< 1 Wakorintho 9 >
1 Mimi si huru? Mimi si mtume? Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana?
Ane sendi mwaushe? Ane sendi tumwe? Ane sehalolile uYesu Ugosi witu? Amwese mfumozye mbombo yane hwa Yesu?
2 Ikiwa mimi si mtume kwa wengine, angalau ni mtume kwenu ninyi. Kwa maana ninyi ni uthibitisho wa utume wangu katika Bwana.
Nkasiga enditume hwabhinje lelo hulimwe enditumwe amwe uhakika wetumwe wane hwa Yesu.
3 Huu ndio utetezi wangu kwa wale wanaonichunguza mimi.
Ane ehwiyumila hwa bhala bha bhawiini(bhabhanenya) ane.
4 Je hatuna haki ya kula na kunywa?
Eshi ate setili ne haki alye na mwelee?
5 Hatuna haki kuchukua mke aliye amini kama wafanyavyo mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?
Setili ne haki ahumweje ushe pandwemo nate yali mweteshee neshishabhabhomba atumwe abhanje na holo bha Yesu nu Kefa?
6 Au ni mimi peke yangu na Barnaba ambao tunapaswa kufanya kazi?
Awe nene ne mwene nu Barnaba tasetihwanziwa abhombe embombo?
7 Ni nani afanyaye kazi kama askari kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye mzabibu na asile matunda yake? Au ni nani achungaye kundi asiyekunywa maziwa yake?
Awe sikali wele yabhomba embombo hugalama zyakwe yuyo? Wenu yalima eviyabho yasiga alya evyamgunda gwakwe? Wenu yasuga eng'ombe yasaamwela amazibha ge ng'ombe zyakwe?
8 Je ninasema haya kwa mamlaka ya kibinadamu? Sheria nayo haisemi haya?
Eyanga ezi enongwa zya bhantu? Sheria nayo haisemi haya?
9 Kwa kuwa imeandikwa katika sheria ya Musa, “usimfunge ng'ombe kinywa apulapo nafaka.” Ni kweli kwamba hapa Mungu anajali ng'ombe?
Mu sheria zya Musa, zigile usaizije ilomu eng'ombe nepula eviyabho eshi epo izuliyanga mambo ge ng'ombe?
10 Au je hasemi hayo kwa ajili yetu? imeandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu yeye alimaye nafaka inampasa kulima kwa matumaini, naye avunaye inampasa avune kwa matarajio ya kushiriki katika mavuno.
Eshi jibha sayanga zya hulite enongwa ewzyo zitiyanga tete, umuntu yalima, alima asuhila huje ehailya wope yavuna avuna ohu asobhela huje embalye vyevuna.
11 Ikiwa tulipanda vitu vya rohoni miongoni mwenu, Je! Ni neno kubwa kwetu tukivuna vitu vya mwilini kutoka kwenu?
Eshi ate nkashele tabhatutiye evya mmwoyo yabha nongwa ate nkatinune evintu vyenyu evyamubele?
12 Ikiwa wengine walipata haki hii kutoka kwenu, Je! Sisi si zaidi? Hata hivyo, hatukuidai haki hii. Badala yake, tulivumilia mambo yote badala ya kuwa kikwazo cha injili ya Kristo.
Eshi abhanje nkashele mubhapela evintu, eshi ate handasetipeliwa ashile ebho, lelo ate tapumile tavumiliye zyonti aje tisananganye izu lya Ngulubhi.
13 Hamjui ya kuwa wote wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni? Hamjui ya kuwa wote watendao kazi madhabahuni hupata sehemu ya kile kilichotolewa madhabahuni?
Eshi semumenye aje bhabhabhomba embombo mwikanisa bhalya evya mwikanisa? Shila muntu alyapa mbombo yakwe madhabahuni hupata sehemu ya kile kilichotolewa madhabahuni?
14 Kwa jinsi iyo hiyo, Bwana aliagiza ya kuwa wote wanaoitangaza injili sharti wapate kuishi kutokana na hiyo injili.
Ugusi uYesu ayanjile aje umuntu yalumbilila izu lya Ngulubhi bhalyanje humbombo iyo.
15 Lakini sijawadai haki zote hizi. Na siandiki haya ili jambo lolote lifanyike kwa ajili yangu. Ni heri mimi nife kuliko mtu yeyote kubatilisha huku kujisifu kwangu.
