< 1 Yohana 1 >

1 Kile kilichokuwapo tangu mwanzo-kile tulichokisikia, kile tulichokiona kwa macho yetu, kile tulichokitazama, na mikono yetu imekishika-kuhusu Neno la uzima.
Tikuvayandikila nyenye kumvala mundu mmonga mweikemiwa Lilovi mweakuvapela vandu wumi wewavili kuhumila kadeni. Tete tamuyuwini na kumlola kwa mihu gitu tavete, tamlolili na kumukamula kwa mawoko gitu tavete.
2 Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios g166)
Na yula mweileta wumi peabwelili, tamuwene tavete na hinu tijova malovi gaki na tikuvakokosela na kuvajovela ndava ya wumi wa magono goha gangali mwishu, mwene avili kwa Dadi na hinu atihumili tete. (aiōnios g166)
3 Kile tulichokiona na kukisikia twakitangaza kwenu pia, ili kwamba muweze kujumuika pamoja nasi, na ushirika wetu pamoja na Baba na Mwanae Yesu Kristo.
Chetachiweni na kuchiyuwana ndi chetikuvakokosela nyenye mewa, muni na nyenye muumonga wetivi nawu muni mukuwungana na Chapanga Dadi witu na Mwana waki Yesu Kilisitu.
4 Na tunawandikia mambo haya ninyi ili kwamba furaha yetu iwe timilifu.
Tikuvayandikila nyenye mambu aga muni nyenye na tete tivya na luheku lwelutimili.
5 Huu ndio ujumbe tuliousikia kutoka kwake na kuwatangazia: Mungu ni nuru na ndani yake hakuna giza hata kidogo.
Hinu, ujumbi wetauyuwini kwaki Yesu na wetavakokosili ndi uwu: Chapanga ndi lumuli na kawaka chitita chochoha mugati yaki.
6 Kama tukisema kwamba tunaushirika naye na twatembea gizani, twadanganya na hatutendi kweli.
Tikajova kuvya mukuwungana nayu, nambu titama muchitita ndi tijova udese, na matendu gitu ga chakaka lepi.
7 Lakini tukitembea katika nuru kama alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Kristo, mwanae yatutakasa kutoka dhambi zote.
Nambu ngati titama mu lumuli ngati mwene cheavili mu lumuli, tivya na umonga tete tavete pamonga na ngasi ya Yesu mweavi Mwana waki, yikutinyambisa kumbudila kwitu Chapanga kwoha.
8 Kama tukisema hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, na kweli haimo ndani yetu.
Tikajova kuvya tikumbudila lepi Chapanga, tikujikonga tavete, na uchakaka uvi lepi mugati yitu.
9 Lakini tukizitubu dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na haki kutusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote.
Nambu tikayidakila na kujova kwa Chapanga kuvya tibudili, Chapanga ndi msadikika na yati ihenga gegiganikiwa, na mwene yati akutilekekesa mabudilu gitu na kutinyambisa uhakau woha.
10 Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, twamfanya yeye kuwa muongo, na neno lake halimo ndani yetu.
Ngati tikajova tikiti lepi uhakau, tikumukita Chapanga ndi mdese na lilovi laki livili lepi mugati mwitu.

< 1 Yohana 1 >