< 1 Wakorintho 11 >
1 Nifuateni mimi, kama na mimi ninavyomfuata Kristo.
Mwilondai nene, kutya nene kanikamfuata Kristu.
2 Sasa nawasifu kwasababu ya vile mnavyonikumbuka katika mambo yote. Nawasifu kwasababu mmeyashika mapokeo kama nilivyoyaleta kwenu.
Henu ni kabhafifu kwa ndabha ya fhela kamkani khomboka mghakamuili mayhopolelu kutya kumuletai kwa muenga.
3 Basi nataka mfahamu ya kuwa Kristo ni kichwa cha kila mwanaume, naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke, na ya kuwa Mungu ni kichwa cha Kristo.
Basi nilonda mmanyai ya kuwa Kristu ndo kichwa kya kila mwanagosi, ni muene mwanagosi ndo kichwa cha bhanadala, ni ya kuya K'yara ndo mutu wa Kristu.
4 Kila mwanaume aombaye au atoae unabii akiwa amefunika kichwa anakiabisha kichwa chake.
Khila mwanagosi yais'oma au yaipisya unabii ikayelai afuniki mutu wa muene akakiaibisha mutu wa muene.
5 Lakini kila mwanamke aombae au kutoa unabii hali kichwa chake kikiwa wazi anakiaibisha kichwa chake. Kwa maana ni sawa sawa na kama amenyolewa.
Kakiyele kila mwanadala yais'oma au kupisya unabii hali mutu wa muene kikayelai wazi akakiaibisha mutu wa muene. Kwa mana so sawasawa ni kutya kaakasibhu.
6 Ikiwa kama mwanamke hatafunika kichwa chake, na akatwe nywele zake ziwe fupi. Maana ikiwa ni aibu mwanamke kukata nywele zake au kunyolewa, basi afunike kichwa chake.
Ikayelai kutya mwandala alafunikalepi mutu wa muene, na adumulibhwai njuili sya muene siyelai sifupi. Mana ukayela soni mwanadala kudumula njuili sya muene au kukasibhwa, basi afunikai mutu wa muene.
7 Kwani haimpasi mwanamume kufunika kichwa chake, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.
Kwani ikampasalepi mwanagosi kufunika mutu wa muene, kwa ndabha muene ndo mfuano ni utukufu wa k'yara. Kakiyele mwanadala ndo utukufu wa mwanagosi.
8 Maana mwanamume hakutokana na mwanamke. Bali mwanamke alitokana na mwanamume.
Mana mwanagosi atokene hee ni mwanadala. Bali mwanadala atokhene ni mwanagosi.
9 Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke. Bali mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume.
Wala mwanagosi abhombibhu hee kwajia ya mwanadala. Bali mwanadala abhombibhu kwajia ya mwanagosi.
10 Hii ndio sababu mwanamke anapaswa kuwa na ishara ya mamlaka juu ya kichwa chake, kwa sababu ya malaika.
Eye ndo ndabha mwanadala ipasibhwa kuya ni ishala ya mamlaka juu ya mutu wa muene, kwa ndabha ya malaika.
11 Hata hivyo, katika Bwana, mwanamke hayupo peke yake pasipo mwanamume, au mwanamume pasipo mwanamke.
Hata efu, kup'etela Bwana, mwana ndala ayehe muene pasipo mwanangosi, au mwanangosi pasipo mwanadala.
12 Maana kama vile mwanamke alitoka kwa mwanamume, vile vile mwanamume alitoka kwa mwanamke. Na vitu vyote hutoka kwa Mungu.
Mana kutya kabhele mwanadala ahomili kwa mwanagosi, khela khela umwanagosi ahomili kwa mwanadala. Ni fhenu fyoa fihomela kwa K'yara.
13 Hukumuni wenyewe: Je! ni sahihi mwanamke amuombe Mungu hali kichwa chake kikiwa wazi?
Mjihukumuayi mwayhomo: Ko! ndosahihi mwanadala an's'omai K'yara hali mutu wa muene ukayelai wazi?
14 Je hata asili peke yake haiwafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?
Ko hata asili ya yumuene ikabhafundisya lepi ya ndabha mwanagosi akayela ni njuili sitali ndo soni kwa muene?
15 Je asili haiwafundishi ya kwamba mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwake? Maana amepewa zile nywele ndefu kama vazi lake.
Ko asili ikabhafundisya lepi ya ndabha mwanadala akayela ni njuili sitali ndo utukufu kwa muene? Mana apelibhu sela njuili sitali kutya nghobho sya muene.
16 Lakini ikiwa mtu yeyote anataka kubishana juu ya hili, sisi hatuna namna nyingine, wala makanisa ya Mungu.
Kakiyele ikayela munu yuyuoa yhola ilondaa kubishana juu ya ele, tete tuyehee ni namna yhenge, wala makanisa gha K'yara.
17 Katika maagizo yafuatayo, mimi siwasifu. Maana mnapokusanyika, sio kwa faida bali kwa hasara.
Kup'etela maagizo ghaghifuatila, nene nikabhasifuhee. Mana pamwikusanyika, si kwa faida bali kwa hasala.
