< 1 Wakorintho 13 >

1 Tuseme kwamba ninanena kwa lugha za wanadamu na za malaika. Lakini kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo au upatu uvumao.
Ie mirehake am-pamele’ ondaty naho anjely iraho fe tsy amam-pikokoañe le feon-torisìke mikontsiañe naho fika­tsakatsañan-kantsàñe avao.
2 Na kwamba nina karama ya unabii na ufahamu wa kweli zilizofichika na maarifa, na kwamba ninayo imani ya kuhamisha milima. Lakini ikiwa sina upendo, mimi si kitu.
Ie mahafitoky naho maharen­dreke ze hene mietake naho ze atao hilala vaho lifo-patokisañe mahaveve vohitse f’ie tsy aman-koko, le kafo­ake.
3 Na tuseme kwamba ninatoa milki yangu yote na kuwalisha masikini, na kwamba ninautoa mwili wangu ili nichomwe moto. Lakini kama sina upendo, hainifaidii kitu.
Naho koàheko o varakoo hamahànako o rarakeo mbore afoeko ho foreheteñe ty sandriko, f’ie tsy aman-koko, le tsy mahasoa ahy.
4 Upendo huvumilia na hufadhili. Upendo haujisifu au kujivuna. Hauna kiburi
Mahaliñe ty koko naho matarike, tsy mamarahy ty koko, tsy miebotsebotse ty koko vaho tsy mirengevoke;
5 au ukorofi. Hautafuti mambo yake, hauoni uchungu haraka, wala hauhesabu mabaya.
tsy mijaranjaràñe, tsy mipay ty aze, tsy mora boseke, tsy mitorifike;
6 Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli.
tsy ifalea’e ty hatsivokarañe, fe irebeha’e ty hatò;
7 Upendo huvumilia mambo yote; huamini mambo yote, una ujasiri katika mambo yote, na hustahimili mambo yote.
Hene vavè’e, fonga iantofa’e, songa tamàe’e, sindre ifeaha’e.
8 Upendo haukomi. Ikiwa kuna unabii, wote utapita. Ikiwa kuna lugha, zitakoma. Ikiwa kuna maarifa, yatapita.
Tsy milesa ty koko; fe hihelañe ty fitokiañe, le hijihetse ty filikolikoañe, vaho hasaok’ añe ty hilala.
9 Kwa kuwa tunajua kwa sehemu na tunafanya unabii kwa sehemu.
Mahafohiñe ty ila’e tika vaho mitoky ty pila’e.
10 Lakini ijapo ile iliyo kamili, ile isiyo kamili itapita.
Fe naho miboak’ eo ty fonitse, le himosaoñe añe o am-paha’eo.
11 Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, nilifikiri kama mtoto, niliamua kama mtoto. Nilipokuwa mtu mzima, niliweka mbali nami mambo ya kitoto.
Ie niajaja iraho, nirehake hoe ajaja, nandrèndreke hoe ajaja, nitsa­kore hoe ajaja; izaho bey le nadòko o hajajàñeo.
12 Kwa kuwa sasa tunaona kama kwa kioo, kama sura gizani, lakini wakati ule tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kwa sehemu, lakini wakati ule nitajua sana kama na mimi ninavyojulikana sana.
Henaneo mahaisake hoe an-ketsoro malompolompo; ie añe, hifampiatre-daharañe. Maharendreke ty ila’e iraho henaneo, f’ie añe ro hahafohiñe hambañe amy te arofoanañe.
13 Lakini sasa mambo haya matatu yanadumu: imani, tumaini lijalo, na upendo. Lakini lililo kuu zaidi ya haya ni upendo.
Sehanga’e henaneo, ty ­fatokisañe, ty fitamàñe, ty fikokoañe, i telo rezay; fe lohà’e ty fikokoañe.

< 1 Wakorintho 13 >