< 1 Yohana 2 >
1 Watoto wangu wapendwa, nawaandikia mambo haya kwenu ili msitende dhambi. Lakini kama mmoja wenu akitenda dhambi, tunaye wakili aliye pamoja na Baba, Yesu Kristo- ambaye ni mwenye haki.
Dziatki moje! to wam piszę, abyście nie grzeszyli; i jeźliby kto zgrzeszył, mamy orędownika u Ojca, Jezusa Chrystusa sprawiedliwego;
2 Yeye ni mpatanishi kwa dhambi zetu, na si kwa dhambi zetu pekee, lakini pia kwa ulimwengu mzima.
A on jest ubłaganiem za grzechy nasze; a nie tylko za nasze, ale też za grzechy wszystkiego świata.
3 Kwa hili twajua kwamba twamjua yeye, kama tukizitunza amri zake.
A przez to wiemy, żeśmy go poznali, jeźli przykazania jego zachowujemy.
4 Yeye asemaye, “Namjua Mungu,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, na kweli haimo ndani yake.
Kto mówi: Znam go, a przykazania jego nie zachowuje, kłamcą jest, a prawdy w nim nie masz.
5 Lakini yeyote ashikaye neno lake, kweli katika mtu yule upendo wa Mungu umekamilishwa. Katika hili twajua kwamba tuko ndani yake.
Lecz kto by zachował słowa jego, prawdziwie się w tym miłość Boża wykonała; przez to znamy, iż w nim jesteśmy.
6 Yeye asemaye anaishi ndani ya Mungu anapaswa mwenyewe pia kuenenda kama vile Yesu Kristo alivyoenenda.
Kto mówi, że w nim mieszka, powinien, jako on chodził, i sam także chodzić.
7 Wapenzi, siwaandikii ninyi amri mpya, bali amri ya zamani ambayo mmekwisha kuwa nayo tangu mwanzo. Amri ya zamani ni neno ambalo mlilolisikia.
Bracia! nie nowe przykazanie wam piszę, ale przykazanie stare, któreście mieli od początku; a to stare przykazanie jest ono słowo, któreście słyszeli od początku.
8 Hata hivyo ninawaandikia ninyi amri mpya, ambayo ni kweli katika Kristo na kwenu, kwa sababu giza linapita, na nuru ya kweli iko tayari inaangaza
Zasię przykazanie nowe piszę wam, które jest prawdziwe w nim i w was; iż ciemność przemija, a prawdziwa ona światłość już świeci.
9 Yeye asemeye yuko kwenye nuru na amchukia ndugu yake yuko katika giza hata sasa.
Kto mówi, iż jest w światłości, a brata swego nienawidzi, w ciemności jest aż dotąd.
10 Yeye ampendaye ndugu yake anaishi katika nuru na hakuna jambo lolote liwezalo kumkwaza.
Kto miłuje brata swego, w światłości mieszka i zgorszenia w nim nie masz.
11 Lakini yeye amchukiaye ndugu yake yuko gizani na anatembea gizani; Yeye hajui wapi aendako, kwa sababu giza limeyapofusha macho yake.
Lecz kto nienawidzi brata swego, w ciemności jest i w ciemności chodzi, a nie wie, gdzie idzie, iż ciemność zaślepiła oczy jego.
12 Nawaandikia ninyi, watoto wapendwa, kwa sababu mmesamehewa dhambi zenu kwa ajili ya jina lake.
Piszę wam, dziatki! iż wam są odpuszczone grzechy dla imienia jego.
13 Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mnamjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu mnamjua Baba.
Piszę wam, ojcowie! żeście poznali tego, który jest od początku. Piszę wam, młodzieńcy! żeście zwyciężyli onego złośnika.
14 Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mnamjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mko imara, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, na mmemshinda yule mwovu.
Piszę wam, dziateczki! żeście poznali Ojca. Pisałem wam, ojcowie! żeście poznali onego, który jest od początku. Pisałem wam, młodzieńcy! że jesteście mocni, a słowo Boże mieszka w was, a żeście zwyciężyli onego złośnika.
15 Msiipende dunia wala mambo ambayo yaliyo katika dunia. Iwapo yule ataipenda dunia, upendo wa kumpenda Baba haumo ndani yake.
Nie miłujcie świata, ani tych rzeczy, które są na świecie; jeźli kto miłuje świat, nie masz w nim miłości ojcowskiej.