Lelo ane sembamelile evi vyonti. Sigaesimba ega ehwanza aje amambo ega gabhombeshe shinza hunongwa yane ahelu ane enfwe, ashile umuntu aje agaluzanye ahwisumbe hwane.
16 Maana ikiwa naihubiri injili, sina sababu ya kujisifu, kwa sababu ni lazima nifanye hivi. Na ole wangu nisipoihubiri injili!
Nkashele elumbilila izu sewzilola ezyahwilumbe, lazima embombo eshi. Palwane ane nkasiga elumbilila izu!
17 Kwa maana nikifanya hivi kwa hiari yangu, nina thawabu. Lakini ikiwa si kwa hiari, bado nina jukumu nililopewa kuwa wakili.
Nkembombe eshi hwigane lyane endi thawabu. Atasagahwigane lyane bado endinezyabhombe aje embe mwemeleli.
18 Basi thawabu yangu ni nini? Ya kuwa nihubiripo, nitaitoa injili pasipo gharama na bila kutumia kwa utimilifu wa haki yangu niliyonayo katika Injili.
Eshi ethawabu yane yenu huje endumbilile izu hugalama zyane nene niliyonayo katika injili.
19 Maana japo nimekuwa huru kwa wote, nilifanyika mtumwa wa wote, ili kwamba niweze kuwapata wengi zaidi.
Hata endimwaushe hwa bhonti, nahali boyi hwa bhonti, ili emba abhantu abhinjitee.
20 Kwa Wayahudi nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama mmoja wao aliye chini ya sheria ili niwapate wale walio chini ya sheria. Nilifanya hivyo ingawa mimi binafsi sikuwa chini ya sheria.
Hwa Bhayahudi nali neshi Ayahudi, ili embaje Ayahudi. Hwa bhaala bhabhalinesheria nali nesheria, bhabhali nesheria ili embaja bhabhalinesheria. Nilifanya hivyo ingawa mimi binafsi sikuwa chini ya sheria.
21 Kwa wale walio nje ya sheria, nilikuwa kama mmoja wao nje ya sheria, ingawa mimi binafsi sikuwa nje ya sheria ya Mungu, bali chini ya sheria ya Kristo. Nilifanya hivyo ili niwapate wale walio nje ya sheria.
Hwa bhaala basigabhane ne sheria, bhope nalinginebho iliembaje bhasebhane sheria ya Ngulubhi, enga ane senalihwonze ne sheria ya Musa, nahali ne sheria ya Kristi ili embaje bhonti.
22 Kwa walio wanyonge nilikuwa mnyonge, ili niwapate walio wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa baadhi.
Hwa bhololo nali mwololo ili embaje abhololo. Nahali isho hwa bhantu bhonti ili embokole abhantu.
23 Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya injili, ili nipate kushiriki katika baraka.
Nane ebhomba amambo gonti hunongwa yizyu, ili nane enshiriki ulusayo.
24 Hamjui ya kuwa katika mbio wote washindanao hupiga mbio, lakini apokeaye tuzo ni mmoja? Hivyo pigeni mbio ili mpate tuzo.
Eshi semumenye aje bhabhashindana ashembele bhabha bhabhinji lelo yapata isombo abha muntu umo? Namwe shembelaji ili mupate isombo elye womi.
25 Mwana michezo hujizuia katika yote awapo katika mafunzo. Hao hufanya hivyo ili wapokee taji iharibikayo, lakini sisi tunakimbia ili tupate taji isiyoharibika.
Bhabhomba enyango sebhabhomba embombo eyenje na bali amanyile. Ebho bhabha esho ili bhapate isombo lyali nanjiha, lelo ate tishembela ili tupate isombo lyasigalinanjiha.
26 Kwa hiyo mimi sikimbii bila sababu au napigana ngumi kama kupiga hewa.
Nanee siga eshembela wene au akhome engumi, neshi ya khoma umwoyi.
27 Lakini nautesa mwili wangu na kuufanya kama mtumwa, ili kwamba nijapokwisha kuwahubiri wengine, mimi mwenyewe nisiwe wa kukataliwa.
Eshi nane ehwilavya ubili gwane nagubhombe neshi uboyi, ebhomba esho huje nanabhalumbilila abhanje nane ensabhe muntu wakhanwe.