< 1 Wakorintho 16 >
1 Sasa kuhusu michango kwa ajili ya waumini, kama nilivyo elekeza makanisa ya Galatia, vivyo hivyo mwapaswa kufanya.
O sbírce pak na svaté, jakž jsem nařídil v církvích Galatských, tak i vy čiňte.
2 Katika siku ya kwanza ya wiki, kila mmoja wenu aweke kitu fulani kando na kukihifadhi, kama muwezavyo. Fanyeni hivyo ili kwamba kusiwe na michango wakati nikija.
V každou neděli jeden každý z vás sám u sebe slož, schovaje podle možnosti, aby ne teprv, když k vám přijdu, sbírky se dály.
3 Na nitakapofika, yeyote mtakayemchagua, nitamtuma pamoja na barua kutoa sadaka yenu huko Yerusalem.
Když pak přijdu, kterékoli osoby schválíte skrze listy, tyť pošli, aby donesli tuto milost vaši do Jeruzaléma.
4 Na kama ni sahihi kwa mimi kwenda pia, watakwenda pamoja nami.
Pakliť by bylo potřebí, abych i já šel, půjdouť se mnou.
5 Lakini nitakuja kwenu, wakati ninapitia Makedonia. Kwa kuwa nitapitia Makedonia.
Přijduť pak k vám, když Macedonií projdu; (nebo Macedonií míním projíti.)
6 Labda naweza kukaa nanyi au hata kumaliza majira ya baridi, ili kwamba muweze kunisaidia katika safari yangu, popote niendako.
Ale u vásť snad poostanu, aneb i přes zimu pobudu, abyste vy mne doprovodili, kamž bych koli šel.
7 Kwa kuwa sitarajii kuwaona sasa kwa muda mfupi. Kwani ninatumaini kukaa nanyi kwa muda fulani, kama Bwana ataniruhusu.
Nechci zajisté s vámi se nyní toliko na zastavení shledati, ale naději se, že za nějaký čas pobudu u vás, bude-li Pán chtíti.
8 Lakini nitakaa Efeso mpaka Pentekoste,
Zůstanuť pak v Efezu až do letnic.
9 kwa kuwa mlango mpana umefunguliwa kwa ajili yangu, na kuna maadui wengi wanipingao.
Nebo otevříny jsou mi tu veliké a mocné dveře, a protivníku mnoho.
10 Sasa wakati Timotheo akija, muoneni kwamba yuko na ninyi pasipo kuogopa, anafanya kazi ya Bwana, kama ninavyofanya.
Přišel-liť by pak k vám Timoteus, hleďtež, aby bezpečně byl u vás; neboť dílo Boží dělá jako i já.
11 Mtu yeyote asimdharau. Mumsaidie katika njia yake kwa amani, ili kwamba aweze kuja kwangu. Kwa kuwa ninamtarajia aje pamoja na ndugu.
Protož nechť jím žádný nepohrdá, ale vyprovoďte jej v pokoji, ať přijde ke mně; neboť na něj čekám s bratřími.
12 Sasa kuhusiana na ndugu yetu Apolo. Nilimtia moyo sana kuwatembelea ninyi pamoja na ndugu. Lakini aliamua kutokuja kwa sasa. Hata hivyo, atakuja wakati ana nafasi.
O Apollovi pak bratru oznamuji vám, že jsem ho velmi prosil, aby šel k vám s bratřími. Ale nikoli nebyla vůle jeho, aby nyní přišel, než přijdeť, když bude míti čas příhodný.
13 Muwe macho, simameni imara, mtende kama wanaume, muwe na nguvu.
Bděte, stůjte u víře, zmužile sobě čiňte a buďtež silní.
14 Basi yote myafanyayo yafanyike katika upendo.
Všecky věci vaše ať se dějí v lásce.
15 Mnaijua kaya ya Stefana. Mnajua kwamba walikuwa waamini wa kwanza huko Akaya, na kwamba walijiweka wenyewe kwenye huduma ya waumini. Na sasa nawasihi, kaka na dada zangu,
Prosímť vás pak, bratří, znáte čeled Štěpánovu, že jsou oni prvotiny Achaie, a že jsou se v službu svatým vydali,
16 kuweni wanyenyekevu kwa watu kama hao, na kwa kila mtu anayesaidia katika kazi na watenda kazi pamoja nasi.
Abyste i vy poddáni byli takovým, i všelikému pomáhajícímu a pracujícímu.
17 Na ninafurahi kwa ujio wa Stefana, Fotunato, na Akiko. Wamesimama mahali ambapo ninyi mgepaswa kuwa.
Těšímť se pak z příchodu Štěpána a Fortunáta a Achaika; nebo nedostatek pro vaši nepřítomnost oni doplnili.
18 Kwa kuwa wameifurahisha roho yangu na yenu. Kwa hiyo sasa, watambueni watu kama hawa.
Potěšili zajisté mého ducha i vašeho. Protož znejtež takové.
19 Makanisa ya Asia wametuma salamu kwenu. Akila na Priska wanawasalimu katika Bwana, pamoja na kanisa lililoko nyumbani kwao.
Pozdravujíť vás sborové, kteříž jsou v Azii. Pozdravujíť vás v Pánu velice Akvila a Priscilla, s církví tou, kteráž jest v domu jejich.
20 Kaka na dada zangu wote wanawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.
Pozdravují vás všickni bratří. Pozdravte sebe vespolek v políbení svatém.
21 Mimi, Paulo, naandika hivi kwa mkono wangu.
Pozdravení vlastní rukou Pavlovou.
22 Kama yeyote hampendi Bwana, basi laana iwe juu yake. Bwana wetu, njoo!
Jestliže kdo nemiluje Pána Jezukrista, budiž proklatý: Maran atha.
23 Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
Milost Pána Jezukrista budiž s vámi.
24 Upendo wangu uwe pamoja nanyi katika Kristo Yesu.
I láska má v Kristu Ježíši se všemi vámi. Amen.