16 Kwani kila kitu kilichomo katika dunia- tamaa ya mwili, tamaa ya macho, na kiburi cha uzima- havitokani na Baba lakini vinatokana na dunia.
Albowiem wszystko, co jest na świecie, jako pożądliwość ciała i pożądliwość oczu, i pycha żywota, toć nie jest z Ojca, ale jest z świata.
17 Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn )
Światci przemija i pożądliwość jego; ale kto czyni wolę Bożą, trwa na wieki. (aiōn )
18 Watoto wadogo, ni wakati wa mwisho. Kama ambavyo mmesikia kwamba mpinga kristo anakuja, hata sasa wapinga kristo wamekuja, kwa hali hii tunajua kwamba ni wakati wa mwisho.
Dziateczki! ostateczna godzina jest; a jakoście słyszeli, że antychryst przyjść ma, i teraz wiele antychrystów powstało; stąd wiemy, iż jest ostateczna godzina.
19 Walikwenda zao kutoka kwetu, kwani hawakuwa wa kwetu. Kama vile wangekuwa wa kwetu wangeendelea kuwa pamoja nasi. Lakini wakati walipo kwenda zao, hicho kilionyesha hawakuwa wa kwetu.
Z nas wyszli, ale nie byli z nas; albowiem gdyby byli z nas, zostaliby byli z nami; ale wyszli z nas, aby objawieni byli, iż wszyscy nie byli z nas.
20 Lakini mumetiwa mafuta na yule Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli.
Ale wy macie pomazanie od onego Świętego i wiecie wszystko.
21 Sikuwaandikia ninyi kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua na kwa sababu hakuna uongo wa ile kweli
Nie pisałem wam, przeto żeście prawdy nie znali, ale że ją znacie, a iż wszelkie kłamstwo nie jest z prawdy.
22 Nani ni mwongo bali ni yeye anayepinga kwamba Yesu ni Kristo? Huyu mtu ni mpinga kristo, pale anapo mpinga Baba na Mwana.
Kto jest kłamcą? Azaż nie ten, który zapiera, iż Jezus nie jest Chrystusem? Ten jest antychryst, który się zapiera Ojca i Syna.
23 Hakuna anaye mpinga Mwana akawa na Baba. Yeyote anaye mkiri Mwana anaye Baba pia.
Każdy, co się zapiera Syna, i Ojca nie ma; a kto wyznaje Syna, ma i Ojca.
24 Kama kwa ajili yenu, kile mlichosikia toka mwanzo acha kiendelee kuwa ndani yenu. Kama kile mlichosikia toka mwanzo kitakaa ndani yenu, pia, mtakaa ndani ya Mwana na Baba.
Wy tedy, coście słyszeli od początku, to niechaj w was zostaje; jeźliby w was zostawało, coście słyszeli od początku, i wy w Synu i w Ojcu zostaniecie.
25 Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios )
A tać jest obietnica, którą on nam obiecał, to jest żywot on wieczny. (aiōnios )
26 Nimewaandikia haya ninyi kuhusu wale ambao wangewaongoza ninyi katika upotevu.
Tom wam napisał o tych, którzy was zwodzą.
27 Na kwa ajili yenu, yale mafuta mliyoyapokea kutoka kwake yanakaa ndani yenu, na hamtahitaji mtu yeyote kuwafundisha. bali kama mafuta yake yanawafundisha kuhusu mambo yote na ni kweli na siyo uongo, na hata kama yameshawafundisha, kaeni ndani yake.
Ale to pomazanie, któreście wy wzięli od niego, zostaje w was, a nie potrzebujecie, aby was kto uczył: ale jako to pomazanie uczy was o wszystkiem, a jest prawdziwe, i nie jest kłamstwem, a jako was nauczyło, tak w niem zostaniecie.
28 Na sasa, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili wakati atakapotokea, tuweze kuwa na ujasiri na siyo kujisikia aibu mbele yake katika kuja kwake.
I teraz, dziateczki! zostańcie w niem, abyśmy, gdy się ukaże, ufanie mieli, a nie byli zawstydzeni od niego w przyjściu jego.
29 Kama mnajua kuwa yeye ni mwenye haki, mnajua kwamba kila mmoja atendaye haki amezaliwa na yeye.
Ponieważ wiecie, że on sprawiedliwy jest, wiedzcież też, iż każdy, który czyni sprawiedliwość, z niego narodzony jest.