< 1 Wakorintho 14 >

1 Utafuteni upendo na kutamani sana karama za rohoni, zaidi sana mpate kutoa unabii.
Mulubhega okwenda no kwenda muno ebhiyanwa ebhya mu Mwoyo, nawe kukilao muno mubhone okusosha obhulagi.
2 Maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu bali husema na Mungu. Maana hakuna aelewaye kwa sababu anena mambo yaliyofichika katika Roho.
Kulwo kubha mwenene unu kaika mu nyaika atakwaika na bhanu nawe kaika Nyamuanga. Kulwo kubha atalio unu kamenya kunsonga kaika emisango jinu jiselekele mu Mwoyo.
3 Lakini yeye atoaye unabii, asema na watu na kuwajenga, kuwatia moyo, na kuwafariji.
Mbe nawe omwene unu kasosha obhulagi, kaika na bhanu no kubhombaka, no bhasimbagilisha, no kubhasilisha.
4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, lakini yeye atoaye unabii hulijenga kanisa.
Omwene unu kaika mu nyaika keyumbaka omwene, mbe nawe unu kasosha obhulagi kalyumbaka likanisa.
5 Sasa natamani kwamba ninyi nyote mnene kwa lugha. Lakini zaidi ya hayo, natamani ya kwamba mtoe unabii. Yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha (labda awepo wa kutafasiri), ili kwamba kanisa lipate kujengwa.
Woli enenda ati emwe bhone mwaike mu nyaika. Mbe nawe kukilao ejo jone, enenda ati musoshega obhulagi. Unu kasosha obhulagi ni mukulu kukila unu kaika mu nyaika (mbe nawe abheo owokugajula), koleleki ati likanisa libhone okumbakwa.
6 Lakini sasa, kaka na dada zangu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini ninyi? Siwezi, isipokuwa nasema nanyi kwa njia ya ufunuo, au kwa njia ya maarifa, au unabii, au kwa njia ya fundisho.
Mbe nawe woli, mumula wasu na bhayala bhasu, nikabhajako kwo kwaika kwa inyaika yo lulimi lundi, okubhakomesha chinuki emwe? Nitakutula, atali enaika nemwe mu njila yo kuswelulilwa amwi mu njila yo bhengeso, amwi mu bhulagi, amwi mu njila ya ameigisho.
7 Ikiwa vitu visivyo na uhai kama filimbi au kinubi visipotoa sauti zilizo na tofauti, itatambulikanaje ni chombo gani kinachezwa?
Ikabha ebhinu bhinu bhitana bhuanga lwo lukuli amwi litungu bhikalema okusosha obhulaka bhunu bhutasikene, ebhumenyekana atiki ati chinu ni chinu-ki chinu echenywa?
8 Kwa maana ikiwa baragumu itatoa sauti isiyojulikana, ni jinsi gani mtu atatambua ya kuwa ni muda wa kujiandaa kwa vita?
Kulwo kubha ikabha linyawegona likasosha obhulaka bhunu bhutakumenyekana, okulubhana naki omunu kamenya ati omwana gunu nigwo kwiikanya lilemo?
9 Vivyo hivyo na ninyi. Mkitoa kwa ulimi neno lisilo dhahiri, ni jinsi gani mtu ataelewa mnachosema? Mtakuwa mkiongea, na hakuna atakayewaelewa.
Nkokutyo nemwe. Mukasosha kwo lulimi omusango gunu gutali abhwelu, ni kulubhana naki omunu kamenya chinu omwaika? Omutula okubha nimwaika, mbe nawe atalio unu katula okubhelelwa.
10 Hakuna shaka kwamba kuna lugha nyingi mbalimbali duniani, na hakuna hata moja isiyo na maana.
Kutaliwo kwitimata ati jilio inyaika nyafu mu ndimi nyafu-nyafu muchalo, na italio nolwo imwi inu itana nsonga.
11 Lakini ikiwa sijui maana ya lugha, nitakuwa mgeni kwake yeye anenaye, naye anenaye atakuwa mgeni kwangu.
Mbe nawe alabha nitakumenya nsonga ya jinyaka, enibha mugenyi ku mwene ku unu kaika, na unu kaika kabha mugenyi kwanye.
12 Vivyo hivyo na ninyi. Kwa kuwa mnatamani sana kuona uthihirisho wa Roho, takeni kwamba mzidi sana kulijenga kanisa.
Nikwo kutyo nemwe. Kulwo kubha mukenele muno okulola okubhulisibhwa okwa Mwoyo, mwende ati mwongeshe muno okulyumbaka likanisa.
