< 1 Wakorintho 10 >
1 Nataka ninyi mjue kaka na dada zangu, ya kuwa baba zetu walikuwa chini ya wingu na wote walipita katika bahari.
Car je ne veux pas que vous ignoriez, mes frères, que nos pères ont tous été sous la nuée, et qu’ils ont tous passé la mer;
2 Wote walibatizwa wawe wa Musa ndani ya wingu na ndani ya bahari,
Qu’ils ont tous été baptisés sous Moïse, dans la nuée et dans la mer;
3 na wote walikula chakula kile kile cha roho.
Qu’ils ont tous mangé la même nourriture spirituelle,
4 Wote walikunywa kinywaji kile kile cha roho. Maana walikunywa kutoka katika mwamba wa roho uliowafuata, na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
Et qu’ils ont tous bu le même breuvage spirituel (car ils buvaient de l’eau de la pierre spirituelle qui les suivait; or cette pierre était le Christ);
5 Lakini Mungu hakupendezwa sana na wengi wao, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Cependant la plupart d’entre eux ne furent pas agréables à Dieu; car ils succombèrent dans le désert.
6 Basi mambo haya yote yalikuwa mifano kwetu, ili sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya kama na wao walivyofanya.
Or toutes ces choses ont été des figures de ce qui nous regarde, afin que nous ne convoitions pas les choses mauvaises, comme eux les convoitèrent;
7 Msiwe waabudu sanamu, kama wengine wao walivyokuwa. Hii ni kama ilivyoandikwa, “Watu walikaa chini wakila na kunywa, na waliinuka kucheza kwa tamaa za mapenzi.”
Et que vous ne deveniez point idolâtres, comme quelques-uns d’eux, selon qu’il est écrit: Le peuple s’est assis pour manger et pour boire, et s’est levé pour se divertir.
8 Tusifanye uasherati kama wengi wao walivyofanya. Wakafa siku moja watu ishirini na tatu elfu kwa sababu hiyo.
Ne commettons pas la fornication comme quelques-uns d’entre eux la commirent, et il en tomba vingt-trois mille en un seul jour.
9 Wala tusimjaribu Kristo, kama wengi wao walivyofanya na wakaharibiwa kwa nyoka.
Ne tentons point le Christ comme quelques-uns d’eux le tentèrent, et ils périrent par les serpents.
10 Na pia msinung'unike, kama wengi wao walivyonung'unika na kuharibiwa na malaika wa mauti.
Et ne murmurez point comme quelques-uns d’eux murmurèrent, et ils périrent par l’exterminateur.
11 Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn )
Or toutes ces choses leur arrivaient en figure, et elles ont été écrites pour nous être un avertissement à nous pour qui est venue la fin des temps. (aiōn )
12 Kwa hiyo kila ajionaye amesimama awe makini asije akaanguka.
Que celui donc qui se croit être ferme prenne garde de tomber.
13 Hakuna jaribu lililowapata ninyi lisilo kawaida ya wanadamu. Ila Mungu ni mwaminifu. Hatawaacha mjaribiwe kupita uwezo wenu. Pamoja na jaribu yeye atawapa mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili.
Qu’il ne vous survienne que des tentations qui tiennent à l’humanité. Or Dieu est fidèle, et il ne souffrira pas que vous soyez tentés par-dessus vos forces; mais il vous fera tirer profit de la tentation même, afin que vous puissiez persévérer.
14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.
C’est pourquoi, mes bien-aimés, fuyez le culte des idoles.
15 Nasema nanyi kama watu wenye akili, ili muamue juu ya ninalosema.
C’est comme à des hommes sages que je parle; jugez vous-mêmes de ce que je dis.
16 Kikombe cha baraka tubarikicho, si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
Le calice de bénédiction que nous bénissons n’est-il pas la communication du sang du Christ? et le pain que nous rompons n’est-il pas la participation au corps du Seigneur?
17 Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja. Sisi sote twapokea mkate mmoja kwa pamoja.
