< 1 Wakorintho 2 >
1 Nilipokuja kwenu kaka na dada zangu, sikuja kwa maneno ya ushawishi na hekima kama nilivyohubiri kweli iliyofichika kuhusu Mungu.
Naenkole kitalanyu akaka niadada ane, singaaenzile kunkani niakupepeelya nukukulya anga naentanantilye itai naeipikile nang'wi Tunda.
2 Niliamua kutojua chochote nilipokuwa miongoni mwenu isipokuwa Yesu Kristo, na yeye aliyesulubiwa.
Aenamue kutula singamine kehi naenkole palung'wi nunyeinge u Yesu Kilisto udu nung'wenso aewagigwe.
3 Na nilikuwa nanyi katika udhaifu, na katika hofu, na katika kutetemeka sana.
Hangi aenipalung'wi nunyenye muunegetu, nemuwua, nukukagata kukila.
4 Na ujumbe wangu na kuhubiri kwangu hakukuwa katika maneno ya ushawishi na hekima. Badala yake, yalikuwa katika kumdhihirisha Roho na ya nguvu,
Nulukani lane nukutanantya kung'waane singa anga aenkani yakupepeelya nukukulya. Kulekaite, aeyukumigelya ung'wang'welu nengulu,
5 ili kwamba imani yenu isiwe katika hekima ya wanadadamu, bali katika nguvu ya Mungu.
nsoko kina uhueli wanyu uleke kulula ikulyo laantu, inge mungulu niang'wi Tunda.
6 Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn )
Itungo ile kuulitambula ikulyo muantu niakulu, kuite singa ikulyo nikumihe eye, ang'wi nilaatemi niamatungo aya, niakukila. (aiōn )
7 Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn )
Kuleke ite gwa, kuuletambula ikulyo lang'wi Tunda mutai nipihile, ikulyo nelipihile Itunda naulisague naeakili apike imatungo naukulu witu. (aiōn )
8 Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
Kutile wehi nuautemi kumatungo aye nuleine ikulyo ele, anga aieze alengile kumatungo nanso, singa aieze maja Umukulu nuaukulu. (aiōn )
9 Lakini kama ilivyoandikwa, “Mambo mbayo hakuna jicho limeyaona, hakuna sikio lililoyasikia, mawazo hayakufikiri, mambo ambayo Mungu ameyaandaa kwa ajili ya wale wampendao yeye.”
Kuite anga uu niandekilwe, “imakani nikutile eliho nilimaine, kutile ukutwi numigulye, imasigo shangaasegile, makani ni Tunda umanoneeye kunsoko aawa niamuloilwe nuanso.
10 Haya ni mambo ambayo Mungu ameyafunua kwetu kupitia Roho, Kwa kuwa Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani ya Mungu.
Aya makani ni Tunda umakunukue kitaitu kukiila ng'waung'welu, kunsoko ung'waung'welu weduma kela ikintu, ga nemakani amukati ang'wi Tunda.
11 Kwa kuwa nani afahamuye mawazo ya mtu, isipokuwa roho ya mtu ndani yake? Hivyo pia, hakuna ajuaye mambo ya ndani ya Mungu, isipokuwa Roho wa Mungu.
Kunsoko nyenyu nulengile imasigo amuntu, inge inkolo amuntu mukati akwe? Uu gwa, kutile nuine imakani amukati ang'wi Tunda, inge inkolo ang'wi Tunda.
12 Lakini hatukupokea roho ya dunia, lakini Roho ambaye anatoka kwa Mungu, ili kwamba tuweze kujua kwa uhuru mambo tuliyopewa na Mungu.
Kuite shanga aekusingiye inkolo namihe, kuite nkolo naepumile kung'wi Tunda, nsoko kina kuhume kulenga kuwidesi imakani naekupewe ni Tunda.
13 Tunasema mambo haya kwa maneno, ambayo hekima ya mtu haiwezi kufundisha, lakini ambayo Roho hutufundisha. Roho hutafasiri maneno ya kiroho kwa hekima ya kiroho.
Kuulunga imakani aya kunkani, nikulyo lamuntu shaalehumile kumanyisa, kuite inge nung'wa ung'welu nuemanyisa. Ung'waung'welu wipambanula inkani yakinkolo kikulyo nilakinkolo.
14 Mtu asiye wa kiroho hapokei mambo ambayo ni ya Roho wa Mungu, kwa kuwa hayo ni upuuzi kwake. Hawezi kuyajua kwa sababu yanatambuliwa kiroho.
Umuntu nesinga wakenkolo singaukusingiilya imakani na nkolo ang'wi Tunda, kunsoko nanso upungu kung'waakwe. Shangaukumalenga kunsoko ilengika kinkolo.
15 Kwa yule wa kiroho huhukumu mambo yote. Lakini huhukumiwa na wengine.
Kuuyu nuakinkolo wilamula imakani ehi. Kuite wilamulwa nawa niangiza.
16 “Ni nani anaweza kuyajua mawazo ya Bwana, ambaye anaweza kumfundisha yeye?” Lakini tuna mawazo ya Kristo.
Nyanyu nukumile kumalenga imasigo a Makulu, nuhunule kumumanyise nuanso? Kuite kukete masigo ang'wa Kilisto.