< 1 Wakorintho 3 >
1 Na mimi, kaka na dada zangu, sikusema nanyi kama watu kiroho, lakini kama na watu wa kimwili. Kama na watoto wadogo katika Kristo.
I ja, bracia! nie mogłem wam mówić jako duchownym, ale jako cielesnym i jako niemowlątkom w Chrystusie.
2 Niliwanywesha maziwa na si nyama, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa kula nyama. Na hata sasa hamjawa tayari.
Napawałem was mlekiem, a nie karmiłem was pokarmem; boście jeszcze nie mogli znieść, owszem i teraz jeszcze nie możecie,
3 Kwa kuwa ninyi bado ni wa mwilini. Kwa kuwa wivu na majivuno yanaonekana miongoni mwenu. Je, hamuishi kulingana na mwili, na je, hamtembei kama kawaida ya kibinadamu?
Gdyż jeszcze cielesnymi jesteście. Bo ponieważ między wami jest zazdrość i swary, i rozterki, azażeście nie cieleśni i według człowieka nie chodzicie?
4 Kwa kuwa mmoja husema, “Namfuata Paulo” Mwingine husema “Namfuata Apolo,” hamuishi kama wanadamu?
Albowiem gdy kto mówi: Jam jest Pawłowy, a drugi: Jam Apollosowy, azaż cielesnymi nie jesteście?
5 Apolo ni nani? na Paulo ni nani? Watumishi wa yule mliyemwamini, kwa kila ambaye Bwana alimpa jukumu.
Bo któż jest, Paweł? Kto Apollos? jedno słudzy, przez którycheście uwierzyli, a to jako każdemu Pan dał.
6 Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akakuza.
Jam szczepił, Apollos polewał, ale Bóg wzrost dał.
7 Kwa hiyo, si aliye panda wala aliyetia maji ana chochote. Lakini ni Mungu anayekuza.
A tak, ani ten, co szczepi, jest czem, ani ten, co polewa, ale Bóg, który wzrost daje.
8 Sasa apandaye na atiaye maji wote ni sawa, na kila mmoja atapokea ujira wake kulingana na kazi yake.
Lecz ten, który szczepi, i ten, który polewa, jedno są, a każdy swoję zapłatę weźmie według pracy swojej.
9 Kwa kuwa sisi tu watendakazi wa Mungu, ninyi ni bustani ya Mungu, jengo la Mungu.
Albowiem jesteśmy pomocnikami Bożymi, wy Bożą rolą, Bożym budynkiem jesteście.
10 Kutokana na neema ya Mungu niliyopewa kama mjenzi mkuu, niliuweka msingi, na mwingine anajenga juu yake. Lakini mtu awe makini jinsi ajengavyo juu yake.
Według łaski Bożej, która mi jest dana, jako mądry budownik założyłem grunt, a drugi na nim buduje: wszakże każdy niechaj baczy, jako na nim buduje.
11 Kwa kuwa hakuna mwingine awezaye kujenga msingi mwingine zaidi ya uliojengwa, ambao ni Yesu Kristo.
Albowiem gruntu innego nikt nie może założyć, oprócz tego, który jest założony, który jest Jezus Chrystus.
12 Sasa, kama mmoja wenu ajenga juu yake kwa dhahabu, fedha, mawe ya thamani, miti, nyasi, au majani,
A jeźli kto na tym gruncie buduje złoto, srebro, kamienie drogie, drwa, siano, słomę,
13 kazi yake itafunuliwa, kwa mwanga wa mchana utaidhihirisha. Kwa kuwa itadhihirishwa na moto. Moto utajaribu ubora wa kazi wa kila mmoja alichofanya.
Każdego robota jawna będzie; bo to dzień pokaże, gdyż przez ogień objawiona będzie, a każdego roboty, jaka jest, ogień doświadczy.
14 Kama chochote mtu alichojenga kitabaki, yeye atapokea zawadi.
Jeźli czyja robota zostanie, którą na nim budował, zapłatę weźmie.
15 Lakini kama kazi ya mtu ikiteketea kwa moto, atapata hasara. Lakini yeye mwenyewe ataokolewa, kama vile kuepuka katika moto.
Jeźli czyja robota zgore, ten szkodę podejmie; lecz on sam będzie zachowany, wszakże tak jako przez ogień.
16 Hamjui kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
Azaż nie wiecie, iż kościołem Bożym jesteście, a Duch Boży mieszka w was?
17 Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu yule. Kwa kuwa hekalu la Mungu ni takatifu, na hivyo na ninyi.
A jeźli kto gwałci kościół Boży, tego Bóg skazi, albowiem kościół Boży święty jest, którym wy jesteście.
18 Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn )
Niechajże nikt samego siebie nie zwodzi; jeźli się kto sobie zda być mądrym między wami na tym świecie, niech się stanie głupim, aby się stał mądrym. (aiōn )
19 Kwa kuwa hekima ya dunia hii ni ujinga mbele za Mungu, Kwa kuwa imeandikwa, “Huwanasa wenye hekima kwa hila zao”
Albowiem mądrość tego świata głupstwem jest u Boga; bo napisano: Który chwyta mądrych w chytrości ich;
20 Na tena “Bwana anajua mawazo ya wenye busara ni ubatili.”
I zasię: Pan zna myśli mądrych, iż są marnością.
21 Hivyo mtu asijivunie wanadamu! Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu.
A tak niech się nikt nie chlubi ludźmi; albowiem wszystkie rzeczy są wasze.
22 Kama ni Paulo, au Apolo, au Kefa, au dunia, au maisha, au kifo, au vitu vilivyopo, au vitakavyokuwepo. Vyote ni vyenu,
Bądź Paweł, bądź Apollos, bądź Kiefas, bądź świat, bądź żywot, bądź śmierć, bądź przytomne, bądź przyszłe rzeczy, wszystkie są wasze;
23 na ninyi ni wa Kristo na Kristo ni wa Mungu.
Aleście wy Chrystusowi, a Chrystus Boży.