< 1 Wakorintho 8 >

1 Sasa kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu: tunajua ya kwamba “sisi sote tuna maarifa.” Maarifa huleta majivuno, bali upendo hujenga.
Sur la question des viandes offertes en sacrifice aux idoles, tous, nous le savons, nous sommes éclairés... (Être éclairé rend orgueilleux, c'est l'amour qui édifie );
2 Ikiwa mtu yeyote anadhani kwamba anajua jambo fulani, mtu huyo bado hajui kama impasavyo kujua.
— si quelqu'un s'imagine être éclairé sur quelque chose, il n'est pas encore éclairé comme il faudrait l'être,
3 Lakini ikiwa mmoja wapo akimpenda Mungu, mtu huyo anajulikana naye.
mais si quelqu'un a de l'amour pour Dieu, Dieu est éclairé sur lui —...
4 Basi kuhusu kula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu: twajua kuwa “sanamu si kitu katika dunia hii,” na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.”
Ainsi donc sur la question: Peut-on manger des viandes offertes en sacrifice aux idoles? nous savons qu'il n'y a pas d'idoles au monde, et qu'il n'y a qu'un seul Dieu, qu'il n'y en a pas d'autre.
5 Kwa maana kuna wengi waitwao miungu ikiwa ni mbinguni au duniani, kama vile walivyo “miungu na mabwana wengi.”
Il y a bien de prétendus dieux qui seraient les uns au ciel, les autres sur la terre, et il y aurait ainsi plusieurs dieux et plusieurs seigneurs,
6 “Ijapokuwa kwetu kuna Mungu mmoja tu ambaye ni Baba, vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake, na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na kwa yeye sisi tupo.”
mais nous n'avons qu'un seul Dieu, le Père, d'où tout vient et pour lequel nous sommes; nous n'avons qu'un seul Seigneur Jésus-Christ, par lequel tout existe et, nous aussi, nous sommes par lui.
7 Hata hivyo, ujuzi huu haupo ndani ya kila mmoja. Badala yake, wengine walishiriki ibada za sanamu hapo zamani, na hata sasa wanakula vyakula hivi kana kwamba ni kitu kilichotolewa sadaka kwa sanamu. Dhamiri zao zimepotoshwa kwa kuwa ni dhaifu.
Mais tous ne sont pas éclairés; quelques personnes ont gardé leurs anciennes idées sur l'idole; elles croient manger d'un sacrifice fait à une idole réelle, et, par suite de cette faiblesse, leur conscience perd sa pureté.
8 Lakini chakula hakitatuthibitisha sisi kwa Mungu. Sisi sio wabaya sana kama tusipo kula, wala wema sana ikiwa tutakula.
Or, ce n'est pas la manière dont nous nous nourrissons qui nous rendra agréables à Dieu; que nous mangions de ceci, que nous ne mangions pas de cela, nous n'y perdons, nous n'y gagnons rien;
9 Lakini iweni makini ya kwamba uhuru wenu usiwe sababu ya kumkwaza aliye dhaifu katika imani.
mais prenez garde que votre force même ne soit la pierre d'achoppement des faibles;
10 Hebu fikiri kwamba mtu amekuona, wewe uliye na ujuzi, unakula chakula katika hekalu la sanamu. Dhamiri yake mtu huyo haitathibitika hata yeye naye ale vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu?
si l'on te voit, toi qui es éclairé, à table dans un temple païen, celui dont la conscience est faible ne sera-t-il pas porté à manger de la viande sacrifiée aux idoles?
11 Kwa hiyo kwa sababu ya ufahamu wako wa ukweli juu ya asili ya sanamu, kaka au dada yako aliye dhaifu, ambaye pia Kristo alikufa kwa ajili yake, anaangamizwa.
et il se perd alors, parce que toi tu es éclairé, cet homme faible, ce frère pour lequel Christ est mort!
12 Hivyo, unapofanya dhambi dhidi ya kaka na dada zako na kuzijeruhi dhamiri zao zilizo dhaifu, mnatenda dhambi dhidi ya Kristo.
En étant ainsi coupables envers des frères, en blessant leur conscience qui est faible, vous vous rendez coupables envers Christ lui-même.
13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn g165)
Voilà pourquoi, si la viande que je mange scandalise mon frère, je renoncerai pour toujours à manger de la viande, afin de ne pas scandaliser mon frère. (aiōn g165)

< 1 Wakorintho 8 >