13 Hivyo, yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kutafasiri.
kwibhyo, unu kaika kwa jinyaika na nasabhwe koleleki ayanwe okugajula.
14 Kwa maana nikiomba kwa lugha, roho yangu huomba, lakini akili zangu hazina matunda.
Kulwo kubha nikasabhwa mu nyaika, omwoyo gwani one ogusabhwa, mbe nawe obhwenge bhwani bhitana matwasho.
15 Nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini pia nitaomba kwa akili zangu. Nitaimba kwa roho yangu, na nitaimba kwa akili zangu pia.
Nikole-ki? Enisabhwa kwo Mwoyo gwani, mbe nawe one enisabhwa kwo bhwenge bhwani. Enimba kwo Mwoyo gwani, na enimba kwo bhwenge bhwani one.
16 Vinginevyo, ukimsifu Mungu kwa roho, yeye aliye mgeni ataitikaje “Amina” utoapo shukurani, akiwa hayajui usemayo?
Kujindi jone, ukamukuya Nyamuanga kwo Mwoyo, omwene unu ali mugenyi ketabhwa atiki “Amina” Anu ousosha isime, na akabha atakujimenya jinu owaika?
17 Maana ni kweli wewe washukuru vema, lakini yule mwingine hajengwi.
Kulwo kubha ni chimali ati awe wasima kisi, mbe nawe oundi uliya atakumbakwa.
18 Namshukuru Mungu kwa kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote.
Enimusima Nyamuanga kulwo kubha enaika mu nyaika nyafu kukila nemwe bhone.
19 Lakini katika kanisa ni heri ninene maneno matano kwa ufahamu wangu ili nipate kuwafundisha wengine, zaidi ya kunena maneno kumi elfu kwa lugha.
Mbe nawe mwikanisa ni akili naike misango etanu kwo bhumenyi bhwani koleleki nibhone okubheigisha abhandi, kukila okwaika misango bhiumbi ekumi mu nyaika.
20 Kaka na dada zangu, msiwe watoto katika kufikiri kwenu. Badala yake, kuhusiana na uovu, iweni kama watoto wachanga. Lakini katika kufikiri kwenu mkawe watu wazima.
Bhamula bhasu na bhayala bhasu, mwasiga kubha bhana bhatoto mu kwiganilisha kwemwe. Amwi nejo, okulubhana no bhunyamuke, nimubhe lwa bhana abhalela. Mbe nawe mu kwiganilisha kwemwe mubhee bhanu bhakulu.
21 Imeandikwa katika sheria, “Kwa watu wa lugha nyingine na kwa midomo ya wageni nitasema na watu hawa. Wala hata hivyo hawatanisikia,” asema Bwana.
Jandikilwe mu bhilagilo ati, “Mu bhanu bha nyaika indi na mu minwa eja bhagenyi nilwaika na bhanu bhanu. Nolwo kutyo bhatalinyungwa,” kaika Latabhugenyi.
22 Hivyo, ndimi ni ishara, sio kwa walioamini, bali kwa wasioamini. Lakini kutoa unabii ni ishara, sio kwa wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio.
Kwibhyo, jindimi ja jinyaika ni chibhalikisho, mbe nawe atali kubhanu bhekilisishe, nawe ku bhanu bhatekilisishe. Mbe nawe okusosha obhulagi ni chibhalikisho, atali ku bhanu bhatekilisishe, nawe ni ingulu yebhwe ya bhanu bhekilisishe.
23 Haya, ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja na wote wanene kwa lugha, na wageni na wasioamini wameingia, je hawawezi kusema kwamba mna wazimu?
Mbe, likabha likanisa lyona likofyanyishe amwi na bhona nibhaika mu nyaika indi, bhagenyi na bhanu bhatekilisishe one bhengiyemo, angu bhatakutula okwaika ati bhanu ni bhasasi?
24 Lakini ikiwa wote mnatoa unabii na asiyeamini au mgeni akaingia, atashawishiwa na yote asikiayo. Atahukumiwa na yote yasemwayo.
Mbe nawe akabha bhona nimusosha obhulagi na unu atekilisishe amwi mugenyi engiyemo, kakongibhwa nejo kongwa. kalamulwa nejo ejaikwa.
25 Siri za moyo wake zingefunuliwa. Matokeo yake, angeanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu. Angekiri ya kwamba Mungu yu kati yenu.
Jimbisike jo Mwoyo gwaye jakasuluywe. Mukubhonekana kwaye, akaguye bhwifumbike no kumulamya Nyamuanga. Na akekilisishe ati Nyamuanga ali agati yemwe.
