yesu Kristo. Hakuja tu kwa maji bali kwa maji na damu.
O'j'ho ndo j'haahadili kwa masi ni muasi- Yesu Kristu. Ahidili lepi kwa masi tu bali kwa masi ni muasi.
7 Kwa kuwa kuna watatu washuhudiao:
Kwa kuj'ha bhaj'he bhadatu bhabhashuhudili.
8 Roho, maji na damu. Hawa watatu hukubaliana. (Zingatia: Maneno haya “Baba, Neno, na Roho Mtakatifu” hayaonekani katika nakala bora za kale).
Roho, masi ni muasi. Abha bhadatu bhikakubaliana. (Zingatilai: Malobhi agha “Tata, Lilobhi, ni Roho Mtakatifu” ghibhonekana lepi mu nakala sinofu sya muandi).
9 Kama tunaupokea ushuhuda wa wanadamu ushuhuda wa Mungu ni mkuu kuliko huo. Kwa kuwa ushuhuda wa Mungu ni huu- kwamba anao ushuhuda kuhusiana na Mwanawe.
Kama twikabhaj'ham'belela bhushuhuda bhwa bhanadamu bhushuhuda bhwa K'yara ndo mmbaha kuliko obho- kwa kujha aj'he nabhu bhushuhuda kuhusiana nu mwanabhe.
10 Yeye amwaminiye Mwana wa Mungu ana ushuhuda ndani yake mwenyewe. Na yeyote asiye mwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuuamini ushuhuda ambao Mungu ameuleta kuhusu Mwanawe.
Muene j'haikamwamini mwana ghwa K'yara aj'he ni bhushuhuda mugati mwake muene. Na j'hej'hioha j'haabelili kumwamini K'yara am'bombali kuj'ha n'desi, kwa kuj'ha abhwaminilepi bhushuhuda ambabho K'yara abhulatili kup'hetela mwanabhe.
11 Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios g166)
Ni bhushuhuda ndo obho— kuj'ha K'yara atupele bhusima bhwa milele, ni bhusima obho bhuj'hele mugati mwa Mwanabhe. (aiōnios g166)
12 Aliye naye Mwana ana uzima. Asiyekuwa naye Mwana wa Mungu hana uzima.
J'ha aj'he nu mwanabhe aj'he ni bhusima. Na g'haabeli kuj'ha nu mwanabhe aj'helepi ni bhusima.
13 Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios g166)
Nibhalembili agha ili mbwesiagha kumanya kuj'ha muj'henabhu bhusima bhwa milele— Muenga j'ha mwikuera mu lihina lya mwana ghwa K'yara. (aiōnios g166)
14 Na huu ndio ujasiri tulionao mbele zake, kwamba kama tukiomba kitu chochote sawa sawa na mapenzi yake, hutusikia.
Na obho ndo bhujasiri bhwa tujhe nabhu pa mihu pa muene, kuj'ha Kama tus'okuli k'henu kyokyoha k'hela sawasawa ni mapenzi ghake, akatup'heleka.
15 Na kama tunajua kwamba hutusikia — chochote tumwombacho tunajua kwamba tunacho hicho tulichomwomba.
Na Kama tumenye kuj'ha akatup'heleka— kyokyoha kyatukans'oma, tumanyili kuj'ha tuj'he naku kyatuns'omili.
16 Kama mtu amwonaye ndugu yake anatenda dhambi isiyopelekea kifo, yampasa kuomba na Mungu atampa uzima. Ninasema kwa wale ambao dhambi yao ni ile isiyopelekea kifo — Kuna dhambi ipelekeayo kifo — sisemi kwamba anapaswa kuomba kwa ajilli ya dhambi hiyo.
Kama twikabhaj'ham'belela bhushuhuda bhwa bhanadamu bhushuhuda bhwa K'yara ndo mmbaha kuliko obho- kwa kujha aj'he nabhu bhushuhuda kuhusiana nu mwanabhe. Muene j'haikamwamini mwana ghwa K'yara aj'he ni bhushuhuda mugati mwake muene. Na j'hej'hioha j'haabelili kumwamini K'yara am'bombali kuj'ha n'desi, kwa kuj'ha abhwaminilepi bhushuhuda ambabho K'yara abhulatili kup'hetela mwanabhe.
17 Uasi wote ni dhambi — lakini kuna dhambi isiyopelekea kifo.
18 Tunajua ya kuwa aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi. Bali aliyezaliwa na Mungu hutunzwa naye salama daima, na yule mwovu hawezi kumdhuru.
Tumanyili j'ha kuj'ha j'haahogoliki nu K'yara ibhomba lepi sambi. Bali j'haahogoliki nu K'yara itunzibhwa nu muene salama daima, ni j'hola mwovu ibhwesyalepi kumdhuru.
19 Tunajua kuwa sisi ni wa Mungu na tunajua kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu.
Tumanyili kuj'ha tete ni bha K'yara na tumanyili kuj'ha bhulimwengu bhuoha bhuj'hele pasi pa bhutawala bhwa j'hola mwovu.
20 Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Lakini tumanyili kuj'ha mwana ghwa K'yara ahidili na atupelili bhujuzi, kuj'ha tummanyili muene j'haaj'hele ghwa bhukweli na kwamba tujhele mugati mwa muene j'haaj'hele ghwa bhukweli, hata kwa mwanabhe Yesu Kristu. Ni K'yara ghwa bhukweli ni bhusima bhwa milele. (aiōnios g166)
21 Watoto wapenzi, jiepusheni na sanamu.
Bhana bhapenzi, mkij'hepusiaghe ni lisanamu.

< 1 Yohana 5 >