< 1 Wakorintho 13 >

1 Tuseme kwamba ninanena kwa lugha za wanadamu na za malaika. Lakini kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo au upatu uvumao.
Tujobhai kuya ninena kwa lugha sa bhanadamu ni sa malaika. Kakiyele kutya ni dulili upendo, niyele shaba yayilela au upatu wa wivuma.
2 Na kwamba nina karama ya unabii na ufahamu wa kweli zilizofichika na maarifa, na kwamba ninayo imani ya kuhamisha milima. Lakini ikiwa sina upendo, mimi si kitu.
Ni ndabha niyele ni kalama ya unabii ni ufahamu wa kueli sa sifighibhu ni maalifa, ni kuwa niyele ni imani ya kuhamisya kid'onda.
3 Na tuseme kwamba ninatoa milki yangu yote na kuwalisha masikini, na kwamba ninautoa mwili wangu ili nichomwe moto. Lakini kama sina upendo, hainifaidii kitu.
Kakiyele ikayelai nidulili upendo, nene khenu hee. Ni tujobhelai ndabha nipisya miliki jha nene jhioha ni kubhalesya bha b'onji ni kujha nikabhuh'omesya mb'el'e bhuangu ili nihomibhwayi ni kunyanyibhwa muoto. Lakini kama nidulili luganu jhikanitangalila lepi khenu.
4 Upendo huvumilia na hufadhili. Upendo haujisifu au kujivuna. Hauna kiburi
Luganu lwisindamala ni kutangatila. Luganu lwikitufya lepi au kwifuna. Kijhelepi kiburi
5 au ukorofi. Hautafuti mambo yake, hauoni uchungu haraka, wala hauhesabu mabaya.
au bhupasioli. Bhwilonda lepi mambo gha muene, wibhonalepi bhuchungu manyata, bhwala bhwibhalangalepi mabhibhi.
6 Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli.
Bhwihobhokela lepi bhudhalimu. Badala jhiake, bhwihobhoka mu bhukweli.
7 Upendo huvumilia mambo yote; huamini mambo yote, una ujasiri katika mambo yote, na hustahimili mambo yote.
Luganu lwisindmala mambo ghoha, bhwikiera mambo ghoha bhujhe ni bhujasiri bhuoha mu mambo ghoha, ni kusindamala mambo ghoha.
8 Upendo haukomi. Ikiwa kuna unabii, wote utapita. Ikiwa kuna lugha, zitakoma. Ikiwa kuna maarifa, yatapita.
Luganu lwisindwa lepi. Ikajhiajhi bhujhe bhunabii, bhuoha bhwip'eta. Ikajhiajhi lugha, sibetakuleka. Ikajhiajhi kujha ni maarifa, ghibetakul'ota.
9 Kwa kuwa tunajua kwa sehemu na tunafanya unabii kwa sehemu.
Kwa kujha tumanyili kwa sehemu na twibhomba bhunabii kwa sehemu.
10 Lakini ijapo ile iliyo kamili, ile isiyo kamili itapita.
Lakini pajhihida hela jha jhikamiliki, jhela jhajhibeli kujha kamili jhibeta kulota.
11 Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, nilifikiri kama mtoto, niliamua kama mtoto. Nilipokuwa mtu mzima, niliweka mbali nami mambo ya kitoto.
Bhonijhi ne muana, najobhili kama muana, ifikirireghe kama muana, niamuleghe kama muana. Bho nijhele ne n'nyuluala, nabhekhili patali ni nene mambo gha bhuana.
12 Kwa kuwa sasa tunaona kama kwa kioo, kama sura gizani, lakini wakati ule tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kwa sehemu, lakini wakati ule nitajua sana kama na mimi ninavyojulikana sana.
Kwa kujha henu twilola kama kiobho, kama sura mu ngisi, lakini wakati bhola twibetakubhona mihu kwa mihu. Henu nimanyili kwa sehemu, lakini bhwakati bhola nibetakumanya nesu kama ni nene kyanimanyikene nesu.
13 Lakini sasa mambo haya matatu yanadumu: imani, tumaini lijalo, na upendo. Lakini lililo kuu zaidi ya haya ni upendo.
Lakini henu mambo agha madatu ghitamisya: Imani, tumaini lya lihida, ni luganu. Lakini lya lijhele libhaha nesu jha agha ndo luganu.

< 1 Wakorintho 13 >