< 1 Yohana 1 >
1 Kile kilichokuwapo tangu mwanzo-kile tulichokisikia, kile tulichokiona kwa macho yetu, kile tulichokitazama, na mikono yetu imekishika-kuhusu Neno la uzima.
Iko nai kimoli puma u ng'wandyo -kiko nai kukigulye, kiko nai kukihengile ku miho itu, kiko nai kukigozile, ni mikono itu ikiambile - kutula Lukani nula upanga,
2 Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios )
Nu uwo u upanga ai witumilwe kukumuka ng'walye, hangi kuihengile, nu ku uloeela, nu kuatanantilya u upanga nua kali na kali, naza ukoli kung'wa Tata hangi ai uzepigwe kukumuka kitaitu. (aiōnios )
3 Kile tulichokiona na kukisikia twakitangaza kwenu pia, ili kwamba muweze kujumuika pamoja nasi, na ushirika wetu pamoja na Baba na Mwanae Yesu Kristo.
Iko nai kukihengile nu kigiilya kuukitanantya kitalanyu ga. iti kina muhume ki hanguila palung'wi nu sese, nu muhangu nu itu palung'wi nu Tata nu Ng'wana nuakwe u Yesu Kilisto.
4 Na tunawandikia mambo haya ninyi ili kwamba furaha yetu iwe timilifu.
Hangi kumukilisilye i makani aya unyenye iti kina iloeelya ni litu litule likondile.
5 Huu ndio ujumbe tuliousikia kutoka kwake na kuwatangazia: Mungu ni nuru na ndani yake hakuna giza hata kidogo.
Uwu wuwo ulagiiligwa nai kuigulye kupuma kitalakwe nu kumutanantilya; Itunda ingi welu nu mukati akwe kutili i kiti ga ni kiniino.
6 Kama tukisema kwamba tunaushirika naye na twatembea gizani, twadanganya na hatutendi kweli.
Anga kuligitye kina kukete muhangu nu ng'wenso hangi kigendaa mu kiti, kuukongela hangi shanga kuituma itai.
7 Lakini tukitembea katika nuru kama alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Kristo, mwanae yatutakasa kutoka dhambi zote.
Kuiti kuzegenda mu welu anga nu ili mu welu, kihanguie sese ku sese, ni sakami ang'wa Yesu Kilisto. ng'wana nuakwe ikelyaa kupuma milandu ihi.
8 Kama tukisema hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, na kweli haimo ndani yetu.
Anga kuligitye kiagila milandu, Kuikongela i akola, ni tai imutili mukati itu.
9 Lakini tukizitubu dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na haki kutusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote.
Kuiti anga kile itunu ku milandu itu. Nuanso ingi muhuiili ni tai ane kuulekela i milandu itu nu kuelya nu ubii wihi.
10 Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, twamfanya yeye kuwa muongo, na neno lake halimo ndani yetu.
Anga kuligitye kina kukili kituma imilandu, kuumutendya nuanso kutula muteele, nu lukani nu lakwe lukutile mukati itu.