26 Nini kifuatacho basi, kaka na dada zangu? Mnapokutana pamoja, kila mmoja ana Zaburi, mafundisho, mafunuo, lugha au tafsiri. Fanyeni kila kitu ili kwamba mlijenge kanisa.
Woli ni chinuki chinu echilubha, bhamula na bhayala bhasu? Ungwa mukabhuga- ngana amwi, bhuli umwi ali no lwimbo lwo kusilisha, anameigisho, ano kuswelulilwa, ali no lulimi lundi, amwi okugajula. Nimukole bhuli chinu koleleki ati mulyumbake likanisa.
27 Kama yeyote ananena kwa lugha, wawepo wawili au watatu, na kila mmoja katika zamu. Na mtu lazima atafasiri kilichosemwa.
Alabha wone wine kaika mu lulimi lundi, bhabheo bhanu bhabhili amwi bhasatu, na bhuli umwi nibhabhalanwa. No munu ni bhusi-bhusi agajule chinu echaikwa.
28 Lakini kama hakuna mtu wa kutafasiri, basi kila mmoja wao akae kimya ndani ya kanisa. Basi kila mmoja aongee peke yake na kwa Mungu.
Mbe nawe alabha atalio munu wo kugajula, mbe bhuli umwi webhwe enyanje ajibhile jibhi mwikanisa. Mbe bhuli umwi aike enyele-la na ku Nyamuanga.
29 Na manabii wawili au watatu wanene, na wengine wasikilize kwa kupambanua kilichosemwa.
Na bhalagi bhabhili amwi bhasatu bhaike, na abhandi bhategeleshe no kusombokelwa chinu chaikwa.
30 Lakini aliyeketi akifunuliwa jambo katika huduma, yule ambaye alikuwa ananena na anyamaze.
Mbe nawe unu enyanjile no kuswelulilwa no musango mu bhufulubhendi, unu saga naika najibhile.
31 Kwa kuwa kila mmoja wenu anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine ili kwamba kila mmoja aweze kujifunza na wote waweze kutiwa moyo.
Kulwo kubha bhuli umwi wemwe katula okusosha obhulagi oumwi akamala oundi nalubha koleleki ati bhuli umwi atule okwiigila na bhone bhatule okusimbagilisibhwa.
32 Kwa kuwa roho za manabii ziko chini ya uangalizi wa manabii.
Kulwo kubha emyoyo ja bhalagi jili emwalo yo bhwangalisi bhwa abhalagi.
33 Kwa kuwa Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani. Kama ilivyo katika makanisa yote ya waumini,
Kulwo kubha Nyamuanga atali Nyamuanga wo bhunyamuke, mbe nawe wo mulembe. Lwakutyo jili mu mwikanisa gona aga bhekilisha,
34 imewapasa wanawake wakae kimya katika kanisa. Kwa kuwa hawaruhusiwi kuzungumza. Badala yake, wanapaswa kuwa katika unyenyekevu, kama pia sheria inavyosema.
kubheile abhagasi bhenyanje mukanisa nibhajibhila jibhi. Kulwo kubha bhatakwikilisibhwa okwaika. Amwi nejo, kubheile bhabhe bhololo, lwa kutyo one ebhilagilo ebhyaika.
35 Kama kuna chochote wanatamani kujifunza, basi wawaulize waume zao nyumbani. Kwa kuwa ni aibu kwa mwanamke kuongea katika kanisa.
Alabha chilio chone chone chinu abhenda okwiigila, mbe nibhabhabhushe abhalume bhebhwe ika. Kulwo kubha ni nswalo omugasi okuloma mwikanisa.
36 Je neno la Mungu lilitoka kwenu? Je limewafikia ninyi tu?
Angu omusango gwa Nyamuanga gusokele kwemwe? Nangu gubhakingiye emwe-la?
37 Kama mtu akijiona kuwa ni nabii au wa rohoni, inampasa ayatambue mambo ninayowaandikia ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
Nolwo omunu akelola ati ni mulagi amwi we chinyamwoyo, jimwiile ajimenye emisango jinu enibhandikila ati ni malagililo aga Latabhugenyi.
38 Lakini asipotambua haya, mwacheni asitambuliwe.
Mbe nawe akalema okumenya jinu, mumusige abhao.
39 Hivyo basi, kaka na dada zangu, takeni sana kutoa unabii, na msimzuie mtu yeyote kunena kwa lugha.
Kwibhyo woli, bhamula na bhayala bhasu, mwende muno okusosha obhulagi, na mwasiga kumuganya munu wone wone unu kaika kwa jindimi ejindi.
40 Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.
Mbe nawe emisango jone jikoleke kwo bhwekisi na kwo bhwiti.

< 1 Wakorintho 14 >