18 Maana kwanza, nasikia ya kuwa mkutanikapo kanisani, kuna migawanyiko kati yenu, na kwa sehemu ninaamini.
Mana kuanza, ni p'eleka ya kuya pamwikusanika mu kanisa, kuyenimigawanyiko kati ya yhomo, ni kwa sehemu niamini.
19 Kwa maana ni lazima iwepo misuguano kati yenu, ili kwamba wale waliokubaliwa wajulikane kwenu.
Kwa mana lazima iyelai misuguano kati ya yhomo, ili ndabha bhala bhakubalili bhamanyinikai kwayhomo.
20 Kwa maana mkutanikapo, mnachokula sio chakula cha Bwana.
Kwa mana pamwibhonenela, kamwila so kyakulya kya Bwana.
21 Mnapokula, kila mmoja hula chakula chake mwenyewe kabla wengine hawajala. hata huyu ana njaa, na huyu amelewa.
Pamwilya, kila mmonga ilya kyakulya kya muene yumuene kabula ya bhamana bhalili lepi. hata ni oyho ayehe ni njala, ni oyho agalili.
22 Je hamna nyumba za kulia na kunywea? Je mnalidharau kanisa la Mungu na kuwafedhehesha wasio na Kitu? Niseme nini kwenu? Niwasifu? Sitawasifu katika hili!
Ko iyelepi nyumba yakulelela au kunywelela? Ko mkaliza ku kanisa la K'yara ni kubhafezehesha yabhadulili fhenu? Nijobha kiki kwa muenga? Nibhasifilai? Nilabhasifila lepi kup'etela ele!
23 Maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile ambacho nimewapa ninyi ya kuwa Bwana Yesu, usiku ule aliposalitiwa, alichukua mkate.
Mana nayhopholili kuhomela kwa Bwana khela kanibhapelili muenga ya kuwa Bwana Yesu, pakilu bhola paasalitibhu, atolili n'kate.
24 Baada ya kushukuru, aliuvunja na kusema, “Huu ndio mwili wangu, ulio kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi.”
Baada wa kuushukulu, audumuili ni kujobha, “Obho ndo mbhele wanene, wauyele kajia ya yhomo. Mkhetainaa kwa kunikhombhoka nene.”
25 Na vivi hivi akachukua kikombe baada ya kula, na kusema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi mara nyingi kila mywapo, kwa kunikumbuka mimi.”
Na ni naa kabhele atolili kikhombi baada ya kulya, ni kujobha, “Kikhombi ekhe ndo agano lipya kup'etela muasi wa yhoni. Mkhetai na mala nyingi kila pamwinywa kwa kunikhombhoka nene.”
26 Kwa kila muda mlapo mkate huu na kukinywea kikombe, mwaitangaza mauti ya Bwana mpaka atakapokuja.
Kwakila muda pamwilya n'kate obho ni kunywelela kikombi, mkaitangasya umauti wa Bwana mpaka paihidai.
27 Kwa hiyo, kila aulaye mkate au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana.
Kwa elu, kila yailayi n'kate au kukinywelela kikhombi ekhu kya Bwana kakibelili kuya, alaya ajipelili hatia y mbhele ni muasi wa Bwana.
28 Mtu ajihoji mwenyewe kwanza, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.
Munu akajihojilepi yumwene hosi, ni kabhele alyai n'kate, ni kukinywelela kikhombi.
29 Maana alaye na kunywa bila kuupambanua mwili, hula na kunywa hukumu yake mwenyewe.
Mana yailya ni kunywa bila kupambanula mbhele, ilya ni kunywa hukumu ya muene yumuene.
30 Hii ndiyo sababu watu wengi kati yenu ni wagonjwa na dhaifu, na baadhi yenu wamekufa.
Eye ndo ndabha bhanu bhingi kati yayhomo ni bhagonjwa ni bhazaifu, ni baazi yhinu bhafuile.
31 Lakini tukijichunguza wenyewe hatutahukumiwa.
Kakiyele tukachunguzimai tabhene tulahukumibhwa hee.
32 Ila tunapohukumiwa na Bwana, twarudiwa, ili tusije tukahukumiwa pamoja na dunia.
Ila patihukumlibhwa ni Bwana, tikhelebhukila ili tusihidi kuhukumlibhwa pamonga ni dunia.
33 Kwa hiyo, kaka na dada zangu, mkutanikapo mpate kula, ngojeaneni.
Kwa elu, kaka ni dada bhayangu pamwibhonanila mbhuesyai kulya, mlendanai.
34 Mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake, ili kwamba mkutanikapo pamoja isiwe kwa hukumu. Na kuhusu mambo mengine mliyoandika, nitawaelekeza nitakapokuja.
Munu akayelai ni alyai kunyumba kwa muene, ili ndabha pamwibhonana pamonga isiyi kihukumu. Ni kuhusu mambo ghamana ghamwayandiki, nilabhajobhela pamwihidai.