Car, quoique en grand nombre, nous sommes un seul pain, un seul corps, nous tous qui participons à un seul pain.
18 Watazameni watu wa Israeli: Je! Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu?
Voyez Israël selon la chair; ceux qui mangent des victimes ne participent-ils pas à l’autel?
19 Nasema nini basi? Ya kuwa sanamu ni kitu? Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?
Quoi donc? Veux-je dire que ce qui est immolé aux idoles soit quelque chose? ou que l’idole soit quelque chose?
20 Lakini nasema juu ya vitu vile wavitoavyo sadaka watu wapagani wa Mataifa, ya kuwa wanatoa vitu hivi kwa mapepo na sio kwa Mungu. Nami sitaki ninyi kushirikiana na mapepo!
Mais ce qu’immolent les gentils, ils l’immolent aux démons et non à Dieu. Or je désire que vous n’ayez aucune société avec les démons: vous ne pouvez boire le calice du Seigneur et le calice des démons.
21 Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo. Hamwezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo.
Vous ne pouvez avoir part à la table du Seigneur et à la table des démons.
22 Au twamtia Bwana wivu? Tuna nguvu zaidi yake?
Voulons-nous provoquer le Seigneur? Sommes-nous plus forts que lui? Tout m’est permis, mais tout ne m’est pas avantageux.
23 “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote vifaavyo. “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote viwajengavyo watu.
Tout m’est permis, mais tout n’édifie pas.
24 Hakuna hata mmoja angetafuta mazuri yake tu. Badala yake, kila mmoja angetafuta mazuri ya mwenzake.
Que personne ne cherche son propre avantage, mais celui des autres.
25 Mnaweza kula kila kitu kiuzwacho sokoni bila kuuliza -uliza kwa ajili ya dhamiri.
Mangez tout ce qui se vend à la boucherie, ne faisant aucune question par conscience.
26 Maana “dunia ni mali ya Bwana, na vyote viijazavyo.”
Car au Seigneur est la terre et toute sa plénitude.
27 Na mtu asiyeamini akiwaalika kula, na mnataka kwenda, kuleni chochote awapacho pasipo kuuliza maswali ya dhamiri.
Si un infidèle vous invite, et que vous vouliez aller, mangez de tout ce qu’on vous servira, ne faisant aucune question par conscience.
28 Lakini mtu akiwaambia, “Chakula hiki kimetokana na sadaka ya wapagani,” msile. Hii ni kwa ajili yake aliyewaambia, na kwa ajili ya dhamiri.
Mais si quelqu’un dit: Ceci a été immolé aux idoles, n’en mangez point, à cause de celui qui vous a avertis, et par conscience.
29 Nami simaanishi dhamiri zenu, bali dhamiri ya yule mwingine. Maana kwanini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?
Or je dis la conscience, non la tienne, mais celle d’autrui. Car pourquoi ma liberté serait-elle condamnée par la conscience d’un autre?
30 Ikiwa mimi natumia chakula kwa shukrani, kwanini nitukanwe kwa kitu ambacho nimeshukuru kwacho?
Si je mange avec actions de grâces, pourquoi me laisserai-je maudire pour une chose dont je rends grâces?
31 Kwa hiyo, chochote mnachokula au kunywa, au chochote mfanyacho, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
Soit donc que vous mangiez, soit que vous buviez, ou que vous fassiez quelque autre chose, faites tout pour la gloire de Dieu.
32 Msiwakoseshe Wayahudi au Wayunani, au kanisa la Mungu.
Ne soyez une occasion de scandale ni pour les Juifs, ni pour les gentils, ni pour l’Eglise de Dieu;
33 Jaribuni kama mimi ninavyojaribu kuwapendeza watu wote kwa mambo yote. Sitafuti faida yangu mwenyewe, bali ya wengi. Nami nafanya hivi ili wapate kuokolewa.
Comme moi-même je complais à tous en toutes choses, ne cherchant pas ce qui m’est avantageux, mais ce qui l’est au grand nombre, afin qu’ils soient sauvés.