< 1 Yohana 4 >

1 Wapendwa, msiiamini kila roho, lakini zijaribuni roho muone kama zinatokana na Mungu, kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea duniani.
Ba sunwa, sanzi muzumini ihuho zonse. Mihe mulike ihuho kuvona kapa zizwa kwe Ireeza, kakuti vaporofita va mapa bangi vava yendi mwi nkanda.
2 Kwa hili mtamjua Roho wa Mungu - kila roho itakayokiri kuwa Yesu Kristo amekuja katika mwili ni ya Mungu,
Chechi ka mwizive luhuho lwe Ireeza—luhuho lonse luzumina kuti Jesu avezi mwi nkanda che nyama uzwa kwe Ireza,
3 na kila roho isiyomkiri Yesu si ya Mungu. Hii ni roho ya mpinga kristo, ambayo mliyoisikia kuwa inakuja, na sasa tayari iko duniani.
Mi luhuho lonse lusa zumini kuti Jesu uzwa kwe Ireeza kaluzwi kwe Ireeza. Ulu nji luhuho lwa bakani ba keresite, umu vazuwi kuti ukeza, mi hanu chiwina kale mwi nkanda.
4 Ninyi ni wa Mungu, watoto wapendwa, na mmekwisha washinda kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika ulimwengu.
Muzwa kwe Ireza, Vaana va lotu, mi muva zunda kakuti iye wina mwenu mukando kwali wina mwi nkanda.
5 Wao ni wa ulimwengu, kwa hiyo wanachokisema ni cha ulimwengu, na ulimwengu unawasikiliza.
Abo vazwa mwi nkanda, linu ziva wamba zizwa mwi nkanda, Mi ve nkanda va teka kuvali.
6 Sisi ni wa Mungu. Yeye amjuaye Mungu hutusikiliza sisi. Yeye asiye wa Mungu hawezi kutusikiliza. Katika hili tunajua roho wa kweli na roho wa uongo.
Tuzwa kwe Ireza. Yense yo zwa kwe Ireza utekeleza kwetu. Iye yasa zwi kwe Ireza ka tekelezi kwetu. Chechi twi ziva luhuho lwe niti ni luhuho lu fosahele.
7 Wapendwa, tupendane sisi kwa sisi, kwa vile upendo ni wa Mungu, na kila mmoja apendaye amezaliwa na Mungu na kumjua Mungu.
Vasakwa, tulisake zumwi ku zumwi, mi ilato lizwa kwe Ireza, mi yense yo suna uzalwa kwe Ireza mi wizi Ireza.
8 Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo.
Muntu yasa suni vamwi kezi Ireza, mukuti Ireza ilato.
9 Katika hili pendo la Mungu lilifunuliwa miongoni mwetu, kwamba Mungu alimtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni ili tuishi kupitia yeye.
Cheli ivaka ilato lye Ireza liva patulwilwa mukati ketu, Kuti Ireeza ava tumi mwana kwe ye yena mwi nkanda kuti tu hale che vaka lya chakwe.
10 Katika hili pendo, si kwamba tulimpenda Mungu, lakini yeye alitupenda, na akamtuma Mwanawe awe fidia ya dhambi zetu.
Mweli ilato, isinyi kuti tuva suni Ireza. kono kuti aba tusuni, mi cho kuti aba tumi mwaana kwe kuti ave chitavelo cha zivi zetu.
11 Wapendwa, ikiwa Mungu alitupenda sisi, vile vile tunapaswa kupendana sisi kwa sisi.
Basunwa, haiva Ireza ava tusuni, naswe vulyo tuli sune.
12 Hakuna hata mmoja aliyemuona Mungu. Kama tukipendana sisi kwa sisi, Mungu anakaa ndani yetu na pendo lake limekamilika ndani yetu.
Kakwina ichaba bwene Ireza. Hatu lisuna, Ireza wi kala mwetu, Mi ilato lyakwe li kondete mwetu.
13 Katika hili tunajua kuwa tunakaa ndani yake na yeye ndani yetu, kwa sababu ametupa Roho wake.
Chechi twizi kuti twina kwali mi wina kwetu, kakuti ava tuhi lumwi kulu huho lwakwe.
14 Na tumeona na kushuhudia kuwa Baba amemtuma Mwana kuwa mwokozi wa ulimwengu.
Hape, tu vavoni mi twina vupaki bwa kuti Ishetu ava tumi mwana kwe we chiswisu kuti za ve muhazi we nkanda.
15 Kila anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anakaa ndani yake na yeye ndani ya Mungu.
Yense yo lemuha kuti Jesu mwana Ireza, Ireza wina mwali mi naye mwe Ireza.
16 Na tunajua na kuamini upendo alio nao Mungu ndani yetu. Mungu ni pendo, na yeye anayekaa ndani ya upendo anakaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.
Hape, tuvezivi ni kuzumina ilato lye Ireza kwetu. Ireza ilato, mi yo shala mweli ilato wi kalilila kwe Ireza, mi ni Ireza wi kalilila kwali.
17 Katika pendo hili limekwisha kamilishwa kati yetu, ili tuwe na ujasiri siku ya hukumu, kwa sababu kama yeye alivyo, na sisi ndivyo tulivyo katika ulimwenngu huu.
Cheli ivaka, Ili ilato liva chitililwa mukati ketu. Njokuti katuve ni nsepo mwi zuva lye nkatulo, kakuti mwe kalile, vo vulyo mutwi kalile mwi nkanda.
18 Hakuna hofu ndani ya pendo. Lakini pendo kamili huitupa hofu nje, kwa sababu hofu huhusiana na hukumu. Lakini yeye aogopaye hajakamilishwa katika pendo.
Kakwina kutiya mwilato. Kono, ilato lishiyeme kutandila kutiya kunze. Kakuti kutiya kuleta inkatulo. Kono yo tiya keni kupetahala mwi lato.
19 Tunapenda kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
Tusuna kakuti Ireza ava tusuni lwe ntazi,
20 Ikiwa mmoja atasema, “Nampenda Mungu” lakini anamchukia ndugu yake, ni mwongo. Kwa sababu asiyempenda ndugu yake, anayemuona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hajamuona.
Haiva muntu nata kuti, “Nisuni Ireza” kono utoyete mwakwe, wina mapa. Mukuti yasa suni mwakwe, yava voni, ka woli kusuna Ireza, yaseni kuvona.
21 Na hii ndiyo amri tuliyo nayo kutoka kwake: Yeyote ampendaye Mungu, anapaswa kumpenda ndugu yake pia.
Hape, iyi nji ntaelo itukwete kuzwa kwali: Yense yosuna Ireza, uswanela kusuna mwakwe.

< 1 Yohana 4 >