< 1 Wakorintho 4 >
1 Hivi ndivyo mtu atuhesabu sisi, kama watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za kweli za Mungu.
Так нас нехай вважає чоловік, яко слуг Христових, і доморядників тайн Божих.
2 Katika hili, kinachotakiwa kwa uwakili ni kwamba wawe wa kutumainiwa.
Ще ж до того від доморядників вимагають, щоб кожного знайдено вірним.
3 Lakini kwangu mimi ni kitu kidogo sana kuwa ninahukumiwa na ninyi au hukumu ya kibinadamu. Kwa kuwa sijihukumu hata mimi mwenyewe.
Та се в мене найменша річ, щоб мене судили ви або людський суд; ні, я й сам себе не суджу.
4 Sijihukumu mimi mwenyewe, hii haina maana kuwa mimi ni mwenye haki. Ni Bwana anihukumuye.
Бо нічого на себе не знаю, та сим я не оправдуюсь; суддя ж мій Бог.
5 Kwa hiyo, msitamke hukumu juu ya lolote kabla ya wakati, kabla ya kuja kwa Bwana. Atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo. Ndipo kila mmoja atapokea sifa yake kutoka kwa Mungu.
Тимже ні про що перше часу не судіть, доки прийде Господь, котрий висьвітить сховане в темряві і виявить думки сердець; а тоді похвала, буде кожному від Бога,
6 Sasa, kaka na dada zangu, mimi mwenyewe na Apolo nimetumia kanuni hizi kwa ajili yenu. Ili kwamba kutoka kwetu mnaweza kujifunza maana ya usemi, “Usiende zaidi ya kilivyoandikwa.” Hii ni kwamba hakuna mmoja wenu ajivunaye juu ya mwingine.
Се ж, браттє, приложив я до себе та Аполоса задля вас, щоб ви з нас навчились не думати більш того, шо написано, щоб один перед одним не неслись гордо проти другого.
7 Maana ni nani aonaye tofauti kati yenu na mwingine? Ni nini ulicho nacho hukukipokea bure? Kama umekwisha kupokea bure, kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo?
Хто бо тебе одрізняє? що ж маєш, чого не прийняв (од Бога)? а коли прийняв, то чого величаєш ся, мов би не прийнявши?
8 Tayari mnavyo vyote ambavyo mngetaka! Tayari mmekuwa na utajiri! Mmeanza kutawala-na kwamba mnamiliki zaidi yetu sisi! Kweli, nawatakia umililki mwema ili kwamba tumiliki pamoja nanyi.
Ви вже ситі, вже забагатіли, без нас зацарювали. О, щоб ви зацарювали, щоб і ми з вами царювали!
9 Kwa hiyo ninadhani Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha wa mwisho katika mustari wa maandamano na kama watu waliohukumiwa kuuawa. Tumekuwa kama tamasha kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu.
Та я думаю, що Бог нас, апостолів, яко останніх поставив, мов на смерть призначених; бо видовищем зробились ми сьвітові, і ангелам, і людям.
10 Sisi ni wajinga kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye hekima katika Kristo. Tu wanyonge, lakini ninyi mna nguvu. Mnaheshimiwa, lakina sisi tunadharauliwa.
Ми дурні задля Христа, ви ж мудрі в Христї; ми немічні, ви ж кріпкі; ви славні, ми ж безчесні.
11 Hata saa hii tuna njaa na kiu, hatuna nguo, tuna mapigo, na tena hatuna makazi.
Ще ж і до сієї години й голодуємо й жаждуемо, й наготїєм і биті в лице, і тиняємось,
12 Tunafanya kazi kwa bidii, kwa mikono yetu wenyewe. Tunapodharauliwa, twabariki. Wakati tunapoteswa, twavumilia.
і трудимось, працюючи своїми руками; нас лають, а ми благословляємо; нас гонять, ми терпимо;
13 Tunapotukanwa, twarudisha kwa upole. Tumekuwa, na tu bado tunahesabiwa kuwa kama kukataliwa na dunia na takataka kwa mambo yote.
нас хулять, ми молимось; мов сьміттє сьвіту стали ся ми, ометиця всім аж досі.
14 Siandiki mambo haya kuwaaibisha ninyi, lakini kuwarudi ninyi kama watoto wangu niwapendao.
Не на сором вам се пишу, а яко дітей моїх любих остерегаю.
15 Hata kama mna waalimu makumi elfu katika Kristo, hamna baba wengi. Kwa kuwa nimekuwa baba yenu katika Yesu Kristo kupitia injili.
Бо, коли б ви мали й тисячі наставників у Христї, та батьків небагато; бо в Христї Ісусї благовістєм я вас появив (зродив).
16 Hivyo ninawasihi mniige mimi.
Благаю ж оце вас, будьте послїдувателями моїми.
17 Hiyo ndiyo sababu nilimtuma kwenu Timotheo, mpendwa wangu na mtoto mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia zangu katika Kristo, kama ninavyofundisha kila mahali na kila kanisa.
Про се післав я до вас Тимотея, мою любу дитину і вірного в Господі, котрий вам нагадає про дороги мої в Христї, яко ж усюди у всякій церкві я навчаю.
18 Sasa baadhi yenu wanajisifu, wakitenda kana kwamba sitakuja kwenu.
Мов би не мав я до вас прийти, так розгордїли деякі.
19 Lakini nitakuja kwenu kitambo, kama Bwana akipenda. Ndipo nitajua si maneno yao tu wanaojisifu, lakini nitaona nguvu zao.
Я ж прийду скоро до вас, коли Господь схоче, і розвідаю не слово розгордївших, а силу.
20 Kwa kuwa ufalme wa Mungu hauwi katika maneno bali katika nguvu.
Не в слові бо царство Боже, а в силї.
21 Mnataka nini? Nije kwenu na fimbo au kwa upendo na katika roho ya upole?
Чого хочете? чи з лозиною прийти менї до вас, чи з любовю і духом